Masha'allaaaah! Mimi napenda sana ilmu hii ya ndoto na nafuatilia. Naomba namba yako ya simu Shk.
@mwanaidiraimwanaidirai56622 ай бұрын
Amin❤❤
@user-pq4ul5us2m3 ай бұрын
Asante kwa tfs zako nimeota nanyeshewa nanikaoga mikono Maji ya mvua
@suzanne9517 Жыл бұрын
Shukran
@salmakadedeАй бұрын
Shukrani
@AdamBwambale9 ай бұрын
SHUKRANI SHEHK
@user-bg3op6jg8z3 ай бұрын
A salaam alykum Mimi nimeota ndoto nipo ndani ya nyumba ya marehema bibi mzaa mama mvua inanyesha sana mabati yametoboka mvua inaingia ndani
@saudaumar335410 ай бұрын
Mashallah
@nibigirahassina9308 Жыл бұрын
Inshaallah
@OmanOman-mg2vt8 ай бұрын
Salaam aleykum warahma tullah wabarakatu jina langu ibrahim sheikhe mimi nimeota nachinja mtu nikachinja mpaka nikaachanisha kichwa baada yahapo ikabidi nikimbie hukunikifikilia marengo nilionayo kwamba sito yatimiza tena kabla yahii niliota mvua inanyesha
@HamidakomboKombo-xs2ju5 ай бұрын
Assalamualaikum warhmatullah wabarakatuh shekhe wangu ,naomba nikuulize swali! Mimi nimeota nyumba ninayokaa imejaa maji mpaka kwenye madirisha, na nje kama bahari Haina kikomo nn manayake?
@user-qj5sj7mf2w10 ай бұрын
Mm nimeota ndiyo nayishewa namvua yenye utulivu na nimenyanyua.mikono naomba Dua ila sikujuwa Hina gani
@mariamusultan2659 Жыл бұрын
Asalam aleykum mimi nimeota ndoto nikiwa na watu wengi tuko kwenye kisomo cha dua na badae mvua ikaanza kunyesha.hii inabashiri nini 🙏🙏 lkn Naomba namba yako nina mengi sana
@ndayambajefikirini72528 ай бұрын
Assalam aleikum sheikh,tatizo SheIn wangu tunapo uliza hutupi majibu,kwa KZfaq,nimeota jeneza mbili zinamaiti ndanimwe ila wakawa hao watu si waisilam pakawa kunawatu wengi wanajiandaa kwenda kuzika,mudapunda mvua ikanyesha ila watuwakasema hatakama mvua imenyesh lazima twendekuzika hivohivo ndoto ikaishiahapo
@user-po8hz7xw9j3 ай бұрын
Shekhe naomba uni saidie kila saa kinyw changu ki atamla kuw mama kafariki yanı wiki hii nzima kinyw changu kinatamka wakati mama yangu ni mzima jipo nipo mbali hebu niambie inamana gani
@user-po8hz7xw9j3 ай бұрын
Nimeota juzi mvua kubwa snaaa mpka miti inadondoka
@shanithadawson19432 ай бұрын
Samahan nimeota mvua imeisha nying sana maji yakajaa nikawanatembea juu yake kuwaangalia wenzangu ila awakudhulika
@FatumaOmary-gk8zy8 ай бұрын
Asalam aleykum mi nimeota nvua inanyesha lakini nikondani nyumba inavuja namaji yameingia ndani kitanda kimeloa godoro limeloa tepetepe nikashangaa sana mpaka godoro limeloa sana na kitanda kilikua kibovi kwa pembeni hivi
@SaidaKazuvi8 ай бұрын
Waalaykumsalam msikilize vizur shekh amesema ndoto iliyosababisha madhara si nzuri.... hivo ni vema ukamtafuta ili akushauri zaidi
@MarthaMalashiАй бұрын
Nimeota. nanyeshewa. mvua. nikiwa. ndani. ya. nyumba. nikapata. balidi.
@MwajySebe-qh8ik Жыл бұрын
Je ukiotaa mvua imesha nyesha majii nimeng sn yalio nyesha barabarani nikawa. Navukaa
@cynthiamathias79136 ай бұрын
Sasa vua ya upepo handi inaharibu nyumba tukakimbilia kwanyumba lakini hiyo nyumba ilikuwa dogo upepo ukapinga drisha kukawa kunataka kumbomoa lakini tukazimba ila bado ikawa inanyesha kubwa
@MuasitiAboBakri-ew5mu2 күн бұрын
Mvua ile ya lashalasha inanyesha imetulia nzuli, ila mim siloi naiangalia na inavyonyesha ardhi matone yake yakiwa yametonea ardhini vizuli na tope lake zuri naiangalia tuu uzuli wake
@neymakubi173 Жыл бұрын
Je ukiota mvua inanyesha lakini maji yanaingia uvunguni na mpaka godoro lime roa na uvunguni kulikua na kifaranga cha kuku cheusi kime kufa na mwanamke mwingine ame kitupa Nje
@neymakubi173 Жыл бұрын
Shee nijibu nakuomba
@SofiaUmande-ss1zj10 ай бұрын
Nimota nyumba inanyesha chumban vitu vinalowa vyote na muda uwo nipo na mwanaume nilio achana nae