Sogea Karibu - Juwata Jazz Band

  Рет қаралды 266,795

Power Nguzo

Power Nguzo

8 жыл бұрын

Old is Gold!

Пікірлер: 165
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Nyimbo tamu sana hii, gonga like kama unakubaliana namimi
@piusmtimili8457
@piusmtimili8457 7 ай бұрын
Watu wanajua kutengeneza kazi hadi nchi inatikisika ama kweli ya kale dhahabu tupu
@MartinDavid-yt3nz
@MartinDavid-yt3nz 9 ай бұрын
Nimekumbuka mbali mpaka machozi yananitoka
@brownee20007
@brownee20007 6 ай бұрын
Huu utunzi wake marehem Saleh Belesa Kakere....RIP
@therootoflife5290
@therootoflife5290 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kutuwekea nyimbo hizi online....A beautiful memory that brings emotional feelings too
@rajabumitau9366
@rajabumitau9366 5 жыл бұрын
miziki hii inaelimisha. inaburudisha! siku zote itabakia kuwa adhina na kielelezo kwa muziki wa taifa letu. daima hazichuji zitaendelea kupendwa kutokana na mahudhui yaliyomo. hii iwe fundisho pia kwa wasanii wa kizazi kipya. waimbe nyimbo ambazo zitapendwa daima.
@wanjohipaul9371
@wanjohipaul9371 Жыл бұрын
Afrika tunawachilia wanamusiki wetu wakufe kwa hali ya umasikini.We left them die unoticed.Such entertaining voices only recognized after they are long gone
@christophersumba5186
@christophersumba5186 Жыл бұрын
It sad those in authority seems not to care
@deogratiasjorojiq4631
@deogratiasjorojiq4631 Жыл бұрын
@@christophersumba5186 bitchuka ..leading singer is still alive and kicking...would you be ready for his live performance
@memwana1
@memwana1 Жыл бұрын
@@deogratiasjorojiq4631 please tell me that the guy on the killer rhythm guitar is also alive! Amazing soulful sound!
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Ай бұрын
​@@memwana1most of them are dead. The song was composed by Belesa Kakere and let his friend Hassan Rehan Bichuka Sing Lead guitar was played by Kassim Mponda a.k.a De La Chancè Bass Guitar was played by Hindohondo, Rethym Guitar was played by Dullah, Drums Siddy Morris and Keyboard by Waziri Ally a.k.a Kissinger. I can well confirm only the lead Singer is still alive.
@nicholaussatielnkondo2374
@nicholaussatielnkondo2374 5 жыл бұрын
Old is gold, sogea karibu. Mwimbo huu unanikumbusha mbali mno. Mama yangu Herieth Chamshama alikuwa akiupenda sana R.I.P mama yangu
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Pole sana
@preygodmfinanga2964
@preygodmfinanga2964 2 жыл бұрын
Daah!Kinanda Cha Waziri Ally,Rest On Paradise
@user-uq5ov1nk5m
@user-uq5ov1nk5m 5 ай бұрын
Nyakati hizo muziki Ilikuwa mwito. Siku hizo sitarudi kweli
@anthonymwasubila9360
@anthonymwasubila9360 6 жыл бұрын
zamani sana machozi yananitoka nawakumbuka waliotangulia mbele za haki kwa wimbo huu
@zaidiissa6695
@zaidiissa6695 6 ай бұрын
Who played this organ
@totidatutadu1918
@totidatutadu1918 5 жыл бұрын
Kinanda kitamu sana, Bitchuka na Gurumo mnanitoa machozi. Ningekuwa bilionea ningewalipa bilioni kila mtu kwa vipaji yenu vilivyotukuka.
@ynanduvi
@ynanduvi 4 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 1984 nasoma shule ya msingi UKOMBOZI MANZESE nimetoka shule saa nane mchana njaa inaniuma ,nafikanyumbani nausikia huu wimbo nasahu kula .nilichapwa vibao ,sitasahau. Niliupenda sana ingawa nilikuwa bado mdogo.
