LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 15,824

Joel Nanauka

Joel Nanauka

4 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 105
@Srene0225
@Srene0225 3 ай бұрын
Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;- 1. Tambua thamani yako 2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana 3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka 4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'
@lestutamdota715
@lestutamdota715 4 ай бұрын
Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Hongera sana kwa kufanikiwa kusimama tena🙏
@aminajuma1156
@aminajuma1156 3 ай бұрын
Hicho kitabu kinapatikana wapi
@eliastanda9825
@eliastanda9825 3 ай бұрын
Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤
@elishamwalongo3010
@elishamwalongo3010 3 ай бұрын
@@joelnanauka ''????'
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 3 ай бұрын
Kama huna Imani na Mungu usiingie kabisa kwenye mapenzi ni hatari mno 😢
@aminajuma1156
@aminajuma1156 3 ай бұрын
Kabisa unaweza kufa imenikuta😢
@timothykengere2535
@timothykengere2535 3 ай бұрын
Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................
@fedrickmwinuka1656
@fedrickmwinuka1656 3 ай бұрын
Selection ya mpenzi kwenye maisha ya Binadamu yanasehem kubwa san
@user-fu5wi1ez7e
@user-fu5wi1ez7e 3 ай бұрын
Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx 3 ай бұрын
Pole sana
@user-ts4jr7ok1e
@user-ts4jr7ok1e 3 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa uishi miaka mingi sanaa
@carolinekalume934
@carolinekalume934 4 ай бұрын
Jamani nilikuwa nasubiri hii episode kwa hamu! Asante Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Hongera naaamini umejifunza
@VickyKijazi
@VickyKijazi 3 ай бұрын
Kweli moyo ni mdanganyifu, Mungu atusaidie nguvu za kuulinda. Barikiwa mwalm Mungu akutunze tuendelee kupona!
@gloriatoya72
@gloriatoya72 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili
@DevothaJohnMagessa
@DevothaJohnMagessa 3 ай бұрын
Asante sana kaka nimejifunza sana juu somo hili,yaan umegusa maisha yangu ninayopitia kwa kipindi hiki..ubarikiwe sana
@LakinaneMuna
@LakinaneMuna 3 ай бұрын
Ahsante sana Brother Joel hakika nimejifunza mengi kutoka kwako
@user-lj4pz4pv8o
@user-lj4pz4pv8o 3 ай бұрын
Muungu akubariki sana mkuu wangu mungu akupe nguvu zaidi
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 3 ай бұрын
Mr..top...haki ... doze yako...iko.. .sawa .... asante sana
@tarsisiamwalongo6819
@tarsisiamwalongo6819 4 ай бұрын
Ubarikiwe mno mtumishi ,japo hapo kwenye kumshirikisha mtu ni nje na mzazi au hata mzazi tu anatosha mshirikisha
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu.penzi nikitu kinacho kufanya uinuke ama uanghamiye amaubaki kiwete
@KelendoLaizer-yf8jy
@KelendoLaizer-yf8jy 3 ай бұрын
Asante kwa somo ubarikiwe
@KasimBadi
@KasimBadi 4 ай бұрын
Thank you brother JOEL
@rosadamassawe8019
@rosadamassawe8019 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Joel, hakuna kitu naogopa kama kusema ndio nikiwa sina uhakika. Yesu aendelee kukutunza.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Amen Rosada, ni kweli inahitaji muda🙏
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 4 ай бұрын
Hayaa ni zaidi ya maarifa
@user-er2if3dl9d
@user-er2if3dl9d 3 ай бұрын
Kweriii aise mapenzi hayana utani kabsa usisemee kwamba natembea naye tu basi baadaye inaweza kuktuse kabsa yan,,
@Elishanabagingisemvayle-ob4cm
@Elishanabagingisemvayle-ob4cm Ай бұрын
Ubarikiwe Sana daima, ningeli penda sana nipata kuzungumza nawe kwenye WhatsApp kama itakupendeza lakini.
