BREAKING: JPM Awasweka Wenyeviti Ndani Hadharani!

  Рет қаралды 108,204

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

BREAKING: JPM Akizungumza Serengeti Muda Huu
Rais Dkt John Magufuli anaendelea na ziara yake ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika mikoa mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 06, 2018 , Rais Magufuli ametembelea wilaya ya Serengeti na kusimama barabarani na kuzungumza na wananchi wa eneo hilo na kusikiliza kero zao.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzfaq.info FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 144
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
Yaan kama unamkubali rais magufuri acha ubishi acha majungu gonga like yako hapa
@abrahamamos944
@abrahamamos944 5 жыл бұрын
mheshimiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania nakupongeza sana kwa kazi yako nzuri, inatusisimua mno mkuu! katika maisha yangu niliyoishi Duniani hapa sijapata kuona mfano wako. mwenyezi Mungu akupe ulinzi na akuzidishie maisha marefu Amina
@friendsofpeopleorg1157
@friendsofpeopleorg1157 5 жыл бұрын
Ndo maana nasema hili jembe lilikuwa wapi? Tz kama tangu awali viongozi wangekuwa wazalendo kama huyu basi ulaya wangekuja kuomba hapa na kwao wasingeona mtz anaomba lakini ndo hivo tena hatukuwa na viongozi wazalendo! yaani Tanzania kwanza.
@princehancesam9892
@princehancesam9892 5 жыл бұрын
Yan furaha mpaka choz linanitoka walipoitwa wanafunzi
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 жыл бұрын
Sanaaa
@shekilashekilaabudulha5038
@shekilashekilaabudulha5038 5 жыл бұрын
Rais wetu oyeeeeeeeee nasema tena oyeeeeeeeeeeee na tena oyeeeeeeeeeee
@hamzabingwe4178
@hamzabingwe4178 5 жыл бұрын
Shekila Shekila Abudulha 😀😀😀😀😀😀
@jacksonrabo5825
@jacksonrabo5825 5 жыл бұрын
Mimi sijakuunga mkono bure uwezo wangu wa kuangalia mbali nilikuona mapema na nikaamua kujiunga na ccm kitu ambacho sikuwai kufikiria kwani nilikuona ndio suluhisho la matatizo ya Watanzania. Sijutii kujiuzulu udiwani wangu na ninaamini kwasababu wananchi wangu Ndumet wananiamini wata nirirudisha niendelee kuwatumikia
@OmarAli-wr1ti
@OmarAli-wr1ti 5 жыл бұрын
Kiukweli mm sipendi ccm lkn mzee Magu namkubali sana
@yohanamwakalonge1555
@yohanamwakalonge1555 5 жыл бұрын
Kweli nimekubali raisi sasa tunae anae bisha abishe tu
@alexkisiri1286
@alexkisiri1286 5 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu, haki za watanzania zilipotea kwa viongozi wasio na upendo na nchi yao, Hongera sana JPM
@yakobomaro5765
@yakobomaro5765 5 жыл бұрын
Si vema kuna ofisi na serikali si hipo kazini kumhoji mtu kwenye kadamnasi si haki. Tupe katiba kama unapenda nchi hii .
@allykazoa7065
@allykazoa7065 5 жыл бұрын
weka ndani wezi hao wa mali za umma safi sana waziri wa mambo ya ndani piga kazi msaidieni Rais
@fadhilisecha4268
@fadhilisecha4268 5 жыл бұрын
Mh. Rais anafanya majukumu ambayo wateuzi wake wangepaswa kufanya mapema. Mnamchosha sana MZEE
@maligisajames4370
@maligisajames4370 5 жыл бұрын
Yaani mpaka namhurumia Mhe. Rais wetu. Yaani kama vile hana wasaidizi jamani.
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 5 жыл бұрын
Hizi shida zooooteeee zingeweza kabisa kumalizwa wakati wa utawala wa Mkapa na Kikwete. Hivi hizo tawala ziliifanyia nini Tanzaniaaa???? Achilia mbali zile ziara mbalimbali walizokuwa wanazifanya huko Ulaya na Marekani. Sasa hizo safari zao za Ulaya na Marekani ni kweli walikuwa wanawawakilisha WaTanzania na hasa WaTanzania wanyongee!?????
