#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''
Пікірлер: 115
@user-fz1ph3cn4s29 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-eu6ql9zl7n13 күн бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
@user-lm8ji4tz2rАй бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv4065Ай бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige8936Ай бұрын
Utabarikiwa
@aminaomary5567Ай бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@user-xc4or2vp6lАй бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@christaoman8890Ай бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@jordankikoti10457 күн бұрын
Kaz nzr sana Mungu awatie nguvu muendelee na moyo huo wa utendaji kaz
@samuelmuhindosivamwanza4988Ай бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@anenragnesmunis849026 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@solomondanny-1507Ай бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@user-ii1tc7gt9rАй бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@UpendoLukas-s1u3 сағат бұрын
Habari, naomba mnisaidie kumpata baba yangu mzazi sijawahi kumwona tangu nizaliwe naomba msaada wa kumpata
@saidshaban81107 күн бұрын
Babu leo anapasha kiporo hii ndio mana hari ya wazazi hawagonbani 😅😅😅
@user-xh7xf2ki3r29 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@CristinLyangaАй бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@UpendoLukas-s1u3 сағат бұрын
Nami namtaguta baba yangu anaitwa David Kimori.
@janneferisaya83Ай бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@darajalakidatukilomgi2362Ай бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953Ай бұрын
😂
@KAHINDITV22 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@jaliamkubilasidi26 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Trizah-254-eАй бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@user-eb6ct7ks3w8 күн бұрын
To be sincerely babu aliboa!!!
@halimamremi5375Ай бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@ZuhuraBungi2 күн бұрын
Namtafuta mwanangu mtoto wa marehem kaka yangu anaitwa hassan jumanne mwinyikondo mama yake akitokea mbagala
@GetrudeRashid-be8bsАй бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@user-yd6xh1mr1kАй бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@FaridaMngereza9 күн бұрын
Iza iza iza
@esthercharles-zq1lc11 күн бұрын
Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana
@ruthmuja7792Ай бұрын
🎉
@user-rm9iz3yi5cАй бұрын
Hongera sana
@sleeprelaxation8431Ай бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767Ай бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6cАй бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@matridamwalyoyo1735Ай бұрын
Katokea kwetu
@aziza9093Ай бұрын
❤❤❤
@fathimamct232Ай бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@user-ii1tc7gt9rАй бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988Ай бұрын
😂😂😂
@ruthmuja7792Ай бұрын
❤
@annastaziarenatus804612 күн бұрын
Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720
@rehemaabdy2830Ай бұрын
Nimelia
@halimaoman8726Ай бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@Allygibison20 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@user-ml8jd5xg1rАй бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@ruthmuja7792Ай бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664Ай бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4zАй бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@SuzanFelix-mo8fqАй бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@user-sy4wf5ll4o29 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu722 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@hashakishabani4896Ай бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@Moscow924Ай бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@leokamil6284Ай бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@abdulkhalim947523 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@fatmamohammed8346Ай бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@magrethmathayo2800Ай бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@MonaJuma-cp3jgАй бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@user-bz6ru7sk7u23 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@GladnessJohnLewis19 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@mussanangumi173422 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@halimaoman8726Ай бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988Ай бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@aminaabdalla9949Ай бұрын
katikati
@user-lx8nl8hh3fАй бұрын
Ila inauma
@ellahjonas488114 күн бұрын
Acheni kuniliza jamani
@user-qg2sw9bj2iАй бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere418820 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@user-th9nc2om2xАй бұрын
Acheni muziki
@user-ky2do8fn1wАй бұрын
Mama znaongea kibembe
@WilbadiАй бұрын
Sis sio milima tutakutan
@mariyamsalalah8204Ай бұрын
Weee nalia bas tu
@aziza9093Ай бұрын
Safuy san kwakipidi
@ReginaThomasLongwe-qf4qsАй бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu722 күн бұрын
Sana
@ghhhhy1812Ай бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@HawaAhmed-yj8woАй бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie5Ай бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyoАй бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias9967Ай бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias9967Ай бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8woАй бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@user-pn7qg8jb1eАй бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8udАй бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@TeleziaSimbeye-fm3zw25 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@user-do1ug7de3gАй бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@user-vv3et8xy2xАй бұрын
Ila babu
@rashidkishk872627 күн бұрын
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu722 күн бұрын
Huzuni jamani
@GetrudaChagu26 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@FloraMarinyoАй бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852Ай бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@georgedaniel4962Ай бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ieАй бұрын
😂😂😂
@MsAggie5Ай бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5Ай бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?