USIPUUZE NDOTO HII (OFFICIAL VIDEO)

  Рет қаралды 38,907

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

4 жыл бұрын

ANGALIA SOMO HILI HADI MWISHO

Пікірлер: 113
@equilinendikubwayo5645
@equilinendikubwayo5645 3 жыл бұрын
Nafurahi mtumishi wa mungu kwa ibada hii ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
@pendondaki5431
@pendondaki5431 4 жыл бұрын
Somo hili likawe mbaraka kwangu,nakwa wengine pia.Maana nimejifunza vitu vyakuniimarisha.Ubarikiwe pr.Mbaga
@tulimgaya6250
@tulimgaya6250 2 жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji,.MUNGU aendelee kukutumia apendavyo..
@mathiasmulwa876
@mathiasmulwa876 4 жыл бұрын
Mungu pokea sifa, kwa ajili yake pastor David, kwmaana anatubariki sana hadi naona nimebadilika sana.
@irenefrank2644
@irenefrank2644 2 жыл бұрын
Kama mungu huzungumza nasi kwa ndoto na Kama hujamsikia atasema na ww kwa Mara nyingine Tena kwa ndoto ijirudie je shetani jee naye hutuma ndoto kwa Mara ngapi na mm huwa naota ndoto lkn naona kabisa si za mungu lkn huwa zinajirudia Sana je hiyo imekaaje
@irenemakokha7615
@irenemakokha7615 4 жыл бұрын
Mwanadamu atashindwa kukutetea lkn Mungu atakutetea, nimekwama hapo ,ubarikiwe sana pr Mmbaga amina kwa neno la kunipa nguvu siku baada ya siku
@asnathabiasaf3274
@asnathabiasaf3274 4 жыл бұрын
Najua ni Wengi wanakukosoa,lakini hakika ni MUNGU anayekutumia kufunua jumbe ambazo kiukwel zimefichwa na Mungu anataman tuzijue, jipe moyo Pastor,songa mbele,,hauwezi kueleweka kwa wengi ni wachache wenye akili ya kipekee wanaoweza kuelewa ni nini MUNGU anahitaji TUFAHAMU kwa kupitia mtumishi wake.
@mwavitafuraha7244
@mwavitafuraha7244 4 жыл бұрын
Ubarikiwe
@nchimikajoseph4862
@nchimikajoseph4862 2 жыл бұрын
Asante mchungaji hii ndoto ya kurudi shule huwa inanisumbia sana Leo nimeelewa maana yake sasa lakini kabla ya kusikiliza mahubiri nilikuwa nahisi tu kuwa kunawatu wananifatilia kwa waganga ila Leo nimeaminin moja kwa moja nilichokuwa natafasiri ndivyo ilivyo
@jaredmayaka2993
@jaredmayaka2993 2 жыл бұрын
Thanks pastor aki that dream you have said that you found yourself back to school that's true aki mm hapa I dream every time but when I try to do something I can not make a step forward aki thanks for the message pastor God bless you sooooooo much 🙏 🙏🙏🙏
@janethurio2453
@janethurio2453 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana Pastor. Mungu akutunze. Na mfano uloutoa wa kuota ndoto za shule huwa inanitokea. Nielekeze namna ya kutoka Pastor.
@hellensonia6959
@hellensonia6959 4 жыл бұрын
Asante mutumishi Wa mungu.kwa ufunuo juu Wa ndoto.Mimi niliota sana nikiwa shuleni secondari.mungu atukumbuke.
@charlottemacimu8371
@charlottemacimu8371 3 жыл бұрын
MUNGU akuzidishie nguvu pupate kuelewa zaidi
@equilinendikubwayo5645
@equilinendikubwayo5645 3 жыл бұрын
Ninaswali mtumishi kama barikugeuka utafanya je mimi mtumishi najitaidi lakini wapi vyote nachia mungu
@lennybaabrah6752
@lennybaabrah6752 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki Pastor unapotupa ujasiri, Hii ndoto ya kwanguka mtihani ilikua inanisumbua sana ,,na hata kazini sina amani changamoto zime kua mingi na mdozi wangu kila siku ugomvi tu.
@mosespartimo2178
@mosespartimo2178 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa somo
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 жыл бұрын
Kumpenda adui pr.ni kazi ngumu sanaaaa!!!!!!!!!! Mungu anisaidie.