@habilicharles4410
@habilicharles4410 5 жыл бұрын
Hongera mhe, Rais tulisema haya unayoyafanya kuwa utafanya sasa unazidi kudhihirisha tuyokuwa tunatarajia utayafanya wakati wa kampeni Mungu akulinde sisi watanzania tunakuombe sana tunaipenda Tanzania yetu iendelee zaid. Ahsante mkuu wa nchi napia hongera kwa mawaziri pia wanajitahid sana
@pauloabdala6516
@pauloabdala6516 5 жыл бұрын
mungu atakulipa kw yote mema unayo fanya katka nchi hii iliyo porwa Mali zake na mafisadi kwmuda mrfu.
@peninaongara2021
@peninaongara2021 5 жыл бұрын
Mzeee magu piga kazi na ccm wanamrto tupo nyuma yako tunakupenda na tunakukaribisha mrto wilayan tarme kemambo PGA kaz mzee magu
@josephmagenzi1738
@josephmagenzi1738 5 жыл бұрын
Duuuu watapata tabu sana hongera Uncle magu kwa kazi nzuri
@isayadanson12
@isayadanson12 5 жыл бұрын
Kitu nachokupa sauti hautaki kucheka na mtu anaekula hela za watanzania mungu akulindi na familia yako raisi wetu
@sakinaomar301
@sakinaomar301 5 жыл бұрын
Niliwahi kuiombea Tz tupate rais bora Co bora rais naona dua yangu ilifika'Sasa mambo yameiva ona sasa ona.. 😁😁😁😁
@habilicharles4410
@habilicharles4410 5 жыл бұрын
Yes
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 5 жыл бұрын
RAIS TUNAE JAMANI MUNGU ASANTE SANA BABA WA MBINGUNI KWA KUTUPA MTEULE TOKA KWAKO. HUYU NO RAIS WA WATANZANIA . HAKUNA MAZOEA HAPA NI KAZI TUUUU.BARIKIWA SANA RAIS MAGUFULI.
@abdulshaban6343
@abdulshaban6343 5 жыл бұрын
hahahhahahaha huuiiii aiseee mm ninacho kijua ukiajiriwa kwenye serekal ya maguful jarib kuuza na karanga au nyanya ili usiegee sana kwenye pesa zinazo tokana na serekali ya maguful utapata tabu saana
@memmeme503
@memmeme503 5 жыл бұрын
unawez kusikia rais anakuja ukasepa mk hii htli 😃😃😂😂
@firdausabdullah6315
@firdausabdullah6315 5 жыл бұрын
Allah sw akulipe hata sisi wakenya twakusifu
@paulfaustin8382
@paulfaustin8382 5 жыл бұрын
Anko magu nilikuwa siripend lakn ss hv nimelipenda bure
@gabrielchija5956
@gabrielchija5956 5 жыл бұрын
Paul Faustin .
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Paul Faustin ulikuwa chizi sasa umepona.JPM kama ukimchukia ujue unahitaji kumuona daktari wa akili sio bure
@clt9914
@clt9914 5 жыл бұрын
NI vibaya kutoa pesa barabarani lakini kwa shida hizi za nchi unalazimika kuwa hivyo. Viongozi walio mashinani ni tatizo. Binti anaonyesha wazi furaha yake.
@princehancesam9892
@princehancesam9892 5 жыл бұрын
Magu nomaaaaaaaaaa
@sakinaomar301
@sakinaomar301 5 жыл бұрын
Mzee baba mafisadi wakikuona tu kwenye media sikuhizi nasikia wanajikolea😁😁
@saidyusuph4129
@saidyusuph4129 5 жыл бұрын
Njoo mbeya mkuu, huku hali mbaya,
@pauloabdala6516
@pauloabdala6516 5 жыл бұрын
kwli tumepata raisi
@emmanuelamsi6169
@emmanuelamsi6169 5 жыл бұрын
kazi nzuri sana rais wetu magufuli. mwenye Mungu akutangulie katika kutekeleza majukumu yako ili watanzania wanyonge wapate nafuu dhidi ya wazembe na wahujumu uchumi.
