Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
@adeladaudi87803 жыл бұрын
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
@anastaziaemily47083 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
@adelinakastory43372 жыл бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
@pendomtemi94393 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
@annegoldsmith81952 жыл бұрын
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
@upendoramadhan92222 жыл бұрын
Mungu amuongeze nguvu amuweke
@marcelineshanga98117 ай бұрын
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
@marcelineshanga98117 ай бұрын
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
@magrethsayi6 ай бұрын
Nahitaji no za pastor nisaidien
@mahindiumakinisa47325 ай бұрын
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
@sophiamwakila33003 жыл бұрын
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
@givengaby60673 жыл бұрын
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
@selinasulle26063 жыл бұрын
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
@solomonmakori77983 жыл бұрын
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
@beatricemageka79723 жыл бұрын
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
@asooraaasooraa48163 жыл бұрын
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
@helenmagoti50313 жыл бұрын
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
@stigmanonsare36723 жыл бұрын
Amen
@elishangomele99373 жыл бұрын
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@tabithayohana85733 жыл бұрын
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
@selinasulle26063 жыл бұрын
Mungu tuongezee imani na utpe amani yako na ikae ndani yetu amen
@equilinendikubwayo56453 жыл бұрын
Amen Amen barikiwe mtumishi wa mungu na barikiwe Sana pasteur David
@etoabwe34512 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
@devothamichael93962 жыл бұрын
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
@heldaoigo76599 ай бұрын
Powerful sermons May the Almighty God continue blessing you for us
@user-nt7jc1ns3k5 ай бұрын
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
@ramadhanurasa61983 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor kwa sms nzuri, naamini watu wengi haswa vijana watona umuhimu wa k7zikabidhi nafsi zao kwa Bwana Yesu Kriato. Be blessed pastor
@nansyas2643 жыл бұрын
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
@lilianjacobs2483 жыл бұрын
Mungu akubariji
@user-rx3rl9yb3o6 ай бұрын
❤ pastor mbaga umnigusa sana na maubili yako MUNGU akuongese nguvu kwa kasi yako Josephine kenya kisii.
@rahabnkya82763 жыл бұрын
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
@braysonsuleman35833 жыл бұрын
Bwana aturehem
@mossesjoseph22023 жыл бұрын
Kwa YESU kuna raha, hakuna masharti ya ajabu ajabu,Siku zote utaishi ukiwa huru, mwenye amani na furaha, jina la BWANA libarikiwe.
@juliusmantago45113 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
@stigmanonsare36723 жыл бұрын
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
@anordamtv89843 жыл бұрын
God bless you pastor for your great job
@SimisiKambale6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji,nitapita vitabu namna gani mimi niko hapa congo kwenye mpaka ya uganda na congo.
@everlynenyonga21302 жыл бұрын
Everytime I listen to your sermons I get l uplifted,be blessed Pastor.
@jamesrobare5223 жыл бұрын
This is amazing grace from God for His people
@samogoti9 ай бұрын
Wonderful & encouraging sermons.. Pr Mmbaga God bless you
@hbdina2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
@belindakennedy23439 ай бұрын
Asante sana Pastor umenipa ujasiri wa ajabu katika maisha yangu..Hakika Shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu
@anthonysnsabi Жыл бұрын
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid. Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
@jeremiahoumaonditi82853 жыл бұрын
Thanks for the somo barikiweni servants of God
@mrsdeborahurio2 жыл бұрын
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
@jailomhengilolo28983 жыл бұрын
Amina barikiwa Mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu wa matumaini Ahsante.
@paschalmashili51953 жыл бұрын
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
@alexboni29043 жыл бұрын
Barkiwa
@PaulineWanjiku-re2hy8 ай бұрын
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
@faithmoraa454211 ай бұрын
Thank you pr. Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
Napenda sana maubiri yako pastor. Mungu akubariki na anibariki na mimi pia kwa neema yake.
@juliusphinias31562 жыл бұрын
Mungu akuongezee maarifa ya kuuchambua ukweli.
@joykapaya19703 жыл бұрын
Oh powerful. Remain blessed Pastor.
