Hii ni mzury sana najivunia kua mtanzania from PEMBA upembani nawakilisha🎉🎉🎉❤❤❤
@user-nt5gk2gx6m16 күн бұрын
Hongera watanzania hata sis wakenya sio sote tunao saport American wengi ni rusian huraaaaaah
@PetroKiyeyeu-ur4zg16 күн бұрын
saf San Tanzania yangu
@athumanikajembe458516 күн бұрын
Safi sana Tanzania Kenya vipi? amkeni
@imanuelnguya927716 күн бұрын
Asante sana mchambuzi
@rasmgz236714 күн бұрын
Urusi ni Rafiki wa Tanzania toka ezi za mwalimu Nyerere..
@PatrickKagiraneza-ok8cw16 күн бұрын
Urusi kafanya kazi nzuri kbsa.
@HajiKlein-so1rk16 күн бұрын
Safi kabisa mama 🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🌹👏👏
@stevensosipita13 күн бұрын
MAMA YENU MNAFIKI PUTIN PANYA WA KUNG'ATA NA KUPULIZA HUKU KAKUMBATIA WAZUNGU HUKO ASAINI USHIRIKIANO NA URUSI ATAJIPONZA SUALA LA USHOGA HADI LEO HAJATOA KAULI KIHELE HELE NA NJAA ZITAMPONZA.
@jumamussantuiche5 күн бұрын
@@stevensosipitamarekani na ulaya majambazi,wauwaji.bora urusi aija fanya ucoloni dunia.
@eliudkazoba517016 күн бұрын
Hiyo root Safi sana. Nitafika Urusi kwa mapenzi ya Mungu.
@HajiMwanz-to3vg11 күн бұрын
Viva urus viva tamzania
@MohamedRashid-py7ro16 күн бұрын
Himaya mbili zimelipuliwa jana
@FaourHakimi-wz9hp16 күн бұрын
Saf sana tanzania yangu
@Masta31316 күн бұрын
Watuondolee viza kabisa😅😅😅
@msukumamnywamaziwa278516 күн бұрын
❤❤❤😂😂😂Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN
@user-po9wi5lh1o16 күн бұрын
Ni jambo jema kwa wanaofahamu biasha maana urussi hawana biashara za Kona Kona kama hizo siasa siasa za watu wa uraya wanalenga kuyanyonya mataifa ya africa
@SalimKombo-xo4pq16 күн бұрын
Shukran ❤
@khamisnassor388016 күн бұрын
Makini sana
@aloujouasumwisye55316 күн бұрын
Safi sana urusi,piga hao manyang'au
@rashidsalim707816 күн бұрын
Nivyema pia tukambizana wi-fi za kutumia maana wengiwao wanatuibia hapa tz
@bashiriissahmgannah573815 күн бұрын
Safi nimeipenda Sana na ndio maana nisipopata taarifa za Urusi huwa sina amani kabisa shukrani sana Tanzania kwa kufanya hayo maamuzi na Russia ✍️🤝🤝🤝🤝
@Mwanahawamahamudu15 күн бұрын
Waooooooo
@aliabdallah845616 күн бұрын
Safi sana kama tutakuwa karibu na Urusi utamaduni wa ushoga wa nchi za magharibi basi tena Mungu ametusaidia serekali yetu kuliona hilo tusiwe na ukaribu na hawa watu magharibi wengi wao wanapenda ushoga mwisho watatulazimisha kwa ajili ya misaada yao tuepukane nao kidogo kidogo
@user-gz1cd6kn5j16 күн бұрын
Ongera Tanzania imechagua njia salama
@user-tq4go3sn5b16 күн бұрын
Kama ni kweli nitampigia mtu kura 2025
@mkilyaphilipo759816 күн бұрын
Uraaaa
@ngendakumanajeanmarrie749016 күн бұрын
Sisi burundi urusi hakuna chenga hapo
@harounkiyungi728815 күн бұрын
Yuhoma nenda ukawaambie Utusi sisi Watanzania tulishawakubali Urusi hata kabla hawajaja Tz, Uraaaaaaaa
@godfreyfrugence417614 күн бұрын
From Tanzania 🇹🇿 nipo russia hapa nawapata kinoma
@Masta31316 күн бұрын
🎉🎉🎉
@user-to4jw7tm1j16 күн бұрын
Safi tz
@maulidipingika445216 күн бұрын
Hivi Hawa marekan Wana akili?eti wanalaumu himars kushambuliwa😂😂😂😂
@isaacorengo140416 күн бұрын
Hata sisi wakenya ni Russia, ni Ruto pekeake na puppetism yake🇰🇪
@gervasejerry16 күн бұрын
Hapo Mama Nakuelewa akili yako iko mara na nusu kama harmonizer alipo imba
@jumamustapha82543 күн бұрын
Wanamchi watz tulikuwa tim urusi siku nyingi mno.
