Part3_Ajali za meli na lori la Morogoro hakufa mtu tuliwachukua|ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 52,708

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 115
@shamim6606
@shamim6606 2 жыл бұрын
BARIKIWA . NATAMANI ANGETUAMBIA MBINU ZA NAMNA WANAVYOWAFATILIA WALOKOLE NA KUWAANGUSHA
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 2 жыл бұрын
Hivi kuwa mkristo vuguvugu na bado hujachukuliwa msukule... Ni neema ya Bwana... Mungu tusaidie
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Lazima unapelekwa bila kujijua
@marianachriss2444
@marianachriss2444 2 жыл бұрын
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine
@baya7067
@baya7067 2 жыл бұрын
Yesu ni mfalme wa wafalme Moto ulao
@jonathanndururutse286
@jonathanndururutse286 2 жыл бұрын
Duuu! Mambo haya yanatisha, ila sasa Mwokozi wetu Yesu Kristu anatupenda na ana nguvu Sanaa
@marykilila8786
@marykilila8786 2 жыл бұрын
Eeeeeeeee kwa hiyi siri kubwa zaidi mwambie huyu ndugu asimame imara imara kweli ,akipepesuka kadogo tuu atajikuta wanamchukuwa tena.Mungu amjalie neema na ushindi. Asante JACKTAN
@peninahkariuki1136
@peninahkariuki1136 2 жыл бұрын
Damu ya Yesu itufunike aki. Asante kwa ushuhuda huu unazidi kutufungua Kiroho🙏🇰🇪
@emmanuelhatangimana3431
@emmanuelhatangimana3431 Жыл бұрын
Emungu wetu tunaomba utusaidie,kwasababu dunia hii inamambo mengii kabisa amina.
@johnbosconiyibigira7811
@johnbosconiyibigira7811 2 жыл бұрын
Ina details nzuri na articulate safi hii itakuwa ya mwaka maaana imetufunza sana
@aaronswai6935
@aaronswai6935 2 жыл бұрын
Huyu mtumishi anaongea kweli sana na alikuwa kweli kwenye ulimwengu huu wa giza! Ni bahati mbaya sana Wakristo wengi hawafahamu vizuri nguvu ya Kristo. Kimsingi vitu vingi anavyovisema kama vile kubadilika kwenye roho, n.k vimeandikwa kwenye Biblia isipokuwa hatusomi. Mungu akubariki sana mtumishi🙏
@mariamgaya4206
@mariamgaya4206 2 жыл бұрын
MUNGU atusaidie Sana tuishinde Dunia ktk ulimwengu wa ROHO Kuna Mambo mengi sana.
@linkreuben3108
@linkreuben3108 2 жыл бұрын
Siri nzito za shetani ,zinafunuliwa. ASANTE YESU!!
@milkahwambuinjengambothu6173
@milkahwambuinjengambothu6173 2 жыл бұрын
And this man must be very bright. The way he is flawless in his Swahili speech. Very deep and insightful. To God be the glory and honor. Keep on brother, through you the Church should know a lot to be vigilant.
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 2 жыл бұрын
All of them are good Swahili speakers. I mean all Tanzanians.
@aminaally4163
@aminaally4163 2 жыл бұрын
BWANA YESU ATUWEZESHE KUYASHINDA YA DUNIA HII .
@user-co6nm5fk1g
@user-co6nm5fk1g 6 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi napenda sana shuda zako tangu nimeanza kusikiliza ushuda wako much amieli nimejifunza mengi kuhusu maisha ya kiroho
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 2 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kuwa umetupatia Jina lilokubwa zaidi ya majina yote duniani Linalotushindia..Amen
@margrethemanuel7501
@margrethemanuel7501 Жыл бұрын
Walokole tishio la kuzimu...tuombe sana aisee
@elizalaya7887
@elizalaya7887 2 жыл бұрын
Jina la YESU KRISTO jina lenye nguvu kupita majina yote,MUNGU atuwezeshe kumtumaini yeye peke yake katika maisha ya ulimwengu huu tukiongozwa na Roho mtakatifu hakika tutayashinda ya dunia hii iliyojaa kila aina ya uhalibifu
@UkweliMinistries
@UkweliMinistries 2 жыл бұрын
Amen Mungu ni fundi.
