WATOTO WAPOTEA SIKU 29/BABA ASHUKIWA /MAMA ALIA NA SERIKALI

  Рет қаралды 15,028

ZamaradiTV

ZamaradiTV

11 күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 203
@user-fg8hg9fe1w
@user-fg8hg9fe1w 3 күн бұрын
Jirani kaongea kwa uchungu mkubwa kuliko mama mzazi mgfff😢
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 9 күн бұрын
Majirani pongezi nyingi kwenu 🎉🎉 ni mashujaa, na waume zenu pia mmejitolea na kubeba jukumu zito na hatari, mna miiyo ya upendo wa kipekee, Mungu awe nanyi ktk harakati zenu za maisha 🙌🙏Poleni sana muwe na subra Mungu atajibu
@user-ki7hd3lg2q
@user-ki7hd3lg2q 10 күн бұрын
Siku izi hutakiwi kumuamini mtu yoyote uliyekutana nae njiani😢😢😢😢
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 8 күн бұрын
Umeona ee kabisa
@PendoMatemba
@PendoMatemba 6 күн бұрын
Kweli kabisa
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 күн бұрын
Kwa matukio haya jamani itafika wakati atandugu unamuogopa kumpa mtoto mana misielewi kabisa
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 6 күн бұрын
Awashike sana majirani zake hao ni ndugu zake..hakika Mungu anaweza kukuletea watu wenye ni kumbukumbu kweny maisha yetu hakika kapata ndugu huyu dada nasikia namuonea na wivu kwa majiran aliopata
@latifamubba100
@latifamubba100 10 күн бұрын
Daah mama anapitia magum San wanaume asaiv kama auja mjua mda mlefu usiolew akun kaburi la alie kuwa single
@PendoMatemba
@PendoMatemba 6 күн бұрын
Huyu mama anaemia ananafuu, huyu wa watoto ambae halii, anaweza kufa ghafla,, yaani naumia kwakweli
@estakapufi7582
@estakapufi7582 10 күн бұрын
Duu iyosura ya mtuhumiwa anaonekana jangiri mwee wanawake sisi tunajua kufakamia wanaume apa tujifunze sana kubeba mijanaume kuipeleka nyumbani unapokaa na watoto wako nihatari sana inauma ila tujifunze sana.
@SaudaMahmoud-yf4zb
@SaudaMahmoud-yf4zb 7 күн бұрын
Pole ndugu yangu m mungu akupe katika kipindi kigumu unachopia na ishaallah watoto watarudi
@SaudaMahmoud-yf4zb
@SaudaMahmoud-yf4zb 7 күн бұрын
Mungu akupe subira katika kipindi kigumu unachopitia
@SaudaMahmoud-yf4zb
@SaudaMahmoud-yf4zb 7 күн бұрын
Na ishaallah watoto watarudi kwa uwezo wake endelea kusali na kumuomba
@SaudaMahmoud-yf4zb
@SaudaMahmoud-yf4zb 7 күн бұрын
Hao wenngine sio Waume kidini mtoto wa nje ya ndo ni was mwanamke peke yake vipi alazimishe ende kwa baba ake Kama kweli amasoma dini
@SaudaMahmoud-yf4zb
@SaudaMahmoud-yf4zb 7 күн бұрын
Hao wenngine hujitia ushekhe ili aaminiwe upesi hatari usiamini kwa vigezo vya dini vya uongo hao wanafiki tu na m munguatawalipa watu kusingizia dini kumbe Wana yao
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f 5 күн бұрын
Km nijirani mama samweli umempata Kwenye ulimwengu wasasa majirani watakusema kwenye uovu tu ila kwenye matkio ya hivyo hawapogo Kiukweli mama poo 🎉🎉🎉🎉 upo vzuri
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 7 күн бұрын
Asante mama wa jirani kumshika jambazi mungu atawalipa neema kwa kheri ya kumpata huyu mjinga mtoto atapatikana
@Sisterjemi1
@Sisterjemi1 3 күн бұрын
Kwanza hakuna mtoto wa haram uharamu ni lile tendo alofanya baba na mama kuzini kwa uislam lakini huyu baba hajui uislam muwe na hadhari si ukiona kanzu tu ukadhani wana dini kumbe sio lazima uchunguze Pole sana INSHA allah watapatikana
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 7 күн бұрын
Kiukweli siezi kuripuka na limwanaume nisilo lijua, kisa ndoa. Mshenzi kweli huyo muuaji. Pole Mahi
@veronicabwamukuru1265
@veronicabwamukuru1265 9 күн бұрын
Sasa jamani mwanaume unakutana nae hata mwezi haujamaliza umemkubali na kutangaza ndoa khaaaaaa. Huu ugumu wa maisha tutakaribisha na majini majumbani mwetu.
