#LEOTENA

  Рет қаралды 54,382

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Ай бұрын

#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''

Пікірлер: 115
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 29 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 13 күн бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
@user-lm8ji4tz2r
@user-lm8ji4tz2r Ай бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv4065
@masterhptv4065 Ай бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Utabarikiwa
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Ай бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@floraflora5964
@floraflora5964 Ай бұрын
hee umenikumbusha baba mwita
@user-rn9lk1ck7m
@user-rn9lk1ck7m 22 күн бұрын
​@@floraflora5964kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn Ай бұрын
Kipindi. Ķimetulia. Vizuri. Mwijaku. Hayupo. Wamekelele. Aende. Salama. Kwakweli. Kipndi. Kimependeza. ❤❤
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
😂😂😂😂
@bahatibushiri1610
@bahatibushiri1610 Ай бұрын
Umewaza kama mimi simpendi misifa mingi
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 Ай бұрын
😂😂😂 akawapigie kelele huko mbele kwa mbele
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c Ай бұрын
😂😂😂 yupo Dubai anakula bata
@ansifridmkongoja3337
@ansifridmkongoja3337 Ай бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l Ай бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@christaoman8890
@christaoman8890 Ай бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@jordankikoti1045
@jordankikoti1045 7 күн бұрын
Kaz nzr sana Mungu awatie nguvu muendelee na moyo huo wa utendaji kaz
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 Ай бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 26 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Ай бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r Ай бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@UpendoLukas-s1u
@UpendoLukas-s1u 3 сағат бұрын
Habari, naomba mnisaidie kumpata baba yangu mzazi sijawahi kumwona tangu nizaliwe naomba msaada wa kumpata
@saidshaban8110
@saidshaban8110 7 күн бұрын
Babu leo anapasha kiporo hii ndio mana hari ya wazazi hawagonbani 😅😅😅
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 29 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@CristinLyanga
@CristinLyanga Ай бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@UpendoLukas-s1u
@UpendoLukas-s1u 3 сағат бұрын
Nami namtaguta baba yangu anaitwa David Kimori.
@janneferisaya83
@janneferisaya83 Ай бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Ай бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 Ай бұрын
😂
@KAHINDITV
@KAHINDITV 22 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@jaliamkubilasidi
@jaliamkubilasidi 26 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Trizah-254-e
@Trizah-254-e Ай бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@user-eb6ct7ks3w
@user-eb6ct7ks3w 8 күн бұрын
To be sincerely babu aliboa!!!
@halimamremi5375
@halimamremi5375 Ай бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@ZuhuraBungi
@ZuhuraBungi 2 күн бұрын
Namtafuta mwanangu mtoto wa marehem kaka yangu anaitwa hassan jumanne mwinyikondo mama yake akitokea mbagala
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs Ай бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@user-yd6xh1mr1k
@user-yd6xh1mr1k Ай бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@FaridaMngereza
@FaridaMngereza 9 күн бұрын
Iza iza iza
@esthercharles-zq1lc
@esthercharles-zq1lc 11 күн бұрын
Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Ай бұрын
🎉
@user-rm9iz3yi5c
@user-rm9iz3yi5c Ай бұрын
Hongera sana
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Ай бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767
@asiansky9767 Ай бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c Ай бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Ай бұрын
Katokea kwetu
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
❤❤❤
@fathimamct232
@fathimamct232 Ай бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r Ай бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
😂😂😂
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Ай бұрын
@annastaziarenatus8046
@annastaziarenatus8046 12 күн бұрын
Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 Ай бұрын
Nimelia
@halimaoman8726
@halimaoman8726 Ай бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@Allygibison
@Allygibison 20 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@user-ml8jd5xg1r
@user-ml8jd5xg1r Ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Ай бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z
@user-ck3sj6ni4z Ай бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@SuzanFelix-mo8fq
@SuzanFelix-mo8fq Ай бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@user-sy4wf5ll4o
@user-sy4wf5ll4o 29 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@hashakishabani4896
@hashakishabani4896 Ай бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@Moscow924
@Moscow924 Ай бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@abdulkhalim9475
@abdulkhalim9475 23 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 Ай бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 Ай бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg Ай бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@user-bz6ru7sk7u
@user-bz6ru7sk7u 23 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@GladnessJohnLewis
@GladnessJohnLewis 19 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@mussanangumi1734
@mussanangumi1734 22 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@halimaoman8726
@halimaoman8726 Ай бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 Ай бұрын
katikati
@user-lx8nl8hh3f
@user-lx8nl8hh3f Ай бұрын
Ila inauma
@ellahjonas4881
@ellahjonas4881 14 күн бұрын
Acheni kuniliza jamani
@user-qg2sw9bj2i
@user-qg2sw9bj2i Ай бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 20 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@user-th9nc2om2x
@user-th9nc2om2x Ай бұрын
Acheni muziki
@user-ky2do8fn1w
@user-ky2do8fn1w Ай бұрын
Mama znaongea kibembe
@Wilbadi
@Wilbadi Ай бұрын
Sis sio milima tutakutan
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 Ай бұрын
Weee nalia bas tu
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
Safuy san kwakipidi
@ReginaThomasLongwe-qf4qs
@ReginaThomasLongwe-qf4qs Ай бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 22 күн бұрын
Sana
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 Ай бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo Ай бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo Ай бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo Ай бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@user-pn7qg8jb1e
@user-pn7qg8jb1e Ай бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
@HOLINESSPIUSE-gv8ud Ай бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@TeleziaSimbeye-fm3zw
@TeleziaSimbeye-fm3zw 25 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g Ай бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@user-vv3et8xy2x
@user-vv3et8xy2x Ай бұрын
Ila babu
@rashidkishk8726
@rashidkishk8726 27 күн бұрын
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 22 күн бұрын
Huzuni jamani
@GetrudaChagu
@GetrudaChagu 26 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo Ай бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 Ай бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 Ай бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie Ай бұрын
😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 22 күн бұрын
Yaani😂😂😂
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie Ай бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei
@MaryCaroly-zl1ei Ай бұрын
😂😂😂😂
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 Ай бұрын
Kampatia mtu chake jaman
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 21 күн бұрын
❤❤❤
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,5 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Mr Uky
Рет қаралды 138 М.
WEWEEEEEE....Makonda Ashindwa KUJIZUIA, Machozi YATANDA akina MAMA!!!
27:20
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
BabaJoan
Рет қаралды 362 М.
Mpoki na Ulaji wa Profesa Janabii
9:18
CHEKESHA
Рет қаралды 103 М.
УНИТАЗ В ЛЕСУ?? #shorts
0:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,2 МЛН
САМЫЙ ЖАРКИЙ ШТАТ (@therealoscarmendez - TT)
0:23
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 22 МЛН
Выглядит на 15, хотя ему 35. В чем СЕКРЕТ?
0:16
Собиратель новостей
Рет қаралды 4,8 МЛН