🔴

  Рет қаралды 48,738

Global TV  Online

Global TV Online

10 күн бұрын

🔴#Live: MBOWE na LEMA WAMLIPUA VIBAYA PETER MSIGWA - WAMWITA MSALITI - WAFICHUA ALICHOKIFUATA CCM...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 110
@globaltv_online
@globaltv_online 8 күн бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 8 күн бұрын
Mbowe SI mama imara baba sisi na mungu tunaijua kazi yako acha makapi yaendelee kutoka ndani ya chama
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 8 күн бұрын
Msishangae hii ndio democrasia na ndio uhuru wakweri naomba mjue hivyo msi mraum msigwa yupo sahihhi kwa mtazamo wake
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 8 күн бұрын
Wananchi hata Mbowe hawamjui, halafu etc wafanye maamuzi, hawa chenga
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 8 күн бұрын
Tena za mpunga
@abuialmarjibi979
@abuialmarjibi979 8 күн бұрын
😅😅
@saidomary8796
@saidomary8796 8 күн бұрын
Kwa maneno upo vizuri
@madenge731
@madenge731 5 күн бұрын
Yaani Tanga wanachojuaga ni mspenzi tu, wapo usingizini miaka nenda rudi 😓😓😓
@emmanuelmndeme9740
@emmanuelmndeme9740 6 күн бұрын
Safi sana kamanda
@frimatuslupimo2031
@frimatuslupimo2031 8 күн бұрын
Eti Magufuli ampe Hela lema
@angelsulle7177
@angelsulle7177 5 сағат бұрын
Mnasagika mioyoni Msigwa kawaacha hoiiii, wasaliti wakubwa mlipokea hongo ya Lowasa.uzeni ndizi na ninyi mnunue watu kutoka CCM.mmekwishaaaa!!!!
@abdalamfinanga6434
@abdalamfinanga6434 8 күн бұрын
Kama hili ni kweli hebu viongozi tumrudie mwenyezi mungu cheo ni mungu amekupa kwa kukupima haifai kuwafanyia watu dhuluma je kama umefanikiwa kuwazulum watu unaishi kama mfalume na familia yako je nafsi yako ina amani?hii ni hatari sana malipo ya machozi ya watu na dhalili ya mungu hapa hapa duniani utahimili tumoogope mwenyezi mungu
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 7 күн бұрын
Kwa tanzania bora mama auze nchi tuu, na kuiba wananchi wamelala
@ephraimmakaranga1795
@ephraimmakaranga1795 7 күн бұрын
Ukimaema Magufuli ndo mnazidi kupote kabsa Mzee baba ana wafuasi wengi sana hapa nchini acha kabsa kumema magufuri ongei masuala ya nchi tu
@StevenMtambo
@StevenMtambo 8 күн бұрын
Msigwa ni kama pombe ya chupa hata aibu Hana kisa kushindwa uwenyekiti ,, kumbe lisu alimjua kuwa ni chawa
@alphoncejmrema7912
@alphoncejmrema7912 4 күн бұрын
Hahaha Hahaha eti aende Mirembe
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k 8 күн бұрын
Watu wanataka sana mabadiliko,lakini aina za hutuba zenu za kuzoza na marehemu kila siku,inapunguza sana ungwaji mkono,watu wa buldoza ni wengi mulijuwe hilo, jitahidini kuliteka kundi hilo
@SeverinMagwaya
@SeverinMagwaya 8 күн бұрын
wewe muongo, watu tunazidi kuwaelewa chadema! ulishawahi kuona komenti yoyote kutoka kwangu? ila wewe unakomenti mara kumi hata ishirini kila siku na nakufuatilia pakubwa tu. Aidha, marehemu kuongelewa ni kawaida, madikteta wote duniani akiwemo magufuli wanaongelewa kwa mabaya yao. Anaongelewa Mobutu, Hitler, Stalin, Bokasa nk. Kwa Nini magu asitajwe Kwa mabaya yake? Ni kweli kuna mema machache ameyafanya pia mabaya yake yapo.
