#LEOTENA: MAMA ALIVYOTAKA KUMBEBA MWANAE ALIYEPOTEZANA KWA MIAKA 36, SIJUI MIAKA YANGU
Пікірлер: 184
@SalhaIradukundaАй бұрын
Aliye lia kama mm nipeni like hapa jamani
@user-em4zz3lh1h29 күн бұрын
Nimelia kwanguvu yaani
@ilakozasembumende1975Ай бұрын
Huyu mama sasa ndo mama yaan anahisia kari sana na mwanae yaaani kijanawake hata juta kumpata mama yaan wana chemistry moja matata❤❤❤❤❤
@judyngowi391Ай бұрын
Clouds kitu mnafanya ni kikubwa , nawapa maua yenu, Mungu awabariki sana
@sarahkinyashi6213Ай бұрын
Kipindi kinaliza hikiii,nyie tumshukuru Mungu jamanii😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@hamzafishten9560Ай бұрын
Kabisa
@user-bo5qp9gz8m28 күн бұрын
Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤
@cocorita8367Ай бұрын
Hichi kipindi chenu ni kutuliza tu jamni mungu awabariki sana Dahuu na Geah😢
@Sonia_abassАй бұрын
Na jose
@RayChausaАй бұрын
😢😢Chatuliza kwa kweli
@upendogreutert199Ай бұрын
Kipindi hiki kinaliza jamani siwez vumilia kwa kweli
@phebbyshayo9099Ай бұрын
Kipindi Bora Sana ...nampenda Sana bint yangu Meghan❤
@oman1oman179Ай бұрын
Hiki kipindi kinaliza sana 😢😢😢😢😢Yani nimeshalia mmpaka basi na fikia kuumwa kicwa juu ya kulia
@user-kh7mx7up4wАй бұрын
Wallah kipindi ni kizuri sana na kinaliza allah awalipeni kila lenye heri inshallah
@JUDITHGEORGE-zs7oqАй бұрын
Mungu awabariki sana
@SharifaOman-bf1bnАй бұрын
Najikuta. Nalia. Jamani. Timu. Ya gea. Hongereni sana
@rehemaathhmani357Ай бұрын
Mungu awabariki sana kwa kazi zenu ❤🤲
@theonestinamutole8549Ай бұрын
Nimelia sanaaa
@zamdambalilo9718Ай бұрын
Kiukweli Mungu awabariki sana.Kipindi hiki kinanitoa machozi sana.Naumia nikiona wanawake tunaroho ngm.mm nakufa nawanang.maradhi aukifo ndo kinitenganishe.Japo napitia shida nyingi ila najua mungu hatoniacha
@nenenongi66Ай бұрын
I wish engekuwa inatokea wale wazazi walishafariki wanaenda huko mbinguni wanakaa kwa mda then wanarudi wakaanza kututafuta watoto wao waliotuacha huku duiniani ,mimi ningekuwa naingoja hiyo siku kwa hamu sana yakuwaona wazazi wangu tena,pumzika kwa amani wazazi wangu😭
@festusbokoro1615Ай бұрын
R I p pole Sana
@sarahkinyashi6213Ай бұрын
Jamanii wamamaaa,hii inatufundisha kitu wapendwa,afadhali wamekutana wakiwa hai, Mungu ni mwema jamanii🙏🙏🙏
@samuelmuhindosivamwanza4988Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza, ninafuata kipindi hiki nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩. Nimekifurahia sana. Mbarikiwe sana na Mungu kwa kazi mnayo itenda. Watu wengi tumepotezana nao. Mmenifanya nilie kama mtoto mdogo.
