WAKILI WA CHADEMA (KIBATALA) AFUNGUKA WALIVYOWAGARAGAZA MDEE NA WENZAKE MAHAKAMANI

  Рет қаралды 54,120

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

WAKILI WA CHADEMA (KIBATALA) AFUNGUKA WALIVYOWAGARAGAZA MDEE NA WENZAKE MAHAKAMANI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 95
@obedwilliam5906
@obedwilliam5906 2 жыл бұрын
Safi sana hakimu kwa kutenda haki hao halima na wenzake wapo kimaslai zaidi fukuzeni bungeni mbwa wasaliti wakubwa wanafiki na wazandiki hawafai kuliongoza taifa kwa nafasi yoyote Ile.
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 2 жыл бұрын
Kibatala anafaa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwani Kibatala vita vya Kisheria anaviwezza sana
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 жыл бұрын
Nampendekeza agombee URAIS kwa tiketi ya upinzani Chadema
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Anafaa sana huyu mwamba
@dereva0
@dereva0 2 жыл бұрын
atakuwa mwasheria mkuu chamachake kikicgukua nchi
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 2 жыл бұрын
@@dereva0 🤣
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 2 жыл бұрын
Kunamwakili walizaliwa dunian kufanya kazi iliyo kweli .nawamebalikiw namungu kibatala hongra mungu akupiganie kila cku nakila saa
@giftphilip8357
@giftphilip8357 2 жыл бұрын
viva mama samia kaz iendelee
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 2 жыл бұрын
Pamoja sana makamanda wetu mungu yupo pamoja nasi
@barnabasmsagamasi611
@barnabasmsagamasi611 Жыл бұрын
Hongera msomi Kibatala.Twaungana nawe kwa kazi yako nzuri.
@enezermwafrica7443
@enezermwafrica7443 2 жыл бұрын
Warudishe Fedha za Wananchi walizolipwa kwa vipindi vyote! Heko Jaji Mgeta👍👍👍
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 жыл бұрын
Warudishe kabisaaa wasalti wakubwa
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 жыл бұрын
Upo sahihi warudisheeeee
@akidasalim3859
@akidasalim3859 2 жыл бұрын
Hongereni cadema
@bunzalisisa6929
@bunzalisisa6929 2 жыл бұрын
hongera sana kibatara wkiri msomi
@davidsaanane7939
@davidsaanane7939 2 жыл бұрын
Smart political party
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
Mnyika acha kuongea na kichwa , unaongea unatikisa kichwa ni ukorofi huo, sijui kwa nn chadema huwa wanaongea kwa hasira sana.
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 2 жыл бұрын
Ninauwakika mahakama hongereni Sana mahakama
@samwelimadaha767
@samwelimadaha767 2 жыл бұрын
Ndivyo ilivyotakiwa iwe 100% SAHIHI. SUALA LILIKUWA MUDA TU 🇹🇿 💘 🌍 LAZIMA TUJUE NCHI INA UTARATIBU NA SHERIA. VIONGOZI WANAONGOZI WANANCHI WALIOELIMIKA NA WANAOELIMIKA. Waheshimuni watu na sheria, sisi sio watoto waliopotea na kutojielewa. MUNGU IBARIKI TANZANIA, AFRICA NA AMANI DUNIANI
@emanuelidawite2399
@emanuelidawite2399 2 жыл бұрын
Warudishe fedha za serikali walizokuwa wanachukua kwa kofia za ubunge wa mchongo
@knight6757
@knight6757 2 жыл бұрын
Tena wazirudishe haraka mnoo...au wsfunguliwe kesi juu la hilo..!
@uwezochayonga7142
@uwezochayonga7142 2 жыл бұрын
Mahakama imetenda haki, jina la Bwana libarikiwe.
