Part13_MAANA YA NYOTA YAKO KIROHO|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA WAGEREGERE KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 57,994

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

4,500$ inahitajika ili kufanikisha safari ya mtumishi wa Mungu Aston Mbaya nchini Kenya.Tafadhali wezesha safari hii ya injili kwa kuchangia pesa yoyote uliyonayo.Tumia namba hizi kuchangia ama kwa mawasiliano.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
$ 4,500 is needed to make the journey of God's servant of God Aston Mbaya to Kenya. Please facilitate this gospel journey by donating whatever money you have. Use these numbers to donate/communication.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
KUJIUNGA NA GROUP MAALUM LA WHAT'SAPP LA SAFARI YA ASTON MBAYA NCHINI KENYA, BONYEZA LINK HII chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Kama unashindwa kujiunga mwenyewe tuma kwa What'sApp neno "Niunge Promover tv Kenya" kwenda No. +255784074462 .Kama unahitaji kuungwa Tafadhali hakikisha umetuma ujumbe kwenye What'sApp usitume kwa ujumbe wa kawaida yaani sms.
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 269
@rhemaupendo5716
@rhemaupendo5716 2 жыл бұрын
Amieli ni mtumishi wa Mungu wa kweli nimesikiliza shuhuda nyingi za wanaosema wameacha uchawi lkn sijaona ambaye amejiweka wazi kama yeye Mungu akufunike na akutunze sana baba.
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Amilieli baba Mchungungaji tafadhali achana na mambo ya watu, utaanza mapokeo ya watu, sisi tunakuelewa na tunakupenda kama ulivyo na tunabarikiwa kuliko hao wanaosemekana wananyoa vizuri kwa mitazamo yao...kaa ukijua kwamba ukibadili nywele wataanza T-shirt utavaa shati,watasema suruali,mara viatu,mara saa achana naoooo...mnatupunguzia muda wa kupata madini ya maana...Kuna watu hata kupiga mswaki ni dhambi wasikutoe kwenye reli tafadhali
@aloycemary1968
@aloycemary1968 2 жыл бұрын
😄 kupiga mswaki tena
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 2 жыл бұрын
@@aloycemary1968 😄😄
@gerryndyamukama9058
@gerryndyamukama9058 2 жыл бұрын
Dah umecomment vizuri saaaana😀
@philisrabby2779
@philisrabby2779 Жыл бұрын
Vizuri Sana my sister
@monsterjohntex6896
@monsterjohntex6896 Жыл бұрын
😊😊😊😊😊😊
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
From Saudi Arabia,Dorcah Bonareri,mm naona Mchungaji uaje kabisa kabisa swala la nywele,mwenye anapinga si yeye alikutoa kuzimu,mtumikie Yesu kristo aliye kukomboa kutoka mikononi mwa shetani
@kacerawamami1209
@kacerawamami1209 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mtumishi wa Mungu na team yote ya promover. Ningeomba kama kipindi kingekuwa more than I hour kwani almost 20 minutes imeisha mtumishi Katekela akirudia mada ya nywele. Maoni yangu ni tuaache kurudia rudia hii story ya nywele, mtumishi amejieleza so kazi iendelee. Binadamu wengine hata ufanye nini kama wamegandia kitu hata ujieleze vipi hawatarithika. Mtumishi wa Mungu hayuko hapa kuturithisha bali kutufundisha maarifa tutumie tumshinde shetani na mambo yake yote. Mimi na wewe ni kumuomba Mfalme Yesu Kristu atulinde na amulinde kwenye njia hii..usikubali kutumiwa na shetani mpaka ukawa hutasikia mafundisho wewe tu ni kukosoa. Mwenye hana dosari basi atupe njiwe...sifa na utukufu kwake Mwenyezi Mungu
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
Ni kweli na wale hawamwamini wasisikie
@elizabethopere2784
@elizabethopere2784 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ...hawezi furahisha kila mtu.
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 жыл бұрын
Ktk msafara wa mamba kenge nao wamo wengine humu hawapo kwa ajili ya ushuhuda wapo kwasababu ya kumkatisha tamaa mtumishi Katekela na hawawezi kuidhihirisha Moja Kwa moja ndio hizo kasoro wanazozitoa wakati wote hakuna mtu anayejua vyote tunajuwa Kwa sehemu na kuhitajiana ili mwili was Kristo Roho Mtakatifu pekee yake ndio anajua kila kitu.
