DR SULLE AFUNUA TOFAUTI YA UTAJIRI WA NYOKA NA UTAJIRI WA PETE

  Рет қаралды 96,184

Bongo Touch

Bongo Touch

2 ай бұрын

Пікірлер: 370
@andrewmoi2186
@andrewmoi2186 2 ай бұрын
Dugu sangu msiedee uyu nganga ni atari Sana tumtengemee mwenyezi mungu ata kama utakufa maskini aina shida Matajiri na masikini wote tutakufa
@badruseif1318
@badruseif1318 2 ай бұрын
Andrew unazungumzia uganga WA aina gani? Mana hata ukienda muhimbili kuna mganga mkuu
@andrewmoi2186
@andrewmoi2186 2 ай бұрын
@@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu
@sleyumngolo
@sleyumngolo 2 ай бұрын
Uelewa wako mdogo
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 Ай бұрын
Sahihi kabisa, huyu ni mganga na anapaswa kupingwa vikali sana
@rajabuidd45
@rajabuidd45 Ай бұрын
Wewe mpaka Sasa una magari mangapi
@jumaothman4411
@jumaothman4411 2 ай бұрын
shekh umekua unajua kadari kuliko ata mtume sasa duh muogope mungu usipoteze watu
@IbrahimMwinyi
@IbrahimMwinyi Ай бұрын
Ameongea ukwel kam umefatilia vizur
@SANDUKUTV
@SANDUKUTV 2 ай бұрын
Rizk anatoa Allah na anamkadiria mwenyewe
@azizaramdan5879
@azizaramdan5879 Ай бұрын
Kumbe huyu naye ni mshrikina namba 1 subhanna llah
@alimwadima254
@alimwadima254 2 ай бұрын
Shukran Kwa kunielemisha juu Ya Hayo makundi manne Dr.Sule
@mwanamkemuislamutv9369
@mwanamkemuislamutv9369 2 ай бұрын
ATAKAE AMINI HILI ANA AKILI KAMA ZAKO .....KUNA KITU NYUMA YA PETE UNAWAFICHA WATU.
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 2 ай бұрын
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 Ай бұрын
Kwa mgaga wa kienyeji
@Blessedboi8019
@Blessedboi8019 2 ай бұрын
Wewe ni agenti wa shetani
@abdulrahmanally7614
@abdulrahmanally7614 2 ай бұрын
Nilikua namuheshim sana dr sulle ila kumbe upo kwenye ushirikina dah! Allah akuongoe
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 Ай бұрын
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 Ай бұрын
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
Ushirikina na uislam ni ndugu moja
@salimuismaily7754
@salimuismaily7754 Ай бұрын
Tatizo hujamsikiliza Kwa kumuelewa umemsikiliza Kwa kumpinga
@abdurahimabdulkadir3926
@abdurahimabdulkadir3926 Ай бұрын
​@@FridayMwassashakahola pia alkua mwislamu au
@fawziyahassan5714
@fawziyahassan5714 Ай бұрын
Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle
@fahadrashid9754
@fahadrashid9754 2 ай бұрын
Shida ya shekh mifano anayotoa hasemi kama ni khadithi au qur.an n kama hadithi wapokezi ni wepi
@salaamibahsan3063
@salaamibahsan3063 2 ай бұрын
Daah shekh wangu unapigia debe ushirikina daah mtihani kwakweli
@user-kc6hc6re7t
@user-kc6hc6re7t 2 ай бұрын
YOTE NI SHIRK
@husnatoba8124
@husnatoba8124 Ай бұрын
Hamna mshirikina yoyote bila kusoma na wengi ndio wanapoteza jamii na Moroni pia atakua na kundi lake.innalilahi WA inna ilaihi rajiyun
@ibnuali6857
@ibnuali6857 2 ай бұрын
Duh allah akuongoze sule shirki hiyo ndugu rudi kwa allah uombe msamaha na hizo shirki utubie
@josephshirima7057
@josephshirima7057 2 ай бұрын
Ni kweli tunatakiwa kujifunza Kwa kuuliza tusiyoyajua ila hadithi zinasema nabii Suleiman alikuwa na hyo Pete hebu ifatilie uijue
@mamuamtoto
@mamuamtoto 2 ай бұрын
@josephshirima7057Nabii Suleiman alikua nao Pete hii niTarehwe nimesoma hata mimi kama sijakosea Kitabu cha RiyadhiSalihin jaribu kufuatilia.