@isayadarabe2337
@isayadarabe2337 2 жыл бұрын
Mungu pamoja nasi
@godfreypaul1997
@godfreypaul1997 2 жыл бұрын
Hiyo ndiyo haki tunayotaka mahakama nichombo Hulu mahakimu namajaji endereeni kutenda haki namungu atawapigania
@emanuelmichael4290
@emanuelmichael4290 2 жыл бұрын
Nivema 2
@siminijohnmwakipesile3904
@siminijohnmwakipesile3904 2 жыл бұрын
mambo si hayo hawana chama watakaaje bungen
@tariqbutt9516
@tariqbutt9516 2 жыл бұрын
Halima mdee na wenzio jipeni moyo vitamin kubwa kwa upande wenu lakini msiogope jipeni moyo mtasimama t mzee magu angekuapo msingetoka au hata mzee Ngungai
@abdulkareemchacha2625
@abdulkareemchacha2625 2 жыл бұрын
Hii ndiyo siasa na hiyo ndiyo sheria!!!¡
@richarddaniel7922
@richarddaniel7922 2 жыл бұрын
Mmmm
@michaelmizambwa1246
@michaelmizambwa1246 2 жыл бұрын
Leo mnasifia katiba,wakati mwingine mnataka ibadilishwe,siasa kweli ina usenge wa kiwango cha lami,...haya tuendelee na maisha
@zamdakimaro8040
@zamdakimaro8040 2 жыл бұрын
Hawajasifia Bali wamenukuu KUFUNGU kilichoko Sasa unataka watumie Nini wakati NDIO inatumika
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 2 жыл бұрын
Katiba ina udhaifu unaopaswa ubadilishwe na ina ubora unaopaswa utunzwe
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 2 жыл бұрын
Pia wameomba katiba iheshimiwe. Kuomba katiba iheshimiwe, siyo kuisifia.
@ndecknassarey7357
@ndecknassarey7357 2 жыл бұрын
Malaya wakubwa na wahujum uchumi wakatafute biashara nyingine sio bungeni tena.
@gililwise
@gililwise 2 жыл бұрын
Kibatala jamani sheria unaijua.mi namba Raisi wangu Kibatala awe ndo mwanasheria mkuu wa serikali.
@mrmhenipm
@mrmhenipm 2 жыл бұрын
Kibatala hatatari.....
@thomasleyan9273
@thomasleyan9273 2 жыл бұрын
we are together
@saidiselemani2481
@saidiselemani2481 2 жыл бұрын
Unaweza kibatata
@maimunashaban9538
@maimunashaban9538 2 жыл бұрын
Sawa sawa hao wanafkki
@alexjackson5960
@alexjackson5960 2 жыл бұрын
Mbowe ujifunze Hawa vijana mnaoenda kuwaokota vyuoni NI njaanjaa Sana, kanuni hizo zilifaa Sana enzi zile za upigania Uhuru ambapo watu walikuwa na Nia za dhati walipoyaendea Mambo.
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 2 жыл бұрын
Hata wakati ule walikuwepo wasaliti. Hata sasa wapo, na wataendelea kuwepo. Ni hulka yetu sisi binadamu.
@SamsungGalaxy-kx2zj
@SamsungGalaxy-kx2zj 2 жыл бұрын
Imeonyesha kutupiliwa mbali ni imejulisha kwa sbb kina halima mdee wameishitaki serikali wajue walio kuwa juu ya viti hawa shitakiwi
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 2 жыл бұрын
Kibatala hajawahi feli
@salehaliy7198
@salehaliy7198 2 жыл бұрын
Mheshimiwa kibatala huwa anapiga kwenye mshono lzm ukae
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Jamani Hawa Wah Wabunge wadada kumi na tisa hawakujipeleka bungeni kulikuwa na mchakato. Hatima ya waliousaidia mchakato kina nani?