@samwelmaasai7018
@samwelmaasai7018 3 жыл бұрын
Amina pastor mungu akuinue
@tabithayohana8573
@tabithayohana8573 4 жыл бұрын
Ubarikiwe,ila hapo ndoto ya shule inanisumbuaga kila cku jmn asante
@mtumishitv3210
@mtumishitv3210 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pr.mmbaga, Hakika Mungu anakutumia ili kutufikishia ujumbe,, Mungu akubariki sana,, kwa Iman Mungu ametatua shida yangu,kupitia kwako🙏🙏🙏🙏🙏
@MaggieG276
@MaggieG276 4 жыл бұрын
Thank God I came across this channel,it's feeding my sprit totally.
@jaclinedavid1356
@jaclinedavid1356 4 жыл бұрын
PR,Mungu akubariki sana kuzungumzia hayo.kweli makanisani hayo hayafundishwi na hata ukiongea unaonekana eti unaleta ulokole.Kwa kweli ktk hilo la kutambua vita ya rohoni tupo nyuma sana.Barikiwa Pr
@MaryWilson-vg2mm
@MaryWilson-vg2mm 3 жыл бұрын
Nikweli jamani pasta Mimi huwa naota nipo shule ya msingi nawaota had marafki zangu,Mara nyngine naota naokota Pesa wenzangu hawazion mm naziona na uchumi wangu upo ovyo,ee mungu wangu wa huruma Namba unifungue
@aurolanyatambe215
@aurolanyatambe215 3 жыл бұрын
Mchungaji vitabu vyako kwa Zanzibar ntapata kanisa gani,au kwa mwinjiristi gan
@wadyanali900
@wadyanali900 4 жыл бұрын
Out of words God bless you pastor
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 жыл бұрын
👋👋👋AMEN AMEN ubarikiwa muchungaji
@constancendurya4605
@constancendurya4605 3 жыл бұрын
mungu akubariki na azidi kukuinua, maana wanibariki.
@annamazengo2243
@annamazengo2243 4 жыл бұрын
Ama kwa hakika umesema vema, somo zuri sana, sikujua uko Ilula mtumishi ningehudhuria hiyo siku.
@faithmakena2381
@faithmakena2381 3 жыл бұрын
Somo nzuri sana.
@wittinessmbwambo5759
@wittinessmbwambo5759 4 ай бұрын
Ha jamani kweli naelewa nimeona sana hizo ndoto hata sasa zinakuja mara mojamoja ila ni ileile ya kuwa darasani tena na ndugu zangu wengine marafiki sasa nafanya je mpaka hapo
@aurolanyatambe215
@aurolanyatambe215 3 жыл бұрын
Somo zuri,amina 🙏
@queenessiekenya6869
@queenessiekenya6869 4 жыл бұрын
Woow am so inspired 🙏🙏🙏hii ya Leo imenilenga God help me Amen
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 4 жыл бұрын
Umebarikiwa Pr. Mmbaga! Sema tupone..... umenigusa sna. Mrs Deborah Urio
@magrethmzava9079
@magrethmzava9079 4 жыл бұрын
Tunabarikiwa sana,tunaomba no yako PR tuweze kuuliza ambapo hatujaelewa.
@magdalenamatiko9995
@magdalenamatiko9995 4 жыл бұрын
Nimekuekewa sana mtumishi nifanyeje
@magdalenamatiko9995
@magdalenamatiko9995 4 жыл бұрын
Kabisaaaaaa mi nakuelewa nimeiota sana,sana,sana,nanimefeli,nimerudi nyuma,hadi kazi sifanyi na mtaji ninao
@zainabusaidi8161
@zainabusaidi8161 3 жыл бұрын
Asante mchungaji yani napenda Sana maubiri yako mungu akubariki mm ni mtoto was kisilaam lakini nakufuatilia Sana maubiri yako na hata maombi yako na Niko kwenye maombi yako kwasababu nakuelewa mungu akubariki Sanaa🤝
@zainabusaidi8161
@zainabusaidi8161 3 жыл бұрын
Kwasababu nayaerewa
@hellensamwel3827
@hellensamwel3827 3 жыл бұрын
Aminaaa
@lilianlima8609
@lilianlima8609 3 жыл бұрын
Bwana akubariki aendelee kukutumia, hakika tunafunuliwa neno la Mungu mno..
