Wengi wao ni wale wale tu watumishi wa adui wakiwa katika vazi la ukristo. Mikutano yao imelenga kujikusanyia sadaka kwa njia ya kufanya miujiza ambayo lengo ni hatimae wasisite kutoa sadaka, na pia masomo yanayohusiana na kupata mibaraka ya Mungu wakishawishiwa kutoa sadaka. Hawafundishi amri za Mungu na maagizo yake na ahadi zake ili watu wajue habari ya dhambi haki na hukumu.
@BalakaLyode12 күн бұрын
Sisi tunaomba mungu manabii feki kazizao azinamda zitakufa
@nadiatanzaniaАй бұрын
Mungu tunaomba utujalie faham
@user-cr6fc7nt8kАй бұрын
Hii dunia kuna wa2 wako na macho na awaoni
@user-tt1nm9xs4nАй бұрын
Chawa kweli anatetea ujinga
@user-tt1nm9xs4nАй бұрын
Kumbe Yule alikuwa mchungaji alimfumkuza just kanisan
@sarahgaula2220Ай бұрын
Na watu wamejaa😂😂
@righitkileoАй бұрын
Sikujua huyu mzee wa upako ni walewale.mapepo
@BalakaLyode12 күн бұрын
Kanisa alikemei zambi icho niko
@MichaelPhilbert-q5jАй бұрын
Huu mnao uleta ni ujinga sana
@user-iu4du7ws6sАй бұрын
Hayo ni Mavazi tu, kwani YESU alivaa suruali? Musa alivaaga suruali? Sasa mtaanza kuuliza choo cha kukalia, Hakuna vazi la dini fulani Fulani
@samuelmhando4914Ай бұрын
Anavibali vya kukaa na kufanya kazi tanzania?
@user-mg7wk7wt2eАй бұрын
Nivigumu yeye afanye kazi apo inchini tanzania asipokuwa na vibali vyakumuruhusu afanye iyo kazi
@Daudshatta-zu4kqАй бұрын
Wakati. Washetan kufanyakaz ameachiliws kufanyakaz miaka alfumoja
@kellysmith4095Ай бұрын
Kunanjia ya kibibilia yakutatua ugovi,alicho kifanya sisawa,halafu,iwe vipi mchungaji kuvaa madhabauni kislamu, hajui kristo hana mahusiano na miungu yeyote,kiboko ya wachawi kivipi ?wakati waslamu niwashirikina,kwa kuamini majini wema kiyume na kristo, watanzania mtatushangaza
@HamisMzavaАй бұрын
Ata hujielewi kwani yesu alikua anavaa suti acha akili za kimasikini