@LamaribamJumbe
@LamaribamJumbe 5 күн бұрын
Yani nimebaki nimetumbua macho 🙄🙄🙄🙄
@rachelmuhehe7789
@rachelmuhehe7789 4 күн бұрын
Pengine huyo mwanaume alimroga mama wa watu huyu
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 3 күн бұрын
Yani kuna wanawake adi Leo hii wanatamani kuolewa tena kwa lazima mladi aonekane kaolewa bila kuchunguzana vzr ndio hayo sasa
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 9 күн бұрын
Mm ni muislam lkn hawa waislam wenzetu wanaojifanya ni waislamu wenye itikad hua wana matatzo sana
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 6 күн бұрын
Hana itikadi kali wala nin tapeli,jizi muhalifu katili tu huyo hamna uislam hapo
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 6 күн бұрын
Mana Kama anaitikad kali angesimama na ukwel kuwa mtoto ni wa mama
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 5 күн бұрын
Usiuchafue uislamu kwq kosa la mtu mmoja
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 5 күн бұрын
@@maryamtanzania9743 wap nimechafua uislam hebu kanye mbele huko
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 5 күн бұрын
@@fathiyahmuzney7367 uislam wa kwel ni kuwa mtoto wa nje ya ndoa ni wamama na si baba yeye mama angelikuwa ni mtu wa itikad ndo angesimama kuwa huyo mtoto ni mama ndo ana haki na malezi nae..pia hivyo vitu vya kumwaga maji ndani sijui mara ngap sijui msomee mara ngap huo ni ushirikina katika uislam hakuna kitu Kama hicho isopokua mambo ya kizushi so huo uislam wake ni wa mashaka
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 6 күн бұрын
Huyu mwanamke achunguzwe vizuri mana macho makavu sana
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 5 күн бұрын
Ulitaqa aweje😢😢
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g 4 күн бұрын
Nilikuwa najisemea mama mkavu haionyeshi kama ameibiwa mtoto puuuuuuu mtoto anauma au ataka kusema amelia mpaka machozi yameisha
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 4 күн бұрын
Jamani wanawake aliewaambia ndoa nimafanikio ninani.wewe pambana .Kama Mungu alipamga wewe kuolewa utaolewa tu.lkn acheni kuharakia ndoa.mtakuja kufabule.
