Nafurahi mtumishi wa mungu kwa ibada hii ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
@pendondaki54314 жыл бұрын
Somo hili likawe mbaraka kwangu,nakwa wengine pia.Maana nimejifunza vitu vyakuniimarisha.Ubarikiwe pr.Mbaga
@tulimgaya62502 жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji,.MUNGU aendelee kukutumia apendavyo..
@mathiasmulwa8764 жыл бұрын
Mungu pokea sifa, kwa ajili yake pastor David, kwmaana anatubariki sana hadi naona nimebadilika sana.
@irenefrank26442 жыл бұрын
Kama mungu huzungumza nasi kwa ndoto na Kama hujamsikia atasema na ww kwa Mara nyingine Tena kwa ndoto ijirudie je shetani jee naye hutuma ndoto kwa Mara ngapi na mm huwa naota ndoto lkn naona kabisa si za mungu lkn huwa zinajirudia Sana je hiyo imekaaje
@irenemakokha76154 жыл бұрын
Mwanadamu atashindwa kukutetea lkn Mungu atakutetea, nimekwama hapo ,ubarikiwe sana pr Mmbaga amina kwa neno la kunipa nguvu siku baada ya siku
@asnathabiasaf32744 жыл бұрын
Najua ni Wengi wanakukosoa,lakini hakika ni MUNGU anayekutumia kufunua jumbe ambazo kiukwel zimefichwa na Mungu anataman tuzijue, jipe moyo Pastor,songa mbele,,hauwezi kueleweka kwa wengi ni wachache wenye akili ya kipekee wanaoweza kuelewa ni nini MUNGU anahitaji TUFAHAMU kwa kupitia mtumishi wake.
@mwavitafuraha72444 жыл бұрын
Ubarikiwe
@nchimikajoseph48622 жыл бұрын
Asante mchungaji hii ndoto ya kurudi shule huwa inanisumbia sana Leo nimeelewa maana yake sasa lakini kabla ya kusikiliza mahubiri nilikuwa nahisi tu kuwa kunawatu wananifatilia kwa waganga ila Leo nimeaminin moja kwa moja nilichokuwa natafasiri ndivyo ilivyo
@jaredmayaka29932 жыл бұрын
Thanks pastor aki that dream you have said that you found yourself back to school that's true aki mm hapa I dream every time but when I try to do something I can not make a step forward aki thanks for the message pastor God bless you sooooooo much 🙏 🙏🙏🙏
@janethurio24534 жыл бұрын
Nakuelewa sana Pastor. Mungu akutunze. Na mfano uloutoa wa kuota ndoto za shule huwa inanitokea. Nielekeze namna ya kutoka Pastor.
@hellensonia69594 жыл бұрын
Asante mutumishi Wa mungu.kwa ufunuo juu Wa ndoto.Mimi niliota sana nikiwa shuleni secondari.mungu atukumbuke.
@charlottemacimu83713 жыл бұрын
MUNGU akuzidishie nguvu pupate kuelewa zaidi
@equilinendikubwayo56453 жыл бұрын
Ninaswali mtumishi kama barikugeuka utafanya je mimi mtumishi najitaidi lakini wapi vyote nachia mungu
@lennybaabrah67524 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki Pastor unapotupa ujasiri, Hii ndoto ya kwanguka mtihani ilikua inanisumbua sana ,,na hata kazini sina amani changamoto zime kua mingi na mdozi wangu kila siku ugomvi tu.
@mosespartimo21783 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa somo
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Kumpenda adui pr.ni kazi ngumu sanaaaa!!!!!!!!!! Mungu anisaidie.
@samwelmaasai70183 жыл бұрын
Amina pastor mungu akuinue
@tabithayohana85734 жыл бұрын
Ubarikiwe,ila hapo ndoto ya shule inanisumbuaga kila cku jmn asante
@mtumishitv32104 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pr.mmbaga, Hakika Mungu anakutumia ili kutufikishia ujumbe,, Mungu akubariki sana,, kwa Iman Mungu ametatua shida yangu,kupitia kwako🙏🙏🙏🙏🙏
@MaggieG2764 жыл бұрын
Thank God I came across this channel,it's feeding my sprit totally.
