H.Baba anafunguka chanzo cha yake na Flora Mvungi kuvunjika, ambapo ametaja usaliti kuwa sehemu kubwa. Ameeleza pia kifo cha Mrembo Swalha wa Mwanza ambaye alikuwa mtu wake wa karibu #chillnasky
Пікірлер: 243
@mohammedkombo97982 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana hii conversation, asante sana SKY na Hbaba, thanks bro napenda jinsi unavyochagua watu wenye public interest. from Mk UK 🇬🇧
@mamskiumbe40572 жыл бұрын
Kwema bss
@agneswangeci19262 жыл бұрын
Hbaba leo nimekuheshim sanaa wewe ni gentle man hata kama nilikuchamba saana leo big up🇰🇪🇰🇪
@renatuswilson15772 жыл бұрын
Duh! Hatarisana. Sandouache uchawa H. Historia inagusa. Hatamm yalinikuta japo tofauti nikidogosana. Mungu atunusuru
@TALLUBOY2 жыл бұрын
Mkasa kama uh Brother H -BABA ih ishu mkasa wake kama Mkasa wa Brother DIAMOND
@user-fs7xc2bb5d2 жыл бұрын
H baba sasa kama ulimwambia asiolewe tena ulitaka aendelee kuzini kikubwa tumuombee mwenyeezi mungu amuondolee adhabu ya kabur na amuweke mbali na moto wa jehanam kama walishindwa kuvumilia Adam na Hawa yeye angeweza
@zuhuramaulid16352 жыл бұрын
Acha ujingaà ww kaoshe tako ulale
@tbwayjunior89472 жыл бұрын
H.Baba jasili tu wewe, ila ubongo wako Mdogo sanaa.😁
@eben_ezer88532 жыл бұрын
Duuuhhh🤔🤔🤔pole H, yaan usione mtu anaongea sana Kuna kitu nyuma yake
@salumuhamza39202 жыл бұрын
H-baba unamoyo kabisa tofawuti nasisi wenziyo kweli wewe unamoyo wasubira big up sana. H-faïz kutoka Congo 🙏🙏🙏
@yussufissa78542 жыл бұрын
This Man Hbaba big up .Plus sky this one of the best interview . Yussuf Issa from Nairobi
@halimamdoe58222 жыл бұрын
Wow h baba unaongea vizuri sana pole sana kakangu Allah atakupa mke mwengine mwenye heshima na kukupenda sana inshallah
@skeetergodwins25762 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka yangu. Ndio maana ni muhimu sana kusikia pande zote mbili.
@patrickmsuguri2 жыл бұрын
Hekima ilikuongoza hbaba Mwenyezi Mungu akusimamie hurudi kwenye NDOA.....
@makacharatv42572 жыл бұрын
H baba skuizi unapendeza sana. Saivi tangu kuingia wasafi. Dah maana ulipokuwa konde gang ulikuwa mchafu sana saivi unapendeza. Maana vita ni akili saivi unatumia akili big up
@NR-ll4sr2 жыл бұрын
Hahahahaha Hahahahaha
@jacksonhassan21902 жыл бұрын
Gonga like tujuwane WCB for life
@mdta81612 жыл бұрын
Kanenepa Hadi raha
@msalabanireko15182 жыл бұрын
Ni kweli kbsa yn
@evelinemsaki20572 жыл бұрын
Ulikimbia majuku marioo Hilo flora mwenyewe alisema kachoka kumlea
@subiraamiri98842 жыл бұрын
Dah kumbe H,unabusara sana bro Allah akuzidishie
@raphaelchauwele35472 жыл бұрын
H umeongea kitu fact sana na umenifundisha sana katika haya maisha ninatakiwa kuwa baba bora, mtazamo mzuri.
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
Hyu alishamgongaga swalha hakuna cha mdg hpa
@abasilihundu2002 жыл бұрын
Hii interview mazuri machache pumba nyingi. Interview nzima ni Frola tu, Anapenda sana kurudia maneno. Anapenda sana kulalamika. Anaongea mambo ambayo hajaulizwa. Hata hjaulizwa kuhusu Frola. Kaulizwa kuhusu waliouana kisa wivu wa mapenzi yeye kaingiza ishu ya Frola. Pumba ni nyng
@Jassmin-media-official2 жыл бұрын
Sky mpe maswali jamani mbona anajiuliza na kujijibu yani sky umepigwa nakitu kizito kichwani,huyo Baba anaongea radio 📻 inanyamaza duh
@rubbymusa19712 жыл бұрын
Pole sana, ila oa tena
@chany99502 жыл бұрын
Pore kaka love you 💯
@paulojalango8982 жыл бұрын
Umeanza kuwa mtu mwenye akili
@kubrymtutala95742 жыл бұрын
Kabisa, yaani akili zake zinaanza kukaa sawa taratibu taratibu wallah.