@Awaasha-cn6bx
@Awaasha-cn6bx 6 күн бұрын
Mmmh singel mama's kuweni makini na haswa ukiwa na watoto sasaivi hali sio nzuri usimwamini mtu kirahisi hivyo
@ZeyanaKhamis-if7lf
@ZeyanaKhamis-if7lf 6 күн бұрын
Pole san my
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f 5 күн бұрын
Jirani nimekupend❤
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 3 күн бұрын
Yaani kwa sasa usimuamin mtu yeyote hata bwana unaeishinae usimwamini maisha kwa sasa yamebadilika sana watu wamekuwa wanyama sana 😢😢
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 2 күн бұрын
Dada jirani wa mwisho kaongea kwa uchungu mnoo wallah nimelia kwa uchungu😢😢😢😢😢😢😢mungu Awalinde watoto wetu
@mimahtv2974
@mimahtv2974 2 күн бұрын
Kina mama kuweni makini dunia imeisha hii unaolewaje na mtu usiyemjua hata ndg zake mtaolewa na majini.haya sasa Ona alivyofanya jamani 😢😢
@firdaus7428
@firdaus7428 8 күн бұрын
Ingelikuwa Askali wanafanya kazi zao kama walivopangiwa na Serikali, nchi ya Tanzania raia wasingesumbuka
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 2 күн бұрын
Wadada ,masingo maza kuna la kujifunza sio kila mwanaume akija tu unamkaribisha kwenye himaya yako wengine ni madui zetu wapo kutuumiza subhanallah 😢😢😢😢😢😢😢
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 6 күн бұрын
Duuuu,ila huyu mwanaume alivyo!! Mungu tucmamie, wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏😭😭😭😭
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 7 күн бұрын
Watoto wamepotea majirani wanaongea kwauchungu ila mama watoto anarelax
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 6 күн бұрын
Siyo anarelax uchungu mkubwa
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 2 күн бұрын
Maajabu kabisa.
@mimahtv2974
@mimahtv2974 2 күн бұрын
Kwani Ww dada akili zako sio nzr maana unayoongea mbona sielewi jamani 😇😇
@user-qg9nj2yw7e
@user-qg9nj2yw7e 2 күн бұрын
Hata mimi simuelewe hivi mwanae kapoteza kweli maana anaonekana hana huzuni kabisa
@omanoman2044
@omanoman2044 7 күн бұрын
Kumbe kaleta jambazi mungu wangu mjin hakufai sai
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 4 күн бұрын
Hii sasa movie😂😂😂
@PendoMatemba
@PendoMatemba 6 күн бұрын
Huyu mama wa 4 kuongea nimempenda sana, anaongea vizuri
@elizabethchikoti3534
@elizabethchikoti3534 3 күн бұрын
Hili swala ni kweli na hadi leo watoto hawajapatikana serijali tunaomba mwingilie kati
@salhaomar5382
@salhaomar5382 9 күн бұрын
Daa poleni sana haifai kumuamini mtu jamani mungu awatetee muwapate watoto wetu
@omanoman2044
@omanoman2044 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mungu wangu duuh polen wamam msojitambuw wallah siku moja mtaibiw kila kituy et siyo mawe mbon ulikubali kumuleta mtuy usie mjuw duuh
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 5 күн бұрын
Kwakweli Rais Samia tunakuomba upaze sauti kwa Askari police. Police wanapewa rushwa na watuhumiwa. Pole Sana mama. Police wanajua kila kitu nyuma ya panzia
@siliviamushi4119
@siliviamushi4119 3 күн бұрын
Jmn mbona jamaa yuko kama jambazi jmn uyu dada mzr hiv alumkubalije jmn au alitumia kimbola duuh
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 5 күн бұрын
Mama wa mwisho kaniliza sana pia nyi ni majirani wema sana
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 6 күн бұрын
Wauwaji wote wanashirikiana na maafisa wakuu si Kenya si tz, poleni sana 😢😢
@PendoMatemba
@PendoMatemba 6 күн бұрын
tunamuomba Makonda amsaidie huyu mama, inavyoonekana huyo polisi kahongwa
@TheSalma1999
@TheSalma1999 7 күн бұрын
Jamani wanawake tuwe makini sana kisa ndoa
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 7 күн бұрын
Poleni sana 😭😭Mungu awabariki majirani 🙏🙏💕❤️
@starlily07
@starlily07 10 күн бұрын
Mtangazaji unafell sana, kifupi hujui kuuliza maswali
@nancyg8664
@nancyg8664 10 күн бұрын
first year yuko field
@faithlucas1723
@faithlucas1723 9 күн бұрын
Anamaswali ya kisenge
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 8 күн бұрын
​@@faithlucas1723Sasa hayo matusi ndio ueleweke kama unauchungu sana ama ni utovu wa adabu tu.
