Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 203
@user-fg8hg9fe1w3 күн бұрын
Jirani kaongea kwa uchungu mkubwa kuliko mama mzazi mgfff😢
@aairraahseif56489 күн бұрын
Majirani pongezi nyingi kwenu 🎉🎉 ni mashujaa, na waume zenu pia mmejitolea na kubeba jukumu zito na hatari, mna miiyo ya upendo wa kipekee, Mungu awe nanyi ktk harakati zenu za maisha 🙌🙏Poleni sana muwe na subra Mungu atajibu
@user-ki7hd3lg2q10 күн бұрын
Siku izi hutakiwi kumuamini mtu yoyote uliyekutana nae njiani😢😢😢😢
@lilianwaflotina12888 күн бұрын
Umeona ee kabisa
@PendoMatemba6 күн бұрын
Kweli kabisa
@joycemkeka37696 күн бұрын
Kwa matukio haya jamani itafika wakati atandugu unamuogopa kumpa mtoto mana misielewi kabisa
@salhawaziri16686 күн бұрын
Awashike sana majirani zake hao ni ndugu zake..hakika Mungu anaweza kukuletea watu wenye ni kumbukumbu kweny maisha yetu hakika kapata ndugu huyu dada nasikia namuonea na wivu kwa majiran aliopata
@latifamubba10010 күн бұрын
Daah mama anapitia magum San wanaume asaiv kama auja mjua mda mlefu usiolew akun kaburi la alie kuwa single
@PendoMatemba6 күн бұрын
Huyu mama anaemia ananafuu, huyu wa watoto ambae halii, anaweza kufa ghafla,, yaani naumia kwakweli
@estakapufi758210 күн бұрын
Duu iyosura ya mtuhumiwa anaonekana jangiri mwee wanawake sisi tunajua kufakamia wanaume apa tujifunze sana kubeba mijanaume kuipeleka nyumbani unapokaa na watoto wako nihatari sana inauma ila tujifunze sana.
@SaudaMahmoud-yf4zb7 күн бұрын
Pole ndugu yangu m mungu akupe katika kipindi kigumu unachopia na ishaallah watoto watarudi
@SaudaMahmoud-yf4zb7 күн бұрын
Mungu akupe subira katika kipindi kigumu unachopitia
@SaudaMahmoud-yf4zb7 күн бұрын
Na ishaallah watoto watarudi kwa uwezo wake endelea kusali na kumuomba
@SaudaMahmoud-yf4zb7 күн бұрын
Hao wenngine sio Waume kidini mtoto wa nje ya ndo ni was mwanamke peke yake vipi alazimishe ende kwa baba ake Kama kweli amasoma dini
@SaudaMahmoud-yf4zb7 күн бұрын
Hao wenngine hujitia ushekhe ili aaminiwe upesi hatari usiamini kwa vigezo vya dini vya uongo hao wanafiki tu na m munguatawalipa watu kusingizia dini kumbe Wana yao
@user-vz6kk8id2f5 күн бұрын
Km nijirani mama samweli umempata Kwenye ulimwengu wasasa majirani watakusema kwenye uovu tu ila kwenye matkio ya hivyo hawapogo Kiukweli mama poo 🎉🎉🎉🎉 upo vzuri
@safiyasafiya50147 күн бұрын
Asante mama wa jirani kumshika jambazi mungu atawalipa neema kwa kheri ya kumpata huyu mjinga mtoto atapatikana
@Sisterjemi13 күн бұрын
Kwanza hakuna mtoto wa haram uharamu ni lile tendo alofanya baba na mama kuzini kwa uislam lakini huyu baba hajui uislam muwe na hadhari si ukiona kanzu tu ukadhani wana dini kumbe sio lazima uchunguze Pole sana INSHA allah watapatikana
@shakilamasoud29837 күн бұрын
Kiukweli siezi kuripuka na limwanaume nisilo lijua, kisa ndoa. Mshenzi kweli huyo muuaji. Pole Mahi
@veronicabwamukuru12659 күн бұрын
Sasa jamani mwanaume unakutana nae hata mwezi haujamaliza umemkubali na kutangaza ndoa khaaaaaa. Huu ugumu wa maisha tutakaribisha na majini majumbani mwetu.