@peacennko2003
@peacennko2003 3 ай бұрын
Nondo hizi ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
@isacksolomon5309
@isacksolomon5309 3 ай бұрын
Asante sana mwlm.
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um 4 ай бұрын
Ubarikiwe san
@naomitheobald125
@naomitheobald125 3 ай бұрын
Be blessed brother J.nanauka
@Tonga994
@Tonga994 2 ай бұрын
Ahsante kwa Elimu hii kaka
@alexlucas1571
@alexlucas1571 3 ай бұрын
Daaah episode hii nzuri sana
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 4 ай бұрын
Somo🙌🔥👏🏆
@fawziyahassan5714
@fawziyahassan5714 3 ай бұрын
Asante sana Kaka JOEL
@user-td8zl2jd7r
@user-td8zl2jd7r 3 ай бұрын
Ahsante kwa somo
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 4 ай бұрын
Mungu akubariki my Brother❤
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameeen
@user-ms3gw9if4h
@user-ms3gw9if4h 3 ай бұрын
Mungu akutunze na baraka zake ziwe juu yako Milele Amina
@user-qv3eo5pb3g
@user-qv3eo5pb3g 4 ай бұрын
Shukran joel ❤❤❤
@user-sp1ig8ul2s
@user-sp1ig8ul2s 3 ай бұрын
Nanauka kwenye line
@user-bq7ym3tv1h
@user-bq7ym3tv1h 4 ай бұрын
Napitia wakati mgumu kwenye ndoa ya miezi mitano tu najuta kusema ndiyo kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Pole sana, tafuta ushauri mapema. Unaweza kuongea na msimamizi wako au kiongozi wako wa imani kwa kuanzia
@user-bq7ym3tv1h
@user-bq7ym3tv1h 4 ай бұрын
@@joelnanauka ahsante kaka
@user-zf1sp9ez4v
@user-zf1sp9ez4v 3 ай бұрын
Expensive pain bro😢 shukran kaka we from far😢😢😢😢
@saidalhabsi9257
@saidalhabsi9257 4 ай бұрын
😢😢😢 umeniponya Asante sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nashukuru kwa Mrejesho 🙏
@user-bi7hz1mu7p
@user-bi7hz1mu7p 3 ай бұрын
Thanks bro.. your biggest fan froma fb salma said.❤
@eliasmugume254
@eliasmugume254 4 ай бұрын
Mungu awabariki Sana tena Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen Ameen
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 4 ай бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y 4 ай бұрын
Sijatoka bure Shukran sana sana kaka Joel Allah akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nashukuru sana sana
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 3 ай бұрын
​@@joelnanaukaMm cna amani na mmewangu ambae tumezaa nae tumefunga ndoa lakin nimeishi nae bila amani mwaka1 uliopita je mm nifanyeje pastor
@johnwangubo3342
@johnwangubo3342 4 ай бұрын
Asante sana kaka joel nimejifunza kitu
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Karibu tuendelee kujifunza🙏
@LeahLuhwavi-pd6cz
@LeahLuhwavi-pd6cz 4 ай бұрын
Ubarikiwe Sana ujumbe huu ni mzuri Sana.🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nashukuru sana tuendelee kujifunza
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 3 ай бұрын
​@jpoelnanauka please help me
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 4 ай бұрын
Amna kitu kigumu kama kupata mwenza sahihi kuishi ndoto zako na kupata rafiki sahihi
@user-ds2em7or1w
@user-ds2em7or1w 3 ай бұрын
Asante kaka
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 4 ай бұрын
Mimi mwenyewe tangu nilipokubali napitia mateso na nimepoteza thamani na kukata tamaa kabisa
@godlistenmangowi9328
@godlistenmangowi9328 4 ай бұрын
Usikwahi kukata tamaaa!amka ufurahie tena,Wafilipi 4:4
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 4 ай бұрын
Pole asee NAMI pia napitia IRA tusonge mbele
@janetmbwana553
@janetmbwana553 4 ай бұрын
Pole sana lkn bado unayo nafasi
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 3 ай бұрын
Pole sana
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 3 ай бұрын
Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye
@samwelimwanja4105
@samwelimwanja4105 3 ай бұрын
Pole sana betric
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 3 ай бұрын
Nan wa kukupenda wew na mwanao?