@emilianapaskal7319
@emilianapaskal7319 10 күн бұрын
Daaah sasa amewapeleka wapi? Sema wanawake na Sisi tuache tamaa ya ndoa yaani mtu hamna hata mwezi tayari ndoa,daaah pole sana
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 9 күн бұрын
Asante sana jirani.umefanya kazi ya ziada sana
@SaudaMahmoud-yf4zb
@SaudaMahmoud-yf4zb 7 күн бұрын
Lo pole sana
@omanoman2044
@omanoman2044 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mungu wangu duuh polen wamam msojitambuw wallah siku moja mtaibiw kila kituy
@kulngeleza6733
@kulngeleza6733 6 күн бұрын
Tunaomba mtupe taalifa ya watt 😢 nimelia sana natamani kujua wapi watt
@MagrethCharles-ne2ts
@MagrethCharles-ne2ts 5 күн бұрын
Ila mama mkavu 🤨🤨
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 8 күн бұрын
Pia nendeni global kwa zari
@user-op7vm9mr3z
@user-op7vm9mr3z 10 күн бұрын
Tabia ya simba dume anapohodhi familia huwa anaua watoto wote wa dume la zamani sasa usikute huyu bwege nae ameiga tabia hiyo kapeleka watoto kwenye kafara kwa sababu siyo DNA yake. Wambane atasema vizuri malaika hao wako wapi
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 6 күн бұрын
WAshatolewa Figo ao nakurushwa mtoni mbona Kenya wanasema naawapelekwi police
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 7 күн бұрын
Wala sio muislam muongo
@user-xn1fv5fl7u
@user-xn1fv5fl7u 16 сағат бұрын
Serikali ya Tanzania saivi ipo kama serikali ya india kwenye movie
@so12221
@so12221 9 күн бұрын
Wauza viungo vya binaadam huyo
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 Күн бұрын
Mtu wiki mbili tu mmejuana unafunga ndoa na kumweka kwako hata ndugu yake humjui 😊
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 10 күн бұрын
Wapili jamani dada pole yani kuweni makini na wanaume wanaotaka hifadhi mtanga mwenzangu katapeliwa nyumba mbande nahao matapeli wanaume mpakaleo anajuta bola ungemlipoti polis
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 4 күн бұрын
Mama Opah❤ maua yako🎉🎉🎉❤❤
@janemusumba820
@janemusumba820 9 күн бұрын
Huyo mwanaume angekuwa Kenya angekuwa asha toa watoto kichapo
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 7 сағат бұрын
Hao wamepelekwa kwenye makambi yao hao watu sio wazuri wamejificha kwenye koti la dini..
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 9 күн бұрын
Ndoa sio lazima jamani💔🥹….polis tunawaamini sana tunaomba mtusaidie tujue mtoto yuko wapi ni mdogo sana kuwa nje ya mzazi wake ingali bado yupo hai siku 29 ni nyingi mnoo jaman🙏
@latifamubba100
@latifamubba100 10 күн бұрын
Mungu nilindie wanangu mm
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 8 сағат бұрын
Pole mama ila uliyumba sana kuanzia hapo kwenye hii ndoa yako...unaolewaje bila ya kujua familia ya mumeo na yy kujua yako...?khabari za kulea wanaume matokeo yake ndio haya mmmh.pole sana
@sophsoph4740
@sophsoph4740 9 күн бұрын
Huyu mama uso mkavu kah😢😢😢..uskute kajua walikopelekwa walahi mana binadamu wamebadilika
@user-sh1xb2ot2l
@user-sh1xb2ot2l 10 сағат бұрын
huyo baba ndo anajua waliko hao watoto
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 6 күн бұрын
Wanawake tunaugwadu sasà tutakumbana na wachawi km mm ningeenda polisi angetoka nawe hukua tayari aondoke sasa utajifunza maana hadi uchungu
@user-jx9xc6vo9x
@user-jx9xc6vo9x Күн бұрын
Pole
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 9 күн бұрын
Huyo baba inawezekana kishamweka huyo msichana kinyumba inaelekea alikuwa anatembea nae
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 8 күн бұрын
Na mimi nilifikiri hivyo,huyo baba kaenda kuolewa.
