Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati
@fanni-ck6do5 ай бұрын
well good job solute
@tatuathmani8835 ай бұрын
Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo
@didasseveline90135 ай бұрын
Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa
@stellamoses44965 ай бұрын
Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali
@bentybenty23435 ай бұрын
Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤
@MauFundiElectronics5 ай бұрын
unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.
@stellamoses44965 ай бұрын
Tafadhali hicho Naomba nijuegharamayake
@salhamlanz98065 ай бұрын
Nakukubali kinoma
@revocatussebastian24272 ай бұрын
Mbona mashimo mafupi inakuaje yasijae
@dorahmatitu25545 ай бұрын
Bei mhmm kaka tafadhali
@OmanOman-dd5qk5 ай бұрын
Naomba kujua beiyake
@user-yx1kh6mj3r5 ай бұрын
Sh ngapi
@LeluumakameMussa-ln5rc5 ай бұрын
Gharma yake ikoje na mm nimekipenda
@kaperijohn75374 ай бұрын
Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?
@hamzamwaya4635 ай бұрын
Yes sir
@cleophaxgeremy21485 ай бұрын
So mnajifanyia advertising ya kazi zenu,,,but tatizo maongezi kwenye show hii ni mengi bri,,anywats congratulations kwa technology hiyo