@@sweetie6934 Mungu nimwema kila wakati ipo siku yao hao wachawi
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@sweetie6934 kweli kabisa.
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 kabisa yani
@fadhiliswalehe92863 жыл бұрын
Mie ni genius na nina kumbukumbu kali ila zabron umenizidi big up bro
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Jamaa ni genius kinoma achagui kazi kbs zotee kafanya zotee zile vjna wa sasa awawezi yy kapiga...umepitia magumu mnooo jamani aiseee daah..pamoja ba yotee lkn Mungu ajakuacha bado anakubariki kwa njia tofauti
@chopsmediatz3 жыл бұрын
huyo zabron story yake tam sana na anajua kuelezea, vizuri kwa utaratibu, kazi nzuri davista
@popoali66413 жыл бұрын
Maashaallah huyu jamaa nmempenda story zake tamu mungu amfungulie rzk zake
@oprahsalum81853 жыл бұрын
Hongera sana mwanangu you are not a quieter
@neemaomar763 жыл бұрын
Niliku naisubir kwa hamu ndio kwanza nmewek bando nmekimbilia you tube 🤣 nashkur nmeikuta 😂🥰
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Mimi nilikuwa naiwaza tu sasa nimefrahi
@biambarak52983 жыл бұрын
Hii story nzuri sana na refu Kama Ile ya juma 17
@JOZELDOTz3 жыл бұрын
HIVI MMEJIVUNZA NINI KWENYE HIYI VIDEO? Comment down Tuone
@oprahsalum81853 жыл бұрын
From South Africa huyu kijana ni nguvu kazi, mvumilivu ,ana upendo and he is very patient Mungu ambariki sana and he is not a give up type
@aishasaid67493 жыл бұрын
Usikate tamaa mapema mtihani ipo na kila mtu humkuta
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Nimejifunza mengi moja apo binaadamu tusikate tamaa yote ni mitihani tu tusimkufuru Mungu
@charlesmapunda59053 жыл бұрын
Kweli mejifunza mengi lakini makubwa ni Watu wenye roho mbaya,kutokata tamaa katika maisha, Uvumilivu, Upendo, Kutochagua kazi, Ubaya wa ushirikina, Nuksi na Mikosi yaani mambo mengi ukiachilia mbali burudani na mafundisho.
@marysteven6053 жыл бұрын
Nimejifunza katika Maputo mazito,mtegemee Mungu wala wewe usifanye mabaya itafika mda Mungu atakutetea tu utashinda,
@jamilaally31723 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
@aishasaid67493 жыл бұрын
Hii stori naipenda
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Umepitia magumu sana pole Zabron
@nurudaud39932 жыл бұрын
Kichwa kiko poa sana brother uko genius sana be blessed bro thanks Mr everything davistar mata na mikas na story za kijanja naelimika sana😊
@mwaisanyonyoma4163 жыл бұрын
TAZAMA VICHEKESHO VYA USWEGE KUPITIA LINK HIIkzfaq.info/get/bejne/rKx5bNh1x9vSZJ8.html USISAHAU KUSUBSCRIBE....
@happynesskimt62492 жыл бұрын
Mungu ni mwema akikupangikitu binadamu kamwe hawezi pangua hata kwa ndumba haiwezekani : vijana tujifunze kujitumana na hakuna kuchagua kazi wala kukatatamaa💪
@caimedia3 жыл бұрын
Zabron Leo unanirudisha nyuma kabisa katka kipindi cha sitasahau cha RFA, hongera kwa simulizi nzuriii
@tracyirene89173 жыл бұрын
Nipo bado 👍 Duhh !!Mr.facts
@lizzybeth63443 жыл бұрын
Duh sio kwa changamoto izo ulizopitia Kaka pole
@joycejoseph88633 жыл бұрын
I was waiting for it#🇰🇪
@daudimziwanda95363 жыл бұрын
Me 2
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Me 3
@barakamakongo61843 жыл бұрын
And here it is
@carolinetalam58323 жыл бұрын
No matter the hard life this guy passed through, he looks very young and handsome tuned 🇰🇪 🇰🇪
@barakamakongo61843 жыл бұрын
True
@abbyadams86913 жыл бұрын
Wanaume wa Bongo siku zote tuko handsome. Diamond platinumz ndo mwanaume pekee mwenye sura mbaya.🙉🙉🙉😅😆😆😅
@carolinetalam58323 жыл бұрын
@@abbyadams8691 hahaha 😄 😄 you've made my night, i mean amejitunza hajachiachilia coz watu wa rika lake wamezeeka Sana hata utapata wengine wa born 80s but wamechapa sana
@abbyadams86913 жыл бұрын
@@carolinetalam5832 🤸🤸😜
@matabarohm31673 жыл бұрын
Story ndefuuuu saana, ila nimekuwa nasubiri history ya gamboshi. Mimi ni mrundi tena gamboshii ao the Triangle. Mukuwe makini
@salehfarid10033 жыл бұрын
DAVISTER kapelo hizo zinakutulia saaana ✅✅✅👍🏼
@pilimusa77703 жыл бұрын
Saana
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Unamsfia
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Ni story yako nzuri na inaskitisha pole kwa kupitia magumu
@neemalambo97903 жыл бұрын
Wow! Nimewahi
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Hiyo t-shirt ya Arsenal 💃💃💃
@sallo27.703 жыл бұрын
Kwa kweli Mitihani Ipo. Ila MUNGU Hamtupi Mja wake. (Speed).
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
Miaka 15 ya Zabron enzi hizo alitakiwa asalimiwe na wanaume miaka 30 waliokuwa wanaishi kwao.... Kama maisha hayo bora wali maharage kuliko wali mwengu
@theunseen.believe56723 жыл бұрын
😄😄😄Davista anakatiza stori anakuwacha na hamu ya kujua kilichofuatia(suspence)
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Misukosuko yote lkn Mungu alikua upande wako
@patriciakamugisha22943 жыл бұрын
Dah!maish yako kama story huamini kama yametokea kweli. Umezaliwa na bahati sana. Tuletee nyingi kwa mfululizo bac