Part6_Tuliwashindwa kabisa Kulola Mwakasege na Gwajima |ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 90,150

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 172
@arflinsharon475
@arflinsharon475 10 ай бұрын
Wow Papaa Mwakasege! God the almighty be with you forever! This is raging 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@maryamayitsa6181
@maryamayitsa6181 2 жыл бұрын
Mungu nimkuu, Gwajima napenda anavio hubiri na misimamo yake,mungu amlinde sana🇰🇪.
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
May God bless you 🙏
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
" gwajima ni jitu la mbinguni ukipata nafasi sikiliza masomo ya gwajima kama hata 1. Akili iliyologwa 2. Kesho iliyopiga kona 3. Vikao vya uharibifu 4. Laana ya familia 5. Vifuniko vya kichawi 6. Aina za kichawi 7.unaweza kulogwa 8. Mashimo ya kichawi 9.kamba za kichawi 10.vifuniko vya kichawi
@lutufyodixon9997
@lutufyodixon9997 2 жыл бұрын
Hayo anayosema ni 2013... Siyo leo
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 жыл бұрын
Yesu ni mwamba imara gwajima is the most powerful man of God
@paschalinahharis9604
@paschalinahharis9604 2 жыл бұрын
True
@ashatadauda5670
@ashatadauda5670 2 жыл бұрын
Bishop Gwajima "Goal Keeper"💪💯🌹🌹
@zeraheuniceautai223
@zeraheuniceautai223 2 жыл бұрын
BISHOP GWAJIMA IS UNTOUCHABLE 🔥🔥🔥🔥👏👏👏🙏🙏🙏
@nelsonsalumuclovis753
@nelsonsalumuclovis753 2 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiw sana ,Jasusi Gwajima nampenda sana
@emmanuelmachira4883
@emmanuelmachira4883 2 жыл бұрын
MUNGU Mwema hamna lisilo wezekana kwakwe. Anijalie wokovu nipate kusikika Amen
@gloryr9497
@gloryr9497 2 жыл бұрын
Mungu wape nguvu watumishi wa Mungu wanaokutumikia kwa roho na kweli
@Sara-ne3xl
@Sara-ne3xl 2 жыл бұрын
Moses Kulola,mwamba wa Imani.
@JohnGamma-qq2gq
@JohnGamma-qq2gq Ай бұрын
Dah kwel nashukuru mungu sana kwa kuwa ametupa watumishi wake wateule ahimidiwe yeye awezaye kufanya mamb makuu
@gilbertwanje
@gilbertwanje 2 жыл бұрын
Hongera sana Askofu Gwajima, kwa mafundisho yako hata Mimi hawataniweza kwa Jina la Yesu Kristo...🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 2 жыл бұрын
Ameen Sana,wababa mmoja Mungu amtuze nakumlinda daima.
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
💃..YESU ASIFIWE❤️ " ni sa ya ufufuo n'a uzimaaaaa💃"..ni najifunza Sana na kanisa ya askofu Gwajima...aksanti kwa ushuuda uyu ...in this confusion times our faith in JESUS increase to have testimony about this really servant of GOD , Mwaseke ,Moses kolola , Gwajima💃💃May Lord protect , make us SHINE like never before..❤️ushuuda iyi inanitiya moyo sanaa AAA LLELUIA...Gloire à DIEU....
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
Congratulations Gwajima wherever you are may God bless you and give you more strength 💪
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Gwajima yule ni jitu la mbinguni jamani wapendwa masomo ya gwajima ni moto ukipata muda sikiliza masomo yafuatayo 1.akili iliyologwa 2.laana ya familia 3.kesho iliyopiga kona 4.vikao vya uharibu 5.vifuniko vya kichawi 6.viwanda vya uharibifu 7. Vita vya kukaribia kupata
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 Thanks
@pastordavidnjoyamedia.4019
@pastordavidnjoyamedia.4019 2 жыл бұрын
May God forgive me for saying Gwajima is not of Jesus.
@pastordavidnjoyamedia.4019
@pastordavidnjoyamedia.4019 2 жыл бұрын
@@lilianluhasi5053 I won't say anything for that evidence of the debater is sufficient.