@jaclinedavid13564 жыл бұрын
PR,Mungu akubariki sana kuzungumzia hayo.kweli makanisani hayo hayafundishwi na hata ukiongea unaonekana eti unaleta ulokole.Kwa kweli ktk hilo la kutambua vita ya rohoni tupo nyuma sana.Barikiwa Pr
@MaryWilson-vg2mm3 жыл бұрын
Nikweli jamani pasta Mimi huwa naota nipo shule ya msingi nawaota had marafki zangu,Mara nyngine naota naokota Pesa wenzangu hawazion mm naziona na uchumi wangu upo ovyo,ee mungu wangu wa huruma Namba unifungue
@aurolanyatambe2153 жыл бұрын
Mchungaji vitabu vyako kwa Zanzibar ntapata kanisa gani,au kwa mwinjiristi gan
@wadyanali9004 жыл бұрын
Out of words God bless you pastor
@janetkahada52064 жыл бұрын
👋👋👋AMEN AMEN ubarikiwa muchungaji
@constancendurya46053 жыл бұрын
mungu akubariki na azidi kukuinua, maana wanibariki.
@annamazengo22434 жыл бұрын
Ama kwa hakika umesema vema, somo zuri sana, sikujua uko Ilula mtumishi ningehudhuria hiyo siku.
@faithmakena23813 жыл бұрын
Somo nzuri sana.
@wittinessmbwambo57594 ай бұрын
Ha jamani kweli naelewa nimeona sana hizo ndoto hata sasa zinakuja mara mojamoja ila ni ileile ya kuwa darasani tena na ndugu zangu wengine marafiki sasa nafanya je mpaka hapo
@aurolanyatambe2153 жыл бұрын
Somo zuri,amina 🙏
@queenessiekenya68694 жыл бұрын
Woow am so inspired 🙏🙏🙏hii ya Leo imenilenga God help me Amen
@mrsdeborahurio4 жыл бұрын
Umebarikiwa Pr. Mmbaga! Sema tupone..... umenigusa sna. Mrs Deborah Urio
@magrethmzava90794 жыл бұрын
Tunabarikiwa sana,tunaomba no yako PR tuweze kuuliza ambapo hatujaelewa.
@magdalenamatiko99954 жыл бұрын
Nimekuekewa sana mtumishi nifanyeje
@magdalenamatiko99954 жыл бұрын
Kabisaaaaaa mi nakuelewa nimeiota sana,sana,sana,nanimefeli,nimerudi nyuma,hadi kazi sifanyi na mtaji ninao
@zainabusaidi81613 жыл бұрын
Asante mchungaji yani napenda Sana maubiri yako mungu akubariki mm ni mtoto was kisilaam lakini nakufuatilia Sana maubiri yako na hata maombi yako na Niko kwenye maombi yako kwasababu nakuelewa mungu akubariki Sanaa🤝
@zainabusaidi81613 жыл бұрын
Kwasababu nayaerewa
@hellensamwel38273 жыл бұрын
Aminaaa
@lilianlima86093 жыл бұрын
Bwana akubariki aendelee kukutumia, hakika tunafunuliwa neno la Mungu mno..
@johnnkomya51422 жыл бұрын
Pastor nawezaje kupata kitabu chako Cha Siri ya maombi ,nipo kigoma Tanzanian
@kingjosse47814 жыл бұрын
Ninaahakikaa nimebarikiwaa leoo na MUNGU wa Mbinguni yu pamoja nam, ubarikiwee sanaa Pr. Mbaga
@omikajanja11344 жыл бұрын
Mchungaji sasa nimekuekewa kuhusu ndoto ninaota Marakwa Mara niko shule na hii imejirudia sana ni miaka kadhaa sasa, sasa nimeelewa kuanzia sasa nachukua hatua, Mungu nisaidie
@beverlyseko9652 жыл бұрын
Mtoto wangu alijua akiota nyoka saa zote inamaanisha nini
@kulwajoseph37404 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki na atukuzwe Mungu kwa ulivyofunua ukweli huu !