@binamubinamu11512 жыл бұрын
Dah nilijikuta namchukia lkn nimejikuta tu nampenda Bure sbabu history imenitoa machozi sababu anaongea kwa hisia hongera sana h baba
@theodosiatheobald34302 жыл бұрын
Jamani tusiwe wepesi wa kupokea tu hivi kwenda kujenga ndousahau familiya,? Ndoushindwe hata kurudi kwa mwez mara 1 kweli
@raphaelmenza50332 жыл бұрын
Yani, hapa aliulizwa swali moja Tu, akaelezea Kwa dakika 35
@sifatiiman2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@allenudindo38032 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hatari sana
@mariamdimosso6212 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chocolatevivian8302 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Hatari uyu jamaa
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abelimembe69902 жыл бұрын
Safi sana kak
@kingshomys73192 жыл бұрын
Kashapangwa sana h baba mwacheni jamani
@ziyandamhlana87762 жыл бұрын
H baba kasema kaka yangu unakumbuka juzi nilikwambia mpaka 2030 utaheshimika sana kuzi au wotee
@vicenteafonsoafonso2 жыл бұрын
Big up bro umetufunza sana
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Inaonekana ulikuwa unatamani hii nafasi kwa Sky yaani swali moja jibu lake kipindi kizima kimeisha 😉
@timmahbee2 жыл бұрын
😆😆😆😆🤣🤣🤣
@rehemamkamba90272 жыл бұрын
😂😂
@anithamidaho8714 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌🏻
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
*H baba* nimekuelewa sana
@najmahhassan7853 Жыл бұрын
🔥🔥👌
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Duh kumbe tukiachana na uchawa uyu jamaa ana akili ivi ??!! 😢 Ila familia yenu ilikua inapendeza sana
@daudimichael73382 жыл бұрын
Baba bora na kihereni sikioni na msuko kichwani. Pole
@rizikiabdallah69362 жыл бұрын
Sky acha uongo anatuaibisha wana Mwanza .
@gazaomar84902 жыл бұрын
Pole sana H.Baba
@saidipara41342 жыл бұрын
Ila kweli wanawake zetu ndio walivyo wana anzaga ugomvi alafu wenyewe ndio wanakuwa wakwanza kuanza kushutumu.
@shabanimarima61272 жыл бұрын
😅😅😅😅 Baba Bora kwenda kumsujudia mwanaume mwenzio sjawahi kuona
@subirajohn7282 жыл бұрын
Acha ujinga H anamsujudia ALLAH peke yake!
@twentyacresfarms34642 жыл бұрын
Exclusive kutoka kwa H BABABABABABAAAA
@andiqueantonio33772 жыл бұрын
Safii
@kidawajuma58842 жыл бұрын
H ,Baba uko vizuri usijali
@mdbosco16402 жыл бұрын
🥰🤙
@happinessmwenda27732 жыл бұрын
ROHO INAKUUMA SANA POLE SANA ILA MWACHIE MUNGU NDIE JAJI WA KWELI.MWANZA NAKO MMMH
@renatuswilson15772 жыл бұрын
Duh!
@subirajohn7282 жыл бұрын
H Baba👍👍👍👍👍
@djclick07682 жыл бұрын
Brother uyoo Jama ni Yesu Kila mtuu kampa msaada Mwambiye aache izo
@TALLUBOY2 жыл бұрын
Frola kwel mjinga Sana hapendeki kabisaaa
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
🤔🤔swalha alikuwa na maisha mazuri mbn kwao kuko vile? Mtt angu alikuwa wa kwanza kupostiwa insta inasaidia nn? Hizo sifa sasa H baba 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@lindambilinyi62532 жыл бұрын
Swali moja majibu kumi
@winnieminyalla94302 жыл бұрын
😂😂😂😂 Hbaba mcheshi sana.
@yousramutwale24632 жыл бұрын
Atari sana
@mkuluwaukae22212 жыл бұрын
Alaf mwacheni mwamba said apumzike jamn!
@samiraabdimahamed44492 жыл бұрын
🤞🤞🤞🤞
@ericklaura75112 жыл бұрын
Godly men are still existing🙏 God shall give you a better woman than her 🙏🙏
@skeetergodwins25762 жыл бұрын
Kabisa ndugu. Huyu jamaa nimemkubali sana. Ametumia hekima ya hali ya juu.
