Рет қаралды 7,356
Simba SC imeanza kukifanyia maboresho kikosi chake kwa kufanya usajili wa nguvu ikianza na Joshua Mutale kutoka Power Dynamos, kisha Steven Mukwala kutoka Asante Kotoko, halafu Jean Charles Ahoua (MVP wa Ivory Coast) kutoka Stella Abidjan.
Ndani ya show utaanza kwa kusikiliza neno la matumaini kutoka kwa Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally akieleza mambo muhumi kuelekea msimu ujao pamoja na maandalizi kuelekea #SimbaDay2024
Hapo alikuwa akizungumza katika shughuli ya tawi la Pira Burudani, Dar es Salaam.
Pia unakumbushwa show iliyofwanya na Mfalme Alikiba kwenye Simba Day ya mwaka jana 2023.