PART7:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUFA

  Рет қаралды 22,389

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

3 жыл бұрын

Пікірлер: 159
@flubtv
@flubtv 3 жыл бұрын
This guy amepitia magumu ,I hav shed my tears God bless you forever mwati.
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Doh haki amepitia sana Mungu amuonekanie haki
@hamidibrahim5369
@hamidibrahim5369 3 жыл бұрын
Many children with single parents go through such things... it's always good as a father to make sure u raise your children yourself, and with their biological mother regardless of any differences existing between u. the
@fatumamohamed8645
@fatumamohamed8645 3 жыл бұрын
Haki kaka hii story yako ni kama Ambae naona hilo tukio leo, yaani wewe niwe Kumshukuru Mungu sana tu tena sana Devi star Hongera kwa kazi Nnzuri 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Haki Zablon hope umeoka nakumpea Yesu maisha yako Cox doh una ushuda mzito sana Mungu akutie nguvu
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
God had a purpose for him to pass through all those difficulties, that's why he saved him on every situation. God wanted him to be a testimony.
@zamzamhassan4159
@zamzamhassan4159 3 жыл бұрын
Wa14 nipongezeni kwa like jamani leo
@fredichaki4868
@fredichaki4868 3 жыл бұрын
Life is full of surprise and temptation may God bless you man
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 3 жыл бұрын
Kun wat wanapitia Maisha magumu kushinda yangu ....Pole Sana muendelezo tafadhal
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Yani nilichojfunza ukiyaona maisha yako magum shkr tu maana hujakutana na maisha magumu, yani ukiliona lako zito hujaliona la mwenzio
@mashamramba3461
@mashamramba3461 3 жыл бұрын
Broo big up sana . 8 years old na una kumbu kumbu sana I say . Mungu tuu akusaidie
@nyotanjemaingarayo5384
@nyotanjemaingarayo5384 3 жыл бұрын
Baadhi ya matukio hayaondoki akilini asilan
@emmanelly6864
@emmanelly6864 3 жыл бұрын
Am imagining a boy 8yrs old and so far gone through what seems a whole lifetime!!
@tracyirene8917
@tracyirene8917 3 жыл бұрын
Bado nipo Mr.facts 👍👍 Nafuatilia 🔥
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Sasa nguo pair moja mshaharaa miezi inne mbona anarohoo mbaya hivyoo
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 3 жыл бұрын
Hatar sana rafiki zako siwaliambiwa hko namizim kuwa watakufa wee utapona
@flubtv
@flubtv 3 жыл бұрын
Congrats davi ,watching from Dubai
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Dubai????
@learnselfdefense765
@learnselfdefense765 3 жыл бұрын
Brother uwe unamsaidia kweny ku-arrange miaka naona hapo kwa tunaofuatilia kwa fact ndo anajisahau so uwe unamkumbusha... Au kama recorded jitahidi kwa wengine unao wahoji wapange... All in all mkasa ni wa kusisimua maana kausimulia radio free Africa kitambo sana na mazingira anayoyasimulia yapo na nimeyafika karibu yote.... Hata habari ya kukatana mapanga ni kama asili ya wazawa. Good story
@nyotanjemaingarayo5384
@nyotanjemaingarayo5384 3 жыл бұрын
Nilidhani nimeliona peke yangu suala la miaka. Maana tangu awali hakuwa na miaka minane ni zaidi ila nimesahau mingapi
@williammasha7068
@williammasha7068 3 жыл бұрын
Nice job Davis, we really learn alot through your programme keep it up bro.
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Uliyo pitia ni magumu lakini Mungu alikua pamoja nawe wacha tumshukuru Mungu kwa kukulinda
@satinotino481
@satinotino481 3 жыл бұрын
AMEN
@rasjamal9854
@rasjamal9854 3 жыл бұрын
Umepitia maisha Magumu wakati upo umri mdogo mwache mungu aitwe mungu
@martinmaryogo6081
@martinmaryogo6081 3 жыл бұрын
Yan kwel kila mtu ana majarbu yake yan mm had machozi kbsa duuuh
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
Kipindi chote hiko hata baba yako hakua na wasiwasi mtoto kaenda wapi looo wazazi wengine ni wapuuuuuuzi saaaana naisi alikuwa baba was kambooooooooo🙄
@nyotanjemaingarayo5384
@nyotanjemaingarayo5384 3 жыл бұрын
Niliwahi kusikia Kama mikoani watoto wa umri Kama huo hiambiwa wakatafutie maisha wemyewe na mdio wengi wao hukimbilia Dar. Sijathibitisha Hili lakini linafanana
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 3 жыл бұрын
Waa ifeel like am watching a horror movie 😢🇰🇪🇰🇪
@tayanabenard4392
@tayanabenard4392 3 жыл бұрын
Huyu kaka jamani....simulizi yake ni kama hadithi. Aisee huyu kweli sio binadamu wa kawaida.