@lilianluhasi5053
@lilianluhasi5053 2 жыл бұрын
@@pastordavidnjoyamedia.4019 Thank you for understanding that Bishop Gwajima is the best God servant in Jesus Christ name, hongera Sana
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 2 жыл бұрын
Baba Mungu amekutoa mbali Sana ...azidi kukulinda na kukutia nguvu ktk kazi yake..Amen
@dawhiteschola8847
@dawhiteschola8847 2 жыл бұрын
Yani wa budu shetani Wana kazi pamoja nakuchomwa na kufa Bado wamo tuu YESU sikuachi baba na kupenda nitie nguvu YESU mimi siwez
@elizabethbarasa1035
@elizabethbarasa1035 2 жыл бұрын
Brother Jactan Mungu akubariki Sana ...katika jina la yesu na uzao wako kweli.shuhuda hizi zimenisaidia Sana kwa neema was Mungu .nilikuwa muuini wa kawaida ambaye hataki kuchoka kweli .lakini baada yakuzisikiliza kweli nimeona kuwa yesu anarehema mingi Sana kwetu sissi .Shuhuda kwanza ya mchungaji huyu imefanya nikaogopa Mungu Sana na kuanza kuona uzuri wa Mungu kwangu ...Mungu atupe nguvu ya kumtumikia kweli. Mchungaji huyu abarikiwe na Mungu amlinde amalizemwendo salama ...mwambia asichoke Wala asiangalie nyuma .anapotoa shuhudu na hizi Imani yangu inajenhwa Sana na hamu ya kumjua Mungu Ina increase....Mungu anastahili kuabudiwa milele
@sarahmichael7538
@sarahmichael7538 2 жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu wa Hayati Askofu Moses Kulola, Askofu Gwajima pamoja na Mwal Mwakasege. Wazidi kusonga mbele, wasitetereke kamwe
@emmanuelhatangimana3431
@emmanuelhatangimana3431 Жыл бұрын
Amina amina amina MUNGU wetu wambinguni apew sifa!!
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 2 жыл бұрын
Groly to God My God is powerful 🙏
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 2 жыл бұрын
Aleluya wachawi nawaganga wapigweeeeeeeeeeee,mpk waache Ushetani nakumtumikia lbilisi joka kuu,wamgeukie Yesu.
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
Asante sana Jacktan haya maisha heri kuaja chakula tujikaze kwa maombi ndiyo tu tukashinde vita yaani kumtafuta Mungu maadam apatikanapo
@peninahkariuki1136
@peninahkariuki1136 2 жыл бұрын
Ameen still following from 🇰🇪🙏
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
.Bishop Gwajima is one of faith model in our generation !..He make me appreciate the word of GOD...la biographie ; le témoignage de askofu Gwajima est un encouragement pour moi ; apprenons à HONORER les nôtres de leur vivant💃❤️..
@weldajoshua1518
@weldajoshua1518 Жыл бұрын
Huyo gwajima mbona nae ni freemason tu
@bakarilimachinga6193
@bakarilimachinga6193 Жыл бұрын
Anamsifia labda atamualikia kanisan kwake
@navokisembo
@navokisembo 2 жыл бұрын
Ushuhuda wa kusisimua Mungu akutunze mtumishi
@judithminja770
@judithminja770 2 жыл бұрын
JESUS the name above all🔥🔥
@doricemrema2177
@doricemrema2177 2 жыл бұрын
Jina la YESU kristo linanguvu saana,🤝 tuzidi kunyenyekea MBELE zake
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
Jacktan, mchungaji aweze toa mfano wa adhi ya mashtaka ya "kukufuru taorati" ili tuelewe na tujichunge. Usisahau pia aeleze mbinu 30 Za kujikinga na walokole ili sisi tuweze kuzibomoa. Nashukuru sana kunifunza kuhusu "udhaifu wa imani , adhi ya mashtaka, ecd, kukemea ndoto kwa jina la yesu, supporter company, upanga moto wa Yesu. Part 7 ikuje tafadhali.. Mungu awabariki.