@mary.matullu8279
@mary.matullu8279 2 жыл бұрын
@@elizabethopere2784 Hawaii kumfurahisha kila mtu. Hawa watu wanaofunga kichwa wanapenda kuhukumu kwa kila jambo mavazi na culture huwezi kubadilisha various la mhindi etc. Yesu Hana Mila ni wa kila mtu. Wanaohukumu wanajiona wapo kamili na watakatifu kuliko wengine
@neemamassame8183
@neemamassame8183 2 жыл бұрын
Nadhani ni muhimu kujifunza kuliko kuhukumiana na kuhukumu wengine
@moraarebecca3627
@moraarebecca3627 2 жыл бұрын
You are covered by the precious blood of Jesus Christ. Press on .Am blessed and learning through you.God is great for ever more.🇰🇪
@patrickpaandi6759
@patrickpaandi6759 Жыл бұрын
Asante Man of GOD, Nime download mafundisho Yako nimejaliwa Neema na Rerema Kwa sababu Yako MCH.KATEKELA 🇺🇬
@salimarosematrida8399
@salimarosematrida8399 Жыл бұрын
Mungu wetu akutiye nguvu saana uyaheneze duniani kabisa barikiwa
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
" wapendwa watazamaji wenzangu jacktan anapambana kweli lakini tukumbuke kuchangia hela ili injili iende mbele maana haba na haba hujaza kibaba
@paulinanaaly8307
@paulinanaaly8307 2 жыл бұрын
Kweli mtumishi Hili Lina hutaki nguvu ya Mungu awainue watu
@amonadriano9346
@amonadriano9346 2 ай бұрын
Amina mtumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo ubarikiwe kwa kutukumbusha
@amonadriano9346
@amonadriano9346 2 ай бұрын
Amina mtumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo ubarikiwe kwa kutukumbusha
@mariakalama3014
@mariakalama3014 7 ай бұрын
Asante kwa mafundisho yako mazuri na mkono wa bwana yesu uwe juu yako na endelea tumikia mungu ❤🙏
@florencemueni1183
@florencemueni1183 2 жыл бұрын
Thank u mtumishi wa Mungu Amiel na jacktan kwa kazi zuri mnayo fanya na Mungu hawabariki sna....Amen
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Mutumishi anapendeza kwa kujibu maswali be blessed
@beatricemutambala3972
@beatricemutambala3972 2 жыл бұрын
Kwanini maswali ingine yakizushi kunyowa amenyowa vizuri na anaamani ya rohoni msifanye mtumishi wa Mungu kukosa amani kuhusu kunyowa nywele ame pendeza na iko vizuri
@sundayherrieth9460
@sundayherrieth9460 2 жыл бұрын
Kwa kweli
@loyciousmapenzi
@loyciousmapenzi 9 ай бұрын
Amen 🙏🏻 🙏🏻
@lindamongi6315
@lindamongi6315 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Roho Mtakatifu akuongoze kwenye usahihi unaotakiwa. Asanteni sana promover tv kweli tunatakiwa kuchangia ili injili iendelee.
@tamarali8325
@tamarali8325 2 жыл бұрын
Pastor Amieli nimekupenda bure. Usijali wanadamu wanasema nini. Hakuna Mwema kwa hii dunia. Barikiwa sana Pastor Amieli. Jacktan Barikiwa sana kwa kazi nzuri na ngumu unayoifanya. Much Respect
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@leahbhoke8718
@leahbhoke8718 2 жыл бұрын
Yesu nisaidie Baba yangu
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Mchungaji mungu amekupea moyo wa kunyenyekea akh for taking your time to explain nywele ...but I think devil is fighting this beautiful testimony with issues that have been already explained ....kuenda mbinguni ni mtu kibinafsi ...tupee huu ushuhuda masikio tuachane na maneno mengi
@hassanbukambu931
@hassanbukambu931 2 жыл бұрын
Neno Mungu ni Kwa herufi kubwa au uandike Kwa kuanza na herufi kubwa ukiandika herufi ndogo inamaanisha shetani nae anaitwa mungu katika ufalme wake wa Giza
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
@@hassanbukambu931 asante saana ....lakini Kwa kila kitu madhumuni ndio Mungu uangalia
@aaSs-yf8oq
@aaSs-yf8oq 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi kwa ushuhuda mzr......ila jitahidi ulinganishe nywele zako. Kumbuka ww ni mchungaji, usiifatishe namna ya dunia hii
@annacharles2842
@annacharles2842 2 жыл бұрын
Keshajieleza bado unaendeleza hilo hilo mbona uko hivyo wewe angalia usimnyooshee kidole huyo ni mtumishi wa Mungu. Hivi aliemuokoa akamtoa huko aliko kuwa unafikiri alimgharamia kiasi gani ?angalia ndugu usije ukajikuta kama Mariam dada wa Musa aliyemsema musa kuhusu kuoa mke Mungu alimfanya nini?usiangalie kibanzi cha mwenzako
@jameskotte-endtimegospel
@jameskotte-endtimegospel 7 ай бұрын
Ndio jactan mtumishi hyo aliganishe nyele zake Kwa upendo Tu ...pia neno la mungu inatushauri hivo
@veronicahmui6419
@veronicahmui6419 2 жыл бұрын
Following from kenya.... hiyo ya kujua nyota yako ni gani tafadhali tufunze unaangaliaje
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 2 жыл бұрын
Mtumishi nyoa nywele vizuri maneno ya Mungu hayana kigeugeu,Bwana anasema tusinyoe denge.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 2 жыл бұрын
Ni kweli anyoe vizuri
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 2 жыл бұрын
Kamwambie Diamond
@saimonnickolaus2501
@saimonnickolaus2501 2 жыл бұрын
yaaani.nabarikiwa Sana .MUNGU AWAINUE SANA.LAKINI .NAITAJI KUJIFU ZA ZAIDI ENDELEA KUSEMA ILI TUTOKE KWENYE MAANGAIKO ILI TUFANIKIWE. ENDELEA KUTOA MWONGOZO WA NYOTA.
