Nyimbo tamu sana hii, gonga like kama unakubaliana namimi
@piusmtimili84577 ай бұрын
Watu wanajua kutengeneza kazi hadi nchi inatikisika ama kweli ya kale dhahabu tupu
@MartinDavid-yt3nz9 ай бұрын
Nimekumbuka mbali mpaka machozi yananitoka
@brownee200076 ай бұрын
Huu utunzi wake marehem Saleh Belesa Kakere....RIP
@therootoflife52902 жыл бұрын
Asante sana kwa kutuwekea nyimbo hizi online....A beautiful memory that brings emotional feelings too
@rajabumitau93665 жыл бұрын
miziki hii inaelimisha. inaburudisha! siku zote itabakia kuwa adhina na kielelezo kwa muziki wa taifa letu. daima hazichuji zitaendelea kupendwa kutokana na mahudhui yaliyomo. hii iwe fundisho pia kwa wasanii wa kizazi kipya. waimbe nyimbo ambazo zitapendwa daima.
@wanjohipaul9371 Жыл бұрын
Afrika tunawachilia wanamusiki wetu wakufe kwa hali ya umasikini.We left them die unoticed.Such entertaining voices only recognized after they are long gone
@christophersumba5186 Жыл бұрын
It sad those in authority seems not to care
@deogratiasjorojiq4631 Жыл бұрын
@@christophersumba5186 bitchuka ..leading singer is still alive and kicking...would you be ready for his live performance
@memwana1 Жыл бұрын
@@deogratiasjorojiq4631 please tell me that the guy on the killer rhythm guitar is also alive! Amazing soulful sound!
@fredylucas2484Ай бұрын
@@memwana1most of them are dead. The song was composed by Belesa Kakere and let his friend Hassan Rehan Bichuka Sing Lead guitar was played by Kassim Mponda a.k.a De La Chancè Bass Guitar was played by Hindohondo, Rethym Guitar was played by Dullah, Drums Siddy Morris and Keyboard by Waziri Ally a.k.a Kissinger. I can well confirm only the lead Singer is still alive.
@nicholaussatielnkondo23745 жыл бұрын
Old is gold, sogea karibu. Mwimbo huu unanikumbusha mbali mno. Mama yangu Herieth Chamshama alikuwa akiupenda sana R.I.P mama yangu
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Pole sana
@preygodmfinanga29642 жыл бұрын
Daah!Kinanda Cha Waziri Ally,Rest On Paradise
@user-uq5ov1nk5m5 ай бұрын
Nyakati hizo muziki Ilikuwa mwito. Siku hizo sitarudi kweli
@anthonymwasubila93606 жыл бұрын
zamani sana machozi yananitoka nawakumbuka waliotangulia mbele za haki kwa wimbo huu
@zaidiissa66956 ай бұрын
Who played this organ
@totidatutadu19185 жыл бұрын
Kinanda kitamu sana, Bitchuka na Gurumo mnanitoa machozi. Ningekuwa bilionea ningewalipa bilioni kila mtu kwa vipaji yenu vilivyotukuka.
@ynanduvi4 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 1984 nasoma shule ya msingi UKOMBOZI MANZESE nimetoka shule saa nane mchana njaa inaniuma ,nafikanyumbani nausikia huu wimbo nasahu kula .nilichapwa vibao ,sitasahau. Niliupenda sana ingawa nilikuwa bado mdogo.
@adrianomwikalo62774 жыл бұрын
Zamani mida ya mchana RTDwalikuwa na kipindi Cha mchana mwema saa Saba Hadi saa 8 hapo umetoka shule break ya mchana unasubiri ugali hiyo 1982
@habibnjowele7751 Жыл бұрын
@@adrianomwikalo6277 HALAFU WAKATI MWINGINE UNAKUTA MAMA HAYUPO KWA HIYO UGALI HAMNA
@user-op2fs4dr1v5 ай бұрын
Good old days
@bakarimadaba75233 жыл бұрын
Bitchuka mnenge muhidin waziri hamisi Franco, abeli bartazal, mwanyilo,mtakumbukwa milele
@fredylucas2484Ай бұрын
Katika uliowataja Bichuka na Muhidin na Mnenge Ramadhani tu walikua tayari wanamuziki wa Juwata. Abel nadhani alikuja baadae. Sababu solo lilipigwa na De La Chancè Kassimu Mponda
@rashidkwajilwa5961 Жыл бұрын
Big up! Hapa kuna vichwa vilitafakari vya kutosha,message vs melody so attractive!
