Wisdom Is Greater Than Knowledge thank you so much Pastor for this great teaching 🙏🙏🙏🙏
@davidosaune2 ай бұрын
Ubarikiwa sana ndugu David boyi kutoka kenya turudi katika neno sio mihemko na sarakasi hizi zote lo!
@DavidGumbo-g3tАй бұрын
U r the best
@rosemkuye3 күн бұрын
Mungu akubariki sana na akupe miaka mingi ya kuishi mchungaji
@jesusdeliveranceclinicinte3473 ай бұрын
Tanzania tuna bahati sana kuona hata wazee wetu wa kidini wanasimama kwenye nafasi zao kukikanya kizazi hiki kilicholiacha neno na kukimbilia maji na mafuta. Tamaa za pesa kwa watumishi zimepoteza kizazi hiki. Na Mungu anawaangalia tu, sio kwamba aoni. Rudini kundini tulisome neno jamani . Asante baba Mchungaji kwa kutuchapa kibokoo cha pilipili. Yesu tusaidie sana uzao huu
@user-hl9ee2ve4s3 ай бұрын
God bless you so much mchungaji Hananja. You are rightly dividing the word
@pilisamtyani94453 ай бұрын
Mungu akuweke kwa utumishi wake, Ur the multipurpose servant of God❤
@mosespeter56183 ай бұрын
Kweli hata kama watu watakupinga na kukukata mimi nimekuelewa kweli hupo vzr zaidi ya sana keep up my pastor
@pilisamtyani94453 ай бұрын
Ameen, mtumishi, unasimama na neno hasa, Blessed my pastor
@gabriellyadam94153 ай бұрын
Ubarikiwe sana BABA unatulea wengi kimaadili na kibiblia
@OnesmoKway-mk7zt3 ай бұрын
Wachungaji wote wangekuwa kama wewe dunia igekuwa sehem sahihi ya kuishi unaubiri vzr sana baba yangu unamaliza mwendo wako vzr sana
@lilianowti54773 ай бұрын
Asante baba kunifungua akili,damu ya Yesu na toba tosha.
@Byondorujulika173 ай бұрын
Asante sana muzee wetu pastor Hananja, karibu tena hapa kwetu USA 🇺🇸, from Cedar Rapids Iowa state USA.
@risperrehema58423 ай бұрын
Mtumishi WA Mungu, babangu ubarikiwe Mino. Kutsoka Kenya MSA,
@user-rt6fh1wf3t3 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kazi nzuri mchungaji ❤❤❤
@michaelmushy44633 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukufunulia ubarikiwe.
@furahalazaro69013 ай бұрын
Nimekuelewa sana Mungu akubariki
@abilityemmanuel57043 ай бұрын
Big up sir. Do the work of God.
@user-ly2px8lb5o3 ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU
@bettybetty3873 ай бұрын
Kumtumikia Mungu ni ngumu sana,watu hawaelewi ya kwamba Mungu anatumia watumishi kwa njia tofauti,bado nashindwa mbona wakristu wanapingana kwa huduma yao,mimi napenda maubiri yako mtumishi wa Mungu na pia napenda saaana maubiri ya Pr.Ezekiel na mafundizo yake,shida ni hakuna mwenye anajua jinzi Mungu anatumia watumishi wake,napenda Mungu wangu zaidi na zaidi ni Yeye tu ndiyo mwanzo tena mwisho.Amen.
@abdulhakeem9593 ай бұрын
HANANJA YUKO KIINJILI ZAIDI.YEYE HUPINGA MAMBO YA KIBINAFSI KULETWA KWA DINI.HAPO NDIPO NINAPOKUELEWA.
@ChristinaKayela3 ай бұрын
Mchungaji yupo sawa kabisa wala hapingi Bali anatoa fundisho zuri Sana kupaka majibu ni ishara ya Toba na kumrudia MUNGU maana sisi Kama wanadam kunamuda tunajisau Sana na kwarezima inatukumbusha kutubu na kumrudia MUNGU na pia amefafanua vzr kabisa hata ukipaka majibu uso mzima bila Toba nisawa na Bure Mimi nimkatoliki lakini namwelewa vzr sana
@BenjaminKabebo3 ай бұрын
Sio ngumu ila watu walikuzunguka ndo watakufanya uone kumtumikia Mungu ni ngumu. Angalia kutenda ya aliyekutuma sio hao walioko njiani kukuvunja moyo. Hata yeye alikutana na upepo njiani alichukua hatua ya kuukemea ila wengine waliona safari imefika mwisho
@josephakondowe36453 ай бұрын
Ubarikiwe Rich ,wewe unaijua dini vizuri
@papembithe5033 ай бұрын
Yesu ndio mwazilishi wa miujiza
@dorcaswekesa33003 ай бұрын
God bless you
@neemasonje16203 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@isaacktweve37733 ай бұрын
Asante sana🙏🙏🙏🙏
@EverlyneKadenyi3 ай бұрын
Wah baba mungu na akutumie zaidi.mimi n mama Everlyne kutoka kenya. Una roho wa mungu 😮
@ApynesNzisa3 ай бұрын
Eti Roho ang'oa 🙄🤔🙄🤔
@Byerakahungya3 ай бұрын
Amina imani kwa Munguwetu tu
@happykisarika13373 ай бұрын
Amina
@UpendoHosea3 ай бұрын
Ubarikiwe
@stephenodhiambo7743 ай бұрын
❤paster napenda ukweli yako mimi ni Stephen kutoka Kenya
@MaggieG2763 ай бұрын
Amina,neno mbele ya yote.
@gradwellmwanja3 ай бұрын
Ameen
@sosom143 ай бұрын
Amen
@ASALABOY3 ай бұрын
Ukweli unauma sana baba tema Nondo nazipenda sana
@pastorfredimbali3 ай бұрын
Amen..mafunzo mazuri
@uziasinkamba73803 ай бұрын
Mungu ni Roho nao wanaomwabudu wata mwabukatika roho nakweli.yeyeniyuleyule jana leo hata milele hakuna zamani hataleo anafanya.wanaokufutilia mzee kuku hoji uwemacho sana nao
@user-jc8vt7ct9t23 күн бұрын
Biblia kweli ni ngumu Aisee
@richardrugemalira69343 ай бұрын
Watu wa dini /mafarisayo Yesu Kristo aisema hao ndio kikwazo kikuu - wao ni mashahidi wa adui! Kazi yao kuhukumu na kulewa ufahamu potofu kuwa wao ndio wawakilishi wa Mungu!
@dorcaswekesa33003 ай бұрын
🙏🙏🙏
@nuruupinga27433 ай бұрын
🙏
@aminamsafari24073 ай бұрын
Shukran mchungaji Roho wa Mungu azidi kukupa mafunuo ya neno lake uzidi kutufundisha hasa sisi wakenya ili tuwache sarakasi nyingi makanisani.
@Mwasame_Official13 ай бұрын
Lakini watu huchukuliwa mchungaji,,wakaonyeshwa mambo na mungu hapo sikubaliani na wewe ,, mambo ya mungu hayachunguziki .
@rahabnkya82763 ай бұрын
ASANTE MTUMISHI wa Mungu umenena sawasawa na maandiko matakatifu. Turudi kwenye maandiko, tuishi kwenye toba ya kweli na ufuasi ucha Mungu mbingu tutazifika na kupaishi. Eee Mungu NISAIDIE nitoke kwenye mavumbi ya mauongo ya watumishi HEWA
@kaninimuindi64703 ай бұрын
Surely pastor wanapigana wenyewe kila mtu si haede pande zake alishe watu neno mnapigania nini na sehemu za kulusha kondoo ni kubwa sana kila pastor na kipawa chake na vipawa ni tofauti na mwenye kupeana ni rohoo mtakatifu tu
@user-el6qq9jx7t24 күн бұрын
Ngoja nikusikize
@stevenandrea78473 ай бұрын
Umesema kwel baba
@husha63723 ай бұрын
Kwenye kufunga Jeremiah36:8Mchungaji
@christophermlelwa62953 ай бұрын
Imani yoyote in miongozo yake
@KibangaSaiАй бұрын
Kila MTU na karama yake, amen
@maryamsuleiman15093 ай бұрын
Sana to Baba uzidi kuinuliwa
@isayatippe64093 ай бұрын
Ni kweli Mchungaji Hananja, 27:17 kinacholeta tofauti na ugomvi kati yetu Madhehebu ya Kikristo ni theolojia yetu tuliyojitengenezea wenyewe, lakini NENO ni MSINGI wetu usio yumba!
@user-zc2ms4wl6r3 ай бұрын
ukweli kabisa
@millanolotu28393 ай бұрын
Ukweli huo iendelee.Christina ana TAMAA
@emmanuelthomas49673 ай бұрын
MUNGU akuongoze zaidi na zaidi.
@BenjaminKabebo3 ай бұрын
Tatizo la hawa wachungaji ni wivu na kutoamini Huduma zinatofautiana Msingi mkubwa kabisa ni NENO LA MUNGU lakini neno hilo haliwezi kubaki pasipo matokeo. Neno hubadilisha hali na kuwa kitu. Na imani za watu hutofautiana watumishi wa Mungu wote hamuwezi kuwa mikono. Kuna mwingine atakuwa mikono mwingine masikio mwingine jicho ila Roho ni yule yule.
@bernardngomano62153 ай бұрын
55:59
@everlynkwamboka81013 ай бұрын
Tunakitaji Kenya pia
@Bmcrystal69Ай бұрын
Sawa
@ElihrJones3 ай бұрын
Subiri kidogo. Umesema Mungu anaongea kupitia neno tu. Sasa huyo Mungu aliekupa ufunuo kutumia maji aliongea nawewe kwenye biblia pia au alivunja miiko yake akatumia njia nyingine?. Kama alitumia andiko tunaomba utuoneshe hiyo andiko lililoandikwa hananja tumia maji sasa
@risperrehema58423 ай бұрын
Kutoka msa🎉
@AaAa-zo3yj3 ай бұрын
Rita Ukweli kabisa umesema pastor
@protusisiaho13529 күн бұрын
Lakini unakubali kwamba Watu walijipaka majivu kama ishara ya toba wakati wa Yona. Na pia kama unavyosema majivu peke yake hayatoshi, sisi pia Wakatoliki hatusemi eti majivu peke yake yanatosha, la hasha. Lazima yaambatane na matendo mema. ubarikiwe mchungaji.
@isayatippe64093 ай бұрын
Mchungaji umekiri kabisa kuwa Mungu alikuambia utumie maji ili yule binti apone, na akapona. Lakini mbona humkubali yule aliyesema alizungumza na Mungu
@tumainipeter4583 ай бұрын
Pastor uko viziri unatoa ukweli simple
@elibarikikweka57123 ай бұрын
ASANTE MCHUNGAJI KWA maelezo makamilifu
@Reginajohnson198843 ай бұрын
Wali kole Aruna koresma koresma ni kwa wakatoliki
@lindakapongo84213 ай бұрын
kwa ndoto
@Reginajohnson198843 ай бұрын
Kweli kila mtu na mwito wake
@user-if7be8kn8i3 ай бұрын
Jameni tuwe na nidhamu kwa kuongea dhidi ya mchungaji huyu ,sababu mwajiletea laana tu juu yenu .yeye huongelea point za hali yajuu kulingana na neno
@anns.s87603 ай бұрын
KILA MTUMISHI NA HUDUMA YAKE ...PIA WAGANGA NI WATUMISHI
@user-mc2xd4eu2p6 күн бұрын
Sasa watu watubu dhambi yesu alikufa kwa dhambi zipi kwa imani yenu kumbe unatakiwa kutubu?
@notbrugakiwia356518 күн бұрын
Makubwa
@RwegoshoraPatt-os2ik3 ай бұрын
Mchungaji mwenye saikrojia
@jennytugara94703 ай бұрын
Eti anapiga madafu na chakula mpk analala chali eti kafunga na Chakula wapelekee wahitaji . Kweli uwokovu ni safari 🙏🏾🙏🏾
@LovelyOutdoors-wd5nh3 ай бұрын
Hahaaaa
@fortunataangelo55753 ай бұрын
Hivi vitu vimewekwa kimsaidia tu mtu kuishi,, vizuri na hata walio weka hawaja sema ni biblia imesema,, ndoa hazija ruhisiwa si kwamba ni dhambi au haiwezekani kabisa kufanya hicho , nikwasababu ndoa nyingi zina ambatana na sherehe,, na ni kwaresma kipindi cha toba,, ndio maana ukawepo utaratibu wa kuto funga ndoa,, ila haimaanishi watu wakifunga ndoa kwaresma ni dhambi,, lakini kitu najua Mungu huheshimu makubaliano kama yanatusaidia kumkaribia yeye zaidi, na trust me, kipindi cha kwa resma ni kipindi cha baraka mnomno mno kina Neema nyingi nyingi nyingi
@estermuthoni50343 ай бұрын
Unasema ukweli mutumishi
@adenmwakalobo7603 ай бұрын
Nchi yetu inahitaji watu walio wazi na wanaozindua umma kama huyu mch. Hananja! Naamini mijadala yake inasaidia kuwaanika wale wanaotumia mahuburi ya dini kupumbaza watu na kuwatia woga ili wawape pesa. Wasiopenda ayasemayo Hananja (na hapa nimewasoma) ni wale wanaotafuta kunufaika kupitia sadaka, ni wachungia tumbo! Huwezi ukasema "waache wachungaji waeneze neno" wakati tunajua wayafanyayo hao ni ulaghai, utapeli mtupu; na tafsiri yao ya biblia imejaa upotoshaji na/au uongo kabisa!! Huwezi kudai waachwe kwani taifa linaharibika pale watu wanapopumbazika.
Ukiisoma INJILI KWA UHAKIKA WAKE HUWEZI KUBURUZWA KIJINGA JINGA.KULA NYAMA.GONGA SUPU AISEE
@bernardngomano62153 ай бұрын
😂
@pekeetv3 ай бұрын
Mchungaji mm unanichanganya TOBA na KUTUBIA mnamanisha nini ?? Na vip kifo cha YESU kimesaidia nini ?? Naomba wasomi wa bibilia waniweke sawa ..!!
@neemakanani43463 ай бұрын
Pekee haya inakubidi kuyatafuta uyajue sana kila siku tujifuze kristo kila itwapo leo sisi wakristo tuna tubu nakurudia dhambi tena mungu atusaidie sana
@alexsaidi39403 ай бұрын
Toba ni kitendo,kuhutubia ni kielelezo
@ngowibeatrice17013 ай бұрын
Watumishi ambao awana vipawa vya kuwafungua watu wanapenda sana kukataa miujiza
@georgemashauri46573 ай бұрын
Natangaza rasmi tangu sasa na hata milele nitakuwa upande wako.
@SleepyHikingWaterfall-js5mo3 ай бұрын
Najua wewe pastory unafata maandiko ndo maana wengi hawakutaki kumbuka nyakati za sodoma alipona lutu na familia yake wengi waliangamia sema ukweli watao pokea kweli wataokoka usikubali kushawishiwa na maajenti wa,,,neno lipo wazi mngu akupe ujasili upigane vita vilivo safi amina
@alfredngala43083 ай бұрын
Mafuta Bila kununuliwa yatatoka wapi
@ShidaKazungu-tp8ld3 ай бұрын
Ni kweli pastor
@eatlawe2 ай бұрын
Vyama vya upinzani vina furaha na vicheko?
@NdolozKathele3 ай бұрын
Wewe hukosagi la kusema....
@JacksonMutinda-jw5qw3 ай бұрын
Lakuuma e? Usijali na usimchukie ju apedwa na wengi ju anaogeaga ule ukweli,,,usiumwe saana
Swali uwa moja,ukifika kwa kanisa la ezekiel utashagaa tuu,ile mijego iko pale ya mabillioni ya pesa,yale magari na ma bus yako pale ya mamillion,aaya anatoa misaada ya pesa nyigi sana kwa watu sasa swali uwa moja,,ao washirika kwan utoa sadaka nyigi aje io imefanya mambo mengi ivo,,,apo kuna kisugumkuti
@EvaMguss3 ай бұрын
Rafiki asifiwe Yesu sadaka kwa pasta ezekiel ni nyingi sana kwa maana kanisa tu lake ni ekari sita na watu huja mataifa mbalimbali kupokea uponyaji na nyota kwaiyo utajiri lazima awe nao tu Mimi nachoona watumishi wa Mungu Kila mtu na maono yake hivo wasichukiane huyu hawezi kuwa kama huyu yani wakisemana wanawachanganya waumini lakini kwanini mtumishi umrekebishe mwenzio? Kwanini usiwahubirie watu wewe bila mifano ya mwenzio? Na huu ni udini mtu akiponya anatumia pepo wanapingana wenyewe kwa wenyewe lakin Kila mtu hawez kuwa kama wewe lakin pia achukue mda wa kumfatilia ezekiel na ibada zake mafundisho haswa
Pepo mbaya wewe,shdwa na mbagi zako na uko,,,,auna lolote wewe
@NdolozKathele3 ай бұрын
Huyu mzee wenu anazeeeka vibaya......aaachane na ezekiel period
@NdolozKathele3 ай бұрын
@@YohanaKagambo 🤣🤣🤣🤣 hananja ni mjinga kabisa
@LovelyOutdoors-wd5nh3 ай бұрын
Mmh bora ungenyamaza hata kama unaona hayuko sawa,anayekukumu ni Mungu peke yake
@Mwasame_Official13 ай бұрын
Hakika mchungaji umesema ukweli mtupu,, maana wengi wamepotea sana tena sema utaokoa wengi
@Mwasame_Official13 ай бұрын
Hivi wewe unapinga mungu hawezi mchukua mtu akamuonyesha anacho taka kumuambia hapo umefeli
@neemakanani43463 ай бұрын
Lkn bado tunarudi kwenye neno yesu alipo imaliza Kazi ya kumukoa mwanadam akasema kwa jina langu mtapooza wagonjwa na nasio kwa malighifi mtaponya wagonjwa
@nantaembanusurupia56743 ай бұрын
😢 eti unaanzaje kutukana wakati umeokoka😢😢
@user-eb2eh6rj7e3 ай бұрын
Lizee kama hili liende lilale tu kabirini,,,good night empty vesle
@JacksonMutinda-jw5qw3 ай бұрын
Shdwa Pepo mbaya la Cain wewe,maogezi yko ya mtu kalaaniwa ata mbinguni,kiburi na auna lolote,achana na mchugaji wetu ukavute bangi zako na uko
Shida ni kwamba mtu hapo amezungumza facts wewe uleta maneno Maneno kumuelewa huyu mzee inahitaji akili ya kiMungu sio kibinadamu
@harrietlutale9223 ай бұрын
Ukalale wee nguruwe
@JacksonMutinda-jw5qw3 ай бұрын
Eti mtu anasafiri anapita mikoa zaidi ya tano kweda ad kwa kanisa fulani uku amepita ma mia ya kanisa,,,,kuna jambo uwa silielewi
@janetkemmy15793 ай бұрын
Huyu mchungaji hakuna mtumishi hakosi kupinga kila pastor anakasoro kwake
@user-gj2gc4en3t3 ай бұрын
Hakuna Kila mtu na huduma yake, hizo nyota watu wanazipokea sio ukweli wachawi wanapeana nyota na wahubiri pia wanapeana nyota pls nakubaliana na mtumishi huyo wa tazania yuko sawa
@hilaliusjohn83863 ай бұрын
Huyu mzee ameanza kuishiwa maneno. Yupo dry siku hizi