@adrianomwikalo6277
@adrianomwikalo6277 4 жыл бұрын
Zamani mida ya mchana RTDwalikuwa na kipindi Cha mchana mwema saa Saba Hadi saa 8 hapo umetoka shule break ya mchana unasubiri ugali hiyo 1982
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 Жыл бұрын
@@adrianomwikalo6277 HALAFU WAKATI MWINGINE UNAKUTA MAMA HAYUPO KWA HIYO UGALI HAMNA
@user-op2fs4dr1v
@user-op2fs4dr1v 5 ай бұрын
Good old days
@bakarimadaba7523
@bakarimadaba7523 3 жыл бұрын
Bitchuka mnenge muhidin waziri hamisi Franco, abeli bartazal, mwanyilo,mtakumbukwa milele
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Ай бұрын
Katika uliowataja Bichuka na Muhidin na Mnenge Ramadhani tu walikua tayari wanamuziki wa Juwata. Abel nadhani alikuja baadae. Sababu solo lilipigwa na De La Chancè Kassimu Mponda
@rashidkwajilwa5961
@rashidkwajilwa5961 Жыл бұрын
Big up! Hapa kuna vichwa vilitafakari vya kutosha,message vs melody so attractive!
@jafaripaje5366
@jafaripaje5366 5 жыл бұрын
Wimbo umenirudisha nyuma kipind cha utoto miaka ya mwanzo ya 90's nilipenda sana kusikiliza RTD hususan kipindi cha pokea salamu na salamu za pole kwa wagojwa. Nawakumbuka watangazaji kipindi hicho Shafiru Makosa, Malima Ndelema,Christine Chokonobela, Halima Mchuka,Shabaan Kisu n.k
@kitomondo
@kitomondo Ай бұрын
90s?
@MWINYIKASHI
@MWINYIKASHI 5 күн бұрын
Mchana mwema
@MWINYIKASHI
@MWINYIKASHI 5 күн бұрын
Pokea salamu ilikuja baada ya kubadilisha jina mchana mwema ndio zilipendwa
@MWINYIKASHI
@MWINYIKASHI 5 күн бұрын
Na jioni ilikuja pole kwa kaz
@HassanAli-kq4sp
@HassanAli-kq4sp 2 жыл бұрын
How do you feel when Bitchuka calls Bwana Waziri.... Waziri and the man is already gone before us. Very sad indeed.
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
WAS MY FRIEND AND BROTHER USED TO COME TO OUR OFFICE MANY TIMES! IT WAS WHOM INTRODUCED ME TO HIS MUSICIAN ESPECIALLY THAT OF NJENJE! WHILE GIVEN LAST RESPECT TO MZEE NJENJE AT KISUTU CEMETERY., HE ADVICED ME TO CONTEST FOR GENERAL SECRETARY POST OF BAMUTA BUT I DIDNT
@makangemndeme2989
@makangemndeme2989 3 жыл бұрын
Moja kati ya nyimbo bora sana,Waziri alifanya kazi so ya kitoto huku mzee mzima Bitchuka akiua game mapema tu.
@monicapaulmarwa4546
@monicapaulmarwa4546 4 жыл бұрын
Enzi hizo,,,, Radio Tanzania Dar es salaam(RTD) Nimekumbuka mbali sana.
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 4 жыл бұрын
Wewee Nguzo dah unaniliza mie 2020
@kennethbahebenginilla1657
@kennethbahebenginilla1657 11 ай бұрын
Maji yakishamwagika ohhh,hayazoleki
@toshamezaw1460
@toshamezaw1460 5 жыл бұрын
Mnanda wa Bwana Waziri ni hatari fire. Bitchuka kama kawa anatisha
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Ай бұрын
Belesa Kakere alitunga huu wimbo na akampatia swaiba wake Bichuka aimbe.
@piusmtimili8457
@piusmtimili8457 7 ай бұрын
Kwangu mimi kwakweli waziri ally katika nyimbo zote alizopiga kinanda hii ni hatari sana.
