MJADALA KATI YA MCH NDACHA NA MCH MWAKEMWA TANZANIA

  Рет қаралды 15,877

BIBLIA NURU YA DUNIA

BIBLIA NURU YA DUNIA

19 күн бұрын

Пікірлер: 318
@mathieuombeni4643
@mathieuombeni4643 17 күн бұрын
From DR Congo 🇨🇩 Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Mwalimu Ndacha 💐💐💐💐💐💐
@daudmtoba191
@daudmtoba191 17 күн бұрын
Mwalimu ndacha ubalikiwe mno😂😂 nafurah sana sana Kwa mafundisho yako mazuri 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷❤️❤️🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@mathieuombeni4643
@mathieuombeni4643 17 күн бұрын
From DR Congo 🇨🇩/Mwalimu 👉🏼 Mwankemwa, leo ameingia shuleni
@ChrispinOriama
@ChrispinOriama 17 күн бұрын
Siku hakuna siku maskio itazidi kichwa vivyo hivyo hakuna siku uongo itazidi ukweli, hawa wamekataa amri za Mungu wakakumbatia mapokeo ya mnyama. Ni sawa lkn Mwalimu Ndacha Mungu azidi kukutia nguvu uzidi kufunua ukweli wake.
@moshantoj
@moshantoj 16 күн бұрын
La kushangaza ni kwamba hata hajui maana ya mnyama na ni wachungaji 😂😂
@petromachanga5538
@petromachanga5538 15 күн бұрын
Soma Marko 12:28, , _34 kunasabato hap?
@Kanyawela
@Kanyawela 13 күн бұрын
Ibada ni kila siku ni kila siku
@mwoso
@mwoso 14 күн бұрын
Yesu alitii sabato na hata wakristo na mitume waliendelea kuitii. Soma Mathew 24:20, Luke 4:16, acts 13:14, acts 13:42-44, acts 16:13, acts18:4. Lakini hakuna andiko ambalo linasema yesu alikana sabato. Amri 10 za Mungu haziwazi kuvunjwa wala kubadilishwa na binadamu.
@MajiiIfande
@MajiiIfande 17 күн бұрын
Daa, Mwankemwa umebabaika sana. Unatumia nguvu nyingi sana kupotosha watu.
@Nolithajack12
@Nolithajack12 17 күн бұрын
Ndacha nimwarimu ❤ nimukweri Mungu arakuripa
@michaelkishosha2391
@michaelkishosha2391 3 күн бұрын
Mch Ndacha Mungu akubariki uendelee kufanyka Nuru Kwa wengi,nna hakika wale Mungu aliokusudia wataongolewa.
@AMKENIKWAYAGospelmusic
@AMKENIKWAYAGospelmusic 13 күн бұрын
Katika amri kumi hakuna ibada inazungumuzwa,Mungu alisema Nisiku ya mapumuziko Ibada inafanyika Kira siku MATENDO YAMITUME 2:46. Soma Hapo na pumziko ,Kupumzika kwa Mukrito anapumzikia ndani ya Kristo Asante mbarikiwe Amen 🙏🏻
@gastokonzo9798
@gastokonzo9798 17 күн бұрын
Daniel oja ZAKO dhaifu
@Thruthministry
@Thruthministry 17 күн бұрын
Kazi inazidi kusonga zaidi maana itamaalizwa na wachachee tuu ,, ndacha BWANA akubariki
@didasmajor9288
@didasmajor9288 3 күн бұрын
Nimependa sana mdahalo huu, barikiweni nyote kwa elimu nzuri
@user-ls1ix4rd8i
@user-ls1ix4rd8i 17 күн бұрын
Mtumishi Ndacha Barikiwa sana
@sutnasndiku
@sutnasndiku 17 күн бұрын
Ndacha niombee nipate pesa ni support hii kazi nzuri ya Mungu
@rkellyrkelly1424
@rkellyrkelly1424 17 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, aki hii dunia😂😂😂😂
@Robert_787
@Robert_787 17 күн бұрын
Ujui kuomba mwenyewe?
@sutnasndiku
@sutnasndiku 17 күн бұрын
@@Robert_787 wewe ni Ndacha?