@kitonekantasha16872 жыл бұрын
Kwakupenda kujipa credit 😅😅😅👍 but nakupa tuzo ya ubaba bora
@coolzeddy_official92162 жыл бұрын
Umeona h umeenda wcb na sasa una-trend kila wakat
@mbwanakiting7180 Жыл бұрын
Wewe na mamako wote akiri zenu za mbuzi...mamako anayo nyumba alafu unampa nyumba anakubali badala ya kusema hii ya wajukuu...na wewe unajua kabisa unao watoto na wadogo zako unamlisisha mama. Siku mama akifa husigombane na wadogo zako hiyo nyumba ya mama yako na wanao hawana haki. Siku ukifa omba mama arisishe wanao akikaa kimya watoto wamekula kwao watateseka na hiyo nyumba yao sababu itakuwa sio yao ya Bibi yao. Fanya Jambo mapema
@tajilimtoto50092 жыл бұрын
Nilikuwa simpend Hamo kupitia wewe nikaanza kumpenda nakumfwatilia Sasa naacha kuwa fans wake kwanzia leo
@claudia15002 жыл бұрын
Yani hii ilikuwa familia nzuri sana,sijui jini mkata kamba alitokea wapi jamani
@arthoabdi83102 жыл бұрын
This guy cant be trust,, take what he say with a grain of salt
@mamukinyogoli55492 жыл бұрын
Yaani hbaba simuelewi kbs...mwamba ngoma huvutia kwake mbn hujaeleza mabaya yako we uko perfect sio?
@cleveronlinemedia8202 жыл бұрын
Hmn mtu ambaye anaweza kuongea mabaya yake n yy anasubir kuongelewa mabaya yake
@irenekitomary72712 жыл бұрын
Mhm🤔🤔😏😏
@hadijagere2 жыл бұрын
Dakika 35 sky umepatikana jama anatiririka umeuliza maswali sijuwi mawili au marathon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emanuelnjalakila46932 жыл бұрын
Hua mnayataka wenyewe kuchukua mtu asie wa iman yako mtu kalelewa utoto wake wote kwa iman yake wewe unakija kumbadili ukubwan inawezekana vp? Matumiz mabaya ya akili na baba bora hawez nyangan’anywa mke na kwa ujumla umeongea mav matupu
@najuf80212 жыл бұрын
Sky bbysky yuwap tume mmis jaman
@najuf80212 жыл бұрын
Mmmh H baba frola atakua namahusiano namwingine bila kuachana bila sababu kwel nakingine akuwekee mabango inamaana hakujua kama umeenda kujenga Kwan hamkua namawasiliano??duh kama alikua anajua kila kitu nabado akakusalit amekosea nahana akili nakama unamsingizia unakosea sana
@matilsapaulinus47852 жыл бұрын
wewe umewaza kama mimi..kuna vitu vinamiss hapa
@remigiusmkulia95962 жыл бұрын
daaah
@Jassmin-media-official2 жыл бұрын
Frola leo unalo lako hilo
@wardamunguakuzidishew93992 жыл бұрын
Mbona mnazungumzia maisha ya watu yanawausu nn
@chany99502 жыл бұрын
Respect 👍
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Kubadili dini kwasababu ya mwanamme au mwanaume ni usanii mtu anabadilisha imani kwaajili ya MUNGU kuponya roho yako.
@julianamushi33922 жыл бұрын
Sasa utamuweza huyo hbaba mpenda kuongea ujinga hapo utamuuliza swali moja ataongea masaa matatu hajui kuweka nukta
@fbr51132 жыл бұрын
Unampa tittle tu habari yote anajieleza mwenyewe😆😆😆😆😆😆
@mohamedefranciscoxavier44402 жыл бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤝🏿
@blaboaardvark79002 жыл бұрын
Mwanaumke ataolewa KWA upendo lakini atuvunja ndoa KWA sababu ya pesa
@abdulraufmohammedsalum68062 жыл бұрын
H baba bhan eti nimefany mamb makubwa sn ktk hii nchi😆😆😆
@nassoroharuna17532 жыл бұрын
tokea umeenda WCB umekuwa na akili za utuuzima
@johngerald46772 жыл бұрын
Unaonge vzr broo ila nikikumbuka ulivyomsujudia diamond ukiwa n boxa inanifanya niamin dishi lako huwa halitulii
@kiramaanyonya68862 жыл бұрын
Sasa H Baba mtoto wakhislam una heren umesuka hapo vip
@simbarajabu41572 жыл бұрын
Wanawake ndio walivyo kaka waache wazazi wake wamsomeshe sio ww mbugila unamsomesha unampa mtu mwingine faida
@masukumulumba30342 жыл бұрын
Hujawai hoji mtu anaye hongea maneno mazuri zidi y’a Harmonize kwa nini? Ao nawe ni mtangazaji chawa kama Diva?