@oman1oman179Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu awwzidishie wote mnawo fanya kazi hii ya kukutanisha watoto na wazazi ,sasa wazazi wakiume wako wapi
@sarahkinyashi6213Ай бұрын
Hongera SHANGAZI kwa ulezi
@rukiauwonde7062Ай бұрын
Jaman 😢😢najikuta nalia aki mama aamin kama mwanae
@NoelaNdibalemaАй бұрын
Wakati wengne wanatafutwa mama zao sisi wengne tumetelekezwa na Mama zetu.Aiseeeeeeeee mmeweza kuniliza jamani
@user-hq9tm8ph9zАй бұрын
Iseeey mama unaachaje watoto mm labda uibe
@user-vm4xx6uu4jАй бұрын
Ata akutelekeze ww mtafte kutakua na sababu mm awezi kumuacha mtoto
@user-vm4xx6uu4jАй бұрын
Mungu ambariki huyu shangazi
@hellendaniel3809Ай бұрын
Mtafute mama yako
@JosephKileo-wy1rcАй бұрын
Dah
@naimarishedy152325 күн бұрын
Shangazi hongera Allah muweza wa yote 🤲 akurinde na hata clouds mungu awabariki 🥀🥀🥀
@oman1oman179Ай бұрын
❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah nimempenda shangazi mungu ammoe maisha mema yarabii
@isunga1964Ай бұрын
I wish nisikie mama yangu na baba wananitafuta nikutane nao tena R.I.P wazazi wangu mpumzike kwa Amani😭😭😭
@user-uz4kc5he7vАй бұрын
😭😭💔
@zaitunichzi5241Ай бұрын
😭😭😭😭😭😭mungu akulinda
@rahmasaid2350Ай бұрын
Pole sana mdogo wangu 😢
@isunga1964Ай бұрын
@@zaitunichzi5241 asante wangu yao mbele yetu nyuma
@isunga1964Ай бұрын
@@rahmasaid2350 asante wangu yao mbele yetu nyuma kikubwa unawaombea hiki kipindi napenda kuangalia ila nalia pia
@wettykznznhuioploko1571Сағат бұрын
Uyu mama nimempenda kuliko wamama wote walio tangulia mahana anaisia zote
@zuenamikidadi9295Ай бұрын
Yani mungu awabariki sana nimeliya sana
@salamaalihemed6220Ай бұрын
Wallh mashaallh thabrk allh mungu awalinde kw kazi yenu ❤❤❤😢😢😢
@bintmrisho3526Ай бұрын
Nalia tu mimi sijui nalia nn😭
@zainabsulieman5181Ай бұрын
Hata mimi sielewi nalia nini😢
@RehemamakukaАй бұрын
Kumbe tupo wengi
@sheruajafari1676Ай бұрын
Ongereni clous
@rhodaangetile278128 күн бұрын
Kiukweli katika vipindi mnafanya ya kibinadamu nakuonya mioyo. Hongereni sanaaaa
@RoseMhando-kc5lsАй бұрын
Hongera Radio Clouse Fm,kipindi kizuri mnoo keep it up
@oman1oman179Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu amzidishi moyo mwema huo shangazi alokulea kuna shangazi manshallaah kama baba
@mariamkibindo1741Ай бұрын
Sawa Dahuu na Geah tumeelewa tutawalea vizuri
@zamdambalilo9718Ай бұрын
Kiukweli mitihan ni mingi na maisha nimagum lkn siachi wanang.Kirauz Mungu awabariki.
@zamdambalilo9718Ай бұрын
Da huu huwa nakupenda sana.unaroho ya huruma sana.mingu awabariki wote
@darlenedada651Ай бұрын
MashaAllah iki kipindi nimekipenda kinanijenga nizidi Ku mpenda Mama .Mama Mngu azidi kukulinda
@VailettyShigerla-fw2sg23 күн бұрын
Mungu akuride jamani kwa kazi zuri
@AnnaGotrip20 күн бұрын
Duh mnatuliza
@fatmaallyabdul1732Ай бұрын
Ama mnajua kutuliza jamani😭😭😭hii dunia changamoto ni nyingi daaah!!
@CristinLyangaАй бұрын
Shangazi hongera sana.