@sutnasndiku
@sutnasndiku 17 күн бұрын
@@rkellyrkelly1424 Just imagine 🤔🤔🤔🤔
@macdonaldotieno5010
@macdonaldotieno5010 17 күн бұрын
Mungu hatakusaidie
@MUSSAMSAFIRI-cj9nz
@MUSSAMSAFIRI-cj9nz 12 күн бұрын
Ndacha yuko vizuri sana tatizo lake c mwislam tu ila ukweli anaujua sana
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 10 күн бұрын
Huyu muda c mrefu anasilimu, maana mahubiri yake ya Sasa anahubiri MUNGU ni Mmoja , sio watatu..! Lkn hapo ndacha anamuuliza mwenzie atoe andiko kati ya MUNGU au Yesu ni nani alibadilisha sabato, yaani ameshajua Kuna MUNGU halafu Kuna Yesu, 🤣🤣🤣.
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 17 күн бұрын
Hii mada ukimwangalia huyu mtanzania nikama anakataa sabato ndacha barikiwa sana
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 16 күн бұрын
Sabato NI kwa wayahudi sasa nyie wabantu na sabato wapi na wapi , myahudi akisali siku ya sabato NI Sawa , na kunasababu
@GodfreyErene
@GodfreyErene 11 күн бұрын
Hao wasabato ukiondoa kurud kwa yesu mara ya pili na mambo ya unabii hawana mafundisho tuzidi kuwaombea maana wanaabudu siku badala ya kumwabudu mwenye siku. mch daniel barikiwa sana kwa kuwafundisha washika siku.
@GodfreyErene
@GodfreyErene 11 күн бұрын
😂😅😂yaani ndacha nilikua namuamini sana ila kwenye kutetea sabato kachemka vibaya sana, ukweli ni kwamba hata wanao shika sabato Bado wanashindwa kwani wengi wao tunawaona wakipika,wakisafiri, wakibeba mizigo na hata wengine kuwapa watu mifugo Yao kuwachungia siku ya sabato.kinyume na sabato inavotaka
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r 12 күн бұрын
Sabato na Ukristo ni vitu viwili tofauti . Yesu mwenyewe hakwenda kuabudi ktk sinagogi balialienda kuwafundisha habar za ufalme wa mbinguni ,na baada hapo alikwenda kuomba ktk mlima wa mizeituni .
@moshantoj
@moshantoj 16 күн бұрын
La kushangaza ni kwamba hata hawajui maana ya mnyama na ni wachungaji 😂😂
@tsumamartin6878
@tsumamartin6878 17 күн бұрын
Leo kinyanganyiro
@AnitaJuma-eb4jn
@AnitaJuma-eb4jn 11 күн бұрын
mwalimu Ndacha nemekuelewa may God guide many years and prosperity
@isayaogola8733
@isayaogola8733 17 күн бұрын
mchungaji Ndacha Mungu akubatiki
@user-vl1gn6xh5n
@user-vl1gn6xh5n 16 күн бұрын
Mchungaji Mwakemwa uwe una jibu hoja kwa Vifungu sio kwakusematu. Iliwasikilizaji wa sibitishe
@fredykiluka6606
@fredykiluka6606 16 күн бұрын
Yan saiz bando langu aliendi bure .....ndacha mungu kakufungua
@albertvalentino130
@albertvalentino130 13 күн бұрын
Wasabato mnatia huruma linapokuja suala la kuitafsiri Torati kwa muktadha wake ---- mnafanya vizuri mnapoutetea ukristo dhidi ya imani nyingine zisizo za kikristo,lakini nadhani mnahitaji kunyenyekea na kukubali kufundishwa ili muweze kujua nini muktadha na makusudi ya sheria ( Torati ) juu ya mwanadamu,ikiwemo hiyo amri ya Sabato,ukizingatia na hitaji la msingi la mwanadamu la kuokolewa kutoka dhambini.
@elizabethnzula6704
@elizabethnzula6704 16 күн бұрын
Mwalimu dacha ako right kabisa pasha sauti dacha dunia ipone tumechoka kundanganya na hawa wachungaji bubu wanaofanyia kazi chakula cha tumbo na kusahahu hukumu iliyo mbele yao chakuhuzunisha ni kwamba humo kanisani wanaofundisha upotovu huu kuna watu hawajui kujisomea maandiko hivyo huwa vile wakisomewa wanaamini ni hivyo .kuna hatari kubwa wachungaji ambao wanapindisha maandiko na kupoteza watu ambao wanampenda MUNGU SANA.....NASEMA HIVI AMRI ZA MUNGU NI ZA MILELE....Mwalimu dacha MUNGU akubariki sana kea ukweli huh.