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
@tayanabenard4392
@tayanabenard4392 3 жыл бұрын
Hatakua Zombie huyu
@michaeleustach9769
@michaeleustach9769 3 жыл бұрын
Kma majini na vifo vya kutisha,mauaji,mizimu,daaa wwe cio binadamu wa kawaida
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Ulikua na msimamo mzuri sana
@abdulrahimdaniel785
@abdulrahimdaniel785 3 жыл бұрын
Aliwai kuisimuliwa katka kipind cha redio moja na kumbuka iko kipindi kilikuwa kibaitwa(STOSAHAU GAMBUSH) bro pole sana kwa matatizo yalio kupata
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 3 жыл бұрын
Kweli name kama niliifatiriaga kama hadi nambar 8 nikaachana nayo
@abdulrahimdaniel785
@abdulrahimdaniel785 3 жыл бұрын
@@kawtharsaleh9229 mm niliimaliza yote mpaka alipotoka katka mji wa gambush(
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 3 жыл бұрын
Me ilinitia uvivu zilikua hazina mpangilio niliishia sijui alikwemda sumba wanga kutafuta mganga wakumrudishia kivuli sijui
@eshalibaba1195
@eshalibaba1195 3 жыл бұрын
Kaka anajielezea vizurii mpaka rahaa 😘😘
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Jamaa anaonekana mstaarabu sana huyu doh.......ukiliona lako kubwa tambua la mwenzako ni zaidi ila ww mtani wangu ni mtumish wa mungu hujajuatu hapo kwenye uchungj hapo nkamkumbuka labani na yakobo
@alitoufik5477
@alitoufik5477 3 жыл бұрын
Nipo
@hamisihassan2620
@hamisihassan2620 3 жыл бұрын
Watching from Dubai
@julesnumbi4859
@julesnumbi4859 3 жыл бұрын
Aise pole sana
@aysherkitoi1845
@aysherkitoi1845 3 жыл бұрын
Hii story hta part 100 hatuchoki coz tamuuu mnooo
@sharonmwanza1810
@sharonmwanza1810 3 жыл бұрын
Pole sana kaka
@kheryartist5322
@kheryartist5322 3 жыл бұрын
Hongera @sabra_said 👏🏽
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 жыл бұрын
Ila alisema kazaliwa mwaka 84 hadi mwaka 98 ,hapo alikuwa na umri wa miaka 14,na sio miaka 9,labda alipitiwa kidogo ila kwa kweli ukuaji wake ulikuwa na misukosuko sana kila hatua. mara wachawi, mara watu wenye roho mbaya,
@mashiassu5766
@mashiassu5766 3 жыл бұрын
Davister jaribu kuwa unawavika mic ndogo kwenye t shirt itakusaidia pia maana naona kushikilia kwenye mkono inachosha na istoshe story uwa zinakuwa ndefu ..... just ushauri tu otherwise unafanya vizuri kwenye kazi yako.
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 жыл бұрын
@@mashiassu5766 kabisaa
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 3 жыл бұрын
This guy jamani😔, halafu alikuwa mnyenyekevu, may God bless him
@nyendochamwela3031
@nyendochamwela3031 3 жыл бұрын
Davista brother from another Mama. Congola sana kazi nzuri.