@jafaripaje53665 жыл бұрын
Wimbo umenirudisha nyuma kipind cha utoto miaka ya mwanzo ya 90's nilipenda sana kusikiliza RTD hususan kipindi cha pokea salamu na salamu za pole kwa wagojwa. Nawakumbuka watangazaji kipindi hicho Shafiru Makosa, Malima Ndelema,Christine Chokonobela, Halima Mchuka,Shabaan Kisu n.k
@kitomondoАй бұрын
90s?
@MWINYIKASHI5 күн бұрын
Mchana mwema
@MWINYIKASHI5 күн бұрын
Pokea salamu ilikuja baada ya kubadilisha jina mchana mwema ndio zilipendwa
@MWINYIKASHI5 күн бұрын
Na jioni ilikuja pole kwa kaz
@HassanAli-kq4sp2 жыл бұрын
How do you feel when Bitchuka calls Bwana Waziri.... Waziri and the man is already gone before us. Very sad indeed.
@abbiecox1 Жыл бұрын
WAS MY FRIEND AND BROTHER USED TO COME TO OUR OFFICE MANY TIMES! IT WAS WHOM INTRODUCED ME TO HIS MUSICIAN ESPECIALLY THAT OF NJENJE! WHILE GIVEN LAST RESPECT TO MZEE NJENJE AT KISUTU CEMETERY., HE ADVICED ME TO CONTEST FOR GENERAL SECRETARY POST OF BAMUTA BUT I DIDNT
@makangemndeme29893 жыл бұрын
Moja kati ya nyimbo bora sana,Waziri alifanya kazi so ya kitoto huku mzee mzima Bitchuka akiua game mapema tu.
@monicapaulmarwa45464 жыл бұрын
Enzi hizo,,,, Radio Tanzania Dar es salaam(RTD) Nimekumbuka mbali sana.
@ramadhanikibenga63174 жыл бұрын
Wewee Nguzo dah unaniliza mie 2020
@kennethbahebenginilla165711 ай бұрын
Maji yakishamwagika ohhh,hayazoleki
@toshamezaw14605 жыл бұрын
Mnanda wa Bwana Waziri ni hatari fire. Bitchuka kama kawa anatisha
@fredylucas2484Ай бұрын
Belesa Kakere alitunga huu wimbo na akampatia swaiba wake Bichuka aimbe.
@piusmtimili84577 ай бұрын
Kwangu mimi kwakweli waziri ally katika nyimbo zote alizopiga kinanda hii ni hatari sana.
@zuhulaomaly30782 жыл бұрын
Ndugu unakumbuka huyo wimbo ulirekodiwa mwaka gani
@anuaryally61774 жыл бұрын
Waziri ananipa vitu vyenye takwimu
@samuelmatata24696 жыл бұрын
huu wimbo unanikumbusha mwaka1980 nasoma darasa LA pili sm Uhuru mchanganyiko bigup Waziri Ally umetumia ubunifu kwenye kinanda
@soudbring13035 жыл бұрын
Samuel Matata
@robertmwangila42874 жыл бұрын
Diamond-kupotea njia ndiyo kujua njia.Jifunzeni kwa wakongwe!muziki hamjauanza nyie.
@ghh30664 жыл бұрын
Sogea karibu umeniliza
@anuaryally61774 жыл бұрын
Duu nami mwaka uliofuata 81 naingia la kwanza
@abellabv4 жыл бұрын
Hahahaa. Wewe ni Kaka yangu. Mie...darasa la kwanza Shule ya Msingi Mbuyuni, DSM. Dah...raha sana enzi hizo kusikiliza Radio Tanzania Dar-es-Salaam; walikuwa juu sana. Kipindi chao kimoja tu ndiyo kilinipa taabu...Mashairi...😂
@zonko04885 жыл бұрын
Thank you Bwana Waziri!!! For the first time and perhaps the last in our local bands "Muziki wa Dansi" scene to get a commanding solo keyboardist. Bwana Waziri set the bar so high one could argue it has never been reached since. Ahsante sana Bwana Waziri
@khalidkadhimuhija17084 жыл бұрын
Zonko 04. Waziri is Babu njenje who perfoms at Kilimanjaro band
@meshackmbuya47453 жыл бұрын
Waze wakazi kwakweli naliwakubali nahata sasa bado nawakubali ile mbayaaa
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
Katutoka tayari bwana waziri mwezi uliopita..!