@zuhulaomaly3078
@zuhulaomaly3078 2 жыл бұрын
Ndugu unakumbuka huyo wimbo ulirekodiwa mwaka gani
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Waziri ananipa vitu vyenye takwimu
@samuelmatata2469
@samuelmatata2469 6 жыл бұрын
huu wimbo unanikumbusha mwaka1980 nasoma darasa LA pili sm Uhuru mchanganyiko bigup Waziri Ally umetumia ubunifu kwenye kinanda
@soudbring1303
@soudbring1303 5 жыл бұрын
Samuel Matata
@robertmwangila4287
@robertmwangila4287 4 жыл бұрын
Diamond-kupotea njia ndiyo kujua njia.Jifunzeni kwa wakongwe!muziki hamjauanza nyie.
@ghh3066
@ghh3066 4 жыл бұрын
Sogea karibu umeniliza
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Duu nami mwaka uliofuata 81 naingia la kwanza
@abellabv
@abellabv 4 жыл бұрын
Hahahaa. Wewe ni Kaka yangu. Mie...darasa la kwanza Shule ya Msingi Mbuyuni, DSM. Dah...raha sana enzi hizo kusikiliza Radio Tanzania Dar-es-Salaam; walikuwa juu sana. Kipindi chao kimoja tu ndiyo kilinipa taabu...Mashairi...😂
@zonko0488
@zonko0488 5 жыл бұрын
Thank you Bwana Waziri!!! For the first time and perhaps the last in our local bands "Muziki wa Dansi" scene to get a commanding solo keyboardist. Bwana Waziri set the bar so high one could argue it has never been reached since. Ahsante sana Bwana Waziri
@khalidkadhimuhija1708
@khalidkadhimuhija1708 4 жыл бұрын
Zonko 04. Waziri is Babu njenje who perfoms at Kilimanjaro band
@meshackmbuya4745
@meshackmbuya4745 3 жыл бұрын
Waze wakazi kwakweli naliwakubali nahata sasa bado nawakubali ile mbayaaa
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
Katutoka tayari bwana waziri mwezi uliopita..!
@HassanAli-kq4sp
@HassanAli-kq4sp 2 жыл бұрын
And was on a keyboard?
@chomaroyalchiefdom1907
@chomaroyalchiefdom1907 2 жыл бұрын
Hatari
@saidibadawi469
@saidibadawi469 7 жыл бұрын
nafajilika na inzi nyimbo zamani.nawambeya kwa mwenyezi mungu wa pumzike peponi Amen.
@leonlinus584
@leonlinus584 6 жыл бұрын
Hùo ni utunzi wa belesa kakere akiimba pampja na bichuka. Solo yupo mponda
@mwitasogorya3093
@mwitasogorya3093 3 жыл бұрын
We acha tu
@ogetoj6245
@ogetoj6245 2 жыл бұрын
Almasi kwetu sisi zote. Pokea bila jasho! Dr. Ogeto International
@kiwangagodwin7001
@kiwangagodwin7001 7 жыл бұрын
Ndugu Said Acheka Ali, Huwo wimbo ulikuwa utaitwa "Kaka yangu Adam"
@richardgaya3965
@richardgaya3965 2 жыл бұрын
..... played in the fashion of African Jazz/ African Fiestas and Bantous de L' Capitalle but more pertinently in the general " Taarab" musical traditions of Eastern Africa!!! Kudos to these Artists, they surely did make our days!!!!
@twahamtumbi6527
@twahamtumbi6527 8 жыл бұрын
Kaka nguzo wewe haya. long time ile tanzania tamu walioshiriki wote hongera yao
@geraldemiliyanimmsisemi6586
@geraldemiliyanimmsisemi6586 6 жыл бұрын
Twaha Mtumbi enzi izo npo mdogo naandikiwa kikalatasi ambaoa kinajina LA wimbo niende kaliakoo nkanunue
@josephkessy4735
@josephkessy4735 4 жыл бұрын
Unanikumbusha mbali duuh
@zuberikupaza1450
@zuberikupaza1450 4 жыл бұрын
Natumaini mponda de la shante bado yuko hai, asante kwa gitaa la solo lililo tukuka!
