Dugu sangu msiedee uyu nganga ni atari Sana tumtengemee mwenyezi mungu ata kama utakufa maskini aina shida Matajiri na masikini wote tutakufa
@badruseif13182 ай бұрын
Andrew unazungumzia uganga WA aina gani? Mana hata ukienda muhimbili kuna mganga mkuu
@andrewmoi21862 ай бұрын
@@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu
@sleyumngolo2 ай бұрын
Uelewa wako mdogo
@ahmetmwandu8499Ай бұрын
Sahihi kabisa, huyu ni mganga na anapaswa kupingwa vikali sana
@rajabuidd45Ай бұрын
Wewe mpaka Sasa una magari mangapi
@jumaothman44112 ай бұрын
shekh umekua unajua kadari kuliko ata mtume sasa duh muogope mungu usipoteze watu
@IbrahimMwinyiАй бұрын
Ameongea ukwel kam umefatilia vizur
@SANDUKUTV2 ай бұрын
Rizk anatoa Allah na anamkadiria mwenyewe
@azizaramdan5879Ай бұрын
Kumbe huyu naye ni mshrikina namba 1 subhanna llah
@alimwadima2542 ай бұрын
Shukran Kwa kunielemisha juu Ya Hayo makundi manne Dr.Sule
@mwanamkemuislamutv93692 ай бұрын
ATAKAE AMINI HILI ANA AKILI KAMA ZAKO .....KUNA KITU NYUMA YA PETE UNAWAFICHA WATU.
@swahilitherapytv38462 ай бұрын
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??
@hasanipoy3976Ай бұрын
Kwa mgaga wa kienyeji
@Blessedboi80192 ай бұрын
Wewe ni agenti wa shetani
@abdulrahmanally76142 ай бұрын
Nilikua namuheshim sana dr sulle ila kumbe upo kwenye ushirikina dah! Allah akuongoe
@ahmetmwandu8499Ай бұрын
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
@ahmetmwandu8499Ай бұрын
Hakika, hata mwenyewe kwasasa simuamini tena
@FridayMwassaАй бұрын
Ushirikina na uislam ni ndugu moja
@salimuismaily7754Ай бұрын
Tatizo hujamsikiliza Kwa kumuelewa umemsikiliza Kwa kumpinga
@abdurahimabdulkadir3926Ай бұрын
@@FridayMwassashakahola pia alkua mwislamu au
@fawziyahassan5714Ай бұрын
Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle
@fahadrashid97542 ай бұрын
Shida ya shekh mifano anayotoa hasemi kama ni khadithi au qur.an n kama hadithi wapokezi ni wepi
Hamna mshirikina yoyote bila kusoma na wengi ndio wanapoteza jamii na Moroni pia atakua na kundi lake.innalilahi WA inna ilaihi rajiyun
@ibnuali68572 ай бұрын
Duh allah akuongoze sule shirki hiyo ndugu rudi kwa allah uombe msamaha na hizo shirki utubie
@josephshirima70572 ай бұрын
Ni kweli tunatakiwa kujifunza Kwa kuuliza tusiyoyajua ila hadithi zinasema nabii Suleiman alikuwa na hyo Pete hebu ifatilie uijue
@mamuamtoto2 ай бұрын
@josephshirima7057Nabii Suleiman alikua nao Pete hii niTarehwe nimesoma hata mimi kama sijakosea Kitabu cha RiyadhiSalihin jaribu kufuatilia.
@mussamalekela2107Ай бұрын
Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.