@HassanAli-kq4sp2 жыл бұрын
And was on a keyboard?
@chomaroyalchiefdom19072 жыл бұрын
Hatari
@saidibadawi4697 жыл бұрын
nafajilika na inzi nyimbo zamani.nawambeya kwa mwenyezi mungu wa pumzike peponi Amen.
@leonlinus5846 жыл бұрын
Hùo ni utunzi wa belesa kakere akiimba pampja na bichuka. Solo yupo mponda
@mwitasogorya30933 жыл бұрын
We acha tu
@ogetoj62452 жыл бұрын
Almasi kwetu sisi zote. Pokea bila jasho! Dr. Ogeto International
@kiwangagodwin70017 жыл бұрын
Ndugu Said Acheka Ali, Huwo wimbo ulikuwa utaitwa "Kaka yangu Adam"
@richardgaya39652 жыл бұрын
..... played in the fashion of African Jazz/ African Fiestas and Bantous de L' Capitalle but more pertinently in the general " Taarab" musical traditions of Eastern Africa!!! Kudos to these Artists, they surely did make our days!!!!
@twahamtumbi65278 жыл бұрын
Kaka nguzo wewe haya. long time ile tanzania tamu walioshiriki wote hongera yao
@geraldemiliyanimmsisemi65866 жыл бұрын
Twaha Mtumbi enzi izo npo mdogo naandikiwa kikalatasi ambaoa kinajina LA wimbo niende kaliakoo nkanunue
@josephkessy47354 жыл бұрын
Unanikumbusha mbali duuh
@zuberikupaza14504 жыл бұрын
Natumaini mponda de la shante bado yuko hai, asante kwa gitaa la solo lililo tukuka!
@deusngowi2 жыл бұрын
Yupo Tanga
@jafaripaje53665 жыл бұрын
Utunzi wake marehemu Balesa Kakere. Amekutwa amefariki nyumbani kwake Tanga mwezi uliopita
@zuberikupaza14504 жыл бұрын
Duu! RIP rafiki yangu Belesa
@tonyliwa38034 жыл бұрын
Sauti itaendelea kudumu. RIP
@ngemera4 жыл бұрын
RIP Balesa
@ByonaBirungi Жыл бұрын
Asante sana kutukumbusha hizi nyimbo zilikwa nzuri na zimepangwa
@ellyayieko3573 жыл бұрын
With this kind of music ,it is no wonder the giant Zaireans could not penetrate your territory
@ramadhanisamata74852 жыл бұрын
Sure! It was a unique music empire in Tanzania during those by gone days. And if you would understand the meaning of what these musicians say. You would run mad in respecting it.
@kitomondoАй бұрын
The golden years, when Tanzania was "Tanzania"
@ramadhanisamata74852 жыл бұрын
Jamani! Anayemjua vizuri huyu waziri Ally hiki kinanda kajifunza mahala gani au Church ipi atupe utamu. Mpangilio wavyombo kama watu wanaosemzana,Akili inalewa kabisa kwa utamu Wa wimbo.
Power Nguzo wewe ni kiboko rafiki yangu.. wewe ni nguzo kweli.. nakushukuru sana.. duuuuuuh!
@edmboya77792 жыл бұрын
Very skilled Tz music presentars. I previewed Mr. Waziri's interview via nyundo ya burhani program, it's very good interview to reveal Tzs music talents.
@maikonyakundi42096 ай бұрын
This I used listen from Radio Tanzania Dar-es-Salaam and I bought it in Merodica Nairobi in 1990.Mpangilio Sawa kabisa. 🤍🤍🤍🕊️🕊️🙏💯
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Kama watu mnapenda na kuthamini kazi mbona Idadi ya viewers haiongezeki
@saikomkumbwa481224 күн бұрын
Ndugu WAZEE wachache Wana smart phone
@jacksonkauga8 жыл бұрын
Mambo vipi?Power Nguzo tunaomba utuwekee wimbo wa Ashibae wa Msondo kama unao.Wasalaam toka Keko Machungwa.
@sinzasoundbandtanzania62008 жыл бұрын
Duh, hiyo organ ya wana Juwata Jazz band inanikumbusha mbali sana Tanzania.
@felixmagulu13837 жыл бұрын
Sauti ya Bichuka kwa ukweli haichuji.
@benitoxavery18026 жыл бұрын
Organ ya hatareee Niliwahi sikia huyo alijifunzia kanisani katoliki Manzese. Anaejua zaidi atujuze.