@LamaribamJumbe5 күн бұрын
Yani nimebaki nimetumbua macho 🙄🙄🙄🙄
@rachelmuhehe77894 күн бұрын
Pengine huyo mwanaume alimroga mama wa watu huyu
@ElizabethWamcha3 күн бұрын
Yani kuna wanawake adi Leo hii wanatamani kuolewa tena kwa lazima mladi aonekane kaolewa bila kuchunguzana vzr ndio hayo sasa
@fathiyahmuzney73679 күн бұрын
Mm ni muislam lkn hawa waislam wenzetu wanaojifanya ni waislamu wenye itikad hua wana matatzo sana
@salhawaziri16686 күн бұрын
Hana itikadi kali wala nin tapeli,jizi muhalifu katili tu huyo hamna uislam hapo
@salhawaziri16686 күн бұрын
Mana Kama anaitikad kali angesimama na ukwel kuwa mtoto ni wa mama
@maryamtanzania97435 күн бұрын
Usiuchafue uislamu kwq kosa la mtu mmoja
@fathiyahmuzney73675 күн бұрын
@@maryamtanzania9743 wap nimechafua uislam hebu kanye mbele huko
@salhawaziri16685 күн бұрын
@@fathiyahmuzney7367 uislam wa kwel ni kuwa mtoto wa nje ya ndoa ni wamama na si baba yeye mama angelikuwa ni mtu wa itikad ndo angesimama kuwa huyo mtoto ni mama ndo ana haki na malezi nae..pia hivyo vitu vya kumwaga maji ndani sijui mara ngap sijui msomee mara ngap huo ni ushirikina katika uislam hakuna kitu Kama hicho isopokua mambo ya kizushi so huo uislam wake ni wa mashaka
@rukiamziwanda74586 күн бұрын
Huyu mwanamke achunguzwe vizuri mana macho makavu sana
@fauziasultanikilewa76025 күн бұрын
Ulitaqa aweje😢😢
@user-do1ug7de3g4 күн бұрын
Nilikuwa najisemea mama mkavu haionyeshi kama ameibiwa mtoto puuuuuuu mtoto anauma au ataka kusema amelia mpaka machozi yameisha
Mmmh singel mama's kuweni makini na haswa ukiwa na watoto sasaivi hali sio nzuri usimwamini mtu kirahisi hivyo
@ZeyanaKhamis-if7lf6 күн бұрын
Pole san my
@user-vz6kk8id2f5 күн бұрын
Jirani nimekupend❤
@dotnatajoseph26203 күн бұрын
Yaani kwa sasa usimuamin mtu yeyote hata bwana unaeishinae usimwamini maisha kwa sasa yamebadilika sana watu wamekuwa wanyama sana 😢😢
@SalhaRamadan2 күн бұрын
Dada jirani wa mwisho kaongea kwa uchungu mnoo wallah nimelia kwa uchungu😢😢😢😢😢😢😢mungu Awalinde watoto wetu
@mimahtv29742 күн бұрын
Kina mama kuweni makini dunia imeisha hii unaolewaje na mtu usiyemjua hata ndg zake mtaolewa na majini.haya sasa Ona alivyofanya jamani 😢😢
@firdaus74288 күн бұрын
Ingelikuwa Askali wanafanya kazi zao kama walivopangiwa na Serikali, nchi ya Tanzania raia wasingesumbuka
@SalhaRamadan2 күн бұрын
Wadada ,masingo maza kuna la kujifunza sio kila mwanaume akija tu unamkaribisha kwenye himaya yako wengine ni madui zetu wapo kutuumiza subhanallah 😢😢😢😢😢😢😢
@sarahkinyashi62136 күн бұрын
Duuuu,ila huyu mwanaume alivyo!! Mungu tucmamie, wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏😭😭😭😭
@dorcaskarago28767 күн бұрын
Watoto wamepotea majirani wanaongea kwauchungu ila mama watoto anarelax
Hata mimi simuelewe hivi mwanae kapoteza kweli maana anaonekana hana huzuni kabisa
@omanoman20447 күн бұрын
Kumbe kaleta jambazi mungu wangu mjin hakufai sai
@happinessmosala22174 күн бұрын
