This guy amepitia magumu ,I hav shed my tears God bless you forever mwati.
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Doh haki amepitia sana Mungu amuonekanie haki
@hamidibrahim53693 жыл бұрын
Many children with single parents go through such things... it's always good as a father to make sure u raise your children yourself, and with their biological mother regardless of any differences existing between u. the
@fatumamohamed86453 жыл бұрын
Haki kaka hii story yako ni kama Ambae naona hilo tukio leo, yaani wewe niwe Kumshukuru Mungu sana tu tena sana Devi star Hongera kwa kazi Nnzuri 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Haki Zablon hope umeoka nakumpea Yesu maisha yako Cox doh una ushuda mzito sana Mungu akutie nguvu
@abbyadams86913 жыл бұрын
God had a purpose for him to pass through all those difficulties, that's why he saved him on every situation. God wanted him to be a testimony.
@zamzamhassan41593 жыл бұрын
Wa14 nipongezeni kwa like jamani leo
@fredichaki48683 жыл бұрын
Life is full of surprise and temptation may God bless you man
@mouwanahamisi82163 жыл бұрын
Kun wat wanapitia Maisha magumu kushinda yangu ....Pole Sana muendelezo tafadhal
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Yani nilichojfunza ukiyaona maisha yako magum shkr tu maana hujakutana na maisha magumu, yani ukiliona lako zito hujaliona la mwenzio
@mashamramba34613 жыл бұрын
Broo big up sana . 8 years old na una kumbu kumbu sana I say . Mungu tuu akusaidie
@nyotanjemaingarayo53843 жыл бұрын
Baadhi ya matukio hayaondoki akilini asilan
@emmanelly68643 жыл бұрын
Am imagining a boy 8yrs old and so far gone through what seems a whole lifetime!!
@tracyirene89173 жыл бұрын
Bado nipo Mr.facts 👍👍 Nafuatilia 🔥
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Sasa nguo pair moja mshaharaa miezi inne mbona anarohoo mbaya hivyoo
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Hatar sana rafiki zako siwaliambiwa hko namizim kuwa watakufa wee utapona
@flubtv3 жыл бұрын
Congrats davi ,watching from Dubai
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Dubai????
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
Brother uwe unamsaidia kweny ku-arrange miaka naona hapo kwa tunaofuatilia kwa fact ndo anajisahau so uwe unamkumbusha... Au kama recorded jitahidi kwa wengine unao wahoji wapange... All in all mkasa ni wa kusisimua maana kausimulia radio free Africa kitambo sana na mazingira anayoyasimulia yapo na nimeyafika karibu yote.... Hata habari ya kukatana mapanga ni kama asili ya wazawa. Good story
@nyotanjemaingarayo53843 жыл бұрын
Nilidhani nimeliona peke yangu suala la miaka. Maana tangu awali hakuwa na miaka minane ni zaidi ila nimesahau mingapi
@williammasha70683 жыл бұрын
Nice job Davis, we really learn alot through your programme keep it up bro.
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Uliyo pitia ni magumu lakini Mungu alikua pamoja nawe wacha tumshukuru Mungu kwa kukulinda
@satinotino4813 жыл бұрын
AMEN
@rasjamal98543 жыл бұрын
Umepitia maisha Magumu wakati upo umri mdogo mwache mungu aitwe mungu
@martinmaryogo60813 жыл бұрын
Yan kwel kila mtu ana majarbu yake yan mm had machozi kbsa duuuh
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Kipindi chote hiko hata baba yako hakua na wasiwasi mtoto kaenda wapi looo wazazi wengine ni wapuuuuuuzi saaaana naisi alikuwa baba was kambooooooooo🙄
@nyotanjemaingarayo53843 жыл бұрын
Niliwahi kusikia Kama mikoani watoto wa umri Kama huo hiambiwa wakatafutie maisha wemyewe na mdio wengi wao hukimbilia Dar. Sijathibitisha Hili lakini linafanana
@peninahkariuki46793 жыл бұрын
Waa ifeel like am watching a horror movie 😢🇰🇪🇰🇪
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Huyu kaka jamani....simulizi yake ni kama hadithi. Aisee huyu kweli sio binadamu wa kawaida.