@sirpleasureb
@sirpleasureb 16 күн бұрын
SABATO YANGU YA KWANZA KWA MAPENZI YA MUNGU TANGIA NIZALIWE ITAKUA JUMAMOSI IJAYO 22:6;24 NIOMBEENI WATUMISHI.SHALOM
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp 15 күн бұрын
Àmina, Mungu akubariki sana kwamaamuzi sahihi, umechagua fungu jema, ninakuombea.
@sirpleasureb
@sirpleasureb 15 күн бұрын
@@JosephMpangala-wd5mp amina.tuombeane.
@dancanomwenga6955
@dancanomwenga6955 11 күн бұрын
Amina, Mungu akulinde na akujengee Imani thabiti
@Motheking-ps2tl
@Motheking-ps2tl 11 күн бұрын
Nipe maandiko jumamosi ndio siku ya ibada
@sirpleasureb
@sirpleasureb 11 күн бұрын
@@Motheking-ps2tl luka 24:53-56 then luka 24:1-2.
@EdsonDaud-rg5jk
@EdsonDaud-rg5jk 16 күн бұрын
Mwalimu ndacha ubarikiwe sana ushuuda umeutoa kweli u sahii
@EmmanuelMoses-pb1zh
@EmmanuelMoses-pb1zh 17 күн бұрын
Nimejaribu kumsikiliza mwankemwa lakin ata sielewi kabcaa
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj 17 күн бұрын
Na hauwezi kumuelewa maana anapinga amri za Mungu
@JafethOdhiambo
@JafethOdhiambo 13 күн бұрын
Hana jibu la point
@mj.tv.forpeople992
@mj.tv.forpeople992 17 күн бұрын
Yeremia 31 31 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda. 32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nalikuwa mume kwao, asema Bwana. 33 Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema Bwana; Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
@marrygicho4050
@marrygicho4050 15 күн бұрын
Kuna watu wako kwenye giza sana kuyaelewa maadiko' kama amrita kumi za MUNGU hazijabadiriswa bona mtu azibadirishe? Mtakuja mwambiaje YESU arudipo.
@mozesdaniel7484
@mozesdaniel7484 5 күн бұрын
Ndacha Is fine thanks nimeelewa vzr naachana na Waprotestanti.. Hatakm ni chungu but nikweli isiyo na konakona
@EzekielBrown-yq9ui
@EzekielBrown-yq9ui 9 күн бұрын
Usikwepe ndacha zile siku za kumega mkate katika kitabu Cha kutoka ziliitwaje kama ni sabato ni nani
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 14 күн бұрын
Ndacha ni Msabato hawezi tetea ijumaa pili
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 17 күн бұрын
Mwlm danieli unakosea Sana biblia Iko wazi siku ya Bwana nimojatu. Kama hyo jumapili kwanini isiitwe sku ya bwana?hebu msiwachanganye watu. Jumapili nisku yakwanza.
@mwoso
@mwoso 14 күн бұрын
Kumega mkate haikua dhibitisho ya kuabudu siku ya jumapili. Pia yesu kufufuka siku ya tatu haikumanisha watu waanze kufanya ibada jumapili.
@edwardmugendi-hb1tj
@edwardmugendi-hb1tj 17 күн бұрын
hapana hawa watu wanashetani kichwani siyo kawaida asee, maana kitabu cha danieli kiko hai na kimeenza kufanya kazi mpaka sasa lakini haya majamaa hayana habari yanazani bado, najisikia vibaya mimi siyo sili😢😢
@stevesostenes1389
@stevesostenes1389 11 күн бұрын
Mwl Mwankemwa pole, huyo Ndacha ni fundi sana aisee.