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie inua kiwango changu cha maombi hili nikaweze kushinda hila na nchama za muovu shetani,barikiwa kaka Jacktan
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@lukresiajohn3939
@lukresiajohn3939 2 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu jactan kutuletea ushuhuda
@re.emmanuelmdoe3345
@re.emmanuelmdoe3345 Ай бұрын
☑️☑️☑️☑️😋 hallelujah Hallelujahs hallelujah ‼️
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 2 жыл бұрын
Ushuhuda wa sheikh Omar niliuona kweli
@nundebeats6754
@nundebeats6754 2 жыл бұрын
Habari Inasisimua,nimejifunza vitu vingi
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 2 жыл бұрын
utukufu kwa Bwana Yesu mwokozi wa maisha yetu hakika nisingeokolewa na BABA ningekua nyama ya shetani ila Yesu ashaniokoa eee Mungu utusaidie
@miria659
@miria659 2 жыл бұрын
Huu ushuhuda ni wa maana Sana kwangu nazidi kuelewa vita za kiroho Asante Sana promoter TV mkiongozwa na jactan God bless you
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 2 жыл бұрын
Promover sio promoter
@jossyayielo7576
@jossyayielo7576 2 жыл бұрын
Asante Jacktan naendelea kujifunza Sana......Bibi yangu ameaga juzi lakini kifo chake naamini si cha kweli.....🇰🇪🇰🇪
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Amen nawafuatilia sana watumishi BWANA awabariki
@isaacsenaji6065
@isaacsenaji6065 2 жыл бұрын
Ushuhuda mkubwa, ambia mtumishi utuonyeshe mbinu za kupambana na wachawi,barikiwa
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
The world is weaked...May God help us
@naomimunanga6363
@naomimunanga6363 2 жыл бұрын
Waah ulimwengu wapili unamambo kweli mungu atusaidie, nami sitawai kumwacha mungu hata siku moja, alafu Jacktan haya mambo yanatisha kwani wewe hauogopi jamani mimi nimeanza kuogopa sana, kumbe warogi wanatuchunguliaga kama tumelala, waa maajabu hayo.
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 2 жыл бұрын
hahaha usiogope mpendwa Yesu yupo nasi
@vicentkayagula1046
@vicentkayagula1046 2 жыл бұрын
Ukiwa na Yesu kweli hayo hayakupi shida.
@irineochieng2455
@irineochieng2455 2 жыл бұрын
Ahsante kwa mtumishi wa Mungu. Lakini usitucheleweshe sana hivyo
@violethbagila905
@violethbagila905 2 жыл бұрын
Mungu akubariki endelea kutufundisha tunaomba party 4
@jackstanley8029
@jackstanley8029 11 ай бұрын
Mungu akulinde mtumishi wa mungu.
@ezekieljob8679
@ezekieljob8679 2 жыл бұрын
Asante Yesu kufunua sri za adui
@francoisecirezi672
@francoisecirezi672 2 жыл бұрын
Yesu Christo ananguvu zakuokowa anayependwa
@helmashimba7761
@helmashimba7761 2 жыл бұрын
Much love💖
@florencendatila9183
@florencendatila9183 2 жыл бұрын
Uwiii jamani ningetamani izo mbinu 21 nizijue wachawi wanazo tumia kuturaghai walokole
@maxmillahnafula8279
@maxmillahnafula8279 2 жыл бұрын
Eeeeeh MUNGU wangu tusaidie kwa kila jambo,,mbona ii inatisha🙏🙏🙏🇰🇪
@egospeltz9486
@egospeltz9486 2 жыл бұрын
Mwambie atuambie kuhusu mbinu za kupambana na walokole, atatusaidia tuliokoka kuwashinda.