@FedrickNgonyani
@FedrickNgonyani 8 күн бұрын
We lema fala sana,toa sera za chama chako,acha kudandia hoja
@malkavoice2570
@malkavoice2570 8 күн бұрын
Hawa Chadema Mungu kama huwaoni basi Duniani hakuna Mungu na Mungu ni wewe kiumbe hai pambania hali yako kwa akili yako inavyokutuma. Chadema ni chama kinachoishi kwa akili kila kitu wameporwa lkn wananchi sisi tupo tupo tu hakuna hata mtu anajitokeza kama Kenya alafu wakija hapo mnawang'onga mnasubiria kanga na hongo za gongo na sadaka au zaka mnakaa kimya. Jitoeni muone kama hamjaonekana watu kati ya watu.
@malkavoice2570
@malkavoice2570 8 күн бұрын
Natamani Msigwa awe ametumwa kama walivyotumwa akina Halima ili kunusuru chama hichi. Mbowe na Lissu sio watu kama ninyi wale ni watu na zaidi
@ThomasEkama
@ThomasEkama 4 күн бұрын
wee jembe sana
@nashnene6326
@nashnene6326 8 күн бұрын
Hehehe, wananchi wanatia story zao tu
@allywaziri3938
@allywaziri3938 8 күн бұрын
Kumbe unatuma kabuku waandamane wakati wakwako wapo nje ya nchi
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 7 күн бұрын
Hovyo kbs
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 7 күн бұрын
Tanga hovyo kbs ni ccm tupu,lkn ni masikini kuliko kawaida
@magaigwa4204
@magaigwa4204 5 күн бұрын
Hawa wanoitwa people's hawajasikia mwenzao anasema watoto wake wako nje ya nchi, watoto wa nani waandamane sasa!!!
@magaigwa4204
@magaigwa4204 5 күн бұрын
Ulikimbia deni Acha kumsingizia Magufuli. Hizi siasa rahisi rahisi hazina tija kwa taifa. Leteni sera zenu maandamano yataongeza maiti zingine hiyo siyo issue.
@fwc5552
@fwc5552 4 күн бұрын
Deni la nini shida yako bado upo ndotoni ukabila unakusumbua
@michaelmazoya9244
@michaelmazoya9244 8 күн бұрын
Ushauri wangu mngeachana na kumsema marehem Magufuli na kuongelea mapungufu yaliyopo na kueleza wanannchi mtayamaliza vipi. Magufuli ana wafuasi wengi mno nchi hii. Kumsema magufuli ni kupoteza mamilioni ya kura
@eliassumila8173
@eliassumila8173 8 күн бұрын
Safi sana.umeshauri vyema sana.Viongozi zingatieni ushauri huu wa Busara.maana Waliopo tunawasema vibaya,na aliyetoka mmemung'ang'ania kumsema vibaya.Acheni,badilisheni gea angani.Magu ni wa kila mnyonge.
@KazunguMathias
@KazunguMathias 8 күн бұрын
Fact
@martinamassawe7921
@martinamassawe7921 8 күн бұрын
Sure
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 8 күн бұрын
@@martinamassawe7921 Acha wajichimbie kaburi😁😁
@yahyawatuta3902
@yahyawatuta3902 3 күн бұрын
unajua mnakua kero kwa wananchi kwani hamna agenda yenu?. nikuitukana ccm na Serkali yake kila wakati mtaongozaje nchi hii bila ya kuwa na sera zenu ambazo hamzitangazi? Ona mnavyo zidi kumegeka. muda si mrefu tutamkaribisha lema CCM.