Hii sasa movie😂😂😂
@PendoMatemba6 күн бұрын
Huyu mama wa 4 kuongea nimempenda sana, anaongea vizuri
@elizabethchikoti35343 күн бұрын
Hili swala ni kweli na hadi leo watoto hawajapatikana serijali tunaomba mwingilie kati
@salhaomar53829 күн бұрын
Daa poleni sana haifai kumuamini mtu jamani mungu awatetee muwapate watoto wetu
@omanoman20447 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mungu wangu duuh polen wamam msojitambuw wallah siku moja mtaibiw kila kituy et siyo mawe mbon ulikubali kumuleta mtuy usie mjuw duuh
@user-xk7vy4gb6g5 күн бұрын
Kwakweli Rais Samia tunakuomba upaze sauti kwa Askari police. Police wanapewa rushwa na watuhumiwa. Pole Sana mama. Police wanajua kila kitu nyuma ya panzia
@siliviamushi41193 күн бұрын
Jmn mbona jamaa yuko kama jambazi jmn uyu dada mzr hiv alumkubalije jmn au alitumia kimbola duuh
@maryamtanzania97435 күн бұрын
Mama wa mwisho kaniliza sana pia nyi ni majirani wema sana
@chunaabdullah13336 күн бұрын
Wauwaji wote wanashirikiana na maafisa wakuu si Kenya si tz, poleni sana 😢😢
@@faithlucas1723Sasa hayo matusi ndio ueleweke kama unauchungu sana ama ni utovu wa adabu tu.
@emilianapaskal731910 күн бұрын
Daaah sasa amewapeleka wapi? Sema wanawake na Sisi tuache tamaa ya ndoa yaani mtu hamna hata mwezi tayari ndoa,daaah pole sana
@user-ui4oh8gf8n9 күн бұрын
Asante sana jirani.umefanya kazi ya ziada sana
@SaudaMahmoud-yf4zb7 күн бұрын
Lo pole sana
@omanoman20447 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mungu wangu duuh polen wamam msojitambuw wallah siku moja mtaibiw kila kituy
@kulngeleza67336 күн бұрын
Tunaomba mtupe taalifa ya watt 😢 nimelia sana natamani kujua wapi watt
@MagrethCharles-ne2ts5 күн бұрын
Ila mama mkavu 🤨🤨
@lilianwaflotina12888 күн бұрын
Pia nendeni global kwa zari
@user-op7vm9mr3z10 күн бұрын
Tabia ya simba dume anapohodhi familia huwa anaua watoto wote wa dume la zamani sasa usikute huyu bwege nae ameiga tabia hiyo kapeleka watoto kwenye kafara kwa sababu siyo DNA yake. Wambane atasema vizuri malaika hao wako wapi
@chunaabdullah13336 күн бұрын
WAshatolewa Figo ao nakurushwa mtoni mbona Kenya wanasema naawapelekwi police
@safiyasafiya50147 күн бұрын
Wala sio muislam muongo
@user-xn1fv5fl7u16 сағат бұрын
Serikali ya Tanzania saivi ipo kama serikali ya india kwenye movie
@so122219 күн бұрын
Wauza viungo vya binaadam huyo
@verynicemonyo8671Күн бұрын
Mtu wiki mbili tu mmejuana unafunga ndoa na kumweka kwako hata ndugu yake humjui 😊
@OmanOman-dd5qk10 күн бұрын
Wapili jamani dada pole yani kuweni makini na wanaume wanaotaka hifadhi mtanga mwenzangu katapeliwa nyumba mbande nahao matapeli wanaume mpakaleo anajuta bola ungemlipoti polis
@user-sn6dc9gh8k4 күн бұрын
Mama Opah❤ maua yako🎉🎉🎉❤❤
@janemusumba8209 күн бұрын
Huyo mwanaume angekuwa Kenya angekuwa asha toa watoto kichapo
@zakiamseka96987 сағат бұрын
Hao wamepelekwa kwenye makambi yao hao watu sio wazuri wamejificha kwenye koti la dini..