@witness8760
@witness8760 2 жыл бұрын
Jamani duniani kuna mambo, na hao wachawi tutawajuaje, mtu unaishi zako kwa furaha, kumbe ushaibiwa nyota zote! Mungu atusaidie🤩
@paschalinahharis9604
@paschalinahharis9604 2 жыл бұрын
Haahaa
@tygggnzyj2771
@tygggnzyj2771 Жыл бұрын
Hahahah 😅
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Ameeeeen barikiwa sana mtumishi wa BWANA kwa mafundisho mazuri
@mtumishijerrymwagobele6559
@mtumishijerrymwagobele6559 2 жыл бұрын
Káka jambo hili la unyoaji ili usiwakwaze watu na uwe na amani ziweke zote sawa utapendeza wachungaji hawana mbingu wasaidie wengine zote ziwe sawa usitumie muda mwingi kujitetea saana
@rusimackems9820
@rusimackems9820 2 жыл бұрын
Ni kweli na mimi nakuunga mkono, kama alivyochoma ila kacha ya Tz na nywele afanye hivyo tu kama Jacktani anavyofanya. Kwasababu uelewa wetu uko tufauti
@geitandelwa299
@geitandelwa299 2 жыл бұрын
Ni kweli asinyoe zote anyoe ziwe sawa
@gerryndyamukama9058
@gerryndyamukama9058 2 жыл бұрын
Sidhani kama style ya nywele inampeleka mtu Mbinguni,hata kama angekuwa Rasta kama Samson. Cha muhimu ni kumpokea Yesu na kumkiri kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako
@mtumishijerrymwagobele6559
@mtumishijerrymwagobele6559 2 жыл бұрын
@@gerryndyamukama9058 pole soma biblia utafahamu usiseme sidhani hatuingii huko kwa kudhani ni kwa Neno limesema USINYOE DENGE PANKI NA WALA TUSIIFUATISHE DUNIA .
@rinaralph2417
@rinaralph2417 2 жыл бұрын
@@mtumishijerrymwagobele6559 naomba mistari ya biblia inayoelezea hivyo
@zeldamzena9295
@zeldamzena9295 2 жыл бұрын
Jactan umeuliza swali ambalo nilitaka kuuliza hayo mambo ya kunyoa kunyoa yanamaliza muda sana ili kuondoa utata c ni afadhali kuziacho kote tu..huduma yenu ni nzuri mbarikiwe sana.
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Yaani watu watashinda Kwa swali ya nywele ...mm nangoja ushuhuda uendelee lakini mnarudisha MCH nyuma ...
@linkreuben3108
@linkreuben3108 2 жыл бұрын
Mbona nywele zipo sawa tu. Muacheni mtumishi achape Injili, Mungu kamtoa mbali! Wengine pambambaneni na hali zenu!
@neema123moris4
@neema123moris4 2 жыл бұрын
Yaan dah, sijui kwann watu huwa tunatafuta makosa, na kasoro kwa wengine.
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Ni mbinu za Shetani anatufanya tuwe busy na nywele badala ya shuhuda hadi muda wa SoMo unakuwa mfupi, ni kuwachanganya watu ti
@kacerawamami1209
@kacerawamami1209 2 жыл бұрын
Hata mimi ina bore sasa kwani mnafanya mtumishi kama mtoto wa kambo kila siku ni nywele tu zinanazo pewa heading
@servantofgod4340
@servantofgod4340 2 жыл бұрын
Hao wanaokazana na nywele zake watakuwa wachawi.. wanahasira na mtumishi kwa kufichua mbinu zao. Kwahiyo wanatengeneza mazingira ua wakristo kumchukia mtumishi. Kwani amri 10 za MUNGU zinasema usinyoe denge au ni sheria za agano la kale. Wasile basi na nguruwe. Mbona sheria nyingi zipo za agano la kale. Wanachukua moja tu
@kacerawamami1209
@kacerawamami1209 2 жыл бұрын
@@servantofgod4340 ndio hivyo basi wasiishi duniani kwani karibu kila kitu shetani ametia mambo yake si nguo, hewa technology kila kitu..hii you tube mnafikiri uvumbuzi wake umetoka wapi..basi wale ambao wanaona dhambi kila mahali ni wahame wengine sisi tunaishi kwa kulindwa na damu ya Mfalme Yesu kristu hatuangalii nyuma na hatuna wasi wasi. Injili ya Mfalme wetu Yesu Kristu iendelee
@jameskotte-endtimegospel
@jameskotte-endtimegospel 7 ай бұрын
Ila nakuombea Amiel Yesu awe pamoja nawe siku zote
@pastorcarolicarlostokunmbo826
@pastorcarolicarlostokunmbo826 2 жыл бұрын
Mungu awbriki kw kazi njema,mmi nangalia kutoka nigeria, style ya nywele haina shida hapa wachungaji wa kweli wa Mungu na jamii nzima haina shida na style hii tena sio swala linalozungumzwa na nafikiri ni mtazamo wa kimazoea yetu au mtazamo wetu kitamaduni zetu za tz ambayo pia ni vzr ni agano jipya hatufungwi na sheria ya torati.