@aishamakala8045
@aishamakala8045 2 жыл бұрын
Mbona sijielewi mpaka Sasa wako bungeni wanafanya nn
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 жыл бұрын
Kama leo hawafurumishwa Bungeni kuna siri kubwa ndani ya bunge
@zamdakimaro8040
@zamdakimaro8040 2 жыл бұрын
BORA NIMEFURAHI SANA ALAFU HALIMA UMETUANGUSHA SANA TULIKUWA TUNAKUAMINI SANA COMANDA ILA PESA ZIMEKUONDOA RELINI ,RUDISHENI HELA ZETU
@josephsokhia
@josephsokhia 2 жыл бұрын
MUNGU ALISHA MALIZA ''ISHI NA MWANAMKE KWA AKILI''
@ibrahimallymohd3645
@ibrahimallymohd3645 2 жыл бұрын
Mwisho wa dhulma aibu
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 2 жыл бұрын
Hukumu hii imewaweka hatarini maana sidhani Kama mawakili wa Chadema wataishia hapo,wakishatimuliwa bungeni kesi ya kughushi nyaraka za chama na za serikali na kumudu kujipatia mamilioni ya pesa kwa njia ya udanganyifu,inawahusu!,lazima Sheria ifuatwe,pesa za Kodi za Watanzania siyo pocket money ya Mamluki!
@samwelimadaha767
@samwelimadaha767 2 жыл бұрын
💘 ...usitoe siri weweeeee....😄 🤣 Itabidi tujue Uhalali wao nyaraka zilizoenda na nani aliyesaini kwa mamlaka gani na utaratubu wa chama gani?! Wajifunze kuheshimiana. Watajua hawajui mengine. Chochote unachotaka kutendewa mtendee na mwingine hivyo?!
@aminimushi6945
@aminimushi6945 2 жыл бұрын
Hilo ni sahihi,na siyo akina mdee peke yao,tume na spika wanastahili kushtakiwa pia,walihusika kukubwa katika kugushi na kulidhalilisha taiga,hongera kibatala,hongera mahakama.
@piusprospa8832
@piusprospa8832 2 жыл бұрын
Nimuda mwafaka sasa Kwa yona kutapikwa kutoka kwenye matumbo ya Akina mdee hawa magaidi
@bunzalisisa6929
@bunzalisisa6929 2 жыл бұрын
jaji mugeta yuko sawa
@natayachris2245
@natayachris2245 2 жыл бұрын
Yuda mskariot.Vipande vichache vya sarafu vilimtoa relin.Akaukosa ufalme
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 2 жыл бұрын
Chadema muriwai kusema mahakama ya nchi hii aitendi haki Sasa reo mnasemaje
@natayachris2245
@natayachris2245 2 жыл бұрын
Acha unafik kama huna hoja kaa kimya.
@thomasleyan9273
@thomasleyan9273 2 жыл бұрын
Wakamanda
@michaelmizambwa1246
@michaelmizambwa1246 2 жыл бұрын
Mbona hawa wabunge mliowatoa ndio waliwapa nguvu sana chadema,..huko mnakokwenda mtafika kweli!?
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 2 жыл бұрын
Hivi wewe unaielewa Katba yetu inasemaje kuhusu moja ya masharti ya kuwa mbunge? Kwa taarifa yako, anatakiwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Kama siyo mwanachama wa chama cha siasa, hana sifa ya kuwa mbunge.