@paulmlelwa24514 жыл бұрын
Amen
@kulwajoseph37404 жыл бұрын
@@paulmlelwa2451 amen
@shaniachanceline27514 жыл бұрын
May God help us in every struggle we go through in Jesus name amen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖😍🥰
@bettyforssell54454 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@natihaikamjema61304 жыл бұрын
Nimekuelewa Paster, nikweli huwa naota Niko shule tena primary!! Aise kama unavyosema wiki mbili zilizopita ndipo pakatokea uharibifu dukani. Mungu atusasaidie
@annamazengo22434 жыл бұрын
BARIKIWA MTUMISHI WA BWANA,ILULA HAPO.
@mwinjilistieliyatvtumaini47274 жыл бұрын
Asante sana Mch David kwa somo hili nisomo bora sana kwangu.Mungu azidi kukutumia.Amen
@esthersimuli9952 Жыл бұрын
Mimi naota na badaye inatokea
@mwavitafuraha72443 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji nimesikia najaribu kuelimika nashukuru sana Mungu akubariki sana akuongezee mengine
@neemangere1168 Жыл бұрын
May God bless you
@danielclement57653 жыл бұрын
ubalikiwe mtumishi wa mungu unatusaidia kwa vitu vingi kujua neno la mungu
@yolanda65903 жыл бұрын
Aminaa
@neemafelician56972 жыл бұрын
Amina mchungaji napata nguvu kwa somo lako hakika nabarikiwa zaidi
@happyobeth85994 жыл бұрын
Jamani namba ya pastor pliiizi watu tunateseka kweli
@vivatiki53313 жыл бұрын
Mimi kilasiku naota nakula sikuzingine nyama mbichi sick zingine nyama zakupikwa yani mpaka najiskia vibaya sikuzingine ninaota nashika mavi sikunyingine nayaona kwapembeni mchungaji naomba unisaudie sielewi mpaka naona nataka kukata tamaa ndugu wananikatisha tamaa jinsi wanavo nifanyia tafadhali mchungaji nahitaji maombi yako tamka japo neno tu I'll niwe salama
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Asante baba ni shida kweli. Nimekuelewa mchungaji.
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Pr.Shetani kweli anazima ndoto zangu ktk maisha.Umenisaidia sana sikuwa naelewa namna ya kuficha mambo yangu.
@pendohumphrey75884 жыл бұрын
Endelea tujue
@MaryWilson-vg2mm3 жыл бұрын
Naomba namba pastor kuna kitu sikielewi nataka unieleweshe
@michaelmagungu35244 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa somo la pekee
@janetkahada52064 жыл бұрын
😲😲🤔🤔 Ubarikiwa muchungaji amen amen glory to God am happy to hear good news.
@elizafanzabron5922 жыл бұрын
Hiyo ya kuota nafany mtihani ilisha nitokea km mara 2-3 tena kwa mda mfupi mfupi, toka ndoto ya 1-2, nikiwa kweny mtihani na wale nilio soma nao, nikiwa sijui jibu ht moja nikiwaangalia wenzang wako busy kuandika, ile matokeo kutok nimefeli wakat nashtuka kweny ndoto moyo ukawa unauma san, sijawah kuizingatia
@lynnijayiongadi81349 ай бұрын
Nimekuelewa sana pst. Huu ugonjwa wa kuita kila mtu mchawi unaitwaje na unatibiwa aje?