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r 12 күн бұрын
Kweli nimeamini kwamba Mungu anaweza kukupa vitu vingi sana lkn lipo moja aweza kukuficha usioelewe kabisa. Ndacha Mungu kakupa vingi lkn hili moja bado hajakufunulia . Nina imani kama ukiamua kuomba ktk Roho na kweli Mungu atakufunulia hili . Kuhusu siku sio jumamosi bali .ni Kila siku ❤ .Baki kwenye sheria utaachwa mbali
@NicholausNkumira-ue8fe
@NicholausNkumira-ue8fe 14 күн бұрын
Mwankemwa umeshinda, Roho mt. alishuka Jumapili, Bwana Yesu alifufuka Jpili na aliendelea kuwatokea Wanafunzi Jpili Wanafunzi wakawa wanakutana Siku ya Kwanza ya Juma. Acheni hiyo mijadala wakristo Kwa wakristo. Bwana Yesu alibadilisha Kwa kuanzisha Agano jipya.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 10 күн бұрын
Ndacha anamuuliza mwankemwa atoe andiko ni nani alibadilisha sabato ni MUNGU au Yesu.? , 🤣🤣🤣....kumbe anajua kuna MUNGU na kuna Yesu 🤣🤣🤣
@issakisu4869
@issakisu4869 6 күн бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 14 күн бұрын
Mwankemwa hamuwezi Ndacha kwa Neno,ni hatari hata waislam wanamuogopa😢
@POVELSPORTS
@POVELSPORTS 17 күн бұрын
Mbn kipande Cha mwl mwankimwe hakuna watumish
@tobiaswabwoba3805
@tobiaswabwoba3805 16 күн бұрын
Huyu jamaa haelewi maandiko kabisa
@Nolithajack12
@Nolithajack12 17 күн бұрын
Daniel hana hoja❤
@dismasndaro
@dismasndaro 15 күн бұрын
Wao wamepigwa upofu juu ya siku izi sabato ni amri ya mungu na pumziko la mungu mwenyewe mbona mmekuwa vipofu wa kiroho jamani
@AnitaJuma-eb4jn
@AnitaJuma-eb4jn 11 күн бұрын
Ooh lord guide us and show us your way 🙏🙏🙏
@msemakweli243
@msemakweli243 16 күн бұрын
Mwankemwa hapo umechemka umeshindwa kudhibitisha lini siku ya kusali ni lini?
@aliyyuhibu3561
@aliyyuhibu3561 13 күн бұрын
Daniel yuko vizuri ndacha chagua moja kumfata paulo au manabii
@tsumamartin6878
@tsumamartin6878 17 күн бұрын
Ulipotuma video ndacha akiwa Bukavu congo,nilikuomba mpatane Leo Daniel pata dozi yako
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 15 күн бұрын
Amri na Sheria hazikusaidia kuleta ukombozi zilishindwa na badala yake ikaja neema Kwa kifo Cha BWANA Yesu kristo .ndio mana Agano la kale likaitwa Agano chakavu Kwanini tuendelee na Agano chakavu . Mi naona hili Mmekosa kazi
@filexbenefits5612
@filexbenefits5612 15 күн бұрын
Wacha watu wakose kazi ww uliyenayo ifanye, hata nashaka waijua kazi yako gani na wala kwa namna io huwezijua
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 11 күн бұрын
Umeptea wewe ndugu yangu. Hakuna sheria ya Mungu ambayo mtu yeyote anafaa kuvunja.
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 3 күн бұрын
Kuendelea kushika amri na Sheria ni kukataa ukombozi ulioletwa kwa njia ya yesu kufa msalabani. . Sheria amri Torati na sadaka vilishindwa kuleta ukombozi ndipo yesu akafa msalabani kwa ajili ya kuleta ukombozi
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 15 күн бұрын
YESU alikufa kwa ajili ya ondoleo la dhambi siyo kwa ajili ya kubadisha Amri za Mungu.
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 13 күн бұрын
Ondoleo la dhambi likiwapo Sheria inakosa kazi .
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 13 күн бұрын
@@christophersimwinga6689 Basi zikose kazi zote sio ya nne tu, kama ni kuzini, kuiba,kuwaheshimu wazazi na nyingene zote tuzivunje!!
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 13 күн бұрын
@@christophersimwinga6689 Basi isiwe kwa amri ya nne tu, kuzini, kuiba, kuwaheshimu baba na mama na nyingine zote tuvunje!! Sheria za Mungu ni kioo( dira) ya maisha ya Ukristo.
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 3 күн бұрын
Haya mengine yanatimizwa kwasabbu Yameelekezwa kufuatwa katka Agano jipya. Hakuna aliye sema tushike sabato katka Agano jipya.
@UswegeJohn-ov3ym
@UswegeJohn-ov3ym 15 күн бұрын
Daniel ni Mwalimu professional kabisa ingawa watu wa mwilini hawakuelewi.