@wantangosaimon5295
@wantangosaimon5295 3 жыл бұрын
Duh ni nyumbani lakini duh panasumbua af tunauhaba wa vituo vya polisi labda hii itasaidi sisi nyumbani mpaka ufike kituo cha polisi ni km15 sasa hii ni tatizo
@marthamaligo458
@marthamaligo458 3 жыл бұрын
Nimewahi leo 🇴🇲👍
@sharifusaidi461
@sharifusaidi461 3 жыл бұрын
Ipoooooo vzr sanaaaa
@pili3750
@pili3750 3 жыл бұрын
Tupo pa1 #Davistar mata 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Ni mlokole naadhulumu mtoto haki Mungu amuone
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 жыл бұрын
Daah pole sana jaman umepitia meng
@esthermaluko5621
@esthermaluko5621 3 жыл бұрын
You have to focus first and stop using your sell phone during the interview mr Davister
@bebebebe5677
@bebebebe5677 3 жыл бұрын
Mi nakupa pole kaka umepitia magumu san
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 3 жыл бұрын
Shukran kwa muendelezo, bro pili Musa bado uko busy na job 🤔
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 жыл бұрын
🌝
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Ndiyo nimefika kipenzi changu.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
@@aishahassan9812 😃😃😃😃
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 😘
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 mx sana Pole na mihangaiko
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 жыл бұрын
Masiki urikuwa unaroo zuri sana😭😭😭😭
@hildaernest1090
@hildaernest1090 3 жыл бұрын
Well
@abuu_khaki4120
@abuu_khaki4120 3 жыл бұрын
Mzigo umetuwa 💃💃
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 жыл бұрын
Duuu kweli maisha ni safari
@zeramohamed9672
@zeramohamed9672 3 жыл бұрын
Naomba kuuliza hamnapolisi
@sharifusaidi461
@sharifusaidi461 3 жыл бұрын
Ipoooo vzr sanaaaa jmn
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 3 жыл бұрын
Kaka umepitia maisha magumu du noma kama muvi
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa. Utadhani movie
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 жыл бұрын
Daa pore sana kaka😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 3 жыл бұрын
Hila uyu jamaa Ana akili Sanaa uyu yaan anakumbukumbu hadi Ya majina Ya watu Ya miaka Ya 90 uko mpk Leo bado anawakumbuka mpk mitaa mpk milima na majina yake aise ongera sana kaka
@sheikhaalmandhari125
@sheikhaalmandhari125 3 жыл бұрын
Haya twende kazi
@rikekikonyo2265
@rikekikonyo2265 3 жыл бұрын
Mlokole hataki kulipa mshahara haha
@jeaninemugisha6395
@jeaninemugisha6395 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukurinda pole kwamagumu urio pitiya
@fatmaalrshdii7615
@fatmaalrshdii7615 3 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo jana na leo
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
Walokole wazurumati hawaendi mbinguni🤣🤣🤣🤣
@luluhassan3108
@luluhassan3108 3 жыл бұрын
Hahahahaaaa eti kamnunulia nguo
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
@@luluhassan3108 Nashangaa utanunuaje? bila makubaliano matapeli hao🤣🤣😅😅
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Kuchelewa nayo🙄🙄😍😍🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴
@susannyamwitha1354
@susannyamwitha1354 3 жыл бұрын
10 in Kenya
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Uzuri huyo mzee hakukunyanganya hata peni Mungu amubariki
@apolinemalungano9155
@apolinemalungano9155 3 жыл бұрын
Jamani amepitia mambo magumu kwaumri mdogo na Mungu akampa hakili
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 3 жыл бұрын
Pamoja #mtumakini🤝
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Loooo unavaa inform iliusiplipe gari jamani😂😂😂😂😂😂😂😂watu wanaakili kweli
@mamayao9816
@mamayao9816 3 жыл бұрын
Uko ni wapi Hio wall iko sawa
@djbless6201
@djbless6201 3 жыл бұрын
Nice but painful
@aishasaid6749
@aishasaid6749 3 жыл бұрын
Maskini daaah pole sana
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Pole kwa yote 😥😥🤔😋🇯🇴🇯🇴🇯🇴
@salmasalma8203
@salmasalma8203 3 жыл бұрын
12 leo
@zeramohamed9672
@zeramohamed9672 3 жыл бұрын
Halafu watu50 wengi lazima polisi ingekuja nakutangaza
@peterdaniel9050
@peterdaniel9050 3 жыл бұрын
Ni kenya sio Tz
@allykibabe8182
@allykibabe8182 3 жыл бұрын
Hatr xna duuuh..
@pazimazongera4934
@pazimazongera4934 3 жыл бұрын
pamoja sana
@evasaimon2101
@evasaimon2101 3 жыл бұрын
Usicheleweshe story
@jotafungo4622
@jotafungo4622 3 жыл бұрын
Vijijini raha sana. Maskini mjeshi wa watu
@tamranadiya2962
@tamranadiya2962 3 жыл бұрын
Inavyoenesha zabron anapenda chai sana
@annasilayo1405
@annasilayo1405 3 жыл бұрын
Mwendelezo plz
@asingakani9138
@asingakani9138 3 жыл бұрын
History iyi ni ndefu kabisa
@lulubintrashid1903
@lulubintrashid1903 3 жыл бұрын
Maskini kapitia mengi akiwa na umri mdogo,inasikitisha sana
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 жыл бұрын
mh maisha jaman
@justooluoch2468
@justooluoch2468 2 жыл бұрын
Nashangaa jinsi alivyopitia maisha ya mtu mzima akiwa mtoto. Mapito magumu kweli.