@johnnkomya5142
@johnnkomya5142 2 жыл бұрын
Pastor nawezaje kupata kitabu chako Cha Siri ya maombi ,nipo kigoma Tanzanian
@kingjosse4781
@kingjosse4781 4 жыл бұрын
Ninaahakikaa nimebarikiwaa leoo na MUNGU wa Mbinguni yu pamoja nam, ubarikiwee sanaa Pr. Mbaga
@omikajanja1134
@omikajanja1134 4 жыл бұрын
Mchungaji sasa nimekuekewa kuhusu ndoto ninaota Marakwa Mara niko shule na hii imejirudia sana ni miaka kadhaa sasa, sasa nimeelewa kuanzia sasa nachukua hatua, Mungu nisaidie
@beverlyseko965
@beverlyseko965 2 жыл бұрын
Mtoto wangu alijua akiota nyoka saa zote inamaanisha nini
@kulwajoseph3740
@kulwajoseph3740 4 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki na atukuzwe Mungu kwa ulivyofunua ukweli huu !
@paulmlelwa2451
@paulmlelwa2451 4 жыл бұрын
Amen
@kulwajoseph3740
@kulwajoseph3740 4 жыл бұрын
@@paulmlelwa2451 amen
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 4 жыл бұрын
May God help us in every struggle we go through in Jesus name amen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖😍🥰
@bettyforssell5445
@bettyforssell5445 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@natihaikamjema6130
@natihaikamjema6130 4 жыл бұрын
Nimekuelewa Paster, nikweli huwa naota Niko shule tena primary!! Aise kama unavyosema wiki mbili zilizopita ndipo pakatokea uharibifu dukani. Mungu atusasaidie
@annamazengo2243
@annamazengo2243 4 жыл бұрын
BARIKIWA MTUMISHI WA BWANA,ILULA HAPO.
@mwinjilistieliyatvtumaini4727
@mwinjilistieliyatvtumaini4727 4 жыл бұрын
Asante sana Mch David kwa somo hili nisomo bora sana kwangu.Mungu azidi kukutumia.Amen
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 Жыл бұрын
Mimi naota na badaye inatokea
@mwavitafuraha7244
@mwavitafuraha7244 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji nimesikia najaribu kuelimika nashukuru sana Mungu akubariki sana akuongezee mengine
@neemangere1168
@neemangere1168 Жыл бұрын
May God bless you
@danielclement5765
@danielclement5765 3 жыл бұрын
ubalikiwe mtumishi wa mungu unatusaidia kwa vitu vingi kujua neno la mungu
@yolanda6590
@yolanda6590 3 жыл бұрын
Aminaa
@neemafelician5697
@neemafelician5697 2 жыл бұрын
Amina mchungaji napata nguvu kwa somo lako hakika nabarikiwa zaidi
@happyobeth8599
@happyobeth8599 4 жыл бұрын
Jamani namba ya pastor pliiizi watu tunateseka kweli
@vivatiki5331
@vivatiki5331 3 жыл бұрын
Mimi kilasiku naota nakula sikuzingine nyama mbichi sick zingine nyama zakupikwa yani mpaka najiskia vibaya sikuzingine ninaota nashika mavi sikunyingine nayaona kwapembeni mchungaji naomba unisaudie sielewi mpaka naona nataka kukata tamaa ndugu wananikatisha tamaa jinsi wanavo nifanyia tafadhali mchungaji nahitaji maombi yako tamka japo neno tu I'll niwe salama
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 жыл бұрын
Asante baba ni shida kweli. Nimekuelewa mchungaji.
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 жыл бұрын
Pr.Shetani kweli anazima ndoto zangu ktk maisha.Umenisaidia sana sikuwa naelewa namna ya kuficha mambo yangu.
@pendohumphrey7588
@pendohumphrey7588 4 жыл бұрын
Endelea tujue
@MaryWilson-vg2mm
@MaryWilson-vg2mm 3 жыл бұрын
Naomba namba pastor kuna kitu sikielewi nataka unieleweshe
@michaelmagungu3524
@michaelmagungu3524 4 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa somo la pekee
@janetkahada5206
@janetkahada5206 4 жыл бұрын
😲😲🤔🤔 Ubarikiwa muchungaji amen amen glory to God am happy to hear good news.