@deusngowi
@deusngowi 2 жыл бұрын
Yupo Tanga
@jafaripaje5366
@jafaripaje5366 5 жыл бұрын
Utunzi wake marehemu Balesa Kakere. Amekutwa amefariki nyumbani kwake Tanga mwezi uliopita
@zuberikupaza1450
@zuberikupaza1450 4 жыл бұрын
Duu! RIP rafiki yangu Belesa
@tonyliwa3803
@tonyliwa3803 4 жыл бұрын
Sauti itaendelea kudumu. RIP
@ngemera
@ngemera 4 жыл бұрын
RIP Balesa
@ByonaBirungi
@ByonaBirungi Жыл бұрын
Asante sana kutukumbusha hizi nyimbo zilikwa nzuri na zimepangwa
@ellyayieko357
@ellyayieko357 3 жыл бұрын
With this kind of music ,it is no wonder the giant Zaireans could not penetrate your territory
@ramadhanisamata7485
@ramadhanisamata7485 2 жыл бұрын
Sure! It was a unique music empire in Tanzania during those by gone days. And if you would understand the meaning of what these musicians say. You would run mad in respecting it.
@kitomondo
@kitomondo Ай бұрын
The golden years, when Tanzania was "Tanzania"
@ramadhanisamata7485
@ramadhanisamata7485 2 жыл бұрын
Jamani! Anayemjua vizuri huyu waziri Ally hiki kinanda kajifunza mahala gani au Church ipi atupe utamu. Mpangilio wavyombo kama watu wanaosemzana,Akili inalewa kabisa kwa utamu Wa wimbo.
@lawrencemuga6366
@lawrencemuga6366 2 жыл бұрын
St Anthony school, Tanga, alikosomea primari.
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Ай бұрын
Mpango ulikua wapige wapiga trumpet lakini wakazingua ndipo waziri akapiga kufidia trumpet.
@samuelmwaipopo1302
@samuelmwaipopo1302 4 жыл бұрын
Kwahiyo Bitchuka aliimba OSS, Msondo, na Ngide ??? Huyu mzee namkubari sana.
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Ай бұрын
Bichuka alianzia Juwata akaenda Mlimani baadae akahamia OSS
@josephgomalo41
@josephgomalo41 3 жыл бұрын
Power Nguzo wewe ni kiboko rafiki yangu.. wewe ni nguzo kweli.. nakushukuru sana.. duuuuuuh!
@edmboya7779
@edmboya7779 2 жыл бұрын
Very skilled Tz music presentars. I previewed Mr. Waziri's interview via nyundo ya burhani program, it's very good interview to reveal Tzs music talents.
@maikonyakundi4209
@maikonyakundi4209 6 ай бұрын
This I used listen from Radio Tanzania Dar-es-Salaam and I bought it in Merodica Nairobi in 1990.Mpangilio Sawa kabisa. 🤍🤍🤍🕊️🕊️🙏💯
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Kama watu mnapenda na kuthamini kazi mbona Idadi ya viewers haiongezeki
@saikomkumbwa4812
@saikomkumbwa4812 24 күн бұрын
Ndugu WAZEE wachache Wana smart phone
@jacksonkauga
@jacksonkauga 8 жыл бұрын
Mambo vipi?Power Nguzo tunaomba utuwekee wimbo wa Ashibae wa Msondo kama unao.Wasalaam toka Keko Machungwa.
@sinzasoundbandtanzania6200
@sinzasoundbandtanzania6200 8 жыл бұрын
Duh, hiyo organ ya wana Juwata Jazz band inanikumbusha mbali sana Tanzania.
@felixmagulu1383
@felixmagulu1383 7 жыл бұрын
Sauti ya Bichuka kwa ukweli haichuji.
@benitoxavery1802
@benitoxavery1802 6 жыл бұрын
Organ ya hatareee Niliwahi sikia huyo alijifunzia kanisani katoliki Manzese. Anaejua zaidi atujuze.