@AishaHaji-jn7sg9 күн бұрын
Ndoa sio lazima jamani💔🥹….polis tunawaamini sana tunaomba mtusaidie tujue mtoto yuko wapi ni mdogo sana kuwa nje ya mzazi wake ingali bado yupo hai siku 29 ni nyingi mnoo jaman🙏
@latifamubba10010 күн бұрын
Mungu nilindie wanangu mm
@shamsahaji62028 сағат бұрын
Pole mama ila uliyumba sana kuanzia hapo kwenye hii ndoa yako...unaolewaje bila ya kujua familia ya mumeo na yy kujua yako...?khabari za kulea wanaume matokeo yake ndio haya mmmh.pole sana
@sophsoph47409 күн бұрын
Huyu mama uso mkavu kah😢😢😢..uskute kajua walikopelekwa walahi mana binadamu wamebadilika
@user-sh1xb2ot2l10 сағат бұрын
huyo baba ndo anajua waliko hao watoto
@user-ft2vq5on6l6 күн бұрын
Wanawake tunaugwadu sasà tutakumbana na wachawi km mm ningeenda polisi angetoka nawe hukua tayari aondoke sasa utajifunza maana hadi uchungu
@user-jx9xc6vo9xКүн бұрын
Pole
@fatmaabdallah77099 күн бұрын
Huyo baba inawezekana kishamweka huyo msichana kinyumba inaelekea alikuwa anatembea nae
@yukundapeter82008 күн бұрын
Na mimi nilifikiri hivyo,huyo baba kaenda kuolewa.
@joycemkeka37696 күн бұрын
Hata mimi namewaza ivo jamani
@user-ky5wu4gc9g8 күн бұрын
Mama pio we jembe sana pamoja na mume wako nyie ni mashujaa mungu awabariki kwa kufanikisha kumkamata huyo jambaz
@ukhutfatumah11549 күн бұрын
Mungu wangu jamn daaaa mbaka naogopa wanaume Hawa mhhh
@Official8364010 күн бұрын
Mungu anisamehe lkn huyo baba anahusika kwa 100% sasa mtu mmempeleka police mnashindwa kufatilia kesi jaman mmepotelewa au mnaigiza Astaghafilullah dd ulikuwa na shida ya ndoa hujawahi kuolewa ama aisee siwezi olewa hivyo km nimeokotwa jalalani😢
@AminaMtui2 күн бұрын
Yani wanawake tujifunze kuolewa na wanaume tusio wajua na hatujui kwao ni mtihani
@user-ui4oh8gf8n9 күн бұрын
Pole ndgyangu
@johnwilliam8980Күн бұрын
Hawa ni mapepo sio binadamu
@user-ui4oh8gf8n9 күн бұрын
Poleni sana
@sleeprelaxation843110 күн бұрын
wanawake jamani kukaribisha mtu humjui wala ndugu zake ndani kwako? kha!
