Yaani kila siku ni matatizo, alafu hukatagi tamaa, ila mwisho,mara kudhulumiwa.pole sana kwa kweli.
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Kweli
@cuteninoh5723 жыл бұрын
Jmniii kumbe mtu ukichukuliwa kivuli ndo unatabaika hiv kila mtu anakuona mbaya jmn😥😥
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
kuna ❤ nyuma yenu inakaa kuwa so nice
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Story kila ikiendelea inazidi kunoga hadi raha ila pole kaka
@matheothomas18913 жыл бұрын
Huyuu jamaa ana story kali Sanaa nilisikiliza zamani nikiwa form two redio free
@emmanelly68643 жыл бұрын
Hii ni life history, maisha magumu lakini yaonekana bahati ilikua side yake kila step
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
hiyo ndio zile movie za kihindi...wenyew wanasema ni ndefu lakn sterring akufi
@petermwantole94333 жыл бұрын
Nimefurah sana kukutana na Davistar Mwanza Pasiasi jana tarehe 22 nov 2020,,ilikua km suprise,,hongera kwa kazi nzuri
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Davi mwanangu story hii ni nzuri sana kijana anajua sana kuelezea. Ana kipaji na hachoshi kabisa kumsikiliza. Keep it up.
@salehfarid10033 жыл бұрын
HUYU JAMAA INAONESHA ANAPENDA KULA ATAR ... manake anavotamka majina ya vyakula mpaka mate yanajaa
@roseuwambe80893 жыл бұрын
🤣🤣🤣😅🤣🤣🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Nani asiependa kula???bila Kula huishii
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jafariemmanuel16943 жыл бұрын
Aaa mwanangu unazingua utakatishiaje kwenye utamu mzeeee katie mbele mbele huko 😂😂😂😂😂😂 .good story ayxee 👍
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😆😆😆😆
@highnesseverest36193 жыл бұрын
Yahan kuna wakat unapata tabu kidogo tu unaanza kulalamika una mapito magumu wakati kuna watu wana mapito tangu utoto mpaka unakuwa mtu mzima ujawahi kukaa na kufurahia maisha Bug up sana mwita tangu ujawahi kuchagua kazi wala kuwa mzigo kwa mtu kiukweli mfano wa kuigwa kabisa
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Minimependa sio mvivu kila kazi unafanya mashallah pole Sana kwamitihani
@shukranhans95273 жыл бұрын
Da watu tunasubiri ndo tulale tushakuwa watumwa na hii story
@demetriushenry35853 жыл бұрын
Davista broo kaz nzur But now a days unakatisha sana story katikati then unamuelekeza vitu camera man wako, nadhan inafaa kujipanga kabla ya kuanza shooting 🌠🌠🌠
@cesiliamakengo5453 жыл бұрын
Pole ndugu kwa mitihani unayopitia na mungu amekupa moyo wa ujasiri hongera
@elleng5227 Жыл бұрын
The real definition of Mateso ya mwenye haki ni Mengi , lakini Bwana umuokoa nayo yote, hapo wamekuibia nyota sjui kimvuli, hvi wangekuachia ungekuwaje?..,
@masoudkatiba14843 жыл бұрын
Very exciting story
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Mungu atunusuru 🤗🤔🇯🇴🇯🇴
@sharifusaidi4613 жыл бұрын
Yes.....
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Licha yakua umekua ukidhulumiwa hujawahi kufa moyo u have abig heart
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@nahishakieathumani50413 жыл бұрын
Asnteee na stir brother
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Mungu akuifadhi
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
nzuri hapo changamoto za maisha
@b.a.m62433 жыл бұрын
Wenye mb chache tumesoma comment tunangojea saa12 tuwah vocha 😭😭
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Daaah zablon Kaka ang kuna vitu tunavipokea Toka kwako
@kelvindaudi67653 жыл бұрын
Sawa sawa kaka tuko bamonja
@bebebebe56773 жыл бұрын
Pole kaka umepitia mugumu san
@shukridjibril68483 жыл бұрын
Story fresh kabisa
@nurudaud39932 жыл бұрын
aiseeee aaah but mungu tu alikuwa side yako 😊
@jacobmwacha72853 жыл бұрын
Davista muulize vip baada ya kuekewa dawa kuona wachaw aliwaona
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Story ni nzuri sana inanoga
@neemaomar763 жыл бұрын
Weuweeeh! Hatimae imekuja jmn🤣🤣
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Duu atr san
@saidmohamed96273 жыл бұрын
Daah jamaa kweli ni comando huyu yaani anaroho ngumu kama chuma...!!