@millicentnaliaka
@millicentnaliaka 2 жыл бұрын
Neno linasema kesheni mukifunga na kuomba kwa kumaanisha hakuna jambo gumu na lolote muombalo kwa JINA LA,YESU mtapewa na BABA YANGU WA MBINGUNI sasa hapa nikukaa karibu kwa MUNGU kwa uwaminifu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Unataka ukaloge??omba saana
@egospeltz9486
@egospeltz9486 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 nikamroge nani.? Nataka kuwashinda wachawi kama wewe😂😂 rudia kusoma uelew sio kukurupukia kujibu, yy kasema walifundishwa mbinu zaidi ya 30 za kuwashinda walokole, biblia inasema watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa sio kukosa kuomba. Binafsi hizo mbinu zingenisaidia kuzijuwa hila za shetani na kuziepuka.
@happinesskitali164
@happinesskitali164 10 ай бұрын
Yaan anaongea ukweli mtupu juzi juzi nilisikia watu wanalalamika maiti inatokwa jasho
@dadaz4653
@dadaz4653 2 жыл бұрын
Funguka mtumishi tunaendelea kujifunza
@lilymwashumbe4890
@lilymwashumbe4890 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@dianawebala9381
@dianawebala9381 2 жыл бұрын
Waaah
@janethmalando4086
@janethmalando4086 2 жыл бұрын
Hakuna Jambo lisilostirika ambalo halitafunuliwa yesu ni jiwe kuu Lina ponda ponda
@sharonwalubengo7628
@sharonwalubengo7628 2 жыл бұрын
Mara nyingi watu wanasema ooh ng'ombe pia analia marehemu kumbe ni haya
@JosephatJohn-qr7lx
@JosephatJohn-qr7lx 10 ай бұрын
Ndgu watumishi wa mungu nisaidieni kujua kutokana na mafundisho haya ni nini faida na hasara ya kuwapa vichaa na wale omba omba pesa Kwa huruma
@user-qo8qy8zv1f
@user-qo8qy8zv1f 2 ай бұрын
Promover mbarikiwe Sana kwa kuturushia habari hizi zimetufungua macho ya kiroho lkn shetani hapendi tuzijue nimeshagundua lkn Damu ya Yesu Kristo ni moto,napenda kujua Mch Amiel sasa hivi anasubiri wapi ili niendeko
@Deedee88110
@Deedee88110 2 жыл бұрын
Anaongea vitu vya kweli mno Ndugu tuombe
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
Ungesema hizo mbinu 30 Za kujikinga na walokole, pia ni vyema kueleza kila jambo pasipo kusita, elimu hio itatusaidia jinsi ya kupambana kimaombi, kama hio jini vina saba vile latengenezwa, kafara ya hio meli ilkua ya tawala gani etc
@josephinanikwelimdacki3330
@josephinanikwelimdacki3330 2 жыл бұрын
Mmh simama sana
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 жыл бұрын
Au ni yule Omary mnyashani
@simonnsengiyumva1000
@simonnsengiyumva1000 2 жыл бұрын
Kweki kabisa niyuleyule Mnyeshani Omari !!!
@noelashaoona
@noelashaoona 2 жыл бұрын
@@simonnsengiyumva1000 uyo uyo
@faze_narq6890
@faze_narq6890 2 жыл бұрын
😂😂I Never heard about that one, Mnyeshani could be Mushetani 😁, I am still learning! Thanks Odhia odhia!
@Mazoea
@Mazoea 2 жыл бұрын
Yes ndio yeye
@mgangaruban9383
@mgangaruban9383 2 жыл бұрын
asante Mungu kwa uxhuhuda unaojenga
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 Жыл бұрын
Endelea kuwadanganya baba😅
@starluzenja9861
@starluzenja9861 2 жыл бұрын
Kwa muda mrefu nimekua nkiota dada flani tulisoma pamoja.Aliaga 2018 but kwenye ndoto kila nikimtambua ama nikigundua amekufa.Anakimbia mbio sana haniangaali Mara mbili.Hunisumbua sana.