@gilbertmasaki29656 жыл бұрын
Very reflective music
@maxlupapa44685 жыл бұрын
Huu ndio mziki sio nyege
@saidachekaaali13077 жыл бұрын
OMG,nmekua nautafuta huu mziki hata nlikua karibu niuulize,ila jina ndo lilikua limenitoka lakini baadhi ya maneno ya huu wimbo ndo nlikua nayakumbuka.Thanx braza
@francismabula57474 жыл бұрын
Wimbo unaitwa sogea karibu, Mtunzi ni Beresa kakele,Asante
@mussadaudi4722 Жыл бұрын
Unaitwa sogea karibu
@judithmhuto15615 жыл бұрын
Old is Gold. Thank you so much for sharing
@ahmed591224 жыл бұрын
Humo nawe
@rashidnagasangula2032 Жыл бұрын
Mponda, Waziri na Bitchuka wameonyesha kitu ambacho hakiwezi kurudiwa tena.
@fredylucas2484Ай бұрын
Usimsahau Dullah kwenye Rithym
@mpetamwasa1597 Жыл бұрын
Da hii nyimbo inanimate mbali sana aisee
@586676795 жыл бұрын
Sad tune but fantastic music! Hassan Bitchuka Rehani isa one of the very greatest musicians Tanzania has ever produced! However listening to him today his nice voice is gone....many years of singing and age has caught up with him! Bitchuka you are still the best! Bitchuka has sang many many great songs with Juwata then DDC. Can someone tell me where he was before he joined Juwata?
@mathewmunthali36845 жыл бұрын
Hilarious...
@gilbertmasaki29653 жыл бұрын
Safari Tripers
@586676793 жыл бұрын
@@gilbertmasaki2965 Kweli?
@lawrencemuga63662 жыл бұрын
National of Arusha before he was 20yrs.
@phakundigervas1360 Жыл бұрын
There also Belesa Kakere whose voice is often confused with Bitchuka 's
@saidachekaaali13077 жыл бұрын
Ndugu,kuna wimbo mmoja ambao ulikua karibu sana na huu wimbo Sogea Karibu,jina lake silijui ila baadhi ya maneno ni...AAH MIE AZIZA NAJUTA NAJUTA SANAAA,KUNITOA KIVULINI OOH NA KUNIWEKA JUANI... Sauti ni ya Bitchuka na bendi nafikiri ni hii hii Juwata.Nimeitafuta hapa lkn siioni.Tafadhali km waifahamu jina lake na kama pia uko nayo ibandike hapa
@momomella98455 жыл бұрын
Unaitwa kaka yangu Adam
@ramadhanisamata74852 жыл бұрын
Kiitio: nasikitika kijana! Bichuka yoyo! Mwanyiro yoyo! Na kadhalika na kadhalika.
@muhidinshaib57857 жыл бұрын
kinanda kimekubali hasa ongera sana waziri ally
@hamisijuma62437 жыл бұрын
hii ngoma sogea karibu sio mchezo
@hamisijuma62437 жыл бұрын
kinanda matata, hongera mzee waziri kaz ulifanya
@hamisijuma62437 жыл бұрын
mzee bichuka nae sio kama bado ana miaka 12
@athumanimohamedmnkande12756 жыл бұрын
Muhidin Shaib hongera sana
@gilbertmasaki29653 жыл бұрын
Napenda wimbo huu tangu nikiwa mdogo katika kitatu cha mbili mpaka sasa ninahuzikiliza kila wakati.
@jeffnjereza20946 жыл бұрын
Aaaaa! waziri weeee!
@clementkituyi2212 Жыл бұрын
Niseme nini jamani
@kitomondo2 жыл бұрын
Rip Wazir Ali
@user-ot8jz6qi1y6 жыл бұрын
halima koutaka maskati nasikialaa
@kassimmbelwa60114 жыл бұрын
yakale zahabu waziri ally enzi zileee
@saidshaibu34124 жыл бұрын
Hongereni sana vijana wa zamani
@mshamuomary6455 жыл бұрын
Hakika kila shari na kheri zake. Waziri, Bitching wee ache tu.
@mshamuomary6455 жыл бұрын
Bitchuka ayaa..