@mariamripiti21373 жыл бұрын
Na kumbuka zamani kwenye igizo la mambo hayo kwenye utamu utasikia Tililili liliiii yaani mpaka next week 😭😭😭😭😭
@wilsonchishomi10833 жыл бұрын
Nawaza tu yule trafiki alivyorudi na kukuta hela hakuna alikuwa kwenye hali gani...
@wilsonchishomi10833 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kalia pengine
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nyendochamwela30313 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Acha kabisaaa
@brenda10833 жыл бұрын
Alijua majini ya tz zimechukua
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Pili somoe mimi mimi njoooon💃 mazur🙄🙄🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴
@pilimusa77703 жыл бұрын
Ndiyo nimefika. Asanteee
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 karbu daa
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Asante dear ndio nafika Sahii, Jana nililala mapema si Wajua Leo kazi, penda sana my kidada 😘😘😘
@denismugisha26 ай бұрын
Nilichojifunza jamaa hadumu ktk neema, ingawa ana bahati sana lkn neema ikijitokeza ghafla inatokea sababu ya kumtoa
@inspirationmessages84203 жыл бұрын
Yaan ni mitihani juu ya mitihani Likitoka moja linaingia jingine Km season ya Merlin
@bahatiabdillah53073 жыл бұрын
Nilichogundua kweny hii movie jamaa alipenda sana kununua mabegi😅😅
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Huko kuhama hama kote angeshikilia nguo au zote angezivaaa pamoja ili ahame nazo...Hujaona jinsi alivyomchapa kazi na bidiii umeona mabegi tu😏😏😏
@azizamohd57283 жыл бұрын
😁😁😁
@bahatiabdillah53073 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 kanye mbele kila mtu anastory yk ya maisha kaamuwa kutupa yk so naweza andika chochote nitakacho jisikia kwhy ulitaka nimuonee huruma 😏kwendraa huyo
@cuteninoh5723 жыл бұрын
Kila sehem kula inaonekan mkurya wew unapenda kula mnooo😂😂unanichekesha kila kipande wew kula tuuuuu
@aishahassan98123 жыл бұрын
Pole san umeteseha hakika😥 Yote hayo yamesababiswa na kukosa kivuli chako
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hao wako nyuma watoto ama watu wazima mana naona kudarana darana hapo ndokazi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 halafu str inaxidi kuwa tamu ss kumezaa tuu mana msimuliaji anaitafuna vilivyo😋😋😋😋
@kibibi78263 жыл бұрын
Ilikua naisubir ajjab
@martinmaryogo60813 жыл бұрын
Yan hulal mzee
@kibibi78263 жыл бұрын
@@martinmaryogo6081 we mbon ujalala
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@kibibi7826kwalalika🤣🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤗🤗🤗🤗🤗🤗Mary xmas ilove u za apetaiza kwaroom
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
na siku hizi nimekuwa mtumwa lazima nisubiri upload ndio ni lale💺💺🇰🇪🇰🇪💃💃💃
@roz39903 жыл бұрын
Ila Davistar hizi title mbona kama hazikai poa
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Wapi leo
@thaaneyamohamed61433 жыл бұрын
Hheh mmetisha🤣😜
@halimaaa38603 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🥰
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Mmb
@shaminaathumani42853 жыл бұрын
Dah hii story mtihan kwakweli kweli kila mtu ana mazito lakin tunazidiana
@jhayparism11523 жыл бұрын
Jamaa kila baada ya dk lzm ataje msosi 🤣🤣🤣
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Sasa ina weza pita siku bila msosi
@martinmaryogo60813 жыл бұрын
Mmmmmh watu hamlali jmn?
@jotafungo46223 жыл бұрын
Viama juu ya viama
@hellenmary4643 жыл бұрын
Tunasubiri iendelee
@mudulorukuyana37223 жыл бұрын
Duuuh 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄poole saaana kizungu zungu chako icho kilikufata ila hukujuwa duuuh!😃😃😄😄😄😄😄😄kazi ipo tweendeleye na stori.
@umbeaeastafrica79433 жыл бұрын
Bro Zabroni, yule traffic ulochukua pesa zake ndio mimi apa bro 🤣🤣🤣🤣🤣.
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 unataka ulipwe au dhuruma haidumu kama ingekuwa nipesa ya halali usingeifichaaa
@umbeaeastafrica79433 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 😂😂😂 naomba nilipwe pesa zangu tafadhali. Alifanya vibaya sana maana niliporudi kuzichukua sikuzikuta kumbe Zabroni alikuwa kuzichukua yeye.
