Wahenga wanasema 'Maisha ni Kutafuta na si Kutafuta', Gibson Kawago ni kijana wa Kitanzania aliyehamua kutafuta maisha kwa kufanya ubunifu wa vitu mbalimbali ikiwemo kutumia kadi kwa ajili ya kuchota Maji bombani.
Пікірлер: 67
@matingo-bk12485 жыл бұрын
Kazi mzuri ayo tv kutangaza vipaji na ubunifu unaopatikana Tanzania, Ionesheni dunia kuwa hata Tanzania tuna magenous
@sabinaonline65755 жыл бұрын
Kweli we chamsingi usisubili Serikari, itakuchelewesha itakwambia uende Veta. naomba anzisha kampuni yako itakuwa kubwa sana kwasabu watu tunahitaji sana big up na Hongera sana bonyeza picha kujifunza vitu vingi subscribe like Share na rafiki zako
@christiantariq72634 жыл бұрын
Hahaha dgo nimesoma nae o-level nilimtangulia darasa moja pale don bosco seminary....alikuwa mbunifu kwel...he is gifted for real
@bushiyadotto52664 жыл бұрын
hongera kk gibson kawago mungu akutangulie kipaji chako kitaonekana
@franceslenis45125 жыл бұрын
Brilliant Mr mseminari make a company
@bakariluhala73325 жыл бұрын
GiB carter upo fresh kaka Iringa wanakutegemea kwaajili ya ubunifu Na ugunduzi zaidi
@manyandatimoth74 жыл бұрын
Hongera sana Millard hii ni kazi nzuri sana
@jessydaktari52095 жыл бұрын
Safi sana gipson
@jessydaktari52095 жыл бұрын
Here you are.....
@sharifaabdullah68254 жыл бұрын
Masha allah
@jescaswai2343 Жыл бұрын
Serikali isipouona mkono wa mzungu kwenye jambo lolote wanafunga macho roho za kwann na mipango ya kutaka mtukati kwenye kila kitu tunawavunja moyo watu kama hawa,inaumiza SANA
@Deboracharles-pw6wg7 ай бұрын
Hongera sana kumbe umetoka mbali
@sabinaonline65755 жыл бұрын
Sasa hapa ndio tunataka,
@aginiweyessayakyando98554 жыл бұрын
Safi sana nimependa kazi yake lkn ni mtu confidence sana anajua sana anachokifanya
@lunyatheprodigy5 жыл бұрын
mngempa na muda wa kuonesha ufanyaj kazi wa pump hiyo.....ingekua poa sana
@osmanmustafa29255 жыл бұрын
Dogo mjanja nimekuelewa hatabkujieleza unajiamin Zaid that's good
@belamicheal33535 жыл бұрын
Jaribu kuongezea uzuri hiyo systems uifunike isiwe inaonyesha hizo waya waya sana utafika mbali
@kacherosimba57625 жыл бұрын
Haha haha
@deokalonga1275 жыл бұрын
Ombi la sim namba yake nijue bei yake, Kasoro niliyoona kaongeza kadi haifai kwa wanavijiji hatubagui mtumiaji. Nabii wa milenia hii ya sayansi na teknologia. Mkulima Puge Tbr Tanzania.
@snetiengineering_hub4 жыл бұрын
Tuma msg kupitia number hii 0715 106 973 hii ni yangu kisha niaangalia u serious wako ili nikupeleke moja kwa moja kwa mtaalam
@alonesamson85085 жыл бұрын
Nice
@fazobean24875 жыл бұрын
noma kwel
@michaelipius26604 жыл бұрын
👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥
@issackjapan85105 жыл бұрын
Great a man is to implement his dreams
@philiposhemaiya66075 жыл бұрын
Safi san bro tz inahitaji san wat kama nyie
@christophersimwinga6689 Жыл бұрын
Tuambieni uwezo wa pampu hiyo ni kumwagilia ekar ngapi kwa muda gani au inaweza kutembeza maji umbali gani pia weka namba ya mawasiliano
@mtuwawatumtunamtu25205 жыл бұрын
Ongera kwa hilo. Lkn hata hivyo wametengeneza watu.