@user-xh7xf2ki3rАй бұрын
Maa Shaa Allah yaan Allah awabark sana 😭😭
@mossyfimbo3577Ай бұрын
Nimempenda saana huyu kijana ni mwingi wa shukrani Anashukrani saana mno mno nami nililelewa na shangazi zangu nikiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka 15 Mwenyeezimungu awarehemu shangazi zangu na Bibi yangu mama yao shangazi zangu walikuwa binamu wa Baba yangu nawashukuru saana nami nilijaliwa niliwatunza kwa sasa hawapo tena Mwenyeezimungu awarehemu pamoja na wazazi wangu hata iweje Mama ni Mama tu huwezi kupata mwingine Mwenyeezimungu awarehemu wazazi wangu
@ameenamohammed4413Ай бұрын
hiii ni hatari jmn miaka39 nimelia sana😭😭😭
@user-go8nm4mh1kАй бұрын
Hongera sana shangaz🙏🙏🙏🙏
@mkambaselemani-ej7npАй бұрын
Jamani nimelia huyo nidada yangu kbs jeny jony
@IssaMbaru-qw6ug24 күн бұрын
Allah akbar mpaka nimelia
@KaniOfficio-lk1rkАй бұрын
Ongera sana claudhi Mungu awape maisha malefu nilikuwa nikisikiliza ledio ongeran
@GraceReonadАй бұрын
❤
@RamlaAmiriАй бұрын
Mh kama unaweza kuangalia hiki kipindi bila kulia una moyo wa peke yako ila timu leo ten Mungo awabariki kwa hiki mnachokifanya
@hanankhamis4517Ай бұрын
Jamani nimelia sana hakika mungu muweza
@aishaabrahaman9957Ай бұрын
Nimempenda uyoo shqngazi laminitis watu wana rohoo mbayaa
@winniejacob178420 күн бұрын
Kila nikiangalia hiki kipindi mimi nalia tu najikaza lakini nashindwa jamani 😢
@sein.208Ай бұрын
Masha Allah
@marrynessbarthazary314425 күн бұрын
jamani nyie wadada mnaoendesha kipindi hiki Mungu awabariki Muishi Maisha marefu sana nawapenda sana 🙏
@hamzafishten9560Ай бұрын
Hongera sana shangazi
@user-fd5pb1dt4jАй бұрын
Nice vizuri
@aminamohamed9955Ай бұрын
Maashaallah
@athmankiama113329 күн бұрын
Wtoto wengi baba yao askari!
@DativaMboweАй бұрын
😭😭😭 l wish kama nisikie mamaangu ananitafuta maana alisafiri nikiwa mdogo akatuacha moshi akaenda bukoba kwenye msiba babu yaani babaake😭😭 siku anarud kutoka bukoba meli MV bukoba ikapata ajali ndio umatu ulipo mkuta😢😢
@RizikiRiziki-bp6dxАй бұрын
Pole sana
@AnifaMwakilachile-ii6qdАй бұрын
Jamani mnatuliza wenzenu huku daah
@LenaMwangamiloАй бұрын
Uyu waziri alikuwa Anasoma mkombozi mbaliz _mbeya
@njuka3515Ай бұрын
Nililekewa ba bibi na baba R.I.P kwao ❤
@ghhhhy1812Ай бұрын
Mam ni mam❤️
@AshaKassim-tu7gzАй бұрын
Da geah hiki kipindi cheni kinaniliza mwanzo mwisho
@setiseti5281Ай бұрын
Ongera sana
@aziza9093Ай бұрын
Hiki nnokipidi chakutizama Allah awpe maishamaraf
@femidayahaya9293Ай бұрын
Mungu ameweka kitu kikubwa kwenye ubongo wenu mpaka kufikilia kuanzisha hili jambo maana mmesaidia wengi
@user-it9se4tr3f26 күн бұрын
Hawa wanaume mungu anawaona
@azizambise24 күн бұрын
Duu sijui nalia kwa uchungu au furaha hata sielewi
@mashkadaniel1097Ай бұрын
Jaman nasie hku hatujui familia ya baba yetu alikuja kutafta maisha kahama mpaka umauti imekumta mwaka 1998
@user-pp9mp1pz9fАй бұрын
Me nalia tuuu 😢😢
@user-sj8hn7jt7gАй бұрын
Hongeren Sana hicho vipindi help kubwa kwenu
@user-nc4ko3qz7tАй бұрын
Dah😢😢
@asnathamanАй бұрын
😮😮
@susannesusie321725 күн бұрын
Ninalia apa mpak naulizwa unashida gani😢
@EmilykuvunaKonziАй бұрын
Waaaah poleni jamani😢
@mrsdeborahurioАй бұрын
Hadi nimelia jamani!