@roseuwambe80893 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Hatakua Zombie huyu
@michaeleustach97693 жыл бұрын
Kma majini na vifo vya kutisha,mauaji,mizimu,daaa wwe cio binadamu wa kawaida
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Ulikua na msimamo mzuri sana
@abdulrahimdaniel7853 жыл бұрын
Aliwai kuisimuliwa katka kipind cha redio moja na kumbuka iko kipindi kilikuwa kibaitwa(STOSAHAU GAMBUSH) bro pole sana kwa matatizo yalio kupata
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Kweli name kama niliifatiriaga kama hadi nambar 8 nikaachana nayo
@abdulrahimdaniel7853 жыл бұрын
@@kawtharsaleh9229 mm niliimaliza yote mpaka alipotoka katka mji wa gambush(
Jamaa anaonekana mstaarabu sana huyu doh.......ukiliona lako kubwa tambua la mwenzako ni zaidi ila ww mtani wangu ni mtumish wa mungu hujajuatu hapo kwenye uchungj hapo nkamkumbuka labani na yakobo
@alitoufik54773 жыл бұрын
Nipo
@hamisihassan26203 жыл бұрын
Watching from Dubai
@julesnumbi48593 жыл бұрын
Aise pole sana
@aysherkitoi18453 жыл бұрын
Hii story hta part 100 hatuchoki coz tamuuu mnooo
@sharonmwanza18103 жыл бұрын
Pole sana kaka
@kheryartist53223 жыл бұрын
Hongera @sabra_said 👏🏽
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Ila alisema kazaliwa mwaka 84 hadi mwaka 98 ,hapo alikuwa na umri wa miaka 14,na sio miaka 9,labda alipitiwa kidogo ila kwa kweli ukuaji wake ulikuwa na misukosuko sana kila hatua. mara wachawi, mara watu wenye roho mbaya,
@mashiassu57663 жыл бұрын
Davister jaribu kuwa unawavika mic ndogo kwenye t shirt itakusaidia pia maana naona kushikilia kwenye mkono inachosha na istoshe story uwa zinakuwa ndefu ..... just ushauri tu otherwise unafanya vizuri kwenye kazi yako.
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
@@mashiassu5766 kabisaa
@violinenyakara50283 жыл бұрын
This guy jamani😔, halafu alikuwa mnyenyekevu, may God bless him
@nyendochamwela30313 жыл бұрын
Davista brother from another Mama. Congola sana kazi nzuri.
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Duh ni nyumbani lakini duh panasumbua af tunauhaba wa vituo vya polisi labda hii itasaidi sisi nyumbani mpaka ufike kituo cha polisi ni km15 sasa hii ni tatizo
@marthamaligo4583 жыл бұрын
Nimewahi leo 🇴🇲👍
@sharifusaidi4613 жыл бұрын
Ipoooooo vzr sanaaaa
@pili37503 жыл бұрын
Tupo pa1 #Davistar mata 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Ni mlokole naadhulumu mtoto haki Mungu amuone
@aishahassan98123 жыл бұрын
Daah pole sana jaman umepitia meng
@esthermaluko56213 жыл бұрын
You have to focus first and stop using your sell phone during the interview mr Davister
@bebebebe56773 жыл бұрын
Mi nakupa pole kaka umepitia magumu san
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Shukran kwa muendelezo, bro pili Musa bado uko busy na job 🤔
@aishahassan98123 жыл бұрын
🌝
@pilimusa77703 жыл бұрын
Ndiyo nimefika kipenzi changu.
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@aishahassan9812 😃😃😃😃
@somoeawadh77743 жыл бұрын
@@pilimusa7770 😘
@aishahassan98123 жыл бұрын
@@pilimusa7770 mx sana Pole na mihangaiko
@samiaarimkonekonko50963 жыл бұрын
Masiki urikuwa unaroo zuri sana😭😭😭😭
@hildaernest10903 жыл бұрын
Well
@abuu_khaki41203 жыл бұрын
Mzigo umetuwa 💃💃
@bakarikayugwa32953 жыл бұрын
Duuu kweli maisha ni safari
@zeramohamed96723 жыл бұрын
Naomba kuuliza hamnapolisi
@sharifusaidi4613 жыл бұрын
Ipoooo vzr sanaaaa jmn
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Kaka umepitia maisha magumu du noma kama muvi
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa. Utadhani movie
@samiaarimkonekonko50963 жыл бұрын
Daa pore sana kaka😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏
@miriamngosha68563 жыл бұрын
Hila uyu jamaa Ana akili Sanaa uyu yaan anakumbukumbu hadi Ya majina Ya watu Ya miaka Ya 90 uko mpk Leo bado anawakumbuka mpk mitaa mpk milima na majina yake aise ongera sana kaka
@sheikhaalmandhari1253 жыл бұрын
Haya twende kazi
@rikekikonyo22653 жыл бұрын
Mlokole hataki kulipa mshahara haha
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Mungu azidi kukurinda pole kwamagumu urio pitiya
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo jana na leo
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Walokole wazurumati hawaendi mbinguni🤣🤣🤣🤣
@luluhassan31083 жыл бұрын
Hahahahaaaa eti kamnunulia nguo
@roseuwambe80893 жыл бұрын
@@luluhassan3108 Nashangaa utanunuaje? bila makubaliano matapeli hao🤣🤣😅😅
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Kuchelewa nayo🙄🙄😍😍🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴
@susannyamwitha13543 жыл бұрын
10 in Kenya
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Uzuri huyo mzee hakukunyanganya hata peni Mungu amubariki
@apolinemalungano91553 жыл бұрын
Jamani amepitia mambo magumu kwaumri mdogo na Mungu akampa hakili