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Ajali ya roli Morogoro lwanda magere ndie aliyeisababisha. Malori na mabus mengi ni ya mawakala wao
@sophiarichard8469
@sophiarichard8469 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@estasage498
@estasage498 2 жыл бұрын
Mungu wangu, mbona dunia hii ni mtego?
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 2 жыл бұрын
Huu ndo ushuhuda wa maana
@IANA2030
@IANA2030 2 жыл бұрын
Eeeh Yesu tutetee
@mariosbunguko4145
@mariosbunguko4145 Жыл бұрын
Sasa kutokana na hayo mafundo uliyokuwa unawafunga watu,kwasasa unaweza kuwasaidia VP?
@marykilila8786
@marykilila8786 2 жыл бұрын
Sasa muulize zile shanga anazozivaa mkono wa kulia zinamaanisha nini ??? Mambo makubwa anayaeleza lakini anabaki na kachombo ka ibilisi? wachawi watampata tena kwa hako hako.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Hahahaha anasali makanisa yanayotumia vifaa vya Kiroho kwanza hao huwa wengine wametumwa ili mjimwage
@Faraja2023
@Faraja2023 2 жыл бұрын
Amesema ni nembo ya kuipenda Tanzania
@marykilila8786
@marykilila8786 2 жыл бұрын
@@Faraja2023 Asante ila maandiko yanatueleza upendo unaonekana kwa matendo sio nembo .Na nembo ya MKRISTO ni BIBLIA . Waganga , wachawi na wale wasio mwamini YESU ndio vitu vyao . Na wengine waliisha shuhudiaga shanga zinatumika kuzimu.
@augustinetarimo8031
@augustinetarimo8031 2 жыл бұрын
shetani anatesa watu sana lakini Yesu anaweza hakika
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 2 жыл бұрын
Jacktan mwambie aandike kitabu asije akayasahau mambo haya na siri hizi nilimsikia sheikh Omar akisema amesahau mambo mengi
@issakayogoma7463
@issakayogoma7463 Жыл бұрын
Shekh omary yupi mkuu
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 2 жыл бұрын
Du kumbe kuna siri kubwa hivi wakati wa msiba?
@milkahwambuinjengambothu6173
@milkahwambuinjengambothu6173 2 жыл бұрын
Waaah!! This is an eye opener. Walokole needs to be in prayer in and out of season. Msukule should be a zombie right?
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 2 жыл бұрын
Msukule si zombie. Ni mtu aliyedhaniwa amekufa ila huwa hajafa, amechukuliwa kichawi hadi kuzimu kuenda kuteswa. Huko kuzimu mara nyingi wanakatwa ulimi na kufanyishwa kazi usiku. That is what msukule means.
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 2 жыл бұрын
But even zombies are as a result of the work of the Devil. They have been bewitched.
@faze_narq6890
@faze_narq6890 2 жыл бұрын
So you can pray for the captives and Our Lord Jesus Christ can bring them back? So is it right to pray and fast for some of our family members who died in mysterious situations? You wonderful man of God,the Lord had hand picked you to educate us for the Bible says that my people perish for lack of knowledge!! God bless you mightily! like why didn’t we know this before Lord? Why nobody ever said pray for the dead because some of them aren’t even dead they’ve been taken into captivity? But you know what God makes everything beautiful in His Time. Maybe we still have a chance to pray for them. I always stood with this word, that it is ordained for a man to die then judgment! So now this is a game changer in our prayer life, the lord will always leave for himself a witness who comes to reveal the great and unsearchable things we do not know! So glory be to His name for His mercies endures forever!