@johnrose54602 жыл бұрын
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
@user-gi4cf2cl1p6 ай бұрын
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
@witnessmalangalila913 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu unanibariki Sana na Mafundisho yako🙏
@paulwambua49563 жыл бұрын
Am blessed pr. Ningependa unisaidie kwa maombi ya kibisafsi. Paul from meru Kenya
@simonkuyyi39833 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,akazidi kukufunulia upate kuwaangazia mataifa.
@mashaeliazer74333 жыл бұрын
Hallelujah Mimi na yesu ni mtu na mdogo ake,Asante yesu
@mercelinemapenzikazungu17843 жыл бұрын
Yesu ndiwe kimbilio langu nipe niregeshee mume wangu Daniel
@jeremiahmayala20993 жыл бұрын
Ninamdogo wangu anasumbuliwa na mapepo baada ya kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza BWIRU SEC. MWANZA baada ya kutoka KIGOMA shule ya Kata,ameripoti BWIRU sec. tu mapepo yakaanza kumshambulia kwa kumuonya kuwa katika elimu hatafanikiwa,pastor nimesikia ujumbe huu kuwa kila MTU anao moto wa yesu,yaani nguvu ya kukemea pepo,MUNGU AKUBARIKI katika maombi utusaidie maana kila kikanyaga tu getini wanaanza kumshambulia, nakirudi nyumbani mapepo wanamsifu kuwa amefanya vyema PASTOR TUSAIDIE KATIKA MAOMBI AFUNGULIWE.
@ezechielniyonkuru67833 жыл бұрын
Mungu anakuona tuombeane tu ,mwinjirist Ezechiel burjumbura Burundi tuko nanyi
@gilbertmgabriel91583 жыл бұрын
Thank you Pastor, God Bless you
@user-uu3ie5mu3w10 ай бұрын
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
@nansyas2643 жыл бұрын
Nimebarikiwa nikiwa Saudia Arabia waaah pst sichoki na maubiri yako Ubarikiwe sana
@bensonmusau60362 жыл бұрын
Your sermons have been a blessing to many, I included. Asante sana
@preciousprecious7040 Жыл бұрын
Amina pr! Mungu akubariki sana! Akupe afya na nguvu uzidi kutusogeza karibu na kristo🙏
@josephojukwu21393 ай бұрын
You are wonderful pastor
@rehemakulwijira96622 жыл бұрын
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
@robertbenswell5043 жыл бұрын
Iam blessed pastor 🙏 May almighty God 🙏 bless you abundantly, from Nairobi Kenya
@elizabethtondo51783 жыл бұрын
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@josephnyangau32723 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
@bonventureminja96973 жыл бұрын
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
@nicemtorela14983 жыл бұрын
Amen Pr.
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Mungu atatenda
@mathsnewdiscoveries2 жыл бұрын
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
@conniemukami1273 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki pr na akupe maisha marefu uuendelee kueneza injili ya Kristo. Kweli Mungu ana nguvu kuliko vitu vyote,
@frankgabriely92943 жыл бұрын
Amina
@ushindidaycare2343 жыл бұрын
Past Dav nikama ulijuwa haliniliyonayo maana nimetishwa sana nakuomba unipe kampani ya maombi maana nikojilani kushindwa
@princembarato4013 жыл бұрын
This video has 7 months lakini Ndio marayangu ya kwanza kuzifuata,nimebarikiwa sana tena nimekomalia kanisani ila sijawahia kuhubiriwa maneno kama haya nitayafuata yamenijenga sana from USA
@kangwambassa66903 жыл бұрын
Mm pia KWA Yesu kuna raha
@uangazetv2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana neema ya Bwana izidi kuwa nawe siku zote za maisha yako
@stanleykamau32353 жыл бұрын
Praise God pastor am in Kenya and am blessed by your teachings
@rosemaryotieno32433 жыл бұрын
Nashukuru sana mchungaji, umenipa ujasiri kweli kweli na mungu aendeleze kazi yako, Amina!!!