@Jassmin-media-official10 күн бұрын
Tatizo la wanawake wa Tanzania 🇹🇿 warogwa na kuolewa mwanamke unawatt wako unafanya kikazi chako unapata kipato sasa kuolew kunahusu mwanamke mzuri kwani hamuwezi kuishi bila kuolewa ?mange anayaongea kilasiku hamsikii mtu ameisha kataa mtoto wako nabado unamuweka ndani kusa kuolewa ona sasa 😢
@bintmrisho35264 күн бұрын
Jaman ni huruma 😢 mi nikisikia watoto wamepotea uwii
@stellamanda44662 күн бұрын
Nendeni kituo cha polisi chenye dawati la Jinsia
@happinessmosala22174 күн бұрын
Siku 15 ndoa inafungwa😏😏
@aboudybahmesh54243 күн бұрын
Police inaweza kuwa wako pamoja na huyo jamaa aingii akilini kabisa ni njama yao police nyinyi amjui lkn police wanaju wasinge kua wanasema mpaka tumuhuji la la police wako pamoja na mshukiwa jambazi sikuizi watu wanajua police anakula na jambazi dunia yote watu wajua huyu jamaa inaweza kua ni jambazi musiani watu saai watu ni wanyama musiache kuomba mungu pia sisi tutaomba mungu mtoto warudi salama kwa nguvu za Allah biidhini Allah
@yukundapeter82008 күн бұрын
Yaani hilo shetwani,lingewexa kuwauwa ucku.pia vai ni mjinga,xee lenyewe halina hata mia ya chakula,halafu anadanganywa apelekwa beach
@user-ft2vq5on6l6 күн бұрын
Atawabaka pia
@dotnatajoseph26203 күн бұрын
Mtangaziji anachosha
@user-cl6ro2un9h9 күн бұрын
So saf
@Official8364010 күн бұрын
Halafu we dd mbona maneno yako unajichanganya mara likizo ya mwezi wa 3 alikataa wasije akasema watakuja mwezi wa 6 nitapanga chumba wakati mwanzo umesema umekutana nae ndani ya mwezi mmoja mkaoana
@naifathassan26079 күн бұрын
Ndio sasa labda walikutana mwezi wa kwanza wapili wakaoana watatu ndio akakataa wasirudi
@yukundapeter82008 күн бұрын
Ahongere sn jirani waxuri
@user-ur8cq1ye3b10 күн бұрын
Mungu atawawaukumu vibaya sana polic awawasaidii wananchi kabisa
Serikar wakuu police tanzania polis kaz yenu nn jmn mnakatisha sana tamaa
@awatifalghanim11065 күн бұрын
Jamani Serikali inawapa Wanawake wakati MGUMU sana.
@omanoman20447 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 huu ndo uj8nga tunafanya et ndoa mungu wangu
@user-ui4oh8gf8n9 күн бұрын
Sasa zamu ya wababa kupoteza watoto.
@khalsasalim79309 күн бұрын
Ila tanzania kwenda kumkamata mtuhumiwa wananchi ndio wanatoa hela ya mafuta 😂
@omanoman20447 күн бұрын
Yan unakutana na mtu stend unamchukuw nyumban kwako subkhan llah
@user-ft2vq5on6l6 күн бұрын
Watu wanataka mabwana jamani uyo hafai atafute mwengine
@omanoman20446 күн бұрын
@@user-ft2vq5on6l asara yakutaka mabwana ndo hiyo mtihan huo
@safiyasafiya50147 күн бұрын
Muombe mama Samia akusaidie
@zeranchimbi28084 күн бұрын
wanasubiri wafe ndio waje wakupe pole na kukemea kinafiki
@user-ui4oh8gf8n9 күн бұрын
Analia analia analia.😂😂
@rayahamisi1187 күн бұрын
Sio ya kucheka
@omanoman20447 күн бұрын
Mungu wangu huyo alikuja kuwaiba tuy alitumia kukupenda ww mwezi unaleta mwanaume ndan et mme wanawake jitambuien kwan ni h8zo nyege zinawasupuw am ni ujinga tuy umetujaa sasa mtamtafutia wap huyo baba
@awatifalghanim11065 күн бұрын
Sasa hiyo muziki ya nini inatuumiza vichwa. Ahhhhh