@emmanuelsamwel741
@emmanuelsamwel741 2 жыл бұрын
Msikilize josephat gwajima
@milliardere9177
@milliardere9177 6 ай бұрын
no
@reginanyabenda5378
@reginanyabenda5378 2 жыл бұрын
Shalom pasta nahitaji namba yako
@gestinabunganiekuya6300
@gestinabunganiekuya6300 2 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa na nimejifunza ila jactan mwambie huyu mtumishi avue hiyo shanga mkononi ili huu ushuhuda ufike moyoni mwetu moja kwa moja bila shaka lolote
@millicentnaliaka
@millicentnaliaka 2 жыл бұрын
Haha atisikue anakumulika Yesu ni mkuu atatutetea hawatatuona wataona moto vile alisema hehee
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@millicentnaliaka wanaona saana tu walokole tunajichanganya mno hivyo kupotexa line ni vyepesi tu ,uongo tu unafuta nguvu
@millicentnaliaka
@millicentnaliaka 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 kweli kaka
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@millicentnaliaka ni Mama mimi,Barikiwa
@millicentnaliaka
@millicentnaliaka 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 ooh samahani mama asante kwa kunifahamisha
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Je shetani akishindwa mtu wako anaweza rejea duniani??Namtaka Baba mkwe wangu jamani
@millicentnaliaka
@millicentnaliaka 2 жыл бұрын
Waah makubwa hayo vipi mimi baba yangu kakufa 2008 ila jana nikamuota eti alikua amekufa na ako kwenye sanduku sasa anasema mikono yake yaugua na mimi nikimgusa hiyo mikono anaskia afadhali ama mama yangu mzazi nikawa nimeamka hivo na pia alipokufa watu wa upande wake walikua wakiingia kuona mwili angefura afike kwa kioo hivi wakitoka tu anarudi kuwa wa kawaida inamaana pia alichukuliwa msikule?
@alawifarahani4788
@alawifarahani4788 Жыл бұрын
Ndiyo
@samuelkasamba226
@samuelkasamba226 8 ай бұрын
Mnisaidie na namba yake
@Priscakihiyo4352
@Priscakihiyo4352 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 naomba namba ya mtumishi wa Mungu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Fatilia mpaka tamati utapata
@Priscakihiyo4352
@Priscakihiyo4352 2 жыл бұрын
Ameeeeeeen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sanaaaaa
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Nitapataje namba ya huyu mtumishi wapendwa?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Endelea kufuatilia mpaka tamati ya ushuhuda wake atataja
@susanmuthiani9213
@susanmuthiani9213 2 жыл бұрын
Vina saba ni nini?
@christinamsigwa804
@christinamsigwa804 2 жыл бұрын
Jesus Christ
@lugendodaniel5266
@lugendodaniel5266 2 жыл бұрын
Maneno mazuri Sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Waislamu wanabisha tu kumbe dini yao inafundisha na kufuga uchafu wa Roho
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 2 жыл бұрын
Ni dini ya Shetani. Kwani hujawahi kujua. Mohammed alikuwa nabii wa Shetani na Allah si Mungu wa kweli wa Israeli.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@kennethogonda2947 sasa wafuasi zinawatosha kweli??
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 2 жыл бұрын
Wafuasi wao wote hawataingia mbinguni wasipotubu na kuwa wafuasi wa Yesu Kristo
@faze_narq6890
@faze_narq6890 2 жыл бұрын
@@kennethogonda2947 preach my brother!! That’s nothing but the TRUTH!! John 14:6!! Jesus is the WAY, THE TRUTH AND THE LIFE!! Blessings always in Jesus name Amen 🙏
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 6 ай бұрын
Uislam ni dini ya ibilisi hyo Haina ubishi. Watakuja kugunduwa muda ushaenda
@josephonkendi1906
@josephonkendi1906 2 ай бұрын
Number yako please
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 89 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
48:39
Wasafi Media
Рет қаралды 631 М.