@gilbertmasaki2965
@gilbertmasaki2965 6 жыл бұрын
Very reflective music
@maxlupapa4468
@maxlupapa4468 5 жыл бұрын
Huu ndio mziki sio nyege
@saidachekaaali1307
@saidachekaaali1307 7 жыл бұрын
OMG,nmekua nautafuta huu mziki hata nlikua karibu niuulize,ila jina ndo lilikua limenitoka lakini baadhi ya maneno ya huu wimbo ndo nlikua nayakumbuka.Thanx braza
@francismabula5747
@francismabula5747 4 жыл бұрын
Wimbo unaitwa sogea karibu, Mtunzi ni Beresa kakele,Asante
@mussadaudi4722
@mussadaudi4722 Жыл бұрын
Unaitwa sogea karibu
@judithmhuto1561
@judithmhuto1561 5 жыл бұрын
Old is Gold. Thank you so much for sharing
@ahmed59122
@ahmed59122 4 жыл бұрын
Humo nawe
@rashidnagasangula2032
@rashidnagasangula2032 Жыл бұрын
Mponda, Waziri na Bitchuka wameonyesha kitu ambacho hakiwezi kurudiwa tena.
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Ай бұрын
Usimsahau Dullah kwenye Rithym
@mpetamwasa1597
@mpetamwasa1597 Жыл бұрын
Da hii nyimbo inanimate mbali sana aisee
@58667679
@58667679 5 жыл бұрын
Sad tune but fantastic music! Hassan Bitchuka Rehani isa one of the very greatest musicians Tanzania has ever produced! However listening to him today his nice voice is gone....many years of singing and age has caught up with him! Bitchuka you are still the best! Bitchuka has sang many many great songs with Juwata then DDC. Can someone tell me where he was before he joined Juwata?
@mathewmunthali3684
@mathewmunthali3684 5 жыл бұрын
Hilarious...
@gilbertmasaki2965
@gilbertmasaki2965 3 жыл бұрын
Safari Tripers
@58667679
@58667679 3 жыл бұрын
@@gilbertmasaki2965 Kweli?
@lawrencemuga6366
@lawrencemuga6366 2 жыл бұрын
National of Arusha before he was 20yrs.
@phakundigervas1360
@phakundigervas1360 Жыл бұрын
There also Belesa Kakere whose voice is often confused with Bitchuka 's
@saidachekaaali1307
@saidachekaaali1307 7 жыл бұрын
Ndugu,kuna wimbo mmoja ambao ulikua karibu sana na huu wimbo Sogea Karibu,jina lake silijui ila baadhi ya maneno ni...AAH MIE AZIZA NAJUTA NAJUTA SANAAA,KUNITOA KIVULINI OOH NA KUNIWEKA JUANI... Sauti ni ya Bitchuka na bendi nafikiri ni hii hii Juwata.Nimeitafuta hapa lkn siioni.Tafadhali km waifahamu jina lake na kama pia uko nayo ibandike hapa
@momomella9845
@momomella9845 5 жыл бұрын
Unaitwa kaka yangu Adam
@ramadhanisamata7485
@ramadhanisamata7485 2 жыл бұрын
Kiitio: nasikitika kijana! Bichuka yoyo! Mwanyiro yoyo! Na kadhalika na kadhalika.
@muhidinshaib5785
@muhidinshaib5785 7 жыл бұрын
kinanda kimekubali hasa ongera sana waziri ally
@hamisijuma6243
@hamisijuma6243 7 жыл бұрын
hii ngoma sogea karibu sio mchezo
@hamisijuma6243
@hamisijuma6243 7 жыл бұрын
kinanda matata, hongera mzee waziri kaz ulifanya
@hamisijuma6243
@hamisijuma6243 7 жыл бұрын
mzee bichuka nae sio kama bado ana miaka 12
@athumanimohamedmnkande1275
@athumanimohamedmnkande1275 6 жыл бұрын
Muhidin Shaib hongera sana
@gilbertmasaki2965
@gilbertmasaki2965 3 жыл бұрын
Napenda wimbo huu tangu nikiwa mdogo katika kitatu cha mbili mpaka sasa ninahuzikiliza kila wakati.
@jeffnjereza2094
@jeffnjereza2094 6 жыл бұрын
Aaaaa! waziri weeee!