@alitoufik54773 жыл бұрын
Maisha ni misukosuko dah
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
Mwendelezo kma kawaida
@tamranadiya29623 жыл бұрын
Duh watu mpo faster ndani ya dakika3 watu kumi na sita
@latifahissa11143 жыл бұрын
Loh haya ni mazito
@josiangamagila3 жыл бұрын
Huyu jamaaa daah
@karrolleschon39863 жыл бұрын
🇰🇪🎤🎤🎤
@meckylucy2153 жыл бұрын
Hamlali
@sallo27.703 жыл бұрын
Davistar Mata. Naomba kuuliza kuangalia matangazo Ni Muhimu kuangalia.!
@nyendochamwela30313 жыл бұрын
Yes ni muhimu maana ndio anapo patia pesa za uendeshaji.
@azizamohd57283 жыл бұрын
Ndio ni muhimu angalia hadi mwish wa tangazo ndo atapata vijisent kidogo
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Amepitia mengi huyu jamaa but Najiuliza, aliwazaje kufanya mapenzi akiwa na 8yrs, 🤔
@fahadjinni58453 жыл бұрын
Unafanya mapenz lkn hupat chochote just kuingiz na kutoa ...mm nmefanya mapenz mara ya kwanz nina miak 5 ...mara y pil miaka 8
@somoeawadh77743 жыл бұрын
@@fahadjinni5845 ww Hatari my dear 😂😂😂
@salumbunga2403 жыл бұрын
Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang resptr
@saidrakwe87277 ай бұрын
Matajiri kazi yao nikuzulumu tu
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Xtory kila mda inazid kuwa tamu
@mazoonalbalushi59323 жыл бұрын
Jamani Mimi leo nimesikiliza zote na sasa nalala jamani tunataka kifutacho
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Ulikuwa mjanja hukutaka kuumizwaa pesa kidogo hiyo 20 za tz AMA Kenya mana zakenya hixo hela ndefu hixo za tz bn kidogo sana
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Duuh mitihani aliyopitia ni elimu tosha
@wildatmsellem75313 жыл бұрын
Dah umezulumiwa sana lkn hukua unajiongeza ukisaidiwa sehem na ww saidia pia vitu vidogo vidogo.. ila pia hongera kwa kujituma
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Twende Sasa🤓🤓
@matheothomas18913 жыл бұрын
Mamaeeeee chezeaa vpn nitawakomesha safari hiii wamokoo kama kawaa
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
Hamlali jamaniiiiii
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hapalaliki 😂😂😂😂
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
@@pilimusa7770 hahahaah ww
@mohdnasser8943 жыл бұрын
huyo mkasa ne upenda sana
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Mbona nime i tafuta sana hii jameni
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
nimesumbaa hapo kwa copyright💺💺💺🇰🇪🇰🇪🤔🤔🤔🤔🤔
@alexjos76253 жыл бұрын
Bro toa movie..hii ni season kabisaaa
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
😳😳😳😳😳😳😳😳 🤔🤔
@nusaebahkeis67743 жыл бұрын
Dunia ina mambo
@anitaanita40493 жыл бұрын
Nimeisubili kinoma bt hatimaye
@mariammgombayeka18243 жыл бұрын
Pls story imenoga ndo yakatika jamani?lete basi jamooni
@upendoluv71973 жыл бұрын
Part 12.....
@Masa__9663 жыл бұрын
Subscribe kwenye channel yangu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✌🏽‼️
@josephinemumbua1593 жыл бұрын
Yeah sikuile Kwa mandizi kivuli kachukuliwa 🙉🙉👹makaburini
@matthewjohn51083 жыл бұрын
Dhu! Mamaeee yani niko peke yangu arafu jitu lingine linatokea si zani kama nitabakisha hata kinyoleo cha ugoko kwa hizo speed nitakazo tokanazo hapo 🤣🤣🤣🤣
@shaminaathumani42853 жыл бұрын
😂😂😂😂
@francisgaudence5113 жыл бұрын
Mskiti wa waislam
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴
@charlesmapunda59053 жыл бұрын
Hajakosea kwenye biblia kuna misikiti ya Kiyahudi
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@charlesmapunda5905 Hoiiiii🤣🤣🤣
@fahadjinni58453 жыл бұрын
Misikiti ipo ya aina nyingi ndugu
@christophersaimon43983 жыл бұрын
hawalali
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Kumbe mm ndio wakwanza kabisa
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Asante na ww pia hujachelewa
@nahirhumoud87563 жыл бұрын
Baba tushushiye vitu una laza damu
@solomonwilliam71313 жыл бұрын
😁..wa Kwanza
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
@@pilimusa7770 shoga upo
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@aiyamhassan1321 nipo shoga angu Aiyam. Ndiyo nimeingia. Asante shoga angu😘😘😘
@mohammedmhina39733 жыл бұрын
YAAN HPO HYO YOTE KM KUNGEKUW N YULE WA KURUDSHA MUDA NYUMA BAS ASINGETHIBUTU KUMUAMBIA BIBI YKE KUW MCHAWI