@JeremiaMnanka
@JeremiaMnanka 8 күн бұрын
Msigwa alisema akija ccm achomewe nyumba na magari ya keyote jemnakumbuka kamamna kumbuka jueni hata mboe, lema, risu, woteni ccm wenyeshida ni chadema hawawachini kama vire wiraya tawi kata ndowanachama wachadematu taifaniuongo mura
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 8 күн бұрын
Lema wadanganye hawoawo wewe watoto wako umewaficha kanada alafu unasema tuache uwoga fala wewe sisi ndiyo wanaume atukimbii na atujutii Mama mitano tena
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 8 күн бұрын
We mbwa kweli Kati ya wanaume naww ni mwanaume? Puuumbavu wanaume wako kenya
@salummagawa8802
@salummagawa8802 8 күн бұрын
We mwenyewe madaraka unayapenda jiuzuru uwenyekiti wa chama kwanza
@nyanjachannel5517
@nyanjachannel5517 8 күн бұрын
Wapi lissuau naye kaunga ya msiba😢
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 8 күн бұрын
Chadema nanyinyi wanunueni wana ccm
@gallegalleson4427
@gallegalleson4427 8 күн бұрын
@ James mwanachama hawanunuliwi wanajiunga kwa mapenzi
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 8 күн бұрын
HAMNA ANAE nunuliwa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 күн бұрын
Haisaidii kitu ameshaondoka ccm kaeni na chama chenu cha kikabila
@user-dy5fn6qj1q
@user-dy5fn6qj1q 8 күн бұрын
Wewe lema ;mbower; tulizeni booli mwiba hutokea ulipoingilia acheni kujadili mtuu mmoja mmoja tunachahitaji ni siaasaa safiii isyo kwa ya matusii unafiki tuelezeni mtakachofanyia watanzania wekeni mpira uwanjani mupimwe CCM&Chadema''' wazalendo& CAF fainali tuta amua seye wapiga kuraaaaa Apo vipi acheni kujadili mtuu mmoja mmoja ;matusi ya Nini
@zacharianjanga
@zacharianjanga 8 күн бұрын
kenge! Msigwa katumia haki yake ya kuamua wapi sahihi kwenye siasa, tukumbuke kuhama chama pia ni sehemu demockorasia;kumbe ulikuwa na deni sasa umeshalipa kweli!
@allywaziri3938
@allywaziri3938 8 күн бұрын
Hana kero huyu
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 8 күн бұрын
Chama cha domokrasia na maokoto
@mamuuchany6386
@mamuuchany6386 8 күн бұрын
O😊jamani Muacheni magufuli wetu ongeeni ya kwenuuu msituvuruge kumsema Jembe la watanzania, tena mkome
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 8 күн бұрын
Chdema hawana tofauti na muniki
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 8 күн бұрын
Sakosi ya mbowe. Mbona kama imepanic. Ngoja msigwa amwage mboga ndio mtajua hamjui.
@samwelmachaka936
@samwelmachaka936 8 күн бұрын
Hamjielewi
@user-jl9sz6we9j
@user-jl9sz6we9j 7 күн бұрын
2:11 Lema unawadanganya hao wana KABUKU huna msaada wewe madaraka yoyote utawasaidiaje watu.hapo ni kumbi na kumbinga..kitabu cha zamani kilinasibu..tatua kero tukuone ..unawaita boya ..
@petroalfred5108
@petroalfred5108 8 күн бұрын
Global mna shida gani? Video zenu zote lazima zikwamekwame
@jomba6514
@jomba6514 8 күн бұрын
Muacheni msigwa kafanya maamuzi ya maana sana
@NATACIARAPHAEL-iz8kr
@NATACIARAPHAEL-iz8kr 13 сағат бұрын
Siasa za bongo
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 8 күн бұрын
Sakosi katika ubola wake
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 8 күн бұрын
😂😂😂 YAN HAWA N KELELE TU MDA SIO MLEFU UTASMIA NA WENYEW WAME HAMIA CCM😂😂 NJAA MBAYA 😅 HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIVYO HIVYO KWA UCHUNGU 😂😂 KUMBE NJAA ILIKUWA HAIJAMKOLEA😂 NJAA IKIKOLEA MBONA UTAHAMA TU 😂😂😂
@anastazialushika
@anastazialushika 8 күн бұрын
Kwer hiki ni chama cha watoa taarifa
@meshasjaguar6136
@meshasjaguar6136 4 күн бұрын
Mbowe ndio Tajiri. chadema akifatiwa na lema Alafu wanaopiga kelele hapo Wote ni. Watanzaia. Achana na chama cha Kanda mbowe kafanya kazi. Na Rais mkapa adi Rais Samia. Mbona zito kaachi. Uwenye Kiti.