@pauloalfayo1868
@pauloalfayo1868 2 жыл бұрын
WAmeshindwa mapepo hao
@ignatusjoseph4216
@ignatusjoseph4216 2 жыл бұрын
Nawashauri AWA wabunge 19 waombe samahani warudi ktk chama choo
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 2 жыл бұрын
Wasirudi hatuwataki waende CCM huko ndiko walikofadhiliwa na kubaki bungeni kinyume Cha Sheria na baadae warudishe pesa zote walizo kula kinyume na sheria
@mkijilukali2010
@mkijilukali2010 2 жыл бұрын
Ilondilo fundisho kwamalaya wakisiasa
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Huyu kibatala hakuna mfano wake africa masharika. Yaan tungekuwa na serikali inayojitambua . Huyu alitakiwa awe MWANASHERIA MKUU WA SEREKALI. maana angepambana na hawa waizi wa magharibi wanaoshirikiana na viongoz wetu kuandikishana mikataba feki ya kutuibia madini
@bsmonline8482
@bsmonline8482 2 жыл бұрын
Huyo Lisu ndio ticha wale. Lisu hatari sana we huoni kipindi cha Kampeni alivyowapa tabu Nec
@mussayasini4130
@mussayasini4130 2 жыл бұрын
Shida hapo sio kuvuliwa ubunge ,shida ni Kwa nini wanapata sie tunakosa wanapendeza sie tunalia na ruzuku , shida yote Hapo maslahi Kwa nini wanapata
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 жыл бұрын
mkiambiwa watanzania wengi uelewa wenu ni mdogo sana mnakasirika
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 2 жыл бұрын
MTU a
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 2 жыл бұрын
Tatzo sio kupata ,wanevunja Sheria tangu mwanzo wao kipindi mwendazake akiwepo,wakakingiwa kifua, Lakini Chadema hawajawahi kushindwa kwenye kumfukuza MTU uanachama.angalia ZITTO kabwe n.k
@emmapaul1766
@emmapaul1766 2 жыл бұрын
kwan aliyekataa ruzuku ni nan, kwan aliyekataa kupeleka wabunge fake ni nan, kwan aliyekataa matokeo fake ya uchaguz fake ni nan choko wewe jiongeze au nenda kawasaidie hao mikundu malaya na makahaba.
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 2 жыл бұрын
Mr Musa. Ni lini utakuwa mzalendo???
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Kesi kesi tu....kzfaq.info/get/bejne/rdhkga-AyLjGg5c.html
@abubakarshabani6427
@abubakarshabani6427 2 жыл бұрын
Uu
@deokessy6596
@deokessy6596 2 жыл бұрын
Warudishe mishahara yoteeee
@jameschristian5876
@jameschristian5876 2 жыл бұрын
Hakuna tatizo watarekebisha makosa watafungua Kesi upya vile vile pia wanahaki Yarufaa mahakama yarufani
@SamsungGalaxy-kx2zj
@SamsungGalaxy-kx2zj 2 жыл бұрын
Mahakama inatupa maombi ya mfungua kesi bila kusikiliza kauli zao yaani ajabu wenye haki huwekwa kwa miaka jela
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 жыл бұрын
Kwahiyo mmefurahi mtashindwa TU halima , buraya wako Bomba zaidi yenu
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 2 жыл бұрын
Mpuuzi ww
@musaissa7463
@musaissa7463 2 жыл бұрын
umetokea kijij gani bro??
@emmapaul1766
@emmapaul1766 2 жыл бұрын
mashoga ya ccm bhana
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 2 жыл бұрын
Uwape kadi za ccm
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 2 жыл бұрын
hahahahah..we jama nondo chachee sana
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
Tena ndio nimefurahi kinoma tunawachukuwa sisi Magufuli UMOJA PATI hawa ni majembe kweli kweli tena kwenye kampeni ndio watamu sana 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
@jafarimadunda5348
@jafarimadunda5348 2 жыл бұрын
Magufur c ndy aliyewaingiz bungen au unajisahaulish? Eb acha mam asimamie haki kaz iendelee
@sulaymanmohammed6448
@sulaymanmohammed6448 2 жыл бұрын
Jee pesa wata zirejesha mishahara walochukua ?
@amosmaswega2312
@amosmaswega2312 2 жыл бұрын
Nimekuelewa wakili msomi uko vzr sana, nimefurah sana hawa mbwa kupigwa chini maana hawafai tena
@eliahiluka830
@eliahiluka830 2 жыл бұрын
Huyu kibatala chadema mkichukua dola anapaswa kuwa mwanasheria Wa serikali
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 16 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 36 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 67 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 34 МЛН
MAHAKAMA KUU YARIDHIA OMBI LA WAKILI PETER KIBATALA
2:46
TBConline
Рет қаралды 6 М.
TUNDU LISU
5:39
Marhaba Online TV
Рет қаралды 18 М.
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 293 М.
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Lasalo Comedian
Рет қаралды 361 М.
WAKILI KIBATALA ALIVYOMBANA SHAHIDI WA JAMHURI MAHAKAMANI
2:34
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 35 М.
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 16 МЛН