@ahmetmwandu84992 ай бұрын
Sulle unauchafua uislamu bila wewe kujua, hiyo ni shirk
@dorcaskarago2876Ай бұрын
Uyo ndiye anajuwa siri yote ya uislam
@ahmetmwandu8499Ай бұрын
@@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi
@ahmetmwandu8499Ай бұрын
@@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini. Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Sijui nacheka ninj ila naogopa kupoteza imani yangu kwakusikiliza hawa mashehe washirikina yarabi nakuomba utungoze
@FridayMwassaАй бұрын
@@ahmetmwandu8499Wewe ndiyo unayesema hajui kitu lakini waislam wenzako wana muunga mkono kwamba yuko sahihi
@user-hd3pi3bc9v2 ай бұрын
Ww mzee acha utapeli na ushirikina na visa vyako vya uwongo ipo siku utakufa na utalipwa kwa unachokitenda✓
Fremason wengi wakristo fatilia uniambie hlf nikwambie kitu hawa prophet ni hatar kuliko huy shekhe
@MuuYascohy-oc7os2 ай бұрын
Mafreemasons wengi ni wakristo na wasiokuwa na dini kenge ww!! pia wale waganga wa Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Kigoma na Mara wale waislam ?? kenge mkubwa ww
@mjombawallace4966Ай бұрын
Hawa Bure kabisa wanshenzie eeh😊
@fredducauntАй бұрын
@@aminatanzanya7475😂😂 freemasons ni ma atheist na maislamu bhna fatlia bro Hakuna mapichapicha ya kafara kwenye Ukristu bob
@sambatv3194Ай бұрын
Shirk ni shirk hakuna cha elmu ...hapa kama kuna mtu Ana elmu kuliko Rasul (S.A.W)
@HusseinHamidu-nq1vcАй бұрын
Watanzania tunapenda kukariri TU maisha utasiki ni shirki hii ndipo tunapo fely
@allyabdalla8688Ай бұрын
kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.
@FhhbCanhebeg-tv9sv29 күн бұрын
Dr sule uko vzr kwa ili mtu akuelewe inabid akusikilize sanaa
@mantosanto3222Ай бұрын
Dr naomba unisaidie nimeishi maisha magumu sana
@TwariqYusuf242 ай бұрын
Kutegemea jini kwa ulinzi ni Shirki ya wazi katika uislamu..tatizo sio watu kukosa elimu bali ni kwa Dr. Sule kukosa elimu ya Tawheed
@user-ui2cc4bk6m2 ай бұрын
Huu ni ushirikina
@TheFikra2 ай бұрын
Subhannallah kumbe huyu ni mshirikina kiasi hiki? Amefikia hadi kuhusianisha nyota na maisha ya watu?
@Aisha-qx7kz2 ай бұрын
Masha Allah ALLAH atuongoze na atakabalie dua zetu insha Allah
@rahmasalum13172 ай бұрын
Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah
@noahnsubc1666Ай бұрын
Ustadh unamaliza Mb na story za uo go😂😂😂 mtangazaji katulia tu
@SameerMdumbemalongoАй бұрын
Njaaa mbaya sana kwa huyu Jaaahili....alianza kweny nyuki na nyambu zake....leo anaumbuka laivu
@AboubakarNiyonzimaAboubakar32Ай бұрын
Eti jini anaweza kukulinda ni ushirikina Allah hapendi hayo wew Sule Soma qur'an suratu Al an'am Ayat ya 128
@user-ec7wu9bk8wАй бұрын
Kwhy unajisifia sasa...Allah anakuona Sulle...!!!
@user-kh2hn8in1s2 ай бұрын
Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo
@michaeljoseph31182 ай бұрын
Hii Ni Shirki Sio Mafundisho Ya Mungu Ata Kidogo ,Hii Ni Shirki Total
@duncanbee1263Ай бұрын
This guy is a genius 😅
@HeboniBabuАй бұрын
Mweleweni Sheikh vizuli musilaumu kwasababu ayo Ni mafundisho ya Dunia Na ahelaa kwaiyo mafundisho upate kuwelewa
@usrahismail31962 ай бұрын
Eti Mungu anaumba kwa udongo wa shari na udongo wa kheri ?