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 күн бұрын
Hata mimi namewaza ivo jamani
@user-ky5wu4gc9g
@user-ky5wu4gc9g 8 күн бұрын
Mama pio we jembe sana pamoja na mume wako nyie ni mashujaa mungu awabariki kwa kufanikisha kumkamata huyo jambaz
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 9 күн бұрын
Mungu wangu jamn daaaa mbaka naogopa wanaume Hawa mhhh
@Official83640
@Official83640 10 күн бұрын
Mungu anisamehe lkn huyo baba anahusika kwa 100% sasa mtu mmempeleka police mnashindwa kufatilia kesi jaman mmepotelewa au mnaigiza Astaghafilullah dd ulikuwa na shida ya ndoa hujawahi kuolewa ama aisee siwezi olewa hivyo km nimeokotwa jalalani😢
@AminaMtui
@AminaMtui 2 күн бұрын
Yani wanawake tujifunze kuolewa na wanaume tusio wajua na hatujui kwao ni mtihani
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 9 күн бұрын
Pole ndgyangu
@johnwilliam8980
@johnwilliam8980 Күн бұрын
Hawa ni mapepo sio binadamu
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 9 күн бұрын
Poleni sana
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 10 күн бұрын
wanawake jamani kukaribisha mtu humjui wala ndugu zake ndani kwako? kha!
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 10 күн бұрын
Tatizo la wanawake wa Tanzania 🇹🇿 warogwa na kuolewa mwanamke unawatt wako unafanya kikazi chako unapata kipato sasa kuolew kunahusu mwanamke mzuri kwani hamuwezi kuishi bila kuolewa ?mange anayaongea kilasiku hamsikii mtu ameisha kataa mtoto wako nabado unamuweka ndani kusa kuolewa ona sasa 😢
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 4 күн бұрын
Jaman ni huruma 😢 mi nikisikia watoto wamepotea uwii
@stellamanda4466
@stellamanda4466 2 күн бұрын
Nendeni kituo cha polisi chenye dawati la Jinsia
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 4 күн бұрын
Siku 15 ndoa inafungwa😏😏
@aboudybahmesh5424
@aboudybahmesh5424 3 күн бұрын
Police inaweza kuwa wako pamoja na huyo jamaa aingii akilini kabisa ni njama yao police nyinyi amjui lkn police wanaju wasinge kua wanasema mpaka tumuhuji la la police wako pamoja na mshukiwa jambazi sikuizi watu wanajua police anakula na jambazi dunia yote watu wajua huyu jamaa inaweza kua ni jambazi musiani watu saai watu ni wanyama musiache kuomba mungu pia sisi tutaomba mungu mtoto warudi salama kwa nguvu za Allah biidhini Allah
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 8 күн бұрын
Yaani hilo shetwani,lingewexa kuwauwa ucku.pia vai ni mjinga,xee lenyewe halina hata mia ya chakula,halafu anadanganywa apelekwa beach
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 6 күн бұрын
Atawabaka pia
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 3 күн бұрын
Mtangaziji anachosha
@user-cl6ro2un9h
@user-cl6ro2un9h 9 күн бұрын
So saf
@Official83640
@Official83640 10 күн бұрын
Halafu we dd mbona maneno yako unajichanganya mara likizo ya mwezi wa 3 alikataa wasije akasema watakuja mwezi wa 6 nitapanga chumba wakati mwanzo umesema umekutana nae ndani ya mwezi mmoja mkaoana
@naifathassan2607
@naifathassan2607 9 күн бұрын
Ndio sasa labda walikutana mwezi wa kwanza wapili wakaoana watatu ndio akakataa wasirudi
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 8 күн бұрын