@clementkituyi2212
@clementkituyi2212 Жыл бұрын
Niseme nini jamani
@kitomondo
@kitomondo 2 жыл бұрын
Rip Wazir Ali
@user-ot8jz6qi1y
@user-ot8jz6qi1y 6 жыл бұрын
halima koutaka maskati nasikialaa
@kassimmbelwa6011
@kassimmbelwa6011 4 жыл бұрын
yakale zahabu waziri ally enzi zileee
@saidshaibu3412
@saidshaibu3412 4 жыл бұрын
Hongereni sana vijana wa zamani
@mshamuomary645
@mshamuomary645 5 жыл бұрын
Hakika kila shari na kheri zake. Waziri, Bitching wee ache tu.
@mshamuomary645
@mshamuomary645 5 жыл бұрын
Bitchuka ayaa..
@zuberikupaza1450
@zuberikupaza1450 5 жыл бұрын
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, Belesa kakere ndiye mtunzi wa wimbo huu
@gabrielmzomkunda9487
@gabrielmzomkunda9487 5 жыл бұрын
eeeh bwana Waziri ..Waziri
@nestorytumbika185
@nestorytumbika185 Жыл бұрын
Sogea karubu
@rasbantu4835
@rasbantu4835 8 жыл бұрын
hapa kazi tu!
@allymiteya6779
@allymiteya6779 7 жыл бұрын
Hii ndio ilikuwa Tanzania ya Nyerere, wapi Kizinja waziri Ally?
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 7 жыл бұрын
Ally Miteya yuko njenje huko
@zuhulaomaly3078
@zuhulaomaly3078 2 жыл бұрын
Pender sana msondo ngoma
@musahusein3090
@musahusein3090 4 жыл бұрын
Dah lakini mnaielewa iyo ngoma
@ramadhanisamata7485
@ramadhanisamata7485 2 жыл бұрын
Nimeirudia Mara sita Na bado naendelea kuisikiliza. Chozi linanimwagika namkumbuka Dadaangu mpendwa.
@benjaminmwaria457
@benjaminmwaria457 5 жыл бұрын
Lau kama ingewezekana kurudi enzi hizo,
@eliasamsati86
@eliasamsati86 4 жыл бұрын
Nakumbuka mnamo 1985 bado zinatika supika za radio Tanzania adi kwa majirani zetu keidis Nairobi mzik wa hadhur kulikua namtangazaji 1 akiitwa Elizabet ubege akipiga sana zauku kwetu
@hassanally4132
@hassanally4132 2 жыл бұрын
Memory
@hassanally4132
@hassanally4132 2 жыл бұрын
Memory
@hassanally4132
@hassanally4132 2 жыл бұрын
OK
@phakundigervas1360
@phakundigervas1360 3 жыл бұрын
Dr. Mbelwa W. Kimweri UK wapi ndugu yangu?Mazigo, Peter John, Mgaya, Lubango, Victor Msuya, Hamis Iddi, Ally Kibona, Ally Wazir, Hussein Nzotta, Semindu,Somanga, Simon Sakilu nk POLENI KWA MSIBA WA DR. SAID MABERA
@saidachekaaali1307
@saidachekaaali1307 7 жыл бұрын
Full line-up please ya waliojumuika katika kuufanikisha huu wimbo pamoja na mtunzi wake.Nafahamu sauti za Almarhumu Ngurumo na Bitchuka hapo tu
@MightyLumber
@MightyLumber 5 жыл бұрын
Wimbo wa mwaka 1978 mwishoni na mtunzi wa huu wimbo ni Kakere Belesa na hii ni story ya ukweli iliyomtokea yeye kwa aliyebidi awe mke wake. Alimpeleka kwao Tanga akaone wakwe, kufika huko akaanza hivi vituko vinavyoimbwa. Vocals: Hassan Rehani Bitchuka, Kakere Belesa, Joseph Lusungu, Juma Akida, Solo: Kassim Mponda, Said Mabera Bass: Suleiman Mwanyiro Kinanda/Organ: Waziri Ally (Bwana Waziri) Drums: Mabruki Tumba: Sid Morris Sax: Mnenge Ramadhani Ni kitambo wengine siwakumbuki hata kidogo.
@ngemera
@ngemera 4 жыл бұрын
MightyLumber ahsante sana
@sammyandrews1923
@sammyandrews1923 2 жыл бұрын
@@MightyLumber Asante sana Kaka asante sana.