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 Ай бұрын
Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 2 ай бұрын
Sulle unauchafua uislamu bila wewe kujua, hiyo ni shirk
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 Ай бұрын
Uyo ndiye anajuwa siri yote ya uislam
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 Ай бұрын
@@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi
@ahmetmwandu8499
@ahmetmwandu8499 Ай бұрын
@@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini. Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Sijui nacheka ninj ila naogopa kupoteza imani yangu kwakusikiliza hawa mashehe washirikina yarabi nakuomba utungoze
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
​@@ahmetmwandu8499Wewe ndiyo unayesema hajui kitu lakini waislam wenzako wana muunga mkono kwamba yuko sahihi
@user-hd3pi3bc9v
@user-hd3pi3bc9v 2 ай бұрын
Ww mzee acha utapeli na ushirikina na visa vyako vya uwongo ipo siku utakufa na utalipwa kwa unachokitenda✓
@user-qr2ww4nl7f
@user-qr2ww4nl7f 2 ай бұрын
Adhubillahi minasheitwani raajim.yoooo kumbe huyu sheikh nimushilikina ivyo.allah amusamehe kwakwer😢
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 ай бұрын
Ikiwa hujafahamu hasa.uliza tena...Mungu amaumba Sisi na majini tumuabudu...Sawa?
@user-hd3pi3bc9v
@user-hd3pi3bc9v 2 ай бұрын
Halafu usilazimishe kuwa una elimu nendaa ukasoma itikadi sahihi ya dini yako [
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 Ай бұрын
Nakuelewa Sana dk sule
@ndabatv518
@ndabatv518 2 ай бұрын
Ndo maana waganga wengi ni waislamu...fatiliya mtaani kwako utakubaliana na mimi
@badruseif1318
@badruseif1318 2 ай бұрын
Ndaba kule sumbawanga makafiri watupu lkn kumejaa waganga
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 ай бұрын
Fremason wengi wakristo fatilia uniambie hlf nikwambie kitu hawa prophet ni hatar kuliko huy shekhe
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os 2 ай бұрын
Mafreemasons wengi ni wakristo na wasiokuwa na dini kenge ww!! pia wale waganga wa Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Kigoma na Mara wale waislam ?? kenge mkubwa ww
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 Ай бұрын
Hawa Bure kabisa wanshenzie eeh😊
@fredducaunt
@fredducaunt Ай бұрын
​@@aminatanzanya7475😂😂 freemasons ni ma atheist na maislamu bhna fatlia bro Hakuna mapichapicha ya kafara kwenye Ukristu bob
@sambatv3194
@sambatv3194 Ай бұрын
Shirk ni shirk hakuna cha elmu ...hapa kama kuna mtu Ana elmu kuliko Rasul (S.A.W)
@HusseinHamidu-nq1vc
@HusseinHamidu-nq1vc Ай бұрын
Watanzania tunapenda kukariri TU maisha utasiki ni shirki hii ndipo tunapo fely
@allyabdalla8688
@allyabdalla8688 Ай бұрын
kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.
@FhhbCanhebeg-tv9sv
@FhhbCanhebeg-tv9sv 29 күн бұрын
Dr sule uko vzr kwa ili mtu akuelewe inabid akusikilize sanaa
@mantosanto3222
@mantosanto3222 Ай бұрын
Dr naomba unisaidie nimeishi maisha magumu sana
@TwariqYusuf24
@TwariqYusuf24 2 ай бұрын
Kutegemea jini kwa ulinzi ni Shirki ya wazi katika uislamu..tatizo sio watu kukosa elimu bali ni kwa Dr. Sule kukosa elimu ya Tawheed
@user-ui2cc4bk6m
@user-ui2cc4bk6m 2 ай бұрын
Huu ni ushirikina
@TheFikra
@TheFikra 2 ай бұрын
Subhannallah kumbe huyu ni mshirikina kiasi hiki? Amefikia hadi kuhusianisha nyota na maisha ya watu?