@elizafanzabron592
@elizafanzabron592 2 жыл бұрын
Hiyo ya kuota nafany mtihani ilisha nitokea km mara 2-3 tena kwa mda mfupi mfupi, toka ndoto ya 1-2, nikiwa kweny mtihani na wale nilio soma nao, nikiwa sijui jibu ht moja nikiwaangalia wenzang wako busy kuandika, ile matokeo kutok nimefeli wakat nashtuka kweny ndoto moyo ukawa unauma san, sijawah kuizingatia
@lynnijayiongadi8134
@lynnijayiongadi8134 9 ай бұрын
Nimekuelewa sana pst. Huu ugonjwa wa kuita kila mtu mchawi unaitwaje na unatibiwa aje?
@esternaftari4553
@esternaftari4553 4 жыл бұрын
Mchungj huwa ninakuelew lkn Leo kuna sehem cijakuelew mim nitakupigia cm ili nielew vizur
@irenekiwale5268
@irenekiwale5268 2 жыл бұрын
Nabarikiwa na kubadilika siku Hadi siku
@halimaamuli1978
@halimaamuli1978 2 жыл бұрын
Amen Amen🙏🙏🙏
@damarsd4599
@damarsd4599 4 жыл бұрын
Ukweli kabisaa ,,lakini tufanyaje ndipo tujue n ya Mungu au shetani
@rehemaa597
@rehemaa597 4 жыл бұрын
Kweli kabisaa mm naota nafanya mtihani tena wa hesabu shule nishamaliza
@poulmakonda4092
@poulmakonda4092 4 жыл бұрын
Pastor umenigusa sana nahili somo, Mungu azidii kukubariki mtumishi
@MaggieG276
@MaggieG276 4 жыл бұрын
I love your teachings.Regards from kenya
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 жыл бұрын
Pr.Naamini kabisa yote hayo uliyoyasema juu ya wivu nilinunua kitu kikawauma mno!! Maadui zangu baadae sikujua kukiombea kikafa kila wakati nikawa nafanyia matengenezo mpaka nikaona nazidi kufiriska nikakitupila mbali baadae watu walifurahia kuona nimekiacha
@elizabethtondo5178
@elizabethtondo5178 3 жыл бұрын
Amen,Mungu akubariki Pasror
@lreneauma1762
@lreneauma1762 3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana PR mmbanga
@georgemerere6097
@georgemerere6097 4 жыл бұрын
Kweli kabisa mchangiaji nakushukuru sana leo nimeleeewa maana lishawahi kuota ndoto nimeota naungua kwenye net mara mbili kilichokuja kutokea ni msiba mkubwa sana ....kosa nililofanya sikuomba Mungu anipe tafsiri
@namid4284
@namid4284 3 жыл бұрын
ungeomba tu kwa mungu...kama ni ya uharibifu mungu haipitishe mbali na kama ni ya heri basi mungu akaikamilishe..Mungu ni mwaminifu yeye atafanyia kazi maombi yako si lazima ujue tafsiri
@georgemerere6097
@georgemerere6097 3 жыл бұрын
@@namid4284 hlw habar
@josephineasiza7888
@josephineasiza7888 4 жыл бұрын
Amen Amen God bless you
@sophiaboniphace5156
@sophiaboniphace5156 4 жыл бұрын
Hakika nabarikiwa saana Mungu akubariki saana
@froline5209
@froline5209 Жыл бұрын
AMEN AND AMEN
@manoatfl1841
@manoatfl1841 4 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji umenifundisha aki
@gloryahadi8414
@gloryahadi8414 4 жыл бұрын
Waooooh barikiwa sana Pastor
@majariwagift1498
@majariwagift1498 4 жыл бұрын
Naomba number yako pastor...naitaji kuogea nawewe..niko kenya pilz
@annababere9700
@annababere9700 4 жыл бұрын
Sawa sawa
@daudidaniel230
@daudidaniel230 4 жыл бұрын
Bwana azidi kukubariki mchungaji kila iitwapo leo
@lilianikerubo7909
@lilianikerubo7909 4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi wa mungu natamani kupata nambari yako ya simu sijui nitapata aje. Mungu akubariki sana
@zipporahnyanchoka4291
@zipporahnyanchoka4291 3 жыл бұрын
Amen
@lightmoshi3131
@lightmoshi3131 4 жыл бұрын
A,haipikwi supu🙌🙌🙌
@jorceobori4710
@jorceobori4710 4 жыл бұрын
I need prayers
@cattydanny814
@cattydanny814 4 жыл бұрын
Naitaji mambi ndoto za shule zinanisumbua sana na za ungovi na majini paka nilisha ota nataka kwenye usichana wangu kunawatu wsnaniludisha nyuma
@zakariajoel3994
@zakariajoel3994 4 жыл бұрын
Pastor ninataman kuongea na wewe,ninatatizo
@kefasoneliakimumkeyembo1804
@kefasoneliakimumkeyembo1804 3 жыл бұрын
Nashukuru sana pastor leo nimejifumza mambo mengi👏👏👏
@janifferasidanto9901
@janifferasidanto9901 4 жыл бұрын
Niliota nikiogelea na bwanangu bahari yenye mawe mengi tukishikana nikivalia net yaharusi baada yasiku chache tuliachana sijawai elewa maana yake...nakila mara nilikuwa naota nampata nawanawake kishanikimkaribia ananiambia hanitaki
@nundabe
@nundabe 4 жыл бұрын
Kama mfano unaotaga unachukuliwa.. unapelekwa sehem ya giza, nakuona vitu vya kutisha.. nawakati kabla ya kulala unaombaga.. Inamanagani?
@innocentpaul4431
@innocentpaul4431 4 жыл бұрын
Muulize Mungu kwa ndoto aliyokupa, atakufunulia maana yake. Pastor sio mtafsri ndoto
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Jifunike na damu ya Yesu na uvunje kila agano la ilo sehemu uachie malaika wa vita mikaeli akakate kate vichwa vya aho maadui...mimi nilikua naota shambani kwa baba angu kuna mti mkubwa basi kwenye ndoto kila nikifika pale nashindwa kuvuka nawaona watu wasio eleweka mala moto mala majini wachawi basi ikaendelea ivyo nikaja kugundua kumbe pale pana maagano ya nguvu za giza basi nikakemea kila siku zikaacha mpaka sasa so nikamuuliza mama kuusu lile shamba lile eneo nalo liona ndotoni mama akaniambia history ya pale ni sehemu ya wachawi lkn Yesu kristo amenisaidia kualibu madhabau yao pale kwenye mti.
@christinesavai884
@christinesavai884 4 жыл бұрын
AMEN
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
Naona hii msg yngu kbs..
@piuslimokosui2607
@piuslimokosui2607 4 жыл бұрын
Swa
@pauloropian8116
@pauloropian8116 4 жыл бұрын
Glory be to God
@godwinmbwambo7342
@godwinmbwambo7342 4 жыл бұрын
Mungu akubark PST mmbaga.
UFANYE NINI PALE UNAPOPATA NDOTO MBAYA? ( SEH. B)
44:33
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 23 М.
KWANINI MUSA HAKUILISI NCHI YA AHADI ( OFFICIAL VIDEO)
1:03:32
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 35 М.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 138 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 50 МЛН
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 6 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 60 МЛН
NYIMBO ZA WOKOVU COLLECTION (2023) - Papi Clever & Dorcas ft Merci Pianist (Swahili)
1:26:48
PaPi Clever & Dorcas Official
Рет қаралды 2,4 МЛН
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 28 М.
FEDHA INA MASIKIO, INA MIGUU, UKIITUNZA INAKUTUNZA - HARRIS KAPIGA
37:48
Iringa Talk Show
Рет қаралды 2,8 М.
KOSA HILI LIMELETA LAANA KWA WENGI (OFFICIAL VIDEO)
1:06:25
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 73 М.
DRAMA!🔥 MARTIN WA JANET KWARIA THUTHA WA INTERVIEW YA RUTH WA MUM
8:57
E- KIKUYU NEWS Tv.
Рет қаралды 12 М.
BADILI FIKRA!! MAJIBU YA SHIDA ZAKO HAYA HAPA!!!!
39:28
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 152 М.
SIRI YA KUINUKA TENA BAADA YA HASARA
51:47
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 48 М.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 138 МЛН