@maryamumapenzi1257
@maryamumapenzi1257 3 жыл бұрын
Sinaga tabia ya.kuchelewaga
@nyendochamwela3031
@nyendochamwela3031 3 жыл бұрын
Ila shileni ulikuwa mchelewaji Sana 😂😂
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Kazi yakuchunga ngombe wallah.ningumu nikama hixi kazi zawarabu 😂😂😂😂😂
@salmakiyabosiriyamachoziha8756
@salmakiyabosiriyamachoziha8756 3 жыл бұрын
Kama kaziza warab kila san jikon sanaaaa
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Nuru how old are you? Natamani kukufahamu my dear
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Pamoja
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Duu lkn hiyo pesa nikidogo jamani Mia tano😨😨😨😨😨😨alikuonea bn sahii hixo zakuchunga nanjia hamna vile sahii mwendo niwakukata nyasi tuu ukibwagia ngombe kwa crush elfu tano yako mkononi
@aimeelacongolaise5881
@aimeelacongolaise5881 3 жыл бұрын
Duhhh maiti 50 wangapi ndani?
@kisurangusa554
@kisurangusa554 3 жыл бұрын
Zablon unasema ulipewa sh 2000 ya kenya ukaibadilisha ukapewa Tsh 30000 umesahau chenchi ilikuwa 95 kwa 1000 mwaka 1998
@zeramohamed9672
@zeramohamed9672 3 жыл бұрын
Sasa polisi kenya hamna
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 3 жыл бұрын
Hebu tuone na kadr tunaendlea kuiskliza a hii stry tunafanya pia analysis pengne badae ttapata ukwel zaid
@karrolleschon3986
@karrolleschon3986 3 жыл бұрын
🇰🇪🎤🎤🎤
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Hixo visu vawamasai 😂😂😂😂😂😂😂😂Jina sime halisi ukiona utadhani fimbo kumbe kisu
@justindamian3932
@justindamian3932 3 жыл бұрын
Hatariiii
@abubakarwadi5773
@abubakarwadi5773 3 жыл бұрын
Ka
@oglinetv3941
@oglinetv3941 3 жыл бұрын
Wa kwanza
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hongera
@linazuke5838
@linazuke5838 3 жыл бұрын
Watano leo
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hongera
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Hongera
@griezmannmhalaka4338
@griezmannmhalaka4338 3 жыл бұрын
Ya ya zimekua nyingi
@halimamangala6731
@halimamangala6731 3 жыл бұрын
Namuonea huruma huyu Kaka jamani mungu akurehemu
@ramadhanjumanne8882
@ramadhanjumanne8882 3 жыл бұрын
Amrehemu kwani kafa? Hahaha
@kautharmickidad1698
@kautharmickidad1698 3 жыл бұрын
Duuh wa 26,
@deusdeodavid5360
@deusdeodavid5360 3 жыл бұрын
Wa 22 leo
@juliusphabian6336
@juliusphabian6336 3 жыл бұрын
@Rose Uwambe
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 жыл бұрын
Rose zasiku
@saadiaali5609
@saadiaali5609 3 жыл бұрын
Afadhali sahii unamuona uso mwanzo nilikuwa simuini
@fsaad5116
@fsaad5116 3 жыл бұрын
Jamani hii ni story ndefu kweli msasal
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 жыл бұрын
Hvyo Mura Damu ya binadamu uliinywa ukahisi radha gani?!.
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😨😨😨😨😨🤣
@sadequeentyra8513
@sadequeentyra8513 3 жыл бұрын
😁😁😁
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 3 жыл бұрын
Labda huko mliko kwenda kukoga wameenda kuzim
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 40 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,4 МЛН
President Ruto's  Full Speech today at State House
12:21
KBC Channel 1
Рет қаралды 10 М.
ЭТО САМЫЕ ОПАСНЫЕ ШАРИКИ В МИРЕ!! #shorts
0:22
Русалка
1:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,7 МЛН
红尘为救闺蜜使出了浑身解数
0:39
侠客红尘
Рет қаралды 20 МЛН
КАРМА ПОРАЗИТ ЭТОГО ЧЕЛОВЕКА
0:41
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
0:25
Watch Me
Рет қаралды 54 МЛН
СРОЧНО ДОМОЙ! Эта НЕ КОНФЕТА!
0:21
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 1,6 МЛН