@Aisha-qx7kz
@Aisha-qx7kz 2 ай бұрын
Masha Allah ALLAH atuongoze na atakabalie dua zetu insha Allah
@rahmasalum1317
@rahmasalum1317 2 ай бұрын
Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah
@noahnsubc1666
@noahnsubc1666 Ай бұрын
Ustadh unamaliza Mb na story za uo go😂😂😂 mtangazaji katulia tu
@SameerMdumbemalongo
@SameerMdumbemalongo Ай бұрын
Njaaa mbaya sana kwa huyu Jaaahili....alianza kweny nyuki na nyambu zake....leo anaumbuka laivu
@AboubakarNiyonzimaAboubakar32
@AboubakarNiyonzimaAboubakar32 Ай бұрын
Eti jini anaweza kukulinda ni ushirikina Allah hapendi hayo wew Sule Soma qur'an suratu Al an'am Ayat ya 128
@user-ec7wu9bk8w
@user-ec7wu9bk8w Ай бұрын
Kwhy unajisifia sasa...Allah anakuona Sulle...!!!
@user-kh2hn8in1s
@user-kh2hn8in1s 2 ай бұрын
Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo
@michaeljoseph3118
@michaeljoseph3118 2 ай бұрын
Hii Ni Shirki Sio Mafundisho Ya Mungu Ata Kidogo ,Hii Ni Shirki Total
@duncanbee1263
@duncanbee1263 Ай бұрын
This guy is a genius 😅
@HeboniBabu
@HeboniBabu Ай бұрын
Mweleweni Sheikh vizuli musilaumu kwasababu ayo Ni mafundisho ya Dunia Na ahelaa kwaiyo mafundisho upate kuwelewa
@usrahismail3196
@usrahismail3196 2 ай бұрын
Eti Mungu anaumba kwa udongo wa shari na udongo wa kheri ?
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 Ай бұрын
Watapoteza watu hawa😮😮
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 Ай бұрын
Soma Quran utupe Aya tufatilie
@sheikhidrisa9793
@sheikhidrisa9793 Ай бұрын
Hii ni elim tu kosa la dr sulle tu hakutakiwa kuisomesha kwa watu wasiojua ulimwengu wa mamb ya kiroho mie niko pamoja na wewe kaka toa elim
@Mpuuzikichekesho5610
@Mpuuzikichekesho5610 2 ай бұрын
Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂 Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 Ай бұрын
Sasa uyu Sule mwisho wake utakua mbaya saaaana ☺️☺️
@adamkassim-ts2ds
@adamkassim-ts2ds Ай бұрын
Uyu anapoteza waislam ana support shirki
@Kaankaraz
@Kaankaraz 2 ай бұрын
Kumbe Huyu ni mshirikina sikulifahamu hili kabla
@user-ls4ih7hz8s
@user-ls4ih7hz8s 2 ай бұрын
Hiyo ni shirk mtu ahusiani na nyota Aina hizo za makadirio umetoa wapi lete dalili we ni mpiga ramri tu
@hassanjr5318
@hassanjr5318 2 ай бұрын
Aliwahi sema kuhusu Nabi Sulemani na matumizi ya Pete
@allahisone6386
@allahisone6386 2 ай бұрын
​ EEWEEEEEH_🤔 EBU TUONE HIO CLIP
@hassanjr5318
@hassanjr5318 2 ай бұрын
@@allahisone6386 kzfaq.info/get/bejne/bqmTf66hrZa3cYk.htmlsi=O3AMnmtv0iBYN81s
@juntaadichie1923
@juntaadichie1923 Ай бұрын
Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول
@RaniyaOmary
@RaniyaOmary Ай бұрын
Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher
@fundimorisho8230
@fundimorisho8230 Ай бұрын
Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa
@abdialiabdi5862
@abdialiabdi5862 Ай бұрын
Hata siamini ninachokiona..😢 ndo huyu dr 😢
@MwanamkuuMumbe
@MwanamkuuMumbe Ай бұрын
Maashaallar
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 Ай бұрын
shirk zipo za aina nyingi kukitegemea kiumbe kingine kikupe utajiri badala ya M/Mungu nayo ni shirk ..