@gerrymainmunisi6677
@gerrymainmunisi6677 5 жыл бұрын
Pesa zote hzo mshua kununua miwani tu. Safi sana Rais wangu
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 5 жыл бұрын
Tunaomba leo hiii Mkapa na Kikwete waliifanyia nini Tanzania ya wanyonge. Mbona inavyoonekana walalahoi katika hizo Tawala walitaaabika sana????
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 жыл бұрын
HATARI SANA YAAN NINA PATA,RAHA SANA MZEE BABA ANAVYOWAKOKOTA
@abbyrichiejr6750
@abbyrichiejr6750 5 жыл бұрын
Pamoja sanaaa
@uwimanaraoul6824
@uwimanaraoul6824 5 жыл бұрын
Mhhmhmhmhmh pesa nyingi sana pesa izo
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 жыл бұрын
Hi nchi wiz haush jaman
@cleverp36
@cleverp36 5 жыл бұрын
Piga kazi Mr president wa wanyonge
@johnmwijavire2134
@johnmwijavire2134 5 жыл бұрын
Magufuli hoyeeeee
@mgosiphilemon7111
@mgosiphilemon7111 5 жыл бұрын
Ni kwl kbisa wenyeviti wamekuwa mungu watu hapo kijijini hata ajira mpaka utoe pesa ndo upate ajira kwenye kampuni.
@chongemarwa1543
@chongemarwa1543 5 жыл бұрын
safi sana mshimiwa raisi mungu akupe.nguvu pamoja na mheshimiwa kangi wahukumiwe
@bensonmaselle2372
@bensonmaselle2372 5 жыл бұрын
Chapa kazi Baba
@abdallahrashid8883
@abdallahrashid8883 5 жыл бұрын
nakubali kazi zako magu
@March-ps1he
@March-ps1he 5 жыл бұрын
Daaa!!!!huyo police huyo Atadumu, kwa vile siyo kwa bidii na wepesi kama huo
@josephpaulo5642
@josephpaulo5642 5 жыл бұрын
Kwel jpm ni shida hongera sana tens sanaaaaaa mungu akutangulie urudi salama.
@akimmbwego797
@akimmbwego797 5 жыл бұрын
Big brother forever
@omaryjuma7847
@omaryjuma7847 5 жыл бұрын
gd
@fadhilikifutu6540
@fadhilikifutu6540 5 жыл бұрын
Ongera Rais wetu mungu hakutie nguvu katika majukumu yako
@uwimanaraoul6824
@uwimanaraoul6824 5 жыл бұрын
Aibu
@sakinaomar301
@sakinaomar301 5 жыл бұрын
Kazi kazi Muheshiwa nakupendaga sometimes
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 5 жыл бұрын
Hapa mimi nafurahi mpaka mumutima wanje. Urakoze mutama ibyo ngivyo tubhigomba twebwe. Imana ikuhezagire. Noneee Abhibhupinzani bhalimo mukashifa? Ntabhalimo ,none tugirante!! Yebhahali ibhyo nibhihendumwana ngo sokokuru numugabho!!
@eleoncejohn3823
@eleoncejohn3823 5 жыл бұрын
i love your language...😗 ulakoze chane chane
@edwardsenkondo6219
@edwardsenkondo6219 5 жыл бұрын
Nimekuelewa vzr sana. Kigoma 1
@falesmasabo6124
@falesmasabo6124 5 жыл бұрын
Cecilia Jimmy ulakoze chane
@akutiboysolomon9418
@akutiboysolomon9418 5 жыл бұрын
Kazi nzuri ,hila waruhusu na upinzani kuanza kampeni kama wao walivyoanza
@gracemarco4875
@gracemarco4875 5 жыл бұрын
Asante sana rais wangu.Nakupenda mpaka machozi.saidia wanyonge kama Yesu Kristo alivyofanya
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
C.C.M oyeeee!!Simba wa Tanzania JPM oyeeee
@richardrobert684
@richardrobert684 5 жыл бұрын
Duh n noma
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 жыл бұрын
YAAN UKITAWALA MIAKA HATA 50 mbele hakika hii nchi tutakua mbali sana
@raymondshilatu2495
@raymondshilatu2495 5 жыл бұрын
Good management Mr President
@halfanrashid4977
@halfanrashid4977 5 жыл бұрын
pongezi sana kwako mh Rais
@paskoshavu4062
@paskoshavu4062 5 жыл бұрын
Hongela sana rais wa nyonge kalibu na sisi kigoma
@laizerndooki6561
@laizerndooki6561 5 жыл бұрын
Safi Sana rais wetu Mungu akusaidie
@husseinkulumbiza8894
@husseinkulumbiza8894 5 жыл бұрын
Kula yangu Aijapotea Wanyooshe,watanyooka tu vyabure Akuna.