@fatuma5208Ай бұрын
Nimelia sana
@chire4574Ай бұрын
Mm nilichukuwa watoto wangu sasa ivi ni mwaka wa kumi....naishi nao Kenya...ila mama yao ajawai shugulika kuwatafuta .....namba as simu anazo.....huku Kenya ameshawai kuja sio mara moja.....lakini gafla akipata mawasiliano
@sommohd790325 күн бұрын
😭😭🙏🏼
@happymasanja4113Ай бұрын
Dah nyieee😭
@user-ry2ix2pv4qАй бұрын
Na kweli kopi yake
@user-lx8nl8hh3fАй бұрын
Daaaàh!
@rosehaule6765Ай бұрын
Continue to rest well mama na baba yngu😢😢😢😢
@TumainiMbembela25520 күн бұрын
Nimelia jamani
@halimaa9367Ай бұрын
Mungu ibariki tazania
@tunkuh661Ай бұрын
Wapo shangazi zangu watatu hao ni zaidi ya shangazi sijui niseme nini Mungu tu awalipe japo kubwa Lao alikwisha fariki Mungu amlaze mahali Pena peponi... Nimekupenda shangazi umenikumbusha wema wa aunt zangu
@mamasalhatАй бұрын
Mie sijui nisemeje😢😢
@zuwenasalim2794Ай бұрын
mm mamdogo aliyonifanyia huwa kunamuda nalia mwenyewe
@HusnahMaulid-wi8dlАй бұрын
Mam umeniliza san jmn napat hisia kali najaribu kuvaa viatu vyko havinitoshi mama
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
😢😢😢
@EsterBhokeАй бұрын
Najisikia uchungu sana navyo ona wenzangu wanakutana na mama zao afu wanafurahi pamoja mimi na dadaangu mama yetu alituacha tukiwa wadogo sana dadaangu alikuwa miaka 4 na mimi nilikuwa na miaka 2 tumemtafuta na tumempata lakini hataki hata kutuona anasema yeye anamtoto moja tu ambae amezaa na mwanaume mwingine sisi hatujui dah inauma sana usiombe
@aishamsemwa-zu3eoАй бұрын
Poleni sana
@njuka3515Ай бұрын
Pole sana
@EsterBhokeАй бұрын
Asante
@bahatinassorali5222Ай бұрын
😢poleni sanna
@betyjoseph6812Ай бұрын
Kaathirika kisaikolojia tu hakuna mama asiyempenda mwanae
@frankkulwa3981Ай бұрын
Kipindi kizuri sana🎉
@faridaally-jp1gxАй бұрын
Da gea hongereni ila kina liza
@gloryhamidu9418Ай бұрын
Dah Mimi sjui kama mama yang kafa au Yuko haii jamani dah aliacha mim n mdog wangu nikiwa mdog Sanaa simjui mama yangu hata kwa sura yani 😢😢😢dah sjui kma yup haii au amekufa jamnii dah naumia sana .natamani nami nimpat mama yangu mzazi😢😢😢 Joyce
@user-qg9nj2yw7eАй бұрын
Aliyewalea ukimuuliza mama Ako yuko wapi anakwambiaje
@JokhaVenanceАй бұрын
Nimelia
@moneymaker215Ай бұрын
Jamani watu wa bara muache Tabia ya kukimbia na wtt
@NoelaNdibalemaАй бұрын
Clouds mnajua kunilozaaaa
@FatumaJabuАй бұрын
Niseidieni na mm natafuta babaangu aniacha nikiwa na myaka mitano babaangu anaitwa saidi kwa ni hiringa mm niko kenya
@janembalinga7074Ай бұрын
Mimi namtafuta baba yangu mdogo anaitwa thomas mbalinga kama familia tumemkumbuka sana popote alipo aje achungulie bas hata kaburi la mama yake ambaye ni bibi yetu sisi
@rhodangenziАй бұрын
Nina wifi yangu anamtafuta mama yake zaid ya miaka 40, lakini hajui atumie utaratibu gani wa kutoa taarifa hiyo