Ahongere sn jirani waxuri
@user-ur8cq1ye3b
@user-ur8cq1ye3b 10 күн бұрын
Mungu atawawaukumu vibaya sana polic awawasaidii wananchi kabisa
@emilianapaskal7319
@emilianapaskal7319 2 күн бұрын
Mtupe update jamani wakipatikana
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 15 сағат бұрын
Kwani wanasikia
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 күн бұрын
Dada aliolewa na chizi😢
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 8 күн бұрын
Mama pole umekutana na tapeli
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 6 күн бұрын
Tapeli au muuaji
@ZenaZena-vx2ee
@ZenaZena-vx2ee 6 күн бұрын
Pore Sana mama
@user-xn1fv5fl7u
@user-xn1fv5fl7u 16 сағат бұрын
Mbona mkavu
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 6 күн бұрын
Muongo hakua mwislam huyo atakua alikua mgangaa mchawi Huo sio uislam
@rachelmuhehe7789
@rachelmuhehe7789 4 күн бұрын
Jamani tuishi kwa amani, jirani ni ndugu.
@Abbychibu
@Abbychibu 9 күн бұрын
Serikar wakuu police tanzania polis kaz yenu nn jmn mnakatisha sana tamaa
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 5 күн бұрын
Jamani Serikali inawapa Wanawake wakati MGUMU sana.
@omanoman2044
@omanoman2044 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 huu ndo uj8nga tunafanya et ndoa mungu wangu
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 9 күн бұрын
Sasa zamu ya wababa kupoteza watoto.
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 9 күн бұрын
Ila tanzania kwenda kumkamata mtuhumiwa wananchi ndio wanatoa hela ya mafuta 😂
@omanoman2044
@omanoman2044 7 күн бұрын
Yan unakutana na mtu stend unamchukuw nyumban kwako subkhan llah
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 6 күн бұрын
Watu wanataka mabwana jamani uyo hafai atafute mwengine
@omanoman2044
@omanoman2044 6 күн бұрын
@@user-ft2vq5on6l asara yakutaka mabwana ndo hiyo mtihan huo
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 7 күн бұрын
Muombe mama Samia akusaidie
@zeranchimbi2808
@zeranchimbi2808 4 күн бұрын
wanasubiri wafe ndio waje wakupe pole na kukemea kinafiki
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 9 күн бұрын
Analia analia analia.😂😂
@rayahamisi118
@rayahamisi118 7 күн бұрын
Sio ya kucheka
@omanoman2044
@omanoman2044 7 күн бұрын
Mungu wangu huyo alikuja kuwaiba tuy alitumia kukupenda ww mwezi unaleta mwanaume ndan et mme wanawake jitambuien kwan ni h8zo nyege zinawasupuw am ni ujinga tuy umetujaa sasa mtamtafutia wap huyo baba
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 5 күн бұрын
Sasa hiyo muziki ya nini inatuumiza vichwa. Ahhhhh
KIKAO CHA WAJAWAZITO WITH GLADNESS KIFALUKA - EPISODE 1
28:26
ZamaradiTV
Рет қаралды 4,4 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 9
21:59
ZamaradiTV
Рет қаралды 3,7 М.
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 20 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 38 МЛН
Sigma Girl Past #sigma #funny #comedy
0:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 24 МЛН
Эта ведьма поедает детишек #фильм #кино
0:53
МеткийДик
Рет қаралды 2,7 МЛН
Не плавайте тут! 🏊🚫
0:24
Взрывная История
Рет қаралды 5 МЛН
育児6年目の韓国人父が娘と遊ぶ方法4 #shorts
0:11
ミョリムMyorimu
Рет қаралды 26 МЛН