@mikelmasanja2522
@mikelmasanja2522 5 жыл бұрын
Unapiga kazi Mh. Rais
@mgosiphilemon7111
@mgosiphilemon7111 5 жыл бұрын
CCM oyeeeeee
@braysonmwakatage2950
@braysonmwakatage2950 5 жыл бұрын
huyu ndiyo rais kweli!!!! karibu mbeya
@mwanneamani7307
@mwanneamani7307 5 жыл бұрын
laisi anaakili uyu ameisha anza kufanya kampeni ya 2020 kijanja bila watu kujuwa ssiv ni mzee wa keshi anatembea na hela ttz liktokea anatowa kesh anapotowa ktk eneo hilo anakuwa ameisha hamasisha watu anakili sana mpaka zikianza kampeni yy amemaliza anasubili majibu yake
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 5 жыл бұрын
Kazikazii.
@amosbinmahona9947
@amosbinmahona9947 5 жыл бұрын
Hapa kazi tu.
@sixtusndagire6234
@sixtusndagire6234 5 жыл бұрын
Kaz nzur
@emmanuelamsi6169
@emmanuelamsi6169 5 жыл бұрын
karibu mh. rais JPM huku kwetu KILIMANJAROOOO.
@user-wn3zb5xv6v
@user-wn3zb5xv6v 4 ай бұрын
Askari wameanza kumsogelea mwwnyekiti da
@elivtv.baseafrica3988
@elivtv.baseafrica3988 5 жыл бұрын
Njoo bukoba mh
@jolitejolite1497
@jolitejolite1497 5 жыл бұрын
Na wakome ndiyo hiyohiyo mijizi halafu utaisikia mwanangu awezi kusoma shule za kata kumbe mijizi asante rais JPM tutakukumbuka milele daima na na kitungwe kitabu chako cha uzalendo wa nchi hii ya tanzania na Afrika
@stivenkihombo3675
@stivenkihombo3675 5 жыл бұрын
Daaaaaa,,, haijawahi kutokea mahali popote Duniani, Mungu akulinde uendelee hivyo hivyo mpaka kieleweke, maaana hii nchi ilikua ya Watu mafisadi sana nakuomba uwanyooshe hao.
@TheTemba1
@TheTemba1 5 жыл бұрын
majuha wengi kuliko... Yaaani unaaminisha Watu wongo sh**t
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 5 жыл бұрын
Urakoze kushima mwananje.
@paulgodfreymashimba2576
@paulgodfreymashimba2576 5 жыл бұрын
KURA YANGU YA NDIYO 2020 NTAKUPA JPM
@wangwemseti7592
@wangwemseti7592 5 жыл бұрын
Hili tatizo la kutoajiri wenyeji hata kwetu nyamongo mgodi umetoa ajira kwa wageni na kuwatosa waliompisha mwekezaji
@rasnchimbi
@rasnchimbi 5 жыл бұрын
Wengine wanyonge wanatumbuliwa haraka,lakini wengine hawatumbuliwi haraka.Ubaguzi wa kuangalia sura huo.
@najmamakame9881
@najmamakame9881 5 жыл бұрын
Watz tungekuwa tunafatilia haya tungekuwa na akili asante magu
@chichivanny2663
@chichivanny2663 5 жыл бұрын
Tena tungekuwa tunajua mengi zaidi ya haya..... Mungu amuweke raisi wetu
@MWEGOHA
@MWEGOHA 5 жыл бұрын
kazi serikalin ni lawama bora kushika jembe
@alexkapaya8909
@alexkapaya8909 5 жыл бұрын
hv hawa wakuu wa mikoa na wilaya wana kazi gan jaman!!