@azizabuyonde8368
@azizabuyonde8368 2 жыл бұрын
Jamani ,tusimame na Yesu, bila hivyo shetani hana muchezo
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 2 жыл бұрын
Team Gwajima oyee
@simonnsengiyumva1000
@simonnsengiyumva1000 2 жыл бұрын
Naimarika kweli kweki nikiwab🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@nyambochristelle7640
@nyambochristelle7640 2 жыл бұрын
Yesu juuu🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏😘❤️
@isaacsenaji6065
@isaacsenaji6065 2 жыл бұрын
Hatari,mungu ni mwema kutufunulia haya,barikiwa sana mtumishi wa mungu
@tatumluv6054
@tatumluv6054 2 жыл бұрын
Kumtumikia shetani ni utumwa jamani njoo kwa Yesu kuna uzima wa milele
@bakarilimachinga6193
@bakarilimachinga6193 Жыл бұрын
Lakin baba mchungaji mbona hiko anaongea ni lugha ya kihislamu inamana ndo mashetani?
@lisaozokalonji7655
@lisaozokalonji7655 2 жыл бұрын
Masikini Gwajima kumbe? Hongeza sauti baba wapigeweee sana kwa maombi nisila kubwa sana! Jacktan thank you brother 🙏 ❤ and we are waiting part 7
@pungopungo411
@pungopungo411 Жыл бұрын
1
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 жыл бұрын
Hatariiiii Asante Yesu hakika sikuachi unatenda mambo Makubwa Jina lipitalo majina yote
@nyambochristelle7640
@nyambochristelle7640 2 жыл бұрын
Amena🙏🙌🙌🙌🙌🙌
@fezakabala6589
@fezakabala6589 2 жыл бұрын
Mungu wetu ni muzuri saana 🇨🇵🇨🇵🇨🇵🇨🇵
@danielmatemu9698
@danielmatemu9698 2 жыл бұрын
Tusiwadharau watumishi wa MUNGU, tuwasikilize
@prosmutonyi3706
@prosmutonyi3706 2 жыл бұрын
Yesu anatosha niliolewa na mwiisilamu,ten years, nilioyapitia. Watoto kufa kumbe anausika. But mungu alinitowa.
@bazuriyaido6616
@bazuriyaido6616 2 жыл бұрын
Amen
@telesiasaga5621
@telesiasaga5621 2 жыл бұрын
Pole mpenzi
@tedkadodo2790
@tedkadodo2790 2 жыл бұрын
Gwajima Raisi mtarajiwa kwa taifa la tanzania, jasusi la mbinguni
@doreenarbogast4597
@doreenarbogast4597 2 жыл бұрын
Kwakweli kumtumikia shetani ni hasara kubwa, eti mpk kula kinyesi
@Evarista-xt7gv
@Evarista-xt7gv Жыл бұрын
God bless you
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Asanteni sana kwa ujumbe huu mzuri
@sharonwalubengo7628
@sharonwalubengo7628 2 жыл бұрын
Asante mungu kwa huu ushuhuda
@liesharehema5193
@liesharehema5193 2 жыл бұрын
Gwajima juuuuu mungu ni kubwa sana
@hanceedward3243
@hanceedward3243 Жыл бұрын
Moses kulola my model
@bibianajangandu1727
@bibianajangandu1727 2 жыл бұрын
Hongera mwalimu Mwakasege Mungu akubariki
@samid1937
@samid1937 Жыл бұрын
Mchungaji umenisaidia kuelewa nilivyo nilikua sijui nisadie kwa maombi unapomba nikumbuke napitia haya mafundisho mazuri sanaa ukomboe ulimwengu Mtumishi
@aleciaalec2158
@aleciaalec2158 Жыл бұрын
Mtumishi niombee na mimi ni mtumikie Mungu alivyonipangia na kwa usahihi. Mimi ni ELLENMARTHA
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 жыл бұрын
Gwajima hoyeee Yesu ni mwamba imara
@naomicharles5444
@naomicharles5444 Жыл бұрын
Groly to our God
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
.."wanapiga wanapiga 💃wanapiga kweli💃"...Nilijifunza vita ,WARFARE kwa kusikiya mafundisho ya askofu Gwajima ..YESU ASIFIWE 💃💃❤️❤️...Mutumishi Jacktan aksanti Sana❤️.. Merci beaucoup...🇨🇩🇨🇩
@user-tq4mf8vj2j
@user-tq4mf8vj2j 9 ай бұрын
Daaaa ,mungu mkubwaa sana,yaaani mpaka ninaogopaa.
