Nashkuru sana kwa elimu nzuri nimejifunza kitu hapa kwa kweli
@amisamaurid18825 ай бұрын
Barikiwa xana kaka haya ndo mambo ya msingi yatanisaidia xana
@LailaLaila-kg2qd3 ай бұрын
Kakaangu Mungu akubariki sana
@Tiffahmkundia-lz3tc5 ай бұрын
Masha allah ❤❤❤
@estherdavidjohn-py7hh5 ай бұрын
hongera kwa kutoa elimu mtambuka asante nimepata kitu kikubwa ninapenda kujenga
@user-ep7tb9cf7f5 күн бұрын
Jarbu kutujibu bas n ss
@Official836405 ай бұрын
Hapo kwa Jumalokole🙌🙌🙌
@user-vf8mw6eu9w4 ай бұрын
Ushauri mzuri sana
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Binafsi nafurahia uwepo wako, kwa sababu nimejifunza mengi sana. Na sijawai pita bila kuangalia chanel yako.
@godskymwamwaja9785 Жыл бұрын
Mmmmh,yaani,au basi tu acha! Huku mtaani tunapigwa mno,halafu baadhi ya mafundi hawa mafundi,MUNGU anawaona!
@Flaviosafari5 ай бұрын
Unatusanua kaka. Keep it up bruh.
@gracekakwezi8941 Жыл бұрын
Barikiwa sana brother.,...
@johanesikalumuna88246 ай бұрын
Elim saf kabsaa barikiw saan br
@ibrahimlukumay843011 ай бұрын
❤❤❤❤ much love brother
@Halimamchafu11742 ай бұрын
Hata mimi nataka kujemga so nitakutaguta Ila shida ni kwamba najenga Bukoba kagera. Sijui kama mnafika
@SurprisedAtom-hg2wc6 ай бұрын
Ntakutafta nmeipenda
@Stanbul.Y Жыл бұрын
Shukran mdogo wangu napata faida hapa. Nyumba yangu ya kwanza nilipigwa mno
@user-nw8jw2im2v10 ай бұрын
Inshallah
@user-mx2bw2by2s8 ай бұрын
Asante kaka
@aishafranco10556 ай бұрын
Asante broo kwa elimu
@chamimdesa1488 ай бұрын
Safi sana
@user-dl1gy9pe1g6 ай бұрын
Kweri
@user-iq3sw9ud2j11 ай бұрын
Kaka umeongea point sana sisi tuko huku oman yaan ndugu zetu matapel sana
@hadijamatimbwa-xf8el10 ай бұрын
Oman sehemu gan
@user-iq3sw9ud2j10 ай бұрын
@@hadijamatimbwa-xf8el barka
@fatumaomary97811 ай бұрын
Sante sana
@alhajjwaupe45934 ай бұрын
nakubali
@user-ep7tb9cf7fАй бұрын
Nauliza swali kwamba et ni sheria kwamba kujenga nyumba mlango lazima uangaliye barabarani???
@user-ni7td2vo6d8 ай бұрын
Nmependa elimu yako
@ammymodu7306 Жыл бұрын
Ntakutafuta kwa kweli unatupa ukweli
@SalimhchialaAtilio-qj5cs6 ай бұрын
😢😢🤕😊
@ombenimwanjali3 ай бұрын
Namba za simu tuwekee kaka
@zuhurarikosaidi6 ай бұрын
Umenitia moyo wa kujenga nyumba kubwa na sio nyumba ndogo tena
@patrickmarwa50243 ай бұрын
Mimi naitaji kuendeleza ujenzi mimi na wewe tu kwenye ujenzi na tuma pesa moja kwa moja kwako.unaweka fundi mwaminifu lakini ndugu wanambadilisha site uwezi kuamini ndio huyu fundi ni ngumu sana ishu ni fundi kuwa mwaminifu tu.
@hadijaseboha51883 ай бұрын
Hivi Kati ya msingi wa Mawe Na wa tofali Ni UPI Bora?
@bientismail5117Ай бұрын
Swali zuri
@ibrahimlukumay843011 ай бұрын
Duu mbona imeniguza jumba yangu Niko mbali nayo broo Sina budi kazi
@sabrihomoud38275 ай бұрын
napenda kukuuliza mr house ,inatakiwa sentimita ngapi ya cement baina la tofali la juu na chini