MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...

  Рет қаралды 19,573

Global TV  Online

Global TV Online

11 күн бұрын

MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 32
@user-ts7hj5yp8w
@user-ts7hj5yp8w 9 күн бұрын
Hongera sana Raisi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa hekima & busara kubwa sana ambayo Mwenyezi Mungu amekujalia kuwa nayo. 👉Wewe ni mmojawapo ya viongozi wastaafu katika bara la Afrika, ambao bado uko mioyoni mwa wananchi walio wengi. 👉Mwenyezi Mungu akujalie Afya njema, Nguvu tele & Uzima tele katika majukumu yako ya kila iitwapo leo.
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 3 күн бұрын
Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 10 күн бұрын
Mzee ananchekesha kila msiba yeye lazma anastori flani hivi ambayo hakuna aliewahi ijua
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 9 күн бұрын
Ni mtu wa watu
@mataypanga5262
@mataypanga5262 9 күн бұрын
​@@user-ip4ie7pt6iSiyo mtu wa watu,ni mcheshi kama wacheshi wengine tu
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 9 күн бұрын
@@mataypanga5262 ok
@publicrelations4600
@publicrelations4600 9 күн бұрын
Best president ever in Tanzania
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 9 күн бұрын
Duuuuu
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 9 күн бұрын
Hakika kaka
@user-ts8bf4ef3u
@user-ts8bf4ef3u 9 күн бұрын
tajiri yeyote akiwa ni shabiki wa yanga anajua mwanao, sipendi sema sana ila una ubinafsi sana, icon zipende timu zote coz wewe ulikua ni kiongozi wa nchi!!!
@akbarkisamo8392
@akbarkisamo8392 9 күн бұрын
🎉🎉
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 9 күн бұрын
انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه
@calvinmaro6445
@calvinmaro6445 9 күн бұрын
Ulikua unamliwaza au unambeba rais wetu acha zako basiii😂😂😂
@ModextaModexta-on7mi
@ModextaModexta-on7mi 9 күн бұрын
🙏🤲🤲
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 9 күн бұрын
Kumbe ufisadi ulianzia mbali! Baba yake Manji alijua kuwa nafasi ya fisadi huyu ingemfanya Kikwete awe ngazi nzuri ya kuchumia utajiri haramu. Nchi ikiwa na viongozi wa hovyo na wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanatumiwa kama nepi. Nashukuru sikuishi chini ya utawala wa fisadi huyu aliyeacha makashfa makubwa kama vile Richomond, EPA, Escrow , IPTL na mengine mengi.
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 9 күн бұрын
Nivyema walivyo kuteua kuamgeni Rasmi Wewe ni mtu muhimu sana! Tuwape pole wafiwa INNA LILAH...
@yahayaallytv2852
@yahayaallytv2852 9 күн бұрын
Uongozi wa Magufuli alimuonea sana manji
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 9 күн бұрын
Wewe ndie rais wangu bora mpaka sasa
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 9 күн бұрын
JK Rais wangu wa wakati wote. Hivi hairuhusiwi kugombea Tena?;
@mataypanga5262
@mataypanga5262 9 күн бұрын
Hakustahili,agombee nini tena😂
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 9 күн бұрын
Ni suala lakikatiba lakini kubwa zaidi ni kuwa Tanzania yetu ina hekma katika suala la uongozi hasa kutazamia umri wa mtu, mamlaka imemtambua mstaafu katika malezi ili iwe lulu na kivutio kwa vizazi vijavyo mfano mzuri ni mzee mwinyi alibamba makini zetu hasa kwa vichekesho vyenye vioja kadha wa kadha lakini hakusahau kutufunza kwa kutumia stara na busara zake.
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 9 күн бұрын
Wauzaji wa nchiiiii
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 9 күн бұрын
Mtu Huna Chakukomenti Unatulia Tu. Ndio Ubinadamu
@user-cy5jg4cx7i
@user-cy5jg4cx7i 9 күн бұрын
Hmmmm hata sauti moyo unashtuka nilisikia huyu baba naogopa maana huyu ni mungu wa dunia
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 9 күн бұрын
Duuu
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 9 күн бұрын
Kafanya nini watz mna mambo ya ajabu sana mmezoea kukaririshwa kikwete hana tatozo ila watz wamezoea kukariri mtu akisemwa na mbaya wake basi wote wanazomea bila kujua nini kinaendelea.
@frankjoely3313
@frankjoely3313 7 күн бұрын
Maskini wengi wamejaa wivu tu.
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 9 күн бұрын
Katiba ndio kikwazo ila mzee unastahili kuendelea kuwa Raisi
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 9 күн бұрын
Mmmmmhhhhhh!!!
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 9 күн бұрын
Ndo maana ukampa rasilimal za nchi yetu Tz kwa kufaidsha tumbo lako ee,..mkafkr Maguful ndo wakufa ye hatakufa?..ndo mjue muache kuuwa wengne kwan kila mtu atakufa,..na muwe wazalendo wa kwel muache unafk
@user-ki7hd3lg2q
@user-ki7hd3lg2q 9 күн бұрын
Raisi wangu pendwa
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 3 күн бұрын
Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏
RIDHIWANI AFUNGUKA: Ni kuhusu kukamatwa kwa Yusuph Manji
12:34
Millard Ayo
Рет қаралды 74 М.
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 56 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 119 МЛН
Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
13:52
Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga
9:02
Dua kwa ajili ya Yusuf Manji, Kikwete, watoto wake wazungumza
1:00:51