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 2 жыл бұрын
Nakumbuka,ugonjwa wa dengu,baba josephat gwajima alikemea sana,na akasema,ni ugonjwa wa kuzimu, na aliposema hivyo tu,dengu ikaisha
@jkkim3848
@jkkim3848 2 жыл бұрын
Testimony ni Kali tena ya mafundisho.... Asante sana...
@ronahcherononyaribo7417
@ronahcherononyaribo7417 2 жыл бұрын
Neema ya mungu ishuke watu waokoke,haleruya ..
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 2 жыл бұрын
asante sana Baba yetu Yesu Kristo
@RebekaShumbi
@RebekaShumbi 5 ай бұрын
Mtumishi unashuhudia usiyataje hayo majini majina sio vizuri wewe shuhudia tu umeishatoka huko
@bibianajangandu1727
@bibianajangandu1727 2 жыл бұрын
Yesu hashindwi mfalme wa wafalme Mungu wa miungu
@gabrielmasasila8093
@gabrielmasasila8093 Жыл бұрын
Duuuh umenipa Imani pst
@vanessakassogafaustine1950
@vanessakassogafaustine1950 2 жыл бұрын
Bishop Gwajima nampenda sanaaaa
@jossyayielo7576
@jossyayielo7576 2 жыл бұрын
Asante Jacktan
@egospeltz9486
@egospeltz9486 2 жыл бұрын
Hallelujah
@stellahkathure-px9cf
@stellahkathure-px9cf Жыл бұрын
Akh mungu yupo shidi kumtumikia usiŕudi nyùma tena
@johnbosconiyibigira7811
@johnbosconiyibigira7811 2 жыл бұрын
Tanzania jivunie kuwa na Gwajima hata sisi tumeimarishwa kiimani nawe . Yule ni moto kuri moto wakuni
@bishopdr.abrahamjonathanmu90
@bishopdr.abrahamjonathanmu90 2 жыл бұрын
Naomba Kuitana Na Bishop Josphat Gwanjima Kwa Jina la Yesu
@miria659
@miria659 2 жыл бұрын
Shetani anafanya KAZI bila kukoma wakristo tuombeni bila kukoma na Pia kukesha.Asante Sana jactan na promover TV Mungu azidi kuwatendea mema
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@marchymaziku6234
@marchymaziku6234 2 жыл бұрын
Zaburi 119:62 Katikati ya usiku nitaamka nikushukuru, Kwa sababu ya hukumu zako za haki.
@jacklinejoseph2729
@jacklinejoseph2729 2 жыл бұрын
Sasa mchungaji unaonaje ukavua uyo kacha? Mana unasema miongoni kwa vitu vilivokua vinakusaidia ni kacha,Pete ulizozimezaga,na machuma, sasa tunapokiona umeivaa iyo kiubinadam kinanipa maswali kdg
@pillykasegu7679
@pillykasegu7679 2 жыл бұрын
Isikupe tabu kitu kikiwekwa wakfu kwa jambo BAYA ndio kibaya nisawa na mshumaa huwa unatumika kupita majini na mambo mengine ya kishetani lakini umeme ukikatika tunawasha mishumaa kupata mwanga utasema nasisi tunaita majini? Jitahidi kusoma biblia kujua Kila unacho sikia Kama nikweki Dunia imechafuka tunalishwa matangopoli
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Yesu anaweza yote watumishi barikiweni sana na BWANA
@pettyangelaman8038
@pettyangelaman8038 2 жыл бұрын
God is good for really
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 2 жыл бұрын
Kuna watu tangu kuzaliwa wameandikiwa "touch not" tangu kuumbwa tumboni na hawarogeki hata kama wako dhambini.Majini yanaweza kuwaingia na kuwatesa ila hawaruhusiwi kuwaua hata yafanyeje sababu kuna order ya "touch not" kwenye ulimwengu wa roho
@lilianluhasi5053
@lilianluhasi5053 2 жыл бұрын
Hebu nielimishe hapo sababu ya kuandikwa touch not ni nini?
@Queenrinna98
@Queenrinna98 2 жыл бұрын
Wow
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 2 жыл бұрын
Jamani nyinyi ndio kumbe mumekua mkimbandika mtandaoni na picha za ngono pole kwake lakini kwa yote ni mekua na mpenda sana
@zipporahmibei9007
@zipporahmibei9007 2 жыл бұрын
Be blessed jactan waiting for next
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@florencecostantine8756
@florencecostantine8756 Жыл бұрын
Uyu Askofu Ni Jitu la mbinguni hasa hakuna jaribu la kichawi linaloganda kwako ukifuatilia maombi yake napenda saaaana maombi SHAURI LA BWANA LITASIMAMA MILELE..