@belindakennedy23439 ай бұрын
Mm mwenyew ni muoga namba 1 ila kupitia hili somo sitoogopa Tena na Yesu amesimama kwangu na nina nguvu ya kukemea..Hili somo nimelipata kwa muda muafaka ambap nina hofu..sana
@user-hd5kc9lw6m3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@samledbunt27743 жыл бұрын
Amina sana PR davd nabarikiwaga sana kwa mafundsho yako Sir God akuzidishie
@selfaakinyi5123 жыл бұрын
Am always blessed listening to your sermon pastor Mbanga , from Qatar.
@sophiasophia69453 жыл бұрын
Selfa btogether ana fii Oman
@priscakisyeli72502 жыл бұрын
Amina sana pastor 🙏. Mungu akubariki
@priscakisyeli72502 жыл бұрын
🙏
@elizabethkihiyo99853 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
@RovniHollota-jw6ir2 ай бұрын
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
@EliaSimoni-ye6lv9 ай бұрын
God is power barikiwa sana mchungaji
@equilinendikubwayo56453 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
@aliceagoodsongnicevoices48553 жыл бұрын
Watched from Saudi Arabia God bless you for the wonderful gospel that is so touching may God help his children àll the time
@user-pl6tv4ul6m5 ай бұрын
Be blessed
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Hallelujah na ielewa kabisa hilo neno 🙏🙏
@judithcherono25953 жыл бұрын
Amen Mungu amekutuma ukweli barikiwa sana
@pericykiko61983 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi
@danielnzyoka59383 жыл бұрын
Really blessed! God bless you pastor Mmbaga.
@petermgonja85472 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Maisha marefu ili uendeleeee kupiga injili ya milele .
@joykapaya19703 жыл бұрын
Oh powerful. Remain blessed pastor.
@eustina0 Жыл бұрын
Animaaa pr Mungu atukuzwe siku zote
@janetkahada52063 жыл бұрын
Amen amen
@uangazetv2 жыл бұрын
Mungu aibariki familia yako pr pamoja na team yote ya mahubiri Tv na somo hili Bwana azidi kulipenyeza zaidi kwa wokovu wa wengi wapate kufunguliwa
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Glory be to God for we learn everyday, God bless you Pastor.
@faithmakena23813 жыл бұрын
I love your Word of God.Thank you Pastor. From Kenya.
@everkivuyo8596 Жыл бұрын
Baba mbaga jmn Mungu akubarikie n akupe maisha marefu sifa n utukufu n kwako Yesu mwana wa Mungu
@user-dy5ik1sm2d4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@feminakidiavai58497 ай бұрын
Amen mafundisho yako yamenifungua kwa mambo mengi
@mercelinemapenzikazungu17843 жыл бұрын
Amen pastor
@mathsnewdiscoveries2 жыл бұрын
Let Jesus our Lord truly bless you my pastor.
@mlishohadija69234 ай бұрын
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
@merinterchangala2123 жыл бұрын
Amen pastor 🙏🙏
@nicholasmomanyi9593 жыл бұрын
Amen nalifuatilia xn kila mahuburi yako n nabarikiwa mno moyo watulia mungu akujalie n nguvu uendelee kuhubiri neno lake n kutuelimisha
@felicianamutakyahwa15493 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri, umenitia nguvu na shetani hanibabaishi tena nitamkanyaga vibaya.
@IsackDaudi-tm3ub Жыл бұрын
Mungu uliye mbinguni leo ni siku ya kuokolewa kwangu naomba unirehemu na unisamehe makosa yangu na unihurumie nimeumwa mda mrefu fizi za meno nihurumie mwana wa daudi
@patricemushi87863 жыл бұрын
Amina nabarikiwa sanaa
@VenerandaKundi-ph4hg2 күн бұрын
Ni kweli mchungaji kwenye biashara yangu kuna watu walikuwa wananinenea mabaya lakini mie niliwajibu nafanya biashara na yesu wanashangaa wanaona naendelea na biashara
@RachaelWaringa-cd3mg Жыл бұрын
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
@stephenmuimi629427 күн бұрын
Ulisaidika
@rovinapastori77463 жыл бұрын
Somo zuri,nimebarikiwa mno Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake