KIKAO KIFUPI CHA USTADHI DANIEL MWANKEMWA NA MZEE SIMBAULANGA WAKIUCHAMBUA USABATO MWALIMU NDACHA NA MASSAWE
Пікірлер: 28
@user-hi8le2vb7z11 күн бұрын
Ao wazee wabishi sijaona😊..ndacha anafuata😊....na muitafute intvw 1 ndacha na uyo daniel mwankemwa wakichuana wenyew kwa wenyewe kuhusu siku ya sabato..noma sana umo ndani
@GULIELMAS11 күн бұрын
Nawafuatilia vizuri sana,. Kwa hakika hii ni kazi njema. Mungu awabaRiki.
@user-it7ih1it3m11 күн бұрын
Sabato iliumbwa kwa ajili ya mwanadamu lakini mwanadamu hakuumbwa kwa ajili ya sabato Mk 2:27:28
@stephanosospeter170910 күн бұрын
Naombeni mwojiane na ndacha kuhusu sabato. Ili mtu weke sawa wanafunzi wa YESU KRISTO
@jotafungo462211 күн бұрын
Dini zote miyeyusho tu
@SabihaRajab10 күн бұрын
Hamuna mpya wafuwasi wa wauwaji wa yesu
@HajiAmbali-jq9dr10 күн бұрын
Aaa we kafiri mwongo yani tukuulize hata kuchamba hujui
@sheikhAbdulwaqass-k2u11 күн бұрын
Tena Sisi wainje tuona uwongo wenu ya masomo ambaye wenu,
@sheikhAbdulwaqass-k2u11 күн бұрын
Nyinyi hamuna elimu
@user-mc2xd4eu2p10 күн бұрын
hakuna muislamu mnaweza kumpata kwa hoja zenu mfu labda muwalipe au wale wasiojua kitu kabisa lakini bibilia ina mgongano sana
@user-mc2xd4eu2p10 күн бұрын
Sasa wakristo wana kipi cha kuulizwa waulizwe wanaojua ni wanachuoni sio nyie hata mungu wenu hamumjui
@user-mc2xd4eu2p10 күн бұрын
Hizo dini za kuanzisha na kina martin luther kina elen g white mwanamke wa kisabato halafu mnasema mna dini nyie watu mnachekesha sana
@Kuminamoja199511 күн бұрын
Wauni
@user-qo2xd3hb8l11 күн бұрын
Mnakemea mapepo kwa jina la yesu lakini kulisha mikate mitano watu 10000 kwa jina la yesu amuwezi!
@ramadhanmahongole929311 күн бұрын
Wanaweza
@user-wj8ym6ew1h2 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 yunaweza hatujaamua tu
@OmariShuli10 күн бұрын
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.
@user-qo2xd3hb8l11 күн бұрын
Yesu aliondoka duniani akawacha wanafunzi si walimu
@ChamuyagoMelamate10 күн бұрын
Kwani akina nani waliambiwa wakawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu kama hao wanafunzi wa yesu hawawezi kuwa walimu
@mohdbest585911 күн бұрын
hivi wewe Daniel unadhani uongo ndio unajenga au unajidharaulisha hakuna Aya iliyosema waulizwe wakristo Tena tuwaulize kama eti kama Imani yetu iko sawa hujui lolote msikiti wa masjid al,aksa ndio uliojengwa ma suleiman
@daudimichael733811 күн бұрын
Acha uongo
@SabihaRajab10 күн бұрын
Wewe mpuuzi@@daudimichael7338
@denismugisha210 күн бұрын
Kwa hiyo mfalme nebkadneza hakuwahi kuvunja hilo hekalu? Kweli waislamu mnadanganywa
@seifserenge334010 күн бұрын
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
@sheikhAbdulwaqass-k2u11 күн бұрын
Tena Sisi wainje tuona uwongo wenu ya masomo ambaye wenu,
@seifserenge334010 күн бұрын
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
@OmariShuli10 күн бұрын
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.