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 3 ай бұрын
@@priscusaugust7251 atakayenipenda dear na sio lazima sababu nimeshamchagua mwanangu kama chaguo la kwanza hivyo hata asipopatikana Haina tatizo ndugu
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 3 ай бұрын
@@samwelimwanja4105 ahsante ndugu
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 3 ай бұрын
​@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.
@edommdende4309
@edommdende4309 4 ай бұрын
❤️🙏
@niriacatering172
@niriacatering172 3 ай бұрын
Asante sana
@everose276
@everose276 4 ай бұрын
Kaka sisi tuliokwisha ingia sasa na kifungo cha ndoa ndio balaa sasa jinsi ya kutoka 😊
@vanessasalema6087
@vanessasalema6087 4 ай бұрын
Noted.
@Yonzomc01
@Yonzomc01 4 ай бұрын
Hasante sana kaka nimejifunza kitu ambacho skuwai kujua.
@ahz6907
@ahz6907 4 ай бұрын
Hongera....Kila siku tunajifunza.😊
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Shukrani sana, tuendelee kujifunza🙏
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 4 ай бұрын
AHSANTE
@abdulfatahjuma3105
@abdulfatahjuma3105 4 ай бұрын
More blessing
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameenn
@righitkileo
@righitkileo 3 ай бұрын
❤❤Joel Nanauka.❤❤❤Nakupenda sana❤unajua kufundisha❤Aisee Munqu akupe muda mrefu hapa dunian❤❤❤❤❤❤❤
@rebeccakisale
@rebeccakisale 4 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾
@nasha_59
@nasha_59 3 ай бұрын
Asant sna kwa darasan hil naomb uwek namna yakupony maumiv ya muda mref plz tlishafany makos tnatak kupiny mioyo yet ili tusj tkafany tna makos
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 4 ай бұрын
Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 3 ай бұрын
Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi
@user-ql5vl1rf4l
@user-ql5vl1rf4l 3 ай бұрын
Pole sana dear
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 3 ай бұрын
Nakuombbea upate alie sahihi
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 ай бұрын
Kaka Joel sikuiz husem chochote kwenye komenti,,hulaik why?
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Najitahidi ila kuna wakati nashindwa mambo yanakuwa mengi
@paulmayombe4336
@paulmayombe4336 3 ай бұрын
Mapenzi ni kama gemu flani iv jmn mtu akishajua umemp3nda ndo anaanza kukufanya anavotaka
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 3 ай бұрын
Acha tu aise
@jkifutu7936
@jkifutu7936 4 ай бұрын
Absolutely 💯 💯 💯
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 4 ай бұрын
All in all Don't allow your emotion to destroy your life 😂😂😂
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 ай бұрын
Uko na copy za vitabu kwa lugha ya Kiingereza?
@user-fo8pd3cx9h
@user-fo8pd3cx9h 3 ай бұрын
Umetisha sana asante.ukweli mtupu. 4:01
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 4 ай бұрын
Boss kuna namba umetoa napiga hupokei hata msg sijajua tatizo nini
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Karibu sana 0756-094875/ 0762 31 21 71 / 0745 25 26 70
LIFE WISDOM : KABLA YA KUMPATIA MTU MOYO WAKO - JOEL NANAUKA
15:27
SABABU ZA WANAWAKE KUTOKUWA WAAMINIFU KWENYE NDOA | Deo Sukambi
26:01
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 122 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 104 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 15 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 114 МЛН
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA
18:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 13 М.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 22 М.
LIFE WISDOM : MAJIRA YA KUTENGANA NA WATU - JOEL NANAUKA
15:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 19 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 122 МЛН