@chefsbakingshop31305 жыл бұрын
Uko wapi nikotiari uje uniunganishie nyumbani kwangu
@mariuscyprian12354 жыл бұрын
Dawasa wamchukue ili hawasaidie kwenye shuguli zao
@jumabusabi40814 жыл бұрын
Dogo nifollow inbox nimeispire your work
@minhokid6045 жыл бұрын
Ebwaaaaana ehhhh HIKI NI KICHWA NO MATTER WOT, AFU KIPO NA ROHO NZURI
,serikali na watu binafsi ni wadau wanaweza kukusaidia au lah hakuna uwakika, cha msingi atafute mtaji kwa kuwafanyia hiyo huduma watu wanaohitaji halafu anzishe kampuni na alipe kodi. Akitumia njia hii atafika anapotarajia.
@saidmosh25505 жыл бұрын
Good
@saidmosh25505 жыл бұрын
Vizur Umelifanyia kaz wazo lako
@MISHIONARYSHUKURU4 ай бұрын
Naomba namba za kijana huyo
@tuphujekumuhkunonyiile37395 жыл бұрын
Mm mawazoyangu hawa wabunifu wote TANZANIA wangeandaliwa sehemu moja kilamwaka waonyeshe vipaji vyao iwe kama maonyesho ili wagunduzi wayambulike wapate mikopo
@snetiengineering_hub4 жыл бұрын
Kutengeneza mfumo hadi ukamilike kuna gharama kubwa sana broh
@Commentsplus3 жыл бұрын
Mimi sijaona kipaji apo nikupoteza muda tu
@iddymbuma52724 жыл бұрын
Anaehojiwa anaongea kama radio
@khatibalamin4015 жыл бұрын
Prototype 😅😅😃
@MajaxiFx5 жыл бұрын
Wizara ya maji kazi kwenu badilini mfumo kijana ameonesha kitu iwe chachu kwenu kuuweka mfumo mkubwa katika vyanzo vya maji adi majumbani
@emmanuelmasali84493 жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu
@emmanuelmkeba79015 жыл бұрын
Serikali imtumie ili tuwe na vyetu ili hii iwe Tanzania ya viwanda anayotaka mheshimiwa Raisi wetu Magufuri
@ommy4k5 жыл бұрын
Alitengeneza pikipiki Tu kapigwa Chibi sembuse huyu mwanangu pambana Saudia familia yako Achana Na serikali
@fundi.5054 жыл бұрын
Huyo mtangazaji fake sana !!yani nasikiliza interview yote na sijaelewa nini huyo mvumbuzi kagundua
@ommy4k5 жыл бұрын
Vipaji vipooo
@maligisadotto86315 жыл бұрын
Naomba namba yako kijana Gibson tafadhali.
@wantedx39465 жыл бұрын
0752534795
@maligisadotto86315 жыл бұрын
@@wantedx3946 asante sana
@bahatihassan4 жыл бұрын
Kwel kijan hay nimatumiz druino
@mozzaninga2380 Жыл бұрын
Nianomba namba yako samahan
@rajabumasembe3366 Жыл бұрын
No.yako ya whats up tafadhari.
@famitoissanawanda70114 жыл бұрын
Mbona anaongea asicho ulizwa?!!!
@madlinemkanyika56084 жыл бұрын
Hahaha kweli kabsa
@mangulymanguly1394 жыл бұрын
Ww umeulizwa
@imagepower36415 жыл бұрын
Dogo una akili
@tollesmbekwe17424 жыл бұрын
Kaka nakubali kazi yako ningependa kujifunza kutoka kwako 0620137541 naitwa Daudi