@fwc5552
@fwc5552 4 күн бұрын
Zitto ndo kitu gani yuda yule
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 8 күн бұрын
KAONA CHADEMA N CHAMA CHA SACOS KAONA HAMNA KITU
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 8 күн бұрын
😂😂
@jumakiduka4625
@jumakiduka4625 8 күн бұрын
MBONA WATU NI WAWILI TU NDIO MKUTANO HUO
@yossobenayunkn8942
@yossobenayunkn8942 8 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. BG UP MSIGWA ,,umechagua NA BADO ,,chadema 😁😁😁
@jumakiduka4625
@jumakiduka4625 8 күн бұрын
mtoa kero kesha lewa pombe ya mnazi
@allywaziri3938
@allywaziri3938 8 күн бұрын
Sasa lema huyo msemaji kakudanganya watu wanauwawa na wewe umepata hotuba huo ni ujinga halafu unatuzarau tanga kwakuwa tuna nyumba za miti
@khalidibrahim4579
@khalidibrahim4579 7 күн бұрын
Kabla sijasahau israel wamevunja makanisa jerusalem kanisa kongwe duniani na pia bethlehem ma Palastians ndio wakristo hakuna maYahudi kristo leo tanzania wanaunga mkono israel elimu ni muhimu sana biblical jews sio hawa europeans hawamuamini jesus ambapo waislamu wanamuamini kwa kila kitu
@alisalimo2861
@alisalimo2861 8 күн бұрын
chama cha kikanda hicho kinaeleweka ww nani uliemuona
@allywaziri3938
@allywaziri3938 8 күн бұрын
Lema unataka waaandamane kwenda wapi
@youssefsanje8743
@youssefsanje8743 8 күн бұрын
Imekula upande hiyo bado zamu yako kuunga juhudi
@khamismohammed7500
@khamismohammed7500 7 күн бұрын
Tatizo hawana mamlaka
@HOTGOSPELSONGS-gy9ug
@HOTGOSPELSONGS-gy9ug 8 күн бұрын
kuna haja ya kujitathimini lazima kunakitu hakijakaa sawa humo ndani msilete blaa blaa, me mwenyewe nimeumia sana Msigwa kuhamaaa
@SeverinMagwaya
@SeverinMagwaya 8 күн бұрын
Ahame tu! kwani hujamsikia msukuma? tafuta clip ya msukuma akimwongelea msigwa kwamba alikuwa anapokea pesa kutoka ccm na ikifika mwaka 2024 kabla ya uchaguzi wa mitaa atabeba gitaa begani?
@ThomasEkama
@ThomasEkama 4 күн бұрын
kaka ugomvi huwa upo TU hata ccm yule msigwa ni mjinga
@frimatuslupimo2031
@frimatuslupimo2031 8 күн бұрын
Pumbavu zenu, Magufuli hayupo mnafiwa na chama chenu
@madilisakumi8262
@madilisakumi8262 8 күн бұрын
Chadema kama sakosi
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 8 күн бұрын
Lema jembe, ila mbowe kapitwa na wakati hana ushawishi, mwacheni tu msigwa aende, umri alionao sio rafiki akapate pesa za kujikimu uzeeni, kweli alikuwa akiipenda chadema, lakini cheo hana ataishije!
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 8 күн бұрын
Tatizo nyie mmejaa roho ya ukanda ndio maana hamuwezi kupewa nchi. Magufuli akupe pesa wewe? Ua ni mwanaCCM alikuwa anamtongoja mke wako.
@khamismohammed7500
@khamismohammed7500 7 күн бұрын
Wewe.upewe pesa ya nn mpumbavu mmoja wewe
@jumakiduka4625
@jumakiduka4625 8 күн бұрын
MNAWAPANGA WATU WASEME KERO
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u 8 күн бұрын
CCM waliwanunua Kina mdee nasali NK lakini mbaka sasa bado wanapumulia gezi kwamziki wachadema uyomsigwa nifala tu
@halimamasai2234
@halimamasai2234 8 күн бұрын
CCM imeja viongozi wakutosha kuanzia chipukizi mpaka juu sasa wanunue watu wenu wa nini? Tatizo lenu ni kwamba hamna sera nye ni watoa Tarifa mkisikia leo imetokea jambo mitandaoni nye kesho mnaamka nalo sasa watu wamesha wachoka ndo maana wanahama
@ThomasEkama
@ThomasEkama 4 күн бұрын
uko saw ndugu
@abras3479
@abras3479 8 күн бұрын
Global Acha uchonganishi, wapi wamemsema msigwa? naku-unsubscribe now
@pancrasluoga4584
@pancrasluoga4584 8 күн бұрын
