SIJAWAHI KUMUONA PROFESA MUONGO KAMA SOSPETER MUHONGO / BADO MATESO NI YALEYALE - MUSUKUMA
Пікірлер: 221
@mohamedkutwambi3 жыл бұрын
Wanaomkubali Musukuma kama mimi tugonge like hapa 👍👍👍
@barakanyagawa92573 жыл бұрын
Usukuma unaakili kubwa pia wewe ni mzalendo wa kweli Mungu awalinde wote mnaosimama kwenye haki.
@faustinereuben64253 жыл бұрын
Msukuma, lusinde,majaliwa ,Jerry kunyweni soda nitalipa huko bungeniiiiiiii😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@auntdorah91413 жыл бұрын
Kuna uongozi na Elimu!! Kuna watu walizaliwa wakiwa viongozi.. Mungu amlinde huyu kiongozi.👏👏👏
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Huyu msukuma ana akili kuliko wanaojifanya wasomi
@luckymartin.3 жыл бұрын
Huyu jamaa anapiga vita sana degree uchwara😅😅😅
@sebmalunde59453 жыл бұрын
Mhe. Msukuma uko vizuri sana. Dhahabu inauzwa mpaka ya Bilioni Shilings mkoani Geita kwa mwezi kutoka laki nne
@felisterfabian56503 жыл бұрын
Huyu kasheku na stdseven Ila kawashinda wote wenye digree hongera msukuma wewe ni mzalendo🇹🇿
@emanuellumambo54403 жыл бұрын
Safi huyo mwamba
@francismuhuga81583 жыл бұрын
Safi sana msukuma wewe ni mzalendo Mungu akubariki sana
@mao96223 жыл бұрын
Safi sana Msukuma!Piga Mondo.Huyo muhongo ni muongo sanaa
@yloracinaibaf63163 жыл бұрын
Maprof kama akina Muhongo yapo mengi yatakuwa yalitazamia paper haya yasirudi bungeni 2025 hayatufai
@rechoeliasi85263 жыл бұрын
K.
@MohammedAli-rh5si3 жыл бұрын
Hakika hili ndilo bunge haswaaaaa from Iraq
@nyawawawanyawawa9353 жыл бұрын
Muhongo ni mjivuni uchwara. Kuna muda pale Airport JKI wakati wa utawala wa awamu ya 4 aliahirisha safari yake Maksudi eti wamemuweka daraja la pili business yeye alitaka la kwanza first class. Kuna muda tena alimjibu nyodo Mengi RIP kwenye Mzozo wa vitalu vya GAS ⛽
@damianlucas53453 жыл бұрын
Tatzo sio yy ni aiana ya makabila 3 au 4 hivi hapa Tanzania yanayopenda sifa hata km anatembea nguo zimechanika
@olipabulayi25343 жыл бұрын
Waziri mkuu, Lusinde, Jerry, Msukuma, Nchemba. Team imekamilika hawa ni mbegu aliyoipanda JPM. Kwa team hii nchi yetu haiwezi kurudi nyuma. Hapo mwongezeni na Polepole na Bashiru. Duuuuh hao watu ni Moto wa kuotea mbali.
@sanauswahilimovies3 жыл бұрын
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
@omarymnuru87463 жыл бұрын
Msukuma nimemuelewa vizuri kabisa, maana yake kuwa wataalum wa evaluation wa madeni ndio wanapiga kwa kutoa tathmini ya thamani isiyo sahihi
@ieonardkumalija31993 жыл бұрын
Very genius ikifaa tukukabidhi nchi kabisa hapo mbeleni
@edsonmahenge66243 жыл бұрын
MSUKUMA,ELIMU NA BUSARA VITU 2 TOFAUTI,SULEMANI ALISOMA WAPI,UPO VIZURI SANA UNAELEWEKA VIZURI SANA,KEEP IT UP
@nurdinkiroboto51793 жыл бұрын
ndg zangu itoshe kusema Elimu na akili ni vitu tofauti kabisa. hata mwl. nyerere alikufa hana cheo cha professor nazani Elimu wapo wanao najisi elimu.