@esternaftari45534 жыл бұрын
Mchungj huwa ninakuelew lkn Leo kuna sehem cijakuelew mim nitakupigia cm ili nielew vizur
@irenekiwale52682 жыл бұрын
Nabarikiwa na kubadilika siku Hadi siku
@halimaamuli19782 жыл бұрын
Amen Amen🙏🙏🙏
@damarsd45994 жыл бұрын
Ukweli kabisaa ,,lakini tufanyaje ndipo tujue n ya Mungu au shetani
@rehemaa5974 жыл бұрын
Kweli kabisaa mm naota nafanya mtihani tena wa hesabu shule nishamaliza
@poulmakonda40924 жыл бұрын
Pastor umenigusa sana nahili somo, Mungu azidii kukubariki mtumishi
@MaggieG2764 жыл бұрын
I love your teachings.Regards from kenya
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Pr.Naamini kabisa yote hayo uliyoyasema juu ya wivu nilinunua kitu kikawauma mno!! Maadui zangu baadae sikujua kukiombea kikafa kila wakati nikawa nafanyia matengenezo mpaka nikaona nazidi kufiriska nikakitupila mbali baadae watu walifurahia kuona nimekiacha
@elizabethtondo51783 жыл бұрын
Amen,Mungu akubariki Pasror
@lreneauma17623 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana PR mmbanga
@georgemerere60974 жыл бұрын
Kweli kabisa mchangiaji nakushukuru sana leo nimeleeewa maana lishawahi kuota ndoto nimeota naungua kwenye net mara mbili kilichokuja kutokea ni msiba mkubwa sana ....kosa nililofanya sikuomba Mungu anipe tafsiri
@namid42843 жыл бұрын
ungeomba tu kwa mungu...kama ni ya uharibifu mungu haipitishe mbali na kama ni ya heri basi mungu akaikamilishe..Mungu ni mwaminifu yeye atafanyia kazi maombi yako si lazima ujue tafsiri
@georgemerere60973 жыл бұрын
@@namid4284 hlw habar
@josephineasiza78884 жыл бұрын
Amen Amen God bless you
@sophiaboniphace51564 жыл бұрын
Hakika nabarikiwa saana Mungu akubariki saana
@froline5209 Жыл бұрын
AMEN AND AMEN
@manoatfl18414 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji umenifundisha aki
@gloryahadi84144 жыл бұрын
Waooooh barikiwa sana Pastor
@majariwagift14984 жыл бұрын
Naomba number yako pastor...naitaji kuogea nawewe..niko kenya pilz
@annababere97004 жыл бұрын
Sawa sawa
@daudidaniel2304 жыл бұрын
Bwana azidi kukubariki mchungaji kila iitwapo leo
@lilianikerubo79094 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi wa mungu natamani kupata nambari yako ya simu sijui nitapata aje. Mungu akubariki sana
@zipporahnyanchoka42913 жыл бұрын
Amen
@lightmoshi31314 жыл бұрын
A,haipikwi supu🙌🙌🙌
@jorceobori47104 жыл бұрын
I need prayers
@cattydanny8144 жыл бұрын
Naitaji mambi ndoto za shule zinanisumbua sana na za ungovi na majini paka nilisha ota nataka kwenye usichana wangu kunawatu wsnaniludisha nyuma
@zakariajoel39944 жыл бұрын
Pastor ninataman kuongea na wewe,ninatatizo
@kefasoneliakimumkeyembo18043 жыл бұрын
Nashukuru sana pastor leo nimejifumza mambo mengi👏👏👏
@janifferasidanto99014 жыл бұрын
Niliota nikiogelea na bwanangu bahari yenye mawe mengi tukishikana nikivalia net yaharusi baada yasiku chache tuliachana sijawai elewa maana yake...nakila mara nilikuwa naota nampata nawanawake kishanikimkaribia ananiambia hanitaki
@nundabe4 жыл бұрын
Kama mfano unaotaga unachukuliwa.. unapelekwa sehem ya giza, nakuona vitu vya kutisha.. nawakati kabla ya kulala unaombaga.. Inamanagani?
@innocentpaul44314 жыл бұрын
Muulize Mungu kwa ndoto aliyokupa, atakufunulia maana yake. Pastor sio mtafsri ndoto
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Jifunike na damu ya Yesu na uvunje kila agano la ilo sehemu uachie malaika wa vita mikaeli akakate kate vichwa vya aho maadui...mimi nilikua naota shambani kwa baba angu kuna mti mkubwa basi kwenye ndoto kila nikifika pale nashindwa kuvuka nawaona watu wasio eleweka mala moto mala majini wachawi basi ikaendelea ivyo nikaja kugundua kumbe pale pana maagano ya nguvu za giza basi nikakemea kila siku zikaacha mpaka sasa so nikamuuliza mama kuusu lile shamba lile eneo nalo liona ndotoni mama akaniambia history ya pale ni sehemu ya wachawi lkn Yesu kristo amenisaidia kualibu madhabau yao pale kwenye mti.