@johnmbezi4650
@johnmbezi4650 Жыл бұрын
Wimbo huu wapiga magita na ala za upepo walikuwa wana mgomo baridi bwaba Waziri the late akawafunika kwa kinanda.
@twahamtumbi6527
@twahamtumbi6527 7 жыл бұрын
Asante kaka yangu mpendwa
@abduldunga8413
@abduldunga8413 5 жыл бұрын
Oooh bwana waziri hakika wazir alli amenogesha kinanda yazaman matam
@maimunajerome-bw4sw
@maimunajerome-bw4sw 8 күн бұрын
Kwa ufupi siku hizi hakuna nyimbo bali maigizo matusi na ukosefu wa nidhamu,nyimbo ziliondoka wenyewe miaka ya 80,zika sindikizwa na95 .wakati E, Alikua nyimbo za fanana midundo rahaaa..sasa sarakasi tu
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 8 ай бұрын
❤❤😂😂
@kokombwana8625
@kokombwana8625 4 жыл бұрын
Miaka ya nyuma,shule ya msingi Kivesa, Handeni
@hamzabakari9104
@hamzabakari9104 4 жыл бұрын
Hongara juwata band na muimbaji waziri sauti adim sana
@amonkirumbi5531
@amonkirumbi5531 3 жыл бұрын
Muimbaji ni Bitchuka....Waziri amepiga Keyboard
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 7 жыл бұрын
Ya kale kweli dhahabu nyimbo za namna hii zinarudisha hisia nyuma. Hivi huyu muimbaji Hassan Rehani Bitchuka yupo wapi. Na aliyekuwa akipapasa kinanda Waziri?
@momomella9845
@momomella9845 5 жыл бұрын
Yupo sikinde ngoma ya ukae mlimani park bend
@mathewmunthali3684
@mathewmunthali3684 2 жыл бұрын
Bitchuka yupo kwake Sinza Mori-Dar es Salaam na Waziri Ally "Kissinger" yeye ni marehemu..
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 2 жыл бұрын
@@mathewmunthali3684 Shukrani Matthew. RIP Waziri 🙏
@ramadhanisamata7485
@ramadhanisamata7485 2 жыл бұрын
Power Nguzo,please, tafuta na ule usemao " Nasikitika kijana ! Kakere yoyo! Nasikitika kijana! Mwanyiro yoyo! Nasikitika kijana! Mulenga yoyo! - ,, - - ',,- "...... (Umepigwa kwa staili hiyo hiyo ninaeisikiliza hapa.) Najua utaupata tu.
@kondomiaka1385
@kondomiaka1385 3 жыл бұрын
Llllllll Pkkmmm
@maikonyakundi4209
@maikonyakundi4209 6 ай бұрын
I tell you I bought it when it was a cassete. Anyway one among many. 🥰🥰🥰💯🕊️🕊️🤍🤍🙏💖
Vijana Jazz Band - Maisha Ya Amba
8:37
Austine Malala
Рет қаралды 76 М.
Juwata Jazz Band - Mpenzi Zarina
5:08
Power Nguzo
Рет қаралды 139 М.
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,5 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 20 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,5 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 97 МЛН
Visa Vimenichosha
7:54
DDC Mlimani Park Orchestra - Topic
Рет қаралды 210 М.
Rangi ya Chungwa
9:11
Bongo Records
Рет қаралды 28 М.
Maquis Original - Kiongo
7:51
Power Nguzo
Рет қаралды 143 М.
Tulikotoka ni mbali -  Juwata Jazz Band
6:14
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 28 М.
Ngalula
6:30
Tshimanga Kalala Assosa - Topic
Рет қаралды 12 М.
Juwata Jazz Band   Tupa Tupa
6:06
Power Nguzo
Рет қаралды 74 М.
Kidogo Kidogo
9:46
Remmy Ongala - Topic
Рет қаралды 36 М.
Tanzania - Marijani Raajab - Namsaka Mbaya Wangu
8:26
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 560 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Bantu group- Vicky
8:29
Eddie Nassor
Рет қаралды 94 М.
WIFI ZANGU VJB
9:31
DM TV
Рет қаралды 478 М.
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,5 МЛН