@habibamsemo64433 жыл бұрын
Hongera mweshimiwa tuko juu
@flolabapegemwansasu46473 жыл бұрын
Musukuma umeongea Kwa uchungu Mpakanimetoa machozi mungu akubariki kwauzarendo
@zumbeshauri81143 жыл бұрын
Hongera sana msukuma
@hassanmaganga15443 жыл бұрын
Huyo Muhongo mpumbavu sana ana stress za kutumbuliwa
@jacksonsamuel89723 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa songa mbele msiogope tuko pamoka kuwasapoti
@mathayomwagu61663 жыл бұрын
Muhongo ni muongoa tuu hamna kitu hapo ni hewa
@ambitiousholyspirit3953 жыл бұрын
King msukuma wanatudharau Sana hawa!
@philipolenardsylvester87623 жыл бұрын
Msukuma namuelewa sana mpeni uwaziri anafaa
@nishasalim28803 жыл бұрын
Hongera Mh Kashiku.🤣🤪🇹🇿
@festuschunya70673 жыл бұрын
Watanzania wakisoma sana hupoteza hekima na busara badala hujaa jeuri, ujuaji. dharau, hujitenga na watu,,na huigaiga ya wazungu, utasikia hata marekani wanafanya hivi!!nimesoma kule''"lakini matokea ya wanayofanya haya akisi elimu zao!!
@nyamangaking66083 жыл бұрын
Msukuma unafaa,kweli elimu ya darasani haitoshi kama Mungu hakukupa kipawa cha uongozi,hata kama ukisoma,kinachotakiwa ni ufahamu unaotoka kwa Mungu sio darasani
@MohammedAli-rh5si3 жыл бұрын
Msukuma hongera hujawahi kuniangusha
@felicianholle30103 жыл бұрын
Big up sana musukuma
@hamislipangine96493 жыл бұрын
Akili na Elimu vitu viwili tofauti, Unaweza ukawa na Elimu ukakosa akili na kinyume chake pia. Pia Unaweza ukawa na akili na Elimu pia. Bora ukose Elimu upate akili.
@mwikamwika48513 жыл бұрын
La saba mwenye akili nyingi sana
@user-hb8vi9fx6g3 жыл бұрын
WAAMBIE HAO WANAO JIFUTUA KWA MIKARATASI YA VUO VIKUU HALAFU UFAHAMU WAO NI MDOGO, AKILI WAMEZITOA VICHWANI WAKA ZIHAMISHIA KWENYE MAKARATASI !
@israelgershom41983 жыл бұрын
Mzee ni dhahabu sana
@filbetkalembe28063 жыл бұрын
Hapo msukuma tano za l y
@chrianseth63933 жыл бұрын
Safi Sanaa msukumaa
@mwalimumbukuzi72733 жыл бұрын
Msukuma asikilizwe nchi iende!
@iddykivu13363 жыл бұрын
Kwa dizaini hii ya Maprofesa unaweza tamani Mwanao Usimsomeshe Akafikia ngazi ya Uprofesa
@newbornhaule16353 жыл бұрын
Kabisa wanakua makatili
@dicksonchauganga53253 жыл бұрын
Kweli kaka! Mm naunga mkono hoja ya aliekua mkurugenzi wa benki ya CRDB Chales Kimei mbunge wa jimbo la vunjo kama sikosei! Kwa ushauri wake kwa serkali kuhusu mitaallah yetu ya eleimu! Hizi ni zama za teknology na sayansi! Tuendeleze wataoto wetu kwa kuzingatia dunia ya leo! Na si swala lakusaka makaratasi ya madigrii amabayo hayana tija kwa tanzania na dunia ya leo!!.
@mahobesiku59213 жыл бұрын
Safi sana
@jacksonsamuel89723 жыл бұрын
Watu wenye uchungu na nchi hii wapo hawajaisha
@jeffreywilliams11713 жыл бұрын
Kama ikiwapendeza viongozi wangu tafadhali mpeni kitengo huyu msukuma.mpromotini anafaaa Sana huyu.