@mwanaidikhamis54302 жыл бұрын
mpe talaka ili maisha yaendelee
@mwaminiesperance62762 жыл бұрын
Uyu mwongoooo sana mwongo wacha harmonize naamani live you lite wewe mwongo saaana kwendraaaa
@oscafrica18362 жыл бұрын
Bro think he got power to decide on kids... That crap only in your tribe..These women keep our kids for us and they got full control on what's best for them.
@brianndesanjo28612 жыл бұрын
@sky nakuona mbali na kama Listudio la BBC flanii
@wardamunguakuzidishew93992 жыл бұрын
Ndio zako ww kusifia watu wanaheshima badae unabadilika
@dedsecmalis20052 жыл бұрын
Jamaa anaongea vizuri utadhani sio chawa
@mamboshepea88882 жыл бұрын
Basi wewe kuwa kunguni😅😅
@jeybullaz93232 жыл бұрын
😂😂😂 bro #sky umeniacha hoi sana,,,unamjaza jamaa tu Ili afunguke unamuitikia tu 😂😂😂😂😂 :-Wanataftiana wanaume -:"Aaaaaaaaaaaaaaaaaaahhh"
@officialmimi2692 жыл бұрын
😂😂😂😂 umeona ee
@jeybullaz93232 жыл бұрын
@@officialmimi269 hatar😂😂
@piusphilip3072 жыл бұрын
Kama alishauriwa na akashaurika basi hakuwa mke sahihi
@matimfuko6412 жыл бұрын
Sasa hapo Nani mkweli maana kila MTU anavutia kwake
@coolzeddy_official92162 жыл бұрын
Duuuuuu wanaume tuna kaz kwel2
@saidmohamed13302 жыл бұрын
Jufunze kwa Mr pimbi madevu
@kazkaz19432 жыл бұрын
Ukiwa na hasira jitahd kupata haja ndogo😀😀 ntajaribu nione, sasa mtu anapokua na hasira siku 2 inamaana hajapata haja
@mariamdimosso6212 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂
@salumyusuph50462 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@sabrinaseseme25292 жыл бұрын
Yan hawa wanawake akili hawana
@D-Man.B-Free2 жыл бұрын
I feel you H Baba
@stelajoramu52982 жыл бұрын
Duhh na mauno yako yoote bado hakulizika day kweli kungulu hafugiki
@fbr51132 жыл бұрын
UNAJUA KUJIELEZA HADI MUANDISHI HAULIZI KITU😆😆😆😆😆😆😆😆
@ashaali7154 Жыл бұрын
Ulikuwa unapenda mteremko ndio maana uliondoka nyumba ilikuwa ya mwanamke na kuoa pia umeshindwa kuishi na mke marioo wewe.
@lightnesselirehema1464 Жыл бұрын
Wewe hata umbea una react?
@ambokileasheengai11402 жыл бұрын
Muwe mnatoa miwani kwenye interview tuwaone macho ya Bangi hizo
@beatrice36712 жыл бұрын
😄 🤣 😂 😆
@mbarikiwambarikiwa64792 жыл бұрын
Watoto ni wa wote wew siyo wako peke yako, Hata Mama Yao ana haki ya kwenda nao kanisani.
@columbus20842 жыл бұрын
Kwani mwenzetu ni jinsia gani hafu ni wa nchi gani? Watoto wana urithi wowote koo ya mama? Jamii kubwa Watoto wa baba
@mbarikiwambarikiwa6479 Жыл бұрын
@@columbus2084 Kwa hivyo akiwa wa Baba , haruhusiwi kwenda Mama yake kanisan???, Acheni huo ubaguzi wenu isee, Mama yao ni mkristo na ndo anaewalea halafu asiende nao kanisani kisa alizaa muislam☹️☹️☹️☹️☹️, akapandikize mimba nyingine km huko kwingine km unazani ni rahisi. Walishaachana atotoe na muislam mwenzake wawe wa msikitni Tu, Mbona dini yao inaruhusu.
@columbus2084 Жыл бұрын
@@mbarikiwambarikiwa6479 Labda hujaelewa,,,, nilichokushanga ni kuhusu watoto ni wa nani basi! Hayo mengine ni mtambuka, inategemea maelewano ya wazazi wote kama hakuna, Mzazi wa kike anakuwa sahihi kufanya atakalo.
@brigidmua25482 жыл бұрын
Hamisi matambara
@simulizi26322 жыл бұрын
Tanzanite na Africa ni majina ya dini gani? Labda mimi sijui🙋🏾♂️