@mjombawallace4966Ай бұрын
Watapoteza watu hawa😮😮
@mjombawallace4966Ай бұрын
Soma Quran utupe Aya tufatilie
@sheikhidrisa9793Ай бұрын
Hii ni elim tu kosa la dr sulle tu hakutakiwa kuisomesha kwa watu wasiojua ulimwengu wa mamb ya kiroho mie niko pamoja na wewe kaka toa elim
@Mpuuzikichekesho56102 ай бұрын
Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂 Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee
@Shomariamuri1Ай бұрын
Sasa uyu Sule mwisho wake utakua mbaya saaaana ☺️☺️
@adamkassim-ts2dsАй бұрын
Uyu anapoteza waislam ana support shirki
@Kaankaraz2 ай бұрын
Kumbe Huyu ni mshirikina sikulifahamu hili kabla
@user-ls4ih7hz8s2 ай бұрын
Hiyo ni shirk mtu ahusiani na nyota Aina hizo za makadirio umetoa wapi lete dalili we ni mpiga ramri tu
@hassanjr53182 ай бұрын
Aliwahi sema kuhusu Nabi Sulemani na matumizi ya Pete
Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول
@RaniyaOmaryАй бұрын
Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher
@fundimorisho8230Ай бұрын
Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa
@abdialiabdi5862Ай бұрын
Hata siamini ninachokiona..😢 ndo huyu dr 😢
@MwanamkuuMumbeАй бұрын
Maashaallar
@tahirnephessalum3678Ай бұрын
shirk zipo za aina nyingi kukitegemea kiumbe kingine kikupe utajiri badala ya M/Mungu nayo ni shirk ..
@jumaabdallah60872 ай бұрын
Ushirikina wa wazi
@bigemagomabigemagoma6312Ай бұрын
Alhamdulilah Allah ametujulisha wewe ni Mtu wa aina Gani
@yusrashaban8138Ай бұрын
Allahuakbar
@kanzucentre3468Ай бұрын
Ameamua kujidhihirisha dakika za mwisho , muoneni ulamaa mumpishe kibla Kiukweli amepoteza mvuto na mwelekeo amfate tu mzee yussuf
@nassoroyahaya821Ай бұрын
Nyota,Majini na pete ni Shirk jieoushe na hizo Elimu Kaka Maxinge yupo vizuribmno juu ya hilo
@sabrimtumweni5633Ай бұрын
Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake
@abuumadesign8095Ай бұрын
Sheikh bora urudi kwenye moja dharau lakini huko ndugu yangu unajivalisha Jojo lisilo lako
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Sule dua haibadilishi kadar umekosea bali hio dua pia nikadar maana Allah alijua kua utaomba dua tatizo liondoke ,kwa hio pia dua imekua kadar
Hawa ndio wale Mashekh wanaowachapa watu mitaani kisa hawajafunga ramadhani
@ackimackim18802 ай бұрын
SULE NI KIGAGULA YAANI SANGOMA, NA UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAISHIA KUWA SANGOMA, ILA MNARAHISISHA KUJIITA WATALAMU,UCHAWI TU.
@user-vk1xf3lk9hАй бұрын
Mh hakika badosijawai kumeelewa huyumtu
@florayoram9563Ай бұрын
Sule anaongea vizuri sana juu ya paswed ya riziki😂
@Jumasaidi-iv8cjАй бұрын
Dah mungu tusamehe sisi tisio na elimu eti mtu kabisa anakwambia jini kukulinda inafaa je huyo jini anakulindaje pasipo na masharti
@LaurenciaMashalaАй бұрын
Huyu jamaa anakwepa maswali badala yake anatupeleka kwa mitume
@AnnoyedCityMap-im1ddАй бұрын
huyu sheikh ni mtu muhimu sana ktk huu umma japo wasionsikiliza hawawezi kumuelewa.