@njonjolomahfudh32383 жыл бұрын
Haiwezekani
@nikemsongo40183 жыл бұрын
Mmi mwenyewe nampenda sana ana hoja muhimu saana
@mariamgodfrey533 жыл бұрын
Kweli kabisa
@samwelshepa84433 жыл бұрын
Nafikiri mbunge Usiwaze sana kimo cha elimu Sio wasomi tu hata wanaojiita mabilionea lakini hawawezi hata kuchangia hata dawati moja. Wangejua wazazi wa watoto hao ndio wanaofanya mzunguko wa hayo mafanikio ya pesa. Kumbuka mtu wa chini hata ukimpandishia bei lazima atanunua bidhaa yako maana hana mbadala na wewe unayejiita tajiri.
@georgemaziku66103 жыл бұрын
Nusukuma uko vizuri sana
@sengeremaxleo92953 жыл бұрын
King msukumaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
@machaggechacha34223 жыл бұрын
Uprofesa wa makaratasi. Akili hana. Ni bwege la mtu linatembea na kuonyesha makaratasi yake ya uprofesa. Sijui hata alifikaje bungeni. Watu kama hawa ndio genge la Tundu Lisu, Mbowe, Lema, Zito Kabwe na wapumbavu wengine. Kichwa chake ni fuu limejaa kinyesi tu.
@annamtapila57613 жыл бұрын
Safi sn msukuma. Bora LY wenye uchungu na nchi yetu. Wengine wametumia Elimu yao kuturudisha nyuma kwa kujali manufaa binafsi au kwa uzembe tuu.
@mlumbamatnq71293 жыл бұрын
Makofi kwako mukuu ❤️❤️
@henrystanley40773 жыл бұрын
hii nchi imejaa watu wenye vituko Sana Sana...hahahahahaaaaaaa...hapa nimemkubuka Sana Sana mbunge bwege alikua na vituko kama msukuma hahahahahahhaaaaa
@magrethmallya77283 жыл бұрын
Leo nimemuelewa Musukuma jamani. Wafanyabiashara bado wanateseka sana Raisi wetu. Musukuma Mungu akutunze,
@zeranchimbi28083 жыл бұрын
Msukuma nakukubali mwanzo mwisho
@annethissa11953 жыл бұрын
Wape zao king msukuma hao waxhamba 2030 tukupe uraisi wa ndo MRISI WA HAYATI MAGUFULI
@selenganyagawa13583 жыл бұрын
Haya!! sawa msukuma😆
@tridabalira59923 жыл бұрын
Muhongo ni mweizi na ana ubinafi wa hali ya juu sana. Hafai kabisa
@eaglecrown11013 жыл бұрын
Kwa kweli majina nayo yanaumba jamaa jina lake limemuumba kabisaaa Ni professor muongo na kweli muongo
@exaudmbise82313 жыл бұрын
Bunge la upande mmoja alina jipiya
@fatumachagudadui31383 жыл бұрын
Ni muhongo
@shukurumsigwa89623 жыл бұрын
mpango nae kawa na mipango thabiti
@melanialeonard80433 жыл бұрын
Samia nae ni suluhu ya Tanzania na majaliwa atafanya yanayositahili kwa majaliwa ya m,/mungu
@eaglecrown11013 жыл бұрын
@@melanialeonard8043 hahahaha amen 🙏 ubalikiwe Sana midomo yetu ikaumbe yaliyomema.
@glorykapenja94733 жыл бұрын
Yaani mimi ninachukia sana tunaibiwa na walinzi wapo sasa si ni ujinga.Jina lenyewe muongo sasa unafikiri akisimamia kitu itakuwaje wakati jina limebeba tabia
@rosenyenyembe46983 жыл бұрын
Msukuma upo vizuri
@edwinnanyaro67173 жыл бұрын
Tatizo ni upande walikosomea... Huwezi kwenda kusoma Ulaya na Marekani ukarudi ukiwa na akili.... wanasaidiwa kufikiri sana...
Msukuma upo sawasawa,hawa wabunge watazamiaji wa mavyuo vikuu mtihani
@latestfunnyvideo21873 жыл бұрын
Big up
@gracewilliam41023 жыл бұрын
Safi Sana msukuma
@mariamgodfrey533 жыл бұрын
Du! Msukuma noma umewapa makavu live.
