🔴LIVE: WAKILI MWABUKUSI AENGULIWA KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA UCHAGUZI WA TLS

  Рет қаралды 5,107

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

6 күн бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 010389)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 25
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 5 күн бұрын
Mumefanya nini munashelekea nini heli musiwepo maadili hamuna vishoka wengi hamufanyi chochote ni bule mabadiliko ya taletwa na watoka jasho kaliakoo tunateswa hatuwasikii machinga sela mbovu covid19 hamusemi mutasema lini?
@desiderihugo5704
@desiderihugo5704 5 күн бұрын
Nchi hii ukiwa mtetezi wa wanyonge unakuwa mhanga kila mahali .
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 5 күн бұрын
Hamuna kitu heli uende uchawa wa ccm kuweni chawa Kwa Tanzania Kuna haki COVID 19 wako bungeni mumefanya nini machinga watafukuza nchi hii wasomi mumeshindwa kutetea nchi
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 5 күн бұрын
Ahahahaaaaa daa jamii ya watu wasiojiamini mbona balaaa hili
@petroalfred5108
@petroalfred5108 5 күн бұрын
Na ndio maana mmemuengua Mwabukusi kwasababu ya uchawa wenu kwa rais na serikali yake
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 5 күн бұрын
Mnajita wasomi sasa usomi uko wap kama watu makini mnawatoa
@brightontibenda2346
@brightontibenda2346 3 күн бұрын
Watanzania wanabadilika kwa kasi aiseee! Their comments are same logic but do not agree with what is going on tls election.
@salummohamed2689
@salummohamed2689 4 күн бұрын
Kumbe na nyinyi TLS ni marobot yaliyozalishwa?
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 5 күн бұрын
Mwabukusi to be rejected from been president of low sosayart dasnt mine has been drop into Tanzania pablic sosayart but mwabukusi safering because voice of tanzanian population this is what cost mwabukusi into ccm leadership why because of we tanzania still cawed feel to fighting for our right but time it will tells as
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 күн бұрын
Hata nyinyi mnashindwa kumtambua mwambukusi kuwa ni mtetezi na ni mtu asiye na uwoga wa kusema KWELI iliyonyooka. Na anauwezo KABISA ktk Mambo ya sheria. Mwambusi Boniface amekosa sifa zipi. Loo, kila mahali shida Shida, hivi tulilogwa na nani?
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 5 күн бұрын
Nilijua tu
@rutashobyanovath1116
@rutashobyanovath1116 5 күн бұрын
Hili nalo ni genge la wahuni tu sema wanajificha kwenye sheria rasilimali za nchi zinaondoka na nyie mpe alafu mnajiita cha wanadheria upuuuzi😎
@salama1113
@salama1113 5 күн бұрын
Wanamuogopa mwabukusi 😂😂😂
@JemeslaizerJemeslaizer
@JemeslaizerJemeslaizer 3 күн бұрын
Bora msingekuwepo hamna jipya mbona mabukisi mliengua.. Ninyi kazi yenu nini...
@RobertMachenga-tz3re
@RobertMachenga-tz3re 5 күн бұрын
kumbe hata wanasheria na nyinyi munapewa maelekezo? Haiwezekani Mwabukusi aondolewe kwa nguvu hiyo ni kuondolewa kwa nguvu.
@ndilibangokaruhawe9335
@ndilibangokaruhawe9335 4 күн бұрын
TLS ibadiishwe jina
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 4 күн бұрын
Hii ni shida. Rais anakuja k
@masanjajoto8880
@masanjajoto8880 5 күн бұрын
Sijawaelewa kuengua inaendana nanini kwanini msiwaache wakataliwe nawanachama
@leodgardotmar7198
@leodgardotmar7198 5 күн бұрын
Total bs
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 5 күн бұрын
Heli hata mwenyekiti kaliakoo tutafanya kazi
@robbinsonswai3756
@robbinsonswai3756 5 күн бұрын
Kila kona uchawa uchawa tu, hampendi wasema ukweli, igeni mfano wa wakenya hapo jirani hata.
@leodgardotmar7198
@leodgardotmar7198 5 күн бұрын
Most useless TLS president ever
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 5 күн бұрын
Wahuni kama wahuni wengine mlishanunuliwa
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b 4 күн бұрын
Bora mngefutwanafanya kazi gani?mnatetea serikali Abdala ya wananchi wenu Mungu typo atawaonyesha tu hamtaki kukosolewa hii nchi ni yenu Peke yenu?
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
TUNDU LISSU AMUWEKEA VIGINGI HALIMA MDEE: UCHAGUZI 2025 'HAIWEZEKANI'
5:43
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН