Mimi ni mkenya Niko Nairobi huyo dada ni mwuongo sana hakuwa Kwa madamano
@dhahabukalama26352 күн бұрын
Sio huyo uongo tu mwenye mulompost na huyu ni wawili tofauti
@user-ns3so9wv1f3 күн бұрын
😢uyo ntangazaji anauliza Maswali nikama haelewi Haoni vile hali ziko kenya
@MonicaBeni3 күн бұрын
Uyo cyo yy.. Yani majitu humu mmepangwa mkapangika
@youngmum3115Күн бұрын
Walahi tena
@NajmaNAJMA-zu7od2 күн бұрын
Msanii wa Kicheche huyu nimemkumbuka
@user-ic7felixКүн бұрын
Hapo sawa kabsa maisha inaenda sana mafuta pia
@RoseKasichanaКүн бұрын
Nakataa huyo hawafanani na mwenye kupambania haki zetu
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Wewe mtangazaji hujuwi police ni mulinzi wetu tunamulip Kodi zetu
@ZimwilisheКүн бұрын
😂😂😂Jifunze kutamka vizuri jina la Gen-Z kaka. Unaonyesha kutofanya research
@user-do2id6pp4gКүн бұрын
Huyo anehoji nae aende akajifunze tena hamna kitu
@pascalmsechu68742 күн бұрын
WaKenya ni Wakurya waliochangamka zaidi..
@mwanamgenimwamzandi1941Күн бұрын
Huyu dem sio yule kwanza yule Mrefu na hata iyo ddye kwa kichwa
@MagdqlineMutei9 сағат бұрын
😂😂 kweli uwa mnakorongeka kwel uyu c mwenye alikuwa kwa maandamano.
@malkiawagiza13273 күн бұрын
Wakenya wana ushujaa wa hali ya juu 💪
@KennNafishaКүн бұрын
Aliyekuwa kwenye maandamano ni luhya
@JonathElickfordКүн бұрын
Huyo takataka tuu anataka na Tz waje watupandikize roho za hovyo sisi
@ElizabethMunyau-ol1ljКүн бұрын
Chunga sana dada,unajua serekali yetu kenya,wakati wowoto unaeza "potezwa"
@FidkimKim3 күн бұрын
Fidd kim Kenya 🔥🔥🔥🔥
@koringobenard6764Күн бұрын
huyo si yeye buanaaa😅
@user-es9ye1tj7uКүн бұрын
Wakenyaa banaa na miee nawakubarii ,,majasirii jamanii,,,anaongeaa kweri
@omarsuleiman1448Күн бұрын
Huyo sio mkenya ni manzanita manono anavyo tamka kiswahili sie wetu
@michaelkanene74413 сағат бұрын
Kumbe hizo kofia na scarf zilificha mengi.Ukiangalia picha ya maandamano ako fiti lakini hapo kwa mahojiano hamna kitu
@warekomora29616 сағат бұрын
Huyoo n familia ya mzeee kicheche bana
@warekomora29616 сағат бұрын
Huyoo niwamganga kicheche bana acheni mchezooo
@timopanga52862 күн бұрын
Achen ushamba cy yy mnatulisha matango pori
@user-xf6oh2dx4cКүн бұрын
Mkamba original
@user-nb5fk2qh9c10 сағат бұрын
Maandamano ya amani wakati mnavunja maduka mnaiwaibia raiya wenzenu
@SusanNeymar2 күн бұрын
Huyo sio yeye 😢😢
@otienofredrick265612 сағат бұрын
Huyu sio yeye ata sura na sauti haziambatani,aache kujificha kwa kipaji/ Ujasiri wa "Shujaa Shakira Wafula"..
@aishazakaria532214 сағат бұрын
Huyu c mrembo wa kenya bro usitupime wewe😂
@shadrackjacob800Күн бұрын
Kama anawacha mwili yake nje nje anauza nini hapo kwa studio ?🤣🤣🤣🤣
@shabbymakapaneКүн бұрын
🤣🤣🤣
@dominicogutu445213 сағат бұрын
Hata kama hatuna macho huyu ziii
@maadinaaasthman3848Күн бұрын
watanzania ujinga ndio inawasumbua huyo dada labda alikuwa maandamao dar es salaam lakini sio Kenya
@jamkay9786Күн бұрын
Wewe ni TZ
@FaithKibwiiКүн бұрын
Uko sure mliandamana juu ya vitu kupanda hama ni financial bill?
@DishaniDisha-zm2gm3 күн бұрын
Good job
@naimanimo4925Күн бұрын
😂😂😂some people love camera
@MarionAnzaziКүн бұрын
Huyo siye ni yule msichana mwenye alicheza kama mtoto wa kicheche kutoka kenya
@femidayahaya92933 күн бұрын
ama kwel huyo ni mrembo..hongera zako mdada mzuri
@jum4771Күн бұрын
Huyu si yeye
@femidayahaya9293Күн бұрын
@@jum4771ni kwel ila hata yee pia ni mrembo sema tu hiyo blich ndio cjapenda huko kichwan but very beautiful
@KennNafishaКүн бұрын
Sio huyo, please huyo ni mkamba
@fatmamuhammed97133 күн бұрын
Ni kweli kabisa umoja ni nguvu
@user-ob7kr1lk6kКүн бұрын
Ni mkenya na anaikiza na kacheche familia clip
@eliasmajambomwinyihaji13352 күн бұрын
Hawa vijana wanadanganywa na viongozi mana huwezi sema mkate unapanda akae ajue mkate huo huo miaka ya nyuma ni tofaut na sasa na huo mkate utakua bei ya juu miaka ijao hili lipo wazi na hakuna mtu anaweza kulipinga .makundi kama haya yalikuepo enzi za jomokenyatta na walipotea iwe hao ,wajue yule raisi ruto yuko na akili nyingi sana kushinda hao GEN Z mana alikua toka enzi za raisi moi ,mwai kibaki ,uhuru yuko na mbinu nyingi sana .bei zitapanda watake wakatae iyo ni lazima kwa taifa lolote ikiwa dollar ya American huwaga inapanda iwe chakula chenu hapo kwa taifa lenu,ikiwa American chakula kinapanda iwe kenya acheni ugwese huo
@AaAa-rx1ugКүн бұрын
Ruto ana lolote and he must go
@mossyfimbo3577Күн бұрын
Usitulishe matango pori sasa mbona humuulizi kaja fanya nini huku TZ wakati maandamano hayajaisha ?
@user-rc2ye4ri6tКүн бұрын
Muongo sio hyo wacheni habari za uongo shenzi nyinyi
@AbdiKadirKanu2 күн бұрын
ni kweli ila ni mumeru si wasikia lafuthi yake ya kimeru
@user-chungamali2 күн бұрын
Kwendeni huko uyu si wa kwetu.
@righttoknowwiththomas9178Күн бұрын
Lafudhi ya wameru wa kenya
@ElizabethMunyau-ol1ljКүн бұрын
Huyu sio mwenye mnadhani
@youngmum3115Күн бұрын
Shes not the one .....wacha kudanganywa!!!!!!
@GREATFILMSPRODUCTION2 күн бұрын
huyu NI mkenya Ila n msanii wake #kicheche
@yasminmustafa228214 сағат бұрын
HUYU NI KARUBANDIKA.. she's not one of us
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Huyo hajuwi lolote wenzake hawajafanikiwa yeye ameanza kutuhamasisha SS Tanzania Bado munashiba mpaka 2030 Tanzania covid19 wasila musingwa Dr silaa wanasanifu watu ipo siku
@hanashhanash5352 күн бұрын
Huyo sie Shakira MBWA ww
@LylahMrombo2 күн бұрын
Polisi Kenya n raia km mm n sare 2 ndo zatutofautisha 2 n pia Askari w Kenya wanaishi nje y vituo vya polisi n so lazima kila m2 awe n heshima
@julius3222Күн бұрын
Gen Z Tunakuja tz tuesday ole wenu
@fatumasaid1149Күн бұрын
Karibuni mnakaribishwa😂😂😂😂
@saidimwanyiro51472 күн бұрын
Sura km azizi mifunguo
@Mosses83 күн бұрын
hata kiswahili enyewe siyo
@George-jz3jgКүн бұрын
Mbona anaonyesha paja huyo?
@SamuelKimani-xk5flКүн бұрын
Wee wakenya tusoma tujia haki zetu baba
@jamillahmussa37753 күн бұрын
Huyu si yeye hamuoni picha ni tofauti??? Ubaya ya TZni Kiki,, yule wa kenya hana matiti makubwa na huyu ni mubonge na mweusi
@hakimundabila79403 күн бұрын
Yule Hana cowbel kama hizo 😛😛😛
@user-dh1ch2xf1wКүн бұрын
hyo ni mkenya namjua anakaa kule kilifi mtwapa lakini akua yeye kule kwa mamdamano
@MarioNdanzi-kp9hp3 күн бұрын
Sivyo eyeee
@celestinenanzala756911 сағат бұрын
Huyu dada siyo shakira
@calvinsotieno58802 күн бұрын
Huyo siyo yeye anatafuta kikitu
@KulthumMohamed-fk6zjКүн бұрын
Acha kuharibu kazi yako huyo siyo yeye
@Youngmathew18322 күн бұрын
Kiswahili ya mkamba
@user-dh1ch2xf1wКүн бұрын
sio hyo
@fatumakale70043 күн бұрын
Wakenya weeh balaa
@estherzawadikazungu4471Күн бұрын
ww hatukujui 😂😂😂 nogwe ww
@paulineafuande722612 сағат бұрын
Huyu sio shakiraa😂
@alimkumbukwa83632 күн бұрын
Uyu mwandishi yan aelewi anfny nn
@aminaaminahmuhammad8838Күн бұрын
Sio yeye nyo
@fatimajuma33303 күн бұрын
Alf anaongea vibaya kiswahili
@user-chungamali2 күн бұрын
Uongo ata Leo tuko kwa mahandamamo 😂Waja uongo
@thamani58422 күн бұрын
Alikua akae ukouko aandamane si haogopi, kilichomleta Tz kitu gani?
@ImeliyImeliy-wy7zv6 сағат бұрын
Sio huyo
@josephgaturuku7672 күн бұрын
Kusema kweri pirisi moja hawezi kunishika kamwe
@thamani58422 күн бұрын
Ruto njoo uchukue 'mrembo' wenu kakimbilia Tz huku
@shabbymakapaneКүн бұрын
🤣🤣🤣
@Alicemsafiri16 сағат бұрын
Uyo mwongo mwone na kope kama nyau
@saumbliz89833 күн бұрын
Uongo. Huyu si ameigiza na kicheche movie ya familia ya kicheche
@TumbaMbayoКүн бұрын
Funika kwaza mapaja muchenzi
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Huyo dada ni chawa wa luto Hana lolote ni musaliti yeye maisha mazuli wewe mtangaziji wewe ni ccm sisi hatuna wandishi vyama wote machawa
@LinosJohn-dp9xi2 күн бұрын
Huyu sio yule mrembo shujaaa nilitamani angekuwa yeye
@anosiata82422 күн бұрын
Wamesema 24 ndo wamekufa
@frankmataka71853 күн бұрын
Huyo msichana hafai kakimbia kwao arudi kwao
@fatimajuma33303 күн бұрын
Nyie mwangalieni kichwa kama Laweka madawa ya kulevyo😂😂😂
@youngmum3115Күн бұрын
😂😂watu na content kizungu cha huyu si kama cha mrembo wetu....kwani watu mbona mnakua ovyo hivi
@mariasalomemelchiorkaigaru19743 күн бұрын
mtangazaji anataka kupigwa😂😂
@charlesandati56711 сағат бұрын
Yule alikua bukusu
@sultanmswahilitv48642 күн бұрын
Sio yeye.mafala nyinyi😅
@reginamalima97012 күн бұрын
😅😅😅😅huyu si yeye ni msanii wa kicheche acheni uongo
@jum4771Күн бұрын
Sasa huyu ni nani?yule ana hijab .
@jofreysilozi5149Күн бұрын
kazi yapipi
@Joycejoy-qw6ftКүн бұрын
She is not the one
@Gastopizzo-jg7bu3 күн бұрын
Huyu sio yule dada alafu mtangazaji bwana sio genzii ni Gen z
@shadrackjacob800Күн бұрын
Huyo paja iko nje au naona vibaya ?
@shabbymakapaneКүн бұрын
Ni kweli 🤣🤣🤣
@saleemnyowe2 күн бұрын
She js not the one
@frankmataka71853 күн бұрын
Unaanzisha vita watu wamekufa wewe umekimbia rudi ukajibu ulichotaka kufanya