@jumaabdallah6087
@jumaabdallah6087 2 ай бұрын
Ushirikina wa wazi
@bigemagomabigemagoma6312
@bigemagomabigemagoma6312 Ай бұрын
Alhamdulilah Allah ametujulisha wewe ni Mtu wa aina Gani
@yusrashaban8138
@yusrashaban8138 Ай бұрын
Allahuakbar
@kanzucentre3468
@kanzucentre3468 Ай бұрын
Ameamua kujidhihirisha dakika za mwisho , muoneni ulamaa mumpishe kibla Kiukweli amepoteza mvuto na mwelekeo amfate tu mzee yussuf
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 Ай бұрын
Nyota,Majini na pete ni Shirk jieoushe na hizo Elimu Kaka Maxinge yupo vizuribmno juu ya hilo
@sabrimtumweni5633
@sabrimtumweni5633 Ай бұрын
Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake
@abuumadesign8095
@abuumadesign8095 Ай бұрын
Sheikh bora urudi kwenye moja dharau lakini huko ndugu yangu unajivalisha Jojo lisilo lako
@AllyAhmad-zg2yp
@AllyAhmad-zg2yp Ай бұрын
Sule dua haibadilishi kadar umekosea bali hio dua pia nikadar maana Allah alijua kua utaomba dua tatizo liondoke ,kwa hio pia dua imekua kadar
@yunusrashid3356
@yunusrashid3356 Ай бұрын
Nakuelewa Sanaa suleiman
@Ngendakumana_
@Ngendakumana_ Ай бұрын
😂😂😂😂tunapokwenda mutajiretatuu😅 tumefika pakusema mipangoyamungu inapanguka 😢😢aliyeomba eti mipangoyamungu hayipanguki yukowapi😂😂😂😂
@galeebkhan0138
@galeebkhan0138 Ай бұрын
Shk Huyu n mshirikina acheni kumsikiliza
@AbdulKitalula
@AbdulKitalula Ай бұрын
Hawa ndio wale Mashekh wanaowachapa watu mitaani kisa hawajafunga ramadhani
@ackimackim1880
@ackimackim1880 2 ай бұрын
SULE NI KIGAGULA YAANI SANGOMA, NA UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAISHIA KUWA SANGOMA, ILA MNARAHISISHA KUJIITA WATALAMU,UCHAWI TU.
@user-vk1xf3lk9h
@user-vk1xf3lk9h Ай бұрын
Mh hakika badosijawai kumeelewa huyumtu
@florayoram9563
@florayoram9563 Ай бұрын
Sule anaongea vizuri sana juu ya paswed ya riziki😂
@Jumasaidi-iv8cj
@Jumasaidi-iv8cj Ай бұрын
Dah mungu tusamehe sisi tisio na elimu eti mtu kabisa anakwambia jini kukulinda inafaa je huyo jini anakulindaje pasipo na masharti
@LaurenciaMashala
@LaurenciaMashala Ай бұрын
Huyu jamaa anakwepa maswali badala yake anatupeleka kwa mitume
@AnnoyedCityMap-im1dd
@AnnoyedCityMap-im1dd Ай бұрын
huyu sheikh ni mtu muhimu sana ktk huu umma japo wasionsikiliza hawawezi kumuelewa.
@GloriaCharles-bu4fk
@GloriaCharles-bu4fk Ай бұрын
Upandacho ndicho utakachovuna usichanganye dini na uganga mungu adhihakiwi unamtumikia nani
@regnaldymambaly9880
@regnaldymambaly9880 Ай бұрын
Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine
@CharlesMganga-kk7jv
@CharlesMganga-kk7jv Ай бұрын
Dokta sulle nakuku Bali sana mimi ni mkristo lakini nakiamini unachofundisha
@KihangoDonard
@KihangoDonard Ай бұрын
Mungu jaman atulinde huu utajiri siyo
@amanihamis217
@amanihamis217 2 ай бұрын
Mashallah
@HamzaNassoro-kn6yt
@HamzaNassoro-kn6yt Ай бұрын
Mungu akunusuru dada
@mbarakassa4347
@mbarakassa4347 Ай бұрын
Allah akutowe huko kwenye itikadi hiyo ya,shirki usowake unaonesha zahiri kama una,danganya wacha uzushi
@chakeali7772
@chakeali7772 2 ай бұрын
Lete dalili katika maneno yako ya nyota na Pete unapoteza watu shekhe
@hassanjr5318
@hassanjr5318 2 ай бұрын
Kisa cha Nabi Suleiman dalili ya Pete Dalili ya nyota inauhusiana mkubwa sana na Hoja ya kwamba kila mwanadamu ana jini wake hapo ndio taarifa za nyota huanzia
@MargauxNyambura
@MargauxNyambura Ай бұрын
Eti hiyu ni Sheikh watu kweli wanalitumia jina la mwenyezi mungu
@piusmbwana3329
@piusmbwana3329 Ай бұрын
Dini ni mchanganyiko wa elimu ya kiroho na utamaduni wa jamii fulaniii
@rahmajohn7284
@rahmajohn7284 Ай бұрын
Ya Allah tuhepushe na ushirikina😢
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 Ай бұрын
Ww sule mshirikina
@ibrahimgollosaid512
@ibrahimgollosaid512 2 ай бұрын
Got it..!!