@estakenia
@estakenia 15 күн бұрын
😂 alie wa mwilini ni wewe
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 11 күн бұрын
Ni mwalimu kweli, lakini mafundisho yake sio ya Biblia bali ni Theologia ya ki catholic 😂
@filexbenefits5612
@filexbenefits5612 17 күн бұрын
Hama siku ya kwanza ya juma, konfiushoni, results of being in Babylon
@benardmwamboneke9612
@benardmwamboneke9612 12 күн бұрын
Ndacha❤
@JafethOdhiambo
@JafethOdhiambo 13 күн бұрын
Hapo hakuna mjadala Yesu ni mshindi siku zote Amina
@albertvalentino130
@albertvalentino130 13 күн бұрын
Kwa mkristo anayeujua ukristo wake vizuri,kila siku na muda wote ni muda wa ibada --- ibada inapaswa kuwa ni sehemu ya maisha ya kila siku na muda wote.
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 13 күн бұрын
Hakuna kanisa la kwenda kila siku utakuwa maskini na ndio maana ukawekewa kwa wiki mara moja upate kutowa fungu la kumi vizuri
@BonifaceIrungu-fv9pf
@BonifaceIrungu-fv9pf 12 күн бұрын
Jumatatu, jumapili, jumamosi, na zinginezo ,ni majina ya siku kulingana na mwanadamu. Katika uumbaji Mungu hakuzitumia bali alizitaja siku kwa hesabu yaani siku ya kwanza , ya pili hadi ya saba kwa hio bado sijaelewa chochote juu umetoa andiko kwa bibilia ambayo inaitwa HABARI NJEMA na hizo ni bibilia zilizoandikwa juzi. Bibilia takatifu na zinginezo zilizokuwepo mwanzo, hakuna jumapili,jumatatu , wala ijumaa zimawahi kutajwa.
@bethaniahemalautukufu-np3so
@bethaniahemalautukufu-np3so Күн бұрын
Sabato ni ibada siyo siku ibada yoyote ya mungu wa mbinguni ni sabato
@EmmanuelMoses-pb1zh
@EmmanuelMoses-pb1zh 17 күн бұрын
Ila siku hizi hamtutendei haki watu tunaowafatilia you tube maana video zinaganda ganda afu fupi fupi
@MushTazan-vf6ld
@MushTazan-vf6ld 12 күн бұрын
Ndacha wa kaushe ao
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj 17 күн бұрын
Mwankemwa hana hoja kabisa, na keaho ndio kitaumana yaani. Ndacha watibu maana wanaumwa ni wagonjwa
@albertvalentino130
@albertvalentino130 13 күн бұрын
NDACHA kwenye huo mfululizo wa amri,ipo pia amri inayosema " USITAMANI " yaani,usitamani kufanya dhambi --- Yaani kwa Mungu,ni dhambi kwa mwanadamu kutamani kufanya dhambi --- Je,wewe Ndacha hujawahi kufanya dhambi? --- Neno la Mungu linasema kwao wanaotaka kuokolewa kwa njia ya sheria " Imewapasa kuitimiza Torati yote " hakuna mwanadamu atakayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria.
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp 15 күн бұрын
Ukweli utabaki kuwakweli,nauongo utabaki kuwaongo,mwanadamu amepewa uchaguzi wa kuamua anasimama upande upi,mwisho nihukumu.Mathayo7:24-26.
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 14 күн бұрын
Kumbe ndacha unajua mungu ni moja halaf unatafuta vigezo ku wadanganya wenzako
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 12 күн бұрын
wajinga ndiyo waliwao. Mungu anasema ni mmoja mara baba na mwana. Hovyo kabisa
@user-tg5vq3zf1f
@user-tg5vq3zf1f 16 сағат бұрын
Nakuliza ndacha kuna dhambi kusali ijuma ine au ijuma tano ? nipo moçambiqwe
@user-df1wz5xu2i
@user-df1wz5xu2i 10 күн бұрын
Ndugu zangu nawaambieni tuu kitu kimoja huyu mkenya tuache unafiki huyu jamaa ni mwalimu mimi nimekubali
@JosephDadu-bj2ck
@JosephDadu-bj2ck 17 күн бұрын
mbona akuna Manali pa download apa
@renatuskweyamba6460
@renatuskweyamba6460 17 күн бұрын
Mwenyewe napatafta sipapati jamaniiii
@onkombageoffrey5226
@onkombageoffrey5226 17 күн бұрын
Hipo download ukipeleka kushoto hapo pa share
@user-nw9ds9qe5i
@user-nw9ds9qe5i 