Tangu nianze kukufatilia nimekuwa strong nasimama mwenyewe kwenye mambo yangu ,ata sijali watu wasipoongea na mm wakati sijawafanya kitu najua ni chuki zao tuuu ,mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza
@brackskinyozi32806 күн бұрын
Uko Sahihi kaka Joel.... asante sana
@billjeremiahmaiwe3 ай бұрын
Mungu akubariki sana Kwakweli napokea nafasi ya upekee sana.
@edsonedmond69193 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@christinatibezuka3203 ай бұрын
Daaahh yaliyonikuta,😢 lakini namshukuru Mungu kwa sasa Niko vizuri, hakika wewe ni mwl🙏
@cattyrichard17143 ай бұрын
Asanteee sana Mtumishi wa Mungu somo zuri kabisa lenye manufaa kwetu vijana Hasa tulio single 😅
@user-wy6re9be2g3 ай бұрын
Nashukuru sana Kaka Joel...!! Mimi Mpenzi wangu (Girlfriend) kiukweli simuelewi hata Kidogo,, Tupo kwenye Mahusiano Mwaka unakata ila suala la Appointment ni kipengele sana.. Amelelewa na Mama na anaishi kwao ila Hana time na Mimi, kila Appointment nnayoweka Visingizio chungumzima inatokea inaharibika.... Mapenzi ya kwenye simu Daily siyawezi kiukweli...,, Mtu Hana time na Mimi, Hana uhuru na Mimi INACHOSHA... Nampenda Sana Sijui nifanye kitu gani...!!
@user-zl5mt6lk4n3 ай бұрын
nenda kwao kamtolee posa uone kama atakataa au atakubali
@cubahiroarthemonofficial90593 ай бұрын
God bless you 🙏. From Burundi 🇧🇮
@eunace30193 ай бұрын
Tafadhali naomba uongeze sauti kidogo
@stanleytoo20283 ай бұрын
Be Blessed so much
@PeterAlly-zr4di3 ай бұрын
Then see me AT THE TOP thank you pastor
@rubenkimati52503 ай бұрын
Jarb kuadjust sautii inahitajii ukiskilizeee Kwa makini sana .Alf sauti ipo had mwsh
@CalmOysters-im5lh3 ай бұрын
Uliyosema yalinikuta labda kitu naweza kusema nikwamba kabla hujampa mtu moyo wako shirikisha vitu vitatu 1.AKILI,2.HISIA,3.MOYO..Moja ikikosekana miongoni mwa vitu hivi vitatu usitoe moyo wako acha utaumia
@zakariachacha75743 ай бұрын
Hahahhahha kwakweli kwa hali hii naenda kumuacha mpenz wangu sitaki tena mahusiano nae maana hizo dalili zote naziona kwake
@shukranjulius95263 ай бұрын
😂😂😂Yani wewe
@MSHINDICLEMENCE3 ай бұрын
Very good kumb ww unaelew xo Kam wale wanaosem ntafany kesho
@shukranjulius95263 ай бұрын
@@MSHINDICLEMENCE 😂😂😂
@zakariachacha75743 ай бұрын
@@MSHINDICLEMENCE ukweli wa mungu naachana nae kuzaa syo tija
@MSHINDICLEMENCE3 ай бұрын
Hayo ndo maneno sas maan wanawake wajion wazr kumb hamna ki2 Kaz 2 ku2pa stress
@abdulfatahjuma31053 ай бұрын
Best lesson God going to enlight you Broo❤
@user-iv5fl9cp9h3 ай бұрын
Asante sana kaka zidi kutujaza maarifa na mungu akuongoze 8:42
@work24onme3 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, Mungu akubariki.
@user-ts4jr7ok1e3 ай бұрын
Asante sanaaa nazidi kujifunza sanaaa kutoka kwake
@abuhaydatOmar3 ай бұрын
You are very good man be blessed
@Sanga_jr_243 ай бұрын
@zakariachacha umeupiga mwingi 🔥 kaka Vita ni vita mura 😂🙌🏿
@user-nu6ge7rg7n3 ай бұрын
Ukimsikiliza kaka Joel lazima utabadilika kwa nvonvote vile asant sana kaka
@goldiegranted55013 ай бұрын
Somo🔥🔥🔥🔥🔥
@truthch16423 ай бұрын
15:14 asante ninazidi kujifunza. Thank you
@NaomyPoul3 ай бұрын
Asante kaka Joel nimejifunza jambo🎉
@user-qh2ef5gj5b3 ай бұрын
Asante kaka mungu akubalik
@denssimon55853 ай бұрын
Upo sahihi sana👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@moseskenedy70423 ай бұрын
Epsod ya jana niliielewa sana kaka barikiwa
@janetmbwana5533 ай бұрын
Wow❤❤ hakika hii ni dawa ,
@clarasabutoke69073 ай бұрын
Asante sana kwa elimu
@hadidjaissa91543 ай бұрын
Aksante sana kaka somo nzuri
@mgenikisinzah15643 ай бұрын
Ni guidance nzuri.
@officialAlAbdul3 ай бұрын
Joel nmepata mwanamke anamtoto mmoja ila akombali na mm anafanya kaz namm nafanya kazi ila kila mwezi anamatatzo
@goldiegranted55013 ай бұрын
Tuliza nafsi,,,,tumia akili na moyo vyote Kwa pamoja,,,swali Sana pia,,,,kumbuka hili suala sio la kushauriwa sanaaaah,Bali kusikiliza maarifa kama hivi AF vyengine Unadeal navyo mwenyewe,naamini utaweza kupata majibu🏆,,,,NB:USITUMIE HISIA PEKE YAKE,,,,BALI NA AKILI,,,,(Akili +moyo=jibu SAHIHI)
@user-zl5mt6lk4n3 ай бұрын
hakuna binaadamu ambaye hana matatzo yake hata wewe unryo yako