@zuberikupaza14505 жыл бұрын
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, Belesa kakere ndiye mtunzi wa wimbo huu
@gabrielmzomkunda94875 жыл бұрын
eeeh bwana Waziri ..Waziri
@nestorytumbika185 Жыл бұрын
Sogea karubu
@rasbantu48358 жыл бұрын
hapa kazi tu!
@allymiteya67797 жыл бұрын
Hii ndio ilikuwa Tanzania ya Nyerere, wapi Kizinja waziri Ally?
@najmasaleh92317 жыл бұрын
Ally Miteya yuko njenje huko
@zuhulaomaly30782 жыл бұрын
Pender sana msondo ngoma
@musahusein30904 жыл бұрын
Dah lakini mnaielewa iyo ngoma
@ramadhanisamata74852 жыл бұрын
Nimeirudia Mara sita Na bado naendelea kuisikiliza. Chozi linanimwagika namkumbuka Dadaangu mpendwa.
@benjaminmwaria4575 жыл бұрын
Lau kama ingewezekana kurudi enzi hizo,
@eliasamsati864 жыл бұрын
Nakumbuka mnamo 1985 bado zinatika supika za radio Tanzania adi kwa majirani zetu keidis Nairobi mzik wa hadhur kulikua namtangazaji 1 akiitwa Elizabet ubege akipiga sana zauku kwetu
@hassanally41322 жыл бұрын
Memory
@hassanally41322 жыл бұрын
Memory
@hassanally41322 жыл бұрын
OK
@phakundigervas13603 жыл бұрын
Dr. Mbelwa W. Kimweri UK wapi ndugu yangu?Mazigo, Peter John, Mgaya, Lubango, Victor Msuya, Hamis Iddi, Ally Kibona, Ally Wazir, Hussein Nzotta, Semindu,Somanga, Simon Sakilu nk POLENI KWA MSIBA WA DR. SAID MABERA
@saidachekaaali13077 жыл бұрын
Full line-up please ya waliojumuika katika kuufanikisha huu wimbo pamoja na mtunzi wake.Nafahamu sauti za Almarhumu Ngurumo na Bitchuka hapo tu
@MightyLumber5 жыл бұрын
Wimbo wa mwaka 1978 mwishoni na mtunzi wa huu wimbo ni Kakere Belesa na hii ni story ya ukweli iliyomtokea yeye kwa aliyebidi awe mke wake. Alimpeleka kwao Tanga akaone wakwe, kufika huko akaanza hivi vituko vinavyoimbwa. Vocals: Hassan Rehani Bitchuka, Kakere Belesa, Joseph Lusungu, Juma Akida, Solo: Kassim Mponda, Said Mabera Bass: Suleiman Mwanyiro Kinanda/Organ: Waziri Ally (Bwana Waziri) Drums: Mabruki Tumba: Sid Morris Sax: Mnenge Ramadhani Ni kitambo wengine siwakumbuki hata kidogo.
@ngemera4 жыл бұрын
MightyLumber ahsante sana
@sammyandrews19232 жыл бұрын
@@MightyLumber Asante sana Kaka asante sana.
@johnmbezi4650 Жыл бұрын
Wimbo huu wapiga magita na ala za upepo walikuwa wana mgomo baridi bwaba Waziri the late akawafunika kwa kinanda.
Kwa ufupi siku hizi hakuna nyimbo bali maigizo matusi na ukosefu wa nidhamu,nyimbo ziliondoka wenyewe miaka ya 80,zika sindikizwa na95 .wakati E, Alikua nyimbo za fanana midundo rahaaa..sasa sarakasi tu
@user-wk2bg8zf3l8 ай бұрын
❤❤😂😂
@kokombwana86254 жыл бұрын
Miaka ya nyuma,shule ya msingi Kivesa, Handeni
@hamzabakari91044 жыл бұрын
Hongara juwata band na muimbaji waziri sauti adim sana
@amonkirumbi55313 жыл бұрын
Muimbaji ni Bitchuka....Waziri amepiga Keyboard
@nyawawawanyawawa9357 жыл бұрын
Ya kale kweli dhahabu nyimbo za namna hii zinarudisha hisia nyuma. Hivi huyu muimbaji Hassan Rehani Bitchuka yupo wapi. Na aliyekuwa akipapasa kinanda Waziri?
@momomella98455 жыл бұрын
Yupo sikinde ngoma ya ukae mlimani park bend
@mathewmunthali36842 жыл бұрын
Bitchuka yupo kwake Sinza Mori-Dar es Salaam na Waziri Ally "Kissinger" yeye ni marehemu..