@mathiasdenas685
@mathiasdenas685 5 жыл бұрын
yani lais we nijembe
@chrismbut5277
@chrismbut5277 5 жыл бұрын
Mwendo wa Kuchomekea tu da,sasa hapa kilichbakia ni kuragana mwingine akaroge Mombasa mwingine sumbawanga hehehe
@jumahussein3715
@jumahussein3715 5 жыл бұрын
Hahaaaaaaaa jamani magu
@jonasamos555
@jonasamos555 5 жыл бұрын
Huyu ndo rais wangu pili Tanzania baada ya jk nyerere wengine walikuwa viongozi wa nchi tu
@yebetejoseph6611
@yebetejoseph6611 5 жыл бұрын
Piga kazi babaaaa
@frabomdemwa8880
@frabomdemwa8880 5 жыл бұрын
aaa siasa za kinanja tu hizo ila raisi yupo vizuri kasoro demokrasia tuu umemaliza
@chongemarwa1543
@chongemarwa1543 5 жыл бұрын
mtapata taabu sana
@michaelphilemon2374
@michaelphilemon2374 5 жыл бұрын
dadadeq uncle balaaa wakikusemelea umekwisha nyavu hadhari.
@jazimsaid6862
@jazimsaid6862 5 жыл бұрын
jmn pga kazi tutkula akitoka
@abedgat5121
@abedgat5121 5 жыл бұрын
raisi uko vizuri kula yangu 2020 nakupa
@shukuruantipas8712
@shukuruantipas8712 5 жыл бұрын
Anaingilia mamlaka ya wananchi mno sasa wao wamechaguliwa na nani?
@filemonisarwatt6815
@filemonisarwatt6815 5 жыл бұрын
Vzr sana mheshimiwa Rais washughulikiwe kwa kadiri ya matendo yao
@charlesiminzi2147
@charlesiminzi2147 5 жыл бұрын
mbona mkotena ya mkonda Husein?
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 5 жыл бұрын
Baba hata uku kwetu wapo
@manofreality3656
@manofreality3656 5 жыл бұрын
c mtuazime magufuli aje atusafishie kenya....kwani inanuka kwa ufisadi
@salimmauly3035
@salimmauly3035 5 жыл бұрын
jamani kampeni zimeanza ata mwaka 2020 bado mjihadhari!
@hamiduselemani2557
@hamiduselemani2557 5 жыл бұрын
Kwahiyo akae dar?
@ketchouch4339
@ketchouch4339 5 жыл бұрын
Rais bana eti umeonga mwanamke aaaaah ,piga kazi baba
@maryoswald6192
@maryoswald6192 5 жыл бұрын
Magu oyeeeeeeeeeeeeeee nasema tena Raisi oyeeeeee
@chichivanny2663
@chichivanny2663 5 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥oyeeeee
@zefamange7281
@zefamange7281 5 жыл бұрын
Wanyoooooshe jpm ichi ilikua haina raisi
@beatricevalerian255
@beatricevalerian255 5 жыл бұрын
hv wasaidizi wa rais mbn mnamchosha rais wetu jmn kz yenu hasa ni nn? maana kila jambo rais ndio aje achukue hatua
@hellenmgungus1979
@hellenmgungus1979 5 жыл бұрын
Watapata tabu sana
@happylightlyimo252
@happylightlyimo252 5 жыл бұрын
Mbona mikoa mingine haufiki?
@hamiduselemani2557
@hamiduselemani2557 5 жыл бұрын
Watakusikia watumishi
@vitussimon9696
@vitussimon9696 5 жыл бұрын
Atafika tu usihofu.
@happylightlyimo252
@happylightlyimo252 5 жыл бұрын
Atafika Lin?ww??
@josephmalisa3432
@josephmalisa3432 5 жыл бұрын
Tanzania kwata mchakamchaka tuu LOL. Makonda naye atumbuliwe!!!!
@iddirashid8038
@iddirashid8038 5 жыл бұрын
et umehonga mwanamke😃😃😃😃😃
@uwimanaraoul6824
@uwimanaraoul6824 5 жыл бұрын
Mi niko yy natimka 🤣🤣🤣
JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
10:21
Global TV Online
Рет қаралды 473 М.
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 26 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 50 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 448 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 13 МЛН
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 105 М.
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 26 МЛН