@KilimbikeHaji-iy2fm5 күн бұрын
Safi sana piga hao nato
@uwimana653316 күн бұрын
Hatari sana
@JamesCornely-or4wt13 күн бұрын
Oya mbona hii imekaa vizuri
@barakanyanchama429716 күн бұрын
Asante sana URUSSI NA TANZANIA 🇷🇺🤝🇹🇿🙏 tunaomba wawekezaji kutoka urussi wawekeze Tanzania tutaiunga urussi mkono vizazi na vizazi hatutaicha kamwe na hatutarudi nyuma Tanzania na Moscow safi sanaa 🇹🇿🤝🇷🇺
@samwelshepa844316 күн бұрын
Wawalete wawekeze kwenye energy plants tuwe na uzalishaji chanya
@barakanyanchama429716 күн бұрын
Hatutaki mambo ya marecani na nchi zamagharibi
@DafiMohamed-dz8xk14 күн бұрын
Magharibi ni waongo na wanafiki kwa hiyo chochote kinaweza tokea wao ni vibaraka wa shetani mkuu USA
@African51116 күн бұрын
Russia 🇷🇺 nguvu moja na Africa
@user-jj7qv7kh2s15 күн бұрын
Sasa Tanzania imenikosha
@NakembetwaKitundu-tn7xx16 күн бұрын
Uhakika
@walidahmad253414 күн бұрын
Nice 🇷🇺💪💪💪👏👏
@gervasejerry16 күн бұрын
❤❤❤This are.Great Newz ,Tukapige kazi 😂😂😂😂😂
@paschalfausitine710816 күн бұрын
Gwido ulipotea sana, kaka, tuko pamoja
@evansogutu416716 күн бұрын
Uku kwenu Maandamano kuruka
@user-ql4qw3ow4r6 күн бұрын
Mwambie Putin atangaze ushindi maana yeye Kila siku anaonekana anashinda hatuoni
@ngendakumanajeanmarrie749016 күн бұрын
Waendeleye kuleta zingine tuzihalibu😂😂😂walete zote zenye wameficha tuchome moto sisi tim urusi tunatamba
@malickylicky425416 күн бұрын
Wamefariki zaidi ya 40,,,
@ThomasCornel-zy7sc16 күн бұрын
Viva🔥🇷🇺🇷🇺
@LucasRozi16 күн бұрын
Mimi bado sielewi
@KihangoIsmail-qn2uh16 күн бұрын
Sisi watanzania ni watu makini pamoja na selikari yetu siyo watu wa kulishwa sumu kama walivyo wapumbavu. wa Libya
@LucasRozi16 күн бұрын
Mbona mikataba mingine atushilikishwi
@ramadhanimtozeni803016 күн бұрын
Sasa mmarekani analaimu nini? Yaani mmarekani anataka mrusi asishambulie hiyo mifumo? Wamarekani ni watu waajabu kabisa!!
@RamadhaniMohamedi-de2vc16 күн бұрын
Ongera tz ongera rais wetu na makam wako na waziri mkuu, mamuzi ulioyafanya rai wako tumeyakubali tuachane nchi za maghalibi inchi zinazo taka tuwe kwenye jinsi moja bola tuwe na nchi za rashia tu ikiwezekana mkalibishe rais putini hapa kwetu🇹🇿🇷🇺 mujadili mambo ya nyukrea na kilimo, nk.
@HajiMwanz-to3vg11 күн бұрын
Uko sawa
@stephenndagalla818316 күн бұрын
Bwn Gwido haina sababu ya kuchanganya Kiswahili na Kiingereza utangazapo taarifa zako. Kuchanganya Kiswahili na Kiingereza ni kudhirisha dalili za utumwa wa lugha au unakabiliwa na kufilisika kwa maneno ya Kiswahili au basi ulimbukeni kidogo. ulionao.
@JoelFortunatus-du8ww15 күн бұрын
Yan Leo Nina furaha kubwa zaidi baada ya kusikia hii news yes ndioo hivi ndo tunavyo taka Sasa Dunia iwe kwenye multpolar na sio unipolar mama etu mfate Putin uko ndo Kuna uhakika wa mambo 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💗💗🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@AZIZIPAULO16 күн бұрын
ww kama Putin TU yan kokote uliko nasi tupo ❤
@user-vv6ox9xh9k16 күн бұрын
Wote wanaojiuga na NATO ni Kwa ajiri ya kuanza kupigana na urusi tu, akili ya marekani hiyo mjue
@abduljuma780716 күн бұрын
Wote mnao jiunga na Marekani mjue ni kwa faida ya Marekani tu sio kwenu wananchi husika pingeni kabisa nchi zenu kuwa marafiki wa Marekani
@YasiniYueufu16 күн бұрын
mmarekani hana utu katika nchi zetu afrika
@YasiniYueufu16 күн бұрын
wamemuua gadafi mtetezi wa bara letu
@HusseinSaguti-sj9nh16 күн бұрын
NAto ynywe imejieleza waz kua ni kujihami na urusi Wanajua mziki wak cwakuuombea Man to man hawamuwez