@armindodamiao3201
@armindodamiao3201 10 ай бұрын
🇲🇿🇲🇿 MOSES KULOLAAAAA
@upendokibiki557
@upendokibiki557 Жыл бұрын
MUNGU WETU NI MKUU KTK KRISTO YESU MKOMBOZI WETU. TUSAIDIE MUNGU WA MBINGUNI KUTEMBEA NA WEWE KWA DAMU YA YESU.
@jescambogoma8394
@jescambogoma8394 Жыл бұрын
Jna LA bwan yesu libalikiwe
@aberymsovela8866
@aberymsovela8866 2 жыл бұрын
Yesu sikuachi mm,,,,,bora niache vyote sio Yesu wangu
@japhetthabit9428
@japhetthabit9428 2 жыл бұрын
Amina
@Shalom2018
@Shalom2018 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@nizselyluka2096
@nizselyluka2096 2 жыл бұрын
Hatari
@UfunuoSt
@UfunuoSt Жыл бұрын
Mnaamini huyo anachosema? Shetani ni nyoka wa zamani mwerevu wa kudanganya, tuweni makini sana na hizi shuhuda, zina hatari kubwa mno!!!
@sarahmdindile4301
@sarahmdindile4301 2 жыл бұрын
Ndomana Gwajima kuna kipindi walikuwa wanamsingizia kuwa analala na wanawake kumbe ilikuwa ni kumchafua.
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Vipi watumishi wengine jeh Kama mwamposa buldoza, mzee wa upako,nabii lolinga n.k
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
Jaktan roundi hii umeleta ushuhuda kweli... Wewe na huyu mchungaji mpate neema mpya... Nawatumia wengi kwa whatsapp huku kenya... Ikiezekana ulaya pia
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯 kweli
@kefaJmalimali
@kefaJmalimali 2 жыл бұрын
Niatalii sana kwakwelii aaaaaaaah
@jescambogoma8394
@jescambogoma8394 Жыл бұрын
Utumwa was shetan n mateso makubwa wanawamungu tuokoke kW jina LA yesu
@naomimunanga6363
@naomimunanga6363 2 жыл бұрын
Wah hapo sisemi kitu hmm,
@angelique10
@angelique10 2 жыл бұрын
Nimecheka jmn eti tuliwashwaaaa nimecheka yani uchawi mbaya
@elizabethsimbenga4773
@elizabethsimbenga4773 2 жыл бұрын
Swali langu wale wachawi walio fia kanisani maiti zao huwa zinaonekana kanisani au apana
@mauwashomari8160
@mauwashomari8160 2 жыл бұрын
Tuna subiriya part 7
@emmanuelsamwel741
@emmanuelsamwel741 2 жыл бұрын
BABA YANGU NI MKUU KULIKO WOTE
@irenewilfred7767
@irenewilfred7767 2 жыл бұрын
Mmh nyie mungu uyu. Uwiiiiiiu
@happinescharlesmabeyo9164
@happinescharlesmabeyo9164 2 жыл бұрын
Sio mungu ni Mungu
@MONAKHO.
@MONAKHO. Жыл бұрын
Ulisema 2012 ilikuwa umeokoka, mbona umesema ulienda kuwinda yule mchunga 2013, unawe fafafanuwa vizuri?
@katotorukwa3431
@katotorukwa3431 2 жыл бұрын
Anaweza kuarikwa na kabisa la mahalipamoja?. Pastor katoto mwanza
@jescambogoma8394
@jescambogoma8394 Жыл бұрын
Ashkuliwe mung
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
VYOO NI BALAA,NAOGOPA WANAOFUGA MAJINI
@yasintaraphael8334
@yasintaraphael8334 2 жыл бұрын
Gwajima ni jitu la mbinguni
@christinahzi8202
@christinahzi8202 Жыл бұрын
Yesu christo mambo yote
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Kwenye comment nawaoma watu walivyo na upendeleo wakati waliotatwa ni watumishi wa Mungu aliyewatumia Kwa utukufu wake
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 36 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59