@mwanamkemuislamutv9369
@mwanamkemuislamutv9369 2 ай бұрын
VISA VYENGINE VIHAKIKISHENI MAPOKEZI YAKE JEE VIME SIHI AU NIVYAKUZUSHA....KWANI NABII MUSSA HAKUWA MCHAMUNGU.... BWANA SULE MANENO MENGINE KUWA MAKINI KUYAELEZA JAMII. Daah hichi kisa Kina wa atiii tena sana.
@mbarakashekallaghe1210
@mbarakashekallaghe1210 Ай бұрын
Msitumie dini kwa njaa zenu na kutudhalilishia dini
@shamisfahiye9628
@shamisfahiye9628 2 ай бұрын
Tawheed yako imenda wapi?
@barazasule9582
@barazasule9582 Ай бұрын
Dr Sule, Sasa sikuelewi tena kama zamani.
@muhibukesh7121
@muhibukesh7121 Ай бұрын
Mi namuelewa
@MustafaShaban-gm3mh
@MustafaShaban-gm3mh Ай бұрын
Huyu sheikh nishamtilia mashaka
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 2 ай бұрын
Huyu Jamaa n Mshirikina sanaa
@hassanjr5318
@hassanjr5318 2 ай бұрын
Usihukumu anaejua zaidi ni Allah labda hakosei elimu pana
@AbdiAthumani-es7og
@AbdiAthumani-es7og 2 ай бұрын
​@@hassanjr5318acha kujiriwaza niushurikina wawazi kabisa
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij 2 ай бұрын
Kwa we Zeno mnaitolea shaanaa macho,uwoogo nthupo,mtume muhamadi(s.a.w.) hakusema upuzi uwoo.
@jamalykimaro961
@jamalykimaro961 Ай бұрын
Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee
@hamzarangi7989
@hamzarangi7989 Ай бұрын
Dr nakuelwa sana
@Users2523
@Users2523 2 ай бұрын
Hiyo stori ipo kwenye kitabu gani??
@LizenMaker
@LizenMaker 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@YasiniRajabuAlly-oc1pd
@YasiniRajabuAlly-oc1pd Ай бұрын
Hili linamiamala na mashetani huoni hata sulab yake ishaelekea ushetanini
@mobimbalongida
@mobimbalongida 2 ай бұрын
aminia sana dua
@hurulaainmalkiaaisha1508
@hurulaainmalkiaaisha1508 Ай бұрын
Allahu ya aalam
@usrahismail3196
@usrahismail3196 2 ай бұрын
Pete haisaidii lolote Bw sulle Mimi sasa sitakuita daktari kumbe udaktari ni wa kishirikina Ima kazi ile ya kuchambua Biblia,upo sawa nakuunga mia kwa mia
@Onchieku-cp8wd
@Onchieku-cp8wd 2 ай бұрын
Huyu ni mshirikina tu...
@Kekulebenzene
@Kekulebenzene 2 ай бұрын
Mshirikina tu huyo
@hassanjr5318
@hassanjr5318 2 ай бұрын
Nabil Sulemani umepitia kisa chake ?
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 2 ай бұрын
Una elimu ndogo
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 ай бұрын
Mi nauliza huy anasaidia nn huwa namuona tuu leo ndio nimesikiliz
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 Ай бұрын
Niliambia watu uisilamu niurogi wakakataa sasa muone huyu mshirikina 😏😏
@andrewmoi2186
@andrewmoi2186 2 ай бұрын
Kweli uyu mutu mganga tu
@salumuledisalum8038
@salumuledisalum8038 2 ай бұрын
Wewe ulikuwa hujui huyu ni tapeli sio mganga
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 52 МЛН
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
DR.SULLE HATAKI MASIHARA TENA//ELIMU YANGU ITADUMU NITAKUMBUKWA NA........
38:03
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00