@GloriaCharles-bu4fkАй бұрын
Upandacho ndicho utakachovuna usichanganye dini na uganga mungu adhihakiwi unamtumikia nani
@regnaldymambaly9880Ай бұрын
Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine
@CharlesMganga-kk7jvАй бұрын
Dokta sulle nakuku Bali sana mimi ni mkristo lakini nakiamini unachofundisha
@KihangoDonardАй бұрын
Mungu jaman atulinde huu utajiri siyo
@amanihamis2172 ай бұрын
Mashallah
@HamzaNassoro-kn6ytАй бұрын
Mungu akunusuru dada
@mbarakassa4347Ай бұрын
Allah akutowe huko kwenye itikadi hiyo ya,shirki usowake unaonesha zahiri kama una,danganya wacha uzushi
@chakeali77722 ай бұрын
Lete dalili katika maneno yako ya nyota na Pete unapoteza watu shekhe
@hassanjr53182 ай бұрын
Kisa cha Nabi Suleiman dalili ya Pete Dalili ya nyota inauhusiana mkubwa sana na Hoja ya kwamba kila mwanadamu ana jini wake hapo ndio taarifa za nyota huanzia
@MargauxNyamburaАй бұрын
Eti hiyu ni Sheikh watu kweli wanalitumia jina la mwenyezi mungu
@piusmbwana3329Ай бұрын
Dini ni mchanganyiko wa elimu ya kiroho na utamaduni wa jamii fulaniii
@rahmajohn7284Ай бұрын
Ya Allah tuhepushe na ushirikina😢
@wazirihamisi6484Ай бұрын
Ww sule mshirikina
@ibrahimgollosaid5122 ай бұрын
Got it..!!
@mwanamkemuislamutv93692 ай бұрын
VISA VYENGINE VIHAKIKISHENI MAPOKEZI YAKE JEE VIME SIHI AU NIVYAKUZUSHA....KWANI NABII MUSSA HAKUWA MCHAMUNGU.... BWANA SULE MANENO MENGINE KUWA MAKINI KUYAELEZA JAMII. Daah hichi kisa Kina wa atiii tena sana.
@mbarakashekallaghe1210Ай бұрын
Msitumie dini kwa njaa zenu na kutudhalilishia dini
@shamisfahiye96282 ай бұрын
Tawheed yako imenda wapi?
@barazasule9582Ай бұрын
Dr Sule, Sasa sikuelewi tena kama zamani.
@muhibukesh7121Ай бұрын
Mi namuelewa
@MustafaShaban-gm3mhАй бұрын
Huyu sheikh nishamtilia mashaka
@ahmedsdk67362 ай бұрын
Huyu Jamaa n Mshirikina sanaa
@hassanjr53182 ай бұрын
Usihukumu anaejua zaidi ni Allah labda hakosei elimu pana
@AbdiAthumani-es7og2 ай бұрын
@@hassanjr5318acha kujiriwaza niushurikina wawazi kabisa
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij2 ай бұрын
Kwa we Zeno mnaitolea shaanaa macho,uwoogo nthupo,mtume muhamadi(s.a.w.) hakusema upuzi uwoo.
@jamalykimaro961Ай бұрын
Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee
@hamzarangi7989Ай бұрын
Dr nakuelwa sana
@Users25232 ай бұрын
Hiyo stori ipo kwenye kitabu gani??
@LizenMaker2 ай бұрын
Kweli kabisa
@YasiniRajabuAlly-oc1pdАй бұрын
Hili linamiamala na mashetani huoni hata sulab yake ishaelekea ushetanini
@mobimbalongida2 ай бұрын
aminia sana dua
@hurulaainmalkiaaisha1508Ай бұрын
Allahu ya aalam
@usrahismail31962 ай бұрын
Pete haisaidii lolote Bw sulle Mimi sasa sitakuita daktari kumbe udaktari ni wa kishirikina Ima kazi ile ya kuchambua Biblia,upo sawa nakuunga mia kwa mia
@Onchieku-cp8wd2 ай бұрын
Huyu ni mshirikina tu...
@Kekulebenzene2 ай бұрын
Mshirikina tu huyo
@hassanjr53182 ай бұрын
Nabil Sulemani umepitia kisa chake ?
@ybmtaakwamtaaofficial34152 ай бұрын
Una elimu ndogo
@aminatanzanya74752 ай бұрын
Mi nauliza huy anasaidia nn huwa namuona tuu leo ndio nimesikiliz
@mjombawallace4966Ай бұрын
Niliambia watu uisilamu niurogi wakakataa sasa muone huyu mshirikina 😏😏