@user-zj5vj1hd1t
@user-zj5vj1hd1t 11 ай бұрын
Asante
@paulinanaaly8307
@paulinanaaly8307 2 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu pamoja na promovertv mbarikiwe sana kwa kumwaibisha shetani pamoja na watendaji wake
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 жыл бұрын
Mbona kanyoa vizuri tu. Mtu ananyoa kulingana na kichwa chake Akinyoa vingine Mchungaji hatapendeza au labda kama kupendeza nidhambi hapo sawa
@ritasheriff7814
@ritasheriff7814 2 жыл бұрын
Ni mwenyenzi Mungu tu aliye na siri ya kufahamu yupi ataingia mbinguni. Si kazi ya wanaadamu kuhukumu maana sote tunangojea kuhukumiwa.
@apostlerebeccamunguaniinul7073
@apostlerebeccamunguaniinul7073 Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mutumishi wa Mungu.tuombe Mungu sana atu jaliye neema yaku omba sana tusi naswe na Shetani
@sharnamoreen8195
@sharnamoreen8195 2 жыл бұрын
Even you people who comment wrong to him about the heir, remember he is choosen by God to teach you all you need to know, kwenye ametoka si wewe ulimtoa ila ni Mungu, so stop grumbling to the anointed ones. (James 5:9, Psalms 105:15) Lord be with us
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Tell them
@deomichael4798
@deomichael4798 2 жыл бұрын
Tunaishi kwa Neno la Mungu wote; bila kujali ni Mchungaji au siyo Mchungaji. Neno la Mungu ni agizo. Linasema likisema usinyoe denge fuata hivyo maana Neno la Mungu halibatiliki; na tena halimrudii bure Mungu. Kama ambavyo limesema mwanamke asivae mavazi ya mwanaume na wala mwanaume asivae mavazi ya mwanamke, ni hivyo, halibatiliki.
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
wengine watasema tulijua kuona makosa ya wengine maana tulijiona sisi ni watakatifu sana kuliko wao maana hatukupaka hata mafuta,hatukula nyama,tukanyoa vipara na wengine kulinganisha nywele kwa rula zikawa afro tena tukavaa magunia maana jeans na suti ni anasa za Dunia,tukavaa na ndala , tukala mboga za majani za msituni au mchicha pori,nyama zote tukaona ni kama anasa, tukapiga mswaki kwa miti ya asili bila kutumia dawa za viwandani na Bwana atasema ondokeni sikuwajuaga, Moyo wa mwanadamu aujuaye ni Mungu peke na walio wake yeye ndiyo anawajua siyo binadamu yeyote,kazi ya mwanadamu ni kumkiri Yesu kumwamini yaaaani Kuokoka ,wokovu, na Moyo safi kheri hao maana watamwon Bwana, Kuna watu hujifunika gubigubi hata hizo nywele wanavaa vilemba huzioni ila kama huna Yesu ni kazi bureeee.. HUKUMU NI JUU YA MUNGU.
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Mbinguni huwezi kuingia kwa nywele wala huwezi kutokuingia kwa nywele, na hata akiwaridhisha kwa hizo nywele mtasema avue Pete ni dhambi, akivua Pete mtasema akiimba asicheze ni dhambi aimbe asitingishike ni wima, akiacha hayo mtasema asiwaite wachawi viroboto, akiacha mtasema asiseme kudadadeki ni dhambi..human beings are human beings ..and walokole wengi wanachangia watu kuacha wokovu maana mnawachanganya wanaona mbona hivi mnawafanya wajiine kwenye dhambi na hawastahili ilihali neema ya Mungu imewastahilisha. Wakristo Embu mjisikie vizuri kuona mtumishi anamtangaza Yesu na watu wanaokoka na wengine watakuwa watumishi watawahubiri wengine , mambo ya kifamilia muwaachie wanafamilia anababa wa kiroho na anawatii hawezi kutii kila mnavyotaka msimvuruge kabisa baba Emma.
@alistidiarugaitika3539
@alistidiarugaitika3539 2 жыл бұрын
Mbona nguruwe mnakula!!kusengenya,wivu,uchoyo,uongo mmekazania kunyoa denge,kuvaa suruali mengine hayatazamwi
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 2 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Bwana Yesu Kristo
@veronicaphabiani9997
@veronicaphabiani9997 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@mishinema8719
@mishinema8719 2 жыл бұрын
Jamani tumuelewe mutumishi Kwa kunyoa kwake. Tuwe n Imani
@natujwamziray7749
@natujwamziray7749 2 жыл бұрын
Tunakupenda. Mungu habadiliki ktk NENO kwa sababu ya mtu. Nyoa zilingane. Ww ni mch. Ni mfano kwa msimamo ktt NENO
@johndelefa973
@johndelefa973 2 жыл бұрын
Ni Muhimu Akawa Kielelezo, Huwezi Kunyoa Denge Halafu, Unasema, Amani tu ndio inakuhakikishia, Mh!! ZIFANYE HIZO NYWELE ZIWE ZINALINGANA, IKIWA UNALIJUA NENO LIISHI NENO, ACHANA NA MAWAZO YA WACHUNGAJI, FUATA NENO LINAVYO SEMA, NENO LA MUNGU NDIO KWELI.
@annamulenda6652
@annamulenda6652 2 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu
@petermageta4987
@petermageta4987 2 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji katekela, umejibu vyema hilo swali la kunyoa ndenge kwamba siyo Mungu aliye kuambia unyoe vile ni hao washauri wako hawa kukushauri kimanandiko kumbuka Biblia inasema katika kitabu cha Yuda 1:5-6 Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua yote, ya kwamba Bwana,akiisha kuwaokoa watu katika inchi ya Misiri aliwaangamiza badae wale wasio amini (6)Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakaacha makao yao yaliyo wahusu amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu,kwa sababu hiyo mtumishi Mungu haangalii cheo utumishi Karama na mengineyo, hapana anachotaka Mungu ni uti katika NENO lake,1samueli 15:22-23 Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa kunisikiliza.
@maloleproduction1769
@maloleproduction1769 2 жыл бұрын
Bwana Yesu akubariki Sana
@maloleproduction1769
@maloleproduction1769 2 жыл бұрын
Mwendelezo wake lini
@lykerwillson7288
@lykerwillson7288 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji nimejifunza vingi sana
@trintypetery1855
@trintypetery1855 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa viwango vikuu sana
@prosmutonyi3706
@prosmutonyi3706 2 жыл бұрын
Following from saudi arabia. Hili ni darasa sahihi.
@ndavadumayai4250
@ndavadumayai4250 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho,mbarikiwe sana
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 жыл бұрын
Mchungaji wewe una shuhuda za kufundishika vizazi HADI vizazi. Je umeweza kutengeneze vijitabu ili wengine wasome kwa ufahamu zaidi. Tuvipate WAPI WAPI , mtumishi. Asante
@glodynkondo9800
@glodynkondo9800 2 жыл бұрын
mungu akubariki sana namushukuru sana mungu nyota yangu ni bahati na kupendwa mutu ote Ana nifuraiya ndo nyota yangu
@francisalcardo544
@francisalcardo544 2 жыл бұрын
Hello Promover Tv Bwana Yesu asifiwe ... Hakika tunabarikiwa sana kwa shuhuda .. pamoja na hivyo TAFADHARI utangulizi uwe mfupi ili kuacha muda wakutosha Mch.ashuhudie kimsingi muda ni mfupi sana Pili kama inawezekana ushuhuda huu urushwe mara mbili kwa siku... maana tunajifunza mengi
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Sawa, ubarikiwe sana
@lizynjeri1836
@lizynjeri1836 2 жыл бұрын
Nkumbuke kwa.maobi.pls nko na makubwa
@patrickpaandi6759
@patrickpaandi6759 Жыл бұрын
Thank you so much Man of GOD Asante umenifundi ginsi ya kuomba
@Rich1995
@Rich1995 2 жыл бұрын
Binafsi namshauri mtumishi wa MUNGU alinganishe pote kwa muonekano mzuri
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimejifunza mengi sana. Mungu akuimarishe
@nelsonsalumu3064
@nelsonsalumu3064 2 жыл бұрын
Mtumishi amiel Mungu akubariki sana kk
@georgekavishe4476
@georgekavishe4476 Жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana na ushuhuda huu
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 2 жыл бұрын
Kweli kabisa tunawaamini promover tv . Tunaendelea kupokea kutoka kwenu.
@barnaba3037
@barnaba3037 2 жыл бұрын
MIMI NI DAKTARI NA MWINJILISTI NAKUSHAURI MCH.KATEKELA UNYOE NYWELE ZOTE ZIWE SAWA,ITAKUSAIDIA WEWE NA UTAOKOA WENGI PIA HAUTAKUWA KWAZO KWA WAAMINI
@mcharnathaniel3497
@mcharnathaniel3497 2 жыл бұрын
Tusaidie kwenye maandiko wapi imeandikwa alivyonyoa huyu mtumishi ni dhambi ili tujifunze kwa maandiko na sio kwa midomo tupu
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 2 жыл бұрын
Kweli mwanadamu ni kiumbe wa maajabu. Tunajisahau sana na ni wepesi kunyooshea wengine vidole. Mara nyingi walio wepesi kuhukumu ukifuatilia utakuta wana mambo wanayoyafanya gizani ambayo yakiwekwa hadharani hakuna atakayeweza kuamini. Na watu kama hao hupenda kujihesabia haki wakifikiri hawana hatia. Laiti Mungu angekuwa anafunua mioyo ya watu. Ni muhimu wakristo kujua kuwa Mungu aangalii kama mwanadamu. Hata wakati Mungu anamchagua Yusufu. Wanadamu hawakuona hivyo. WEngi walimtafsiri tofauti na Mungu alivyomuona. Mungu akawape macho ya rohoni na muache kuwa katika mwili. Mtumishi songa mbele, wala usisumbuliwe na watu wasiojitambua. Ikiwa hata Bwana wetu Yesu Christo aliyetufia pale msalabani alishindwa kueleweka na wakristo waliokuwa enzi hizo sembuse wewe? Kama wengine walimuona mwenye dhamibi wewe watakubakiza? Hata ukijieleza kila siku hawataweza kukuelewa hawa.
@deomichael4798
@deomichael4798 2 жыл бұрын
Tunaishi kwa Neno la Mungu. Hivyo kama ushauri uliotolewa upo sawasawa na Neno la Mungu katika Biblia; ni wa kuzingatia kwa nafasi yako, bila kujali aliyeutoa anauishi au la. Maana kila mtu atasimama kwenye hukumu peke yake na kwa saa yake Waebrania 9:27 Baada ya kufa hukumu. .
@margaretikambo5649
@margaretikambo5649 2 жыл бұрын
@@deomichael4798 Ushauri ni mzuri laki ushauri wa Roho Mtakatifu unamfaa kuliko wa binadamu. Ikiwa alimuomba Mungu na akamsikia, je wewe ulimwomba Mungu na akakupa ruhusa kumshauri? Ni vizuri ukamuomba Mungu aliyemtoa kwenye utawala wa giza na kumleta nuruni hata sasa unamsikiliza akupe kibali kabla hujasema lolote. Mungu akubariki.
@deomichael4798
@deomichael4798 2 жыл бұрын
@@margaretikambo5649 Siyo kweli. Kwani nani asiyejua kuwa uzinifu ni dhambi; sasa wewe unahitaji kuomba ili uambiwe uache au uendelee? MUNGU amesema wanyoao denge atawaletea msiba wao toka pande zao zote (Yeremia 49:32) Je hapo unakwenda kuuliza tena MUNGU wakati kesha sema? Mnacheza na moto ninyi. Au utakuta wengine humu mawakala wa shetani; kazi yao kupotosha.
@paulinanaaly8307
@paulinanaaly8307 2 жыл бұрын
Mimi nimejifunza kitu kutoka kwa Mungu kuwa hakushindwa kumwokoa mtumishi wake hata kabla hajawa mchawi Ila Mungu anawapeleka wapelelwzi wake kuzimu kutuletea Siri ili tukae vizuri na Mungu na atukuzwa
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Niombee nami mutumishi nyota yangu ikang,are
@christinezuma5588
@christinezuma5588 Жыл бұрын
Naomba Mungu nyota yangu kokote iliko ikanirudie katika jina la Yesus
@patrickpole5544
@patrickpole5544 Жыл бұрын
Mungu ni mwema,mafunzo yako nayafuata sana mtumishi Mungu.Nahitaji maombi just ya ndoto chafu,mara nyingi hujikuta kuzimu nikishirikiana na wafu,naokota pesa safi kwa macho na nikizishika huwa mchwa wamezila,ndoto za ngono na watu,wakati mainline naregeshwa shuleni na ni mtu mzima.mengi naweza saidikaje mtumishi?
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
Jacktan na mwalimu Amieli muendelee na kazi hii nzuri, hata zikiwa Part50 bado tutafuatilia, hii yenu ni Bible school tosha...
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 2 жыл бұрын
Umeonaee yan kwakweli tuanbarikiwa sanaaaaaaaa
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen, sawa mbarikiwe, usisahau kushare
@neemamhongole2801
@neemamhongole2801 Жыл бұрын
Kabisa
@sallymumia8425
@sallymumia8425 2 жыл бұрын
Glory to Jesus Christ, again.
@lukresiajohn3939
@lukresiajohn3939 2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu amniel
@marymichael9205
@marymichael9205 2 жыл бұрын
Kaka jaktani kazi yako ni njema sana mungu akubaliki sana
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@mauriciocristianomardes6295
@mauriciocristianomardes6295 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana, mimi nangalia kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@mishinema8719
@mishinema8719 2 жыл бұрын
Mungu awabariki saw p TV Kazi nziri sana Kwa kumuleta mutumishi amieli katekela mungu awatie nguvu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@dannyalon2967
@dannyalon2967 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@wilberforcewilsonmurage3365
@wilberforcewilsonmurage3365 2 жыл бұрын
Hallelujah
@gerryndyamukama9058
@gerryndyamukama9058 2 жыл бұрын
Sidhani kama style ya kunyoa inampeleka mtu Mbinguni. Hata Rasta anaweza kuurithi ufalme wa mbinguni kama amemkiri na kumpokea bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.wale Wote wanaomuhukumu mtu kwa staili ya nywele wana uelewa mdogo SAAAANA juu ya ufalme wa Mungu
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Thibitisha kimaandiko!!!!!
@gerryndyamukama9058
@gerryndyamukama9058 2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 warumi 10: 9-12 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao Bosi Tiketi ya kwenda mbinguni ni kumkiri BWANA YESU TU. Sio kunyoa nywele zinazolingana.
@djbless6201
@djbless6201 Жыл бұрын
Weeee ogopa matapeli usijidanganye rasta kunyoa denge mbingu utaiskia
@editarichard3590
@editarichard3590 2 жыл бұрын
Mtumishi nyoa tu hizo nywele hizo ni sababu za kibinadamu Mungu anaangalia Neno lake haangalii sababu kumbuka wewe ni barua unasomwa na watu wote
@resurrectionandlifeministry
@resurrectionandlifeministry Жыл бұрын
Kweli
@bettynase9555
@bettynase9555 2 жыл бұрын
Don't explain yourself to judging human beings who are also sinners...just preach Jesus.
@MchungajiNewton
@MchungajiNewton 10 ай бұрын
@petermalema5702
@petermalema5702 7 ай бұрын
AMEEEEEEEEEEN
@aaSs-yf8oq
@aaSs-yf8oq 2 жыл бұрын
Mtumishi linganisha nywele zako acha maneno mengi.
@mcharnathaniel3497
@mcharnathaniel3497 2 жыл бұрын
Acha kiherehere na wewe wewe nywele zinakuzidia nini shika unachofundishwa
@annaandrea2812
@annaandrea2812 Жыл бұрын
Wewe ndio Mungu wake uliyemuokoa au? Kama ukiona zinakukera usimsikilize
@helenbahati8038
@helenbahati8038 2 жыл бұрын
Mbona hii mambo na nyota inaniguza sana 😢
@jacobfrances6473
@jacobfrances6473 2 жыл бұрын
Haahaaah omba Mungu
@joelking3692
@joelking3692 11 ай бұрын
Nilitaman kufahamu zaidi juu ya huyu pepo Alisema anaitwa Abadoni au apolioni shuhuli yake ni ipi haswa
@deborahcharles6507
@deborahcharles6507 2 жыл бұрын
Mtumishi Tunabarikiwa sana na ushuhuda wako !!ila kwenye neno hapana kuhusu unyoaji lipo dhaili na NENO LITASIMAMA hautakua na cha kujitetea katika hilo baba,umesema umehofia kupata kansa IMANI ULIYONAYO NI KUBWA SANA KWA WEWE KUHOFIA KANSA MUNGU ANAWEZA YOTE!!!,,NAKUOMBEA MUNGU AKUPE HEKIMA KATIKA HILO KWANI WEWE SASA NI KIOO !!
@salimajosephine1673
@salimajosephine1673 2 жыл бұрын
Muda ambao muna ucukua kuongelea nwele watu wa Mungu tuweacho
@AmosMuchimba-yp4nv
@AmosMuchimba-yp4nv Жыл бұрын
Mimi naitwa sharon n atoka kenya but natumia simu ya mtu so naulixa kuwa mimi nilikua nimenda job dubai na jordan nikarudi bila kitu na ninachukiwa 2 na watu ovyo bila chochote kuwafanyia so nashindwa ni fanyeje xaxa aki
@kikosibenderajehovanisitea9688
@kikosibenderajehovanisitea9688 2 жыл бұрын
Tunabarikiwa sana ila ushuhuda mnaweka muda mfupi sana kwann msiweke ata kwa masaa mawili? Kingine nikuombe mtumishi wa Mungu tusaidie kufundisha kwa kwenda ndani zaidi ili iwe laisi kumtandika shetani sawasawa, maana nguvu za shetani zipo kwenye kutojulikana... Na wakristo wengi hawapendi kujua sana kuhusu shetani badala yake wanajua saana kuhusu Mungu matokeo yake wengi wapo kwenye vifungo vizito saana kwa sababu ya kutokujua nguvu ya adui tunayepambana nae ana nguvu kiasi gani, na slaa kiasi gani na jeshi lake lina mbinu kiasi gani... Ivyo nikuombe zama ndani zaidi ili tujue adui yetu tumpigeje na kwa wakati gani na ili tuwakomboe wenzetu waliotekwa rohoni upande wa adui yetu...
@barakangata5508
@barakangata5508 2 жыл бұрын
Aminieli sheria ya yesu haiwez batilishwa na wachungaji
@mcharnathaniel3497
@mcharnathaniel3497 2 жыл бұрын
Wewe ndio hata hueshimu hata jina la Yesu unaliandika kihuni. Jina hili ni takatifu kuliandika tu anza kwa herufi kubwa ikibidi lote andika kwa herufi kubwa.
@pillykasegu7679
@pillykasegu7679 2 жыл бұрын
Watu walio nyoa wanavyo jihesabiaga haki siku mkifika mbinguni mtashangaa sana
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
We waache.. Mi nawazoom tu! Wao Wako busy na nywele acha si tuendelee kuutafuta uso wa Bwana mwenye mbingu yake.
@sheledeshele1048
@sheledeshele1048 2 жыл бұрын
Mtumishi ukiwasikiliza watu sana wakati mwingine watakuelekeza watakavyo wao,ulikotoka ni mbali ambako hawapajui wao,umeshaokolewa kwa neema,upendo wa yesu umekuzunguka.wanaong'ang'anizia kwa jinsi ya kunyoa kwako hawayaelewi maandiko.we endelea kuangalia msalaba.hawaelewi kwamba ukiteleza leo shetani atakunyakua kwakuwa ulishavunja mkataba naye.
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Mtu analeta sheria za nyumbani kwake,sijui wanamchukuliaje huyu Yesu.
@sheledeshele1048
@sheledeshele1048 2 жыл бұрын
@@mercysimba3569 nashangaa!! Hawajui kwamba mungu anatusoma sisi binadamu kwa nia,ambayo hiyo hakuna mwanadamu awezaye kuiona.
@noelashaoona
@noelashaoona 2 жыл бұрын
If you understand English this is atrology and zodiac sign horoscope
@margaretogega8836
@margaretogega8836 2 жыл бұрын
Mch. Tafadhari andaa fundisho jinzsi ya kukomboa nyota yako iliyo ibiwa
@daimavlog
@daimavlog 2 жыл бұрын
Nilipokuwa Mdogo jirani yangu alikuwa anauza maandazi, alikuwaga analeta kwangu nichukue Kama Mteja wa kwanza, alikuwaga anasema eti nikichukua mimi wa kwanza watu wananunua maandazi yote anamaliza. Leo ndo nimeelewa
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Umeshaelewa nyota imenda hapo tayari
@daimavlog
@daimavlog 2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 watajijua YESU ametenda makubwa na ndo itadidi kung’ara wameshindwa na kulegea
@lovendernyimbusa1234
@lovendernyimbusa1234 Жыл бұрын
Pastor tueleweshe kuhusu nywele za vichanga kukatwa na wakwe...hii Ina ishara gani
@davidjacksonofficial5206
@davidjacksonofficial5206 Жыл бұрын
Hapo bado Kuna tatizo
@rosendanshau2674
@rosendanshau2674 2 жыл бұрын
Jamani wanadamu ni shida yesu alisema vema ni nini kumwambia umesamehewa dhambi au jitwike godoro lako uende. Mbona amenyoa vizuli wewe okoka
@janendegwa1748
@janendegwa1748 2 жыл бұрын
When God call someone He call with different calling so twende mbele
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 2 жыл бұрын
few people are here only just to harass him and bring negative energy misleading by Appearance 😏
@natujwamziray7749
@natujwamziray7749 2 жыл бұрын
Balaaam alilazimisha ktk maombi ili akawalaani wana wa Israel alikatazwa mara kadhaa ila alikuwa na maoni yake. Akaruhusiwa , mapenzi ya kuruhusia. Ila haikuwa mapenzi makamilifu ya Mungu
@sharonwalubengo9507
@sharonwalubengo9507 2 жыл бұрын
Maswali mengine u are supposed to ignore completely wengine ni wapita njia tu humu you tube kama wangekua wanafuatilia mahubiri zako na shuhuda kutoka manzo hawange weza sisitiza mambo na kichwa,wamenikwaza hata Mimi nilikua mzuri sasa naanza kuwa na feeling mbaya part 12 na 13 hata sielewi chochote jamani
@everlinekemunto267
@everlinekemunto267 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mtumishi, lakini basi ikiwa ulisema hiyo nywele kuna shida katikati, si ungeaja basi hata hiyo ya kando itoshane na ya Kati ndio uhepuke na maswali yetu,sababu pia kunyoa kipara pia sio poa,ni heri itoshane kama ya jactan kaka yetu.
@winfridalazaro296
@winfridalazaro296 2 жыл бұрын
MUNGU BABA wewe ni muweza ninakutukuza
@graceshayo1347
@graceshayo1347 2 жыл бұрын
Jmn me ninachojua kuhusu kunyoa Wala hta tusilaum kidog kdg Mungu atakuw anamfundisha haiwez kuw sik 1 Mungu atamtokea amfundishe watu wameokoka miak mingi lkn bad wanavifungo ko taratibu
@josephwilliam1527
@josephwilliam1527 2 жыл бұрын
Naomba kuadiwa kwenye group
@CaroBakx
@CaroBakx 2 жыл бұрын
Don't forget to Like people!!!!!!!!
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
Hawa nao wanaoulizia kuhusu kunyoa hivyo je was Wana uhakika unaenda mbinguni???msitoe kasoro za watu ili Hali kila MTU ana unyonge wake jamani🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya hatuna shida njoo Kenya uchape injili bila maswali
@kacerawamami1209
@kacerawamami1209 2 жыл бұрын
Kweli kabisa mkenya mwezangu mimi nina shangaa hii story ya nywele...inakaa watu huku its a big deal...Sasa wakituona na sisi tuna natural hair past the waist si tutapigwa mawe...kazi iendelee
@danielmapunda901
@danielmapunda901 Жыл бұрын
Uwe na amani
@noelashaoona
@noelashaoona 2 жыл бұрын
Part 14
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
" Yesu alikuokoa kutoka mikono ya kuzimu na amekufanya kuwa mtumishi wake,sasa atashindwaje kukuponya hapo kichwani tuu,Mimi natamani unyoe kote levo kama gwajima au acha zikue zote pamoja kama mwakasege,nakuomba sana mtumishi samahani kwa kusema hayo
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Amilieli si Gwajima Wala si Mwakasege.Amilieli ni wa Katekela mtoto wa Yesu Mgalilaya inatosha.
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
@@mercysimba3569 "kwani hapo tatizo nini,nimesema kama mfano kwani nimesema sio mtoto wa YESU au mgalilaya? Nimetolea mfano gwajima ananyoa kipara na mwakasege anafuga nywele,sasa kama unawachukia endelea kuwa chukia mpaka parapanda ilie!!!
@mercysimba3569
@mercysimba3569 2 жыл бұрын
Jamani Hallelujah! Nampenda sana Yesu aliyemuokoa Mchungaji Amilieli.
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 2 жыл бұрын
Kwanini unataka awe kama Gwajima na Mwakasege?? Mhhhh! Kweli namshukuru Mungu mwanadamu sio Mungu. Kwanini unampimia kwenye kipimo hicho? Wewe ndiye uliyemuokoa? Wewe ndio mwenye mbingu?
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
@@skeetergodwins2576 kwani wewe ndie uliyemuokoa au wewe unaye mbingu? Au wewe umewahi kuninunulia bando unipangie cha kukoment!! Au umekuwa rais wangu
@esperancekwizera8634
@esperancekwizera8634 2 жыл бұрын
BWANA YESU Asifiwe Mtumishi wa tunabarikiwa na. Mafundisho yako Rakini MUNGU sasa kwanini usiziringanishe kote nywele zako kote ? na watumishi wa MUNGU hawatakud
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 44 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 20 МЛН
JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI
40:59
MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.
41:08
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 368 М.
PART 4 USHUHUDA WA ALIYEFANYA KAZI NA KUZIMU  MCH. JONATHAN
2:25:44
SHUHUDA ZA KWELI
Рет қаралды 13 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 44 МЛН