Рет қаралды 462
Duniani Yapo mengi ya kushangaza ukiachana na maajabu saba ya ulimwengu lakini pia kuna maajabu ya walimwengu wenyewe.
Najua umewahi kushuhudia na kusikia habari za watu kujinunulia Jeneza au kutayarisha kaburi kwa ajili ya maandalizi ifikapo siku zao za mwisho.
Hii ni story ya Kijana mtanzania ambaye amelala kwenye Jeneza kwa zaidi ya miaka kumi na tano hivi sasa.