Msigwa ndo nani
@halimamasai2234
@halimamasai2234 8 күн бұрын
😂😂😂😂 eti leo Msigwa ni nani si mlikua mnamita kamanda poleni na bado wapo wengi tu wataunga mkono juhudi nye ni watoa Tarifa tu hakuna cha maana
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 8 күн бұрын
Lema magufuri akupe hela ili iweje...yule alikwa hana huo ujinga...nyie hakuna kitu
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 8 күн бұрын
CCM NI SEHEMU YA MABEBELU NDIO MAANA TAIFA LINATUMBUKIA SHIMON BADO HUJUI WWE NI KUBWA JINGA
@allywaziri3938
@allywaziri3938 8 күн бұрын
Msituingize kwenye machafuko mbweha nyie
@matakamataka9438
@matakamataka9438 8 күн бұрын
Halafu mm sasa naelewa kua chadema ndo watekaji ili wafanye siasa lkn ni ujinga uliopitiliza yaan siasa za tzanzania ni zakitoto sana
@kurwanjonge4586
@kurwanjonge4586 8 күн бұрын
We fala sana wakati huo serikali Iko wapi sasa
@modestusndunguru7183
@modestusndunguru7183 8 күн бұрын
Toa ushaidi achaekula matangopori ...nyi saccos ya kichaga hiyo​@@kurwanjonge4586
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 8 күн бұрын
Yaani hili baba lenye jicho moja la kondoo🚮🚮
@user-tu8tl2lg4b
@user-tu8tl2lg4b 7 күн бұрын
Salami kwanza
@HamzaHeri
@HamzaHeri 8 күн бұрын
KIKWAZO KIKUBWA WENGI WATAONDOKA CHADEMA KUTOKANA MBOWE NA LEMA NA LISSU UKABILA UDINI
@erickmsigala138
@erickmsigala138 8 күн бұрын
Utakuwa na govi, maana hiyo akili niya peke yako karne hii
@msabahaali758
@msabahaali758 8 күн бұрын
ni propagabda za ccm tu
@simonyohana8995
@simonyohana8995 8 күн бұрын
Ccm wajinga wewe mwelevu uliye na hakili zisizo na akili utabaki kung'ang'ana na malehem pole yako
@khalidibrahim4579
@khalidibrahim4579 7 күн бұрын
Huyu lema anapenda Israel yeye ni mkristo wa yahudi hawamuamini jesus wala ukristo Bible jews sio hawa wazungu ni watoto wa jacob Toa mfano UAE jangwa wanaotesha fruits na vegetable Huko rasalkheima Fujeira Sharjah Alein dubai Hatta wacha kasumba za israel moha mbili israel wanuwa watoto vizee na wanawake South Africa imewashitaki ICU nyie mumelala na kasumba ya chukdren if israel basi sio hawa wazungu wake up
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 8 күн бұрын
Msigwa kashtukia deal maana mwenyekiti tangu sijazaliwa😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jamaa atatoleawa kama Kotapini
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 8 күн бұрын
Wengi wao niwasaliti siku tukipata mtu sahihi kabisa mbowe ataachia Profesa j kama sio kuugua alitakiwa yeyeachukue kiti
@EliaMarco
@EliaMarco 8 күн бұрын
Ivi mlilipwaga sh ngapi kumsema magufulii
@richardnganya2311
@richardnganya2311 8 күн бұрын
Hata Yesu anasemwa seuze Magufuli !?
@jumakiduka4625
@jumakiduka4625 8 күн бұрын
Kabuku ni Nguzo ya CCM, MKUTANO UMEOZA
@frankmwinuka3413
@frankmwinuka3413 8 күн бұрын
Wanachama wengi wamehama CHADEMA. Doctor Slaa, Zitto kabwa, Halima Mdee, Edward lwaasa, Fredrick Sumaye na wengine wengi. Tuacha kumlaumu Msigwa, tujitathimini wapi tunakosea.
@amedeustesha5947
@amedeustesha5947 8 күн бұрын
Watoto wako Mr lema hawako Tanzania kikinuka hapa unakimbilia kanada then unatuambia tuandamane Shame on you
@AdenAdrion
@AdenAdrion 8 күн бұрын
Toka nipo la saba mbowe ni mwenyekiti chama Cha wahuni hiki
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 36 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
Peter Msigwa Ashusha Tuhuma Nzito CHADEMA | Adai Kuhujumiwa
28:55
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 36 МЛН