@chachamagoti24003 жыл бұрын
Wasukuma mnapenda sifa sana basi tu
@davidbochela14413 жыл бұрын
Hao ndio fungi moja na Mwakyembe,Kwanza uliona wapi Professor mdanyabiashara mkubwa au tajiri?Wao wametajirika assumptions hata Kama hazileti manufaa!!!
@sengolupeja96583 жыл бұрын
Kweli
@fadhililihinda64913 жыл бұрын
Makinikia yalipitaje Geita? Si yalikua Kakola na Kahama? Binafsi sijaelewa hapa nahisi kama kadanganya vile?
@emmanueljohn31753 жыл бұрын
Kweli uasili ndio mwalimu halisi wa maisha ya binadam huyu jamaa anaongea asili ya nafsi yake nasio mapokeo
@amositawa85383 жыл бұрын
Musukuma unakila sababu ya kuitwa king
@samweltv20643 жыл бұрын
Em tim legacy magufur tujuane apa kwanza maana naona uyu mbunge wangu profesa muhongo ananivulugia mafairi apa
@raymondmbassa77933 жыл бұрын
Kwanini Kuna sheria ya kumuokoa mbunge muongo Kama Kuna kitu cha ovyo alionge unaacha apashwe
@faressnyakunga4423 жыл бұрын
Msukuma huwa unanifuraishaa sana yaana darasa la saba akitoa wazo kabra hajamaliza maprofesa ndoo wanasimama nakuona wao ndoo wafumbuzi kwasababu ya Elimu yao.
@dilludillu27473 жыл бұрын
King Msukuma
@rashidchichalo79293 жыл бұрын
Hakika umenena msukuma
@loner_wolf3 жыл бұрын
LY. last year
@fredymaswimwita30913 жыл бұрын
Msukuma You're good,lkn kwa mhongo naona kama mnampiga nawe coz ana potential ambayo chama chini kinamuogopa
@flolabapegemwansasu46473 жыл бұрын
Yaani Huyo muhongo hafai kukaabungeni watanzania hatumtaki nihovyo kabisa
@Chrisblaze-beats3 жыл бұрын
Siasa haina elimu huyu jamaa ndio anatuprove kiukweli.... Kasheku ni mtaalam sana wa mambo
@sophiakapama27123 жыл бұрын
Mwanza ndio home
@sumaroma20413 жыл бұрын
Msukuma
@nurathsaidy43793 жыл бұрын
Lv u sukuma
@samweljuma5853 жыл бұрын
Hengera msukuma
@samwellwiza10983 жыл бұрын
Atapata taarifa....maplo wa aina hii watatupotezea muda.....
@youngtaiz83593 жыл бұрын
Ndioooo msukuma
@aminahamisi28373 жыл бұрын
Huyu msukuma nampenda hotuba zake
@shabanimukose2263 жыл бұрын
Sio muongo hio ndio uwezo wa elimu yake
@mathiasmsese61283 жыл бұрын
but he is smart compare to professors
@Unclerammaschannel3 жыл бұрын
Mohogo kabisa huyo
@franksiame87863 жыл бұрын
Muhongo aludi ubelugigi hiiii inauma sana tuachane na wasomi hawa maprofessa muhongo ni shoga ..a ..anafilw...a
@peterandrew27953 жыл бұрын
Sawa kabisa mh spika
@samwelmanjale8343 жыл бұрын
Akawakia nakwenye gear Safi sana
@dicksonchauganga53253 жыл бұрын
Muongo ni muongo kweli na nina shaka na sv zake!!
@gracekagoma32313 жыл бұрын
Msukuma Ana akili sana.Mungu akuzidishie busara
@mariamcevik24903 жыл бұрын
Tungepata hawa kweli tungefike mbali
@jeremiadaniel5233 жыл бұрын
unaanzaje kumfananisha MUSUKUMA na vitu vya ajabu kama PROF. MUHONGO
@loishiyesamwel13743 жыл бұрын
Darasa la saba kweli ni Kiboko, Akili ndogo sasa kuongoza akili kubwa. Wakatae km Wasomi wana hoja.
@ototek80373 жыл бұрын
Akili kubwa kivipi? Akili na elimu ni vitu viwili togauti, unaweza ukawa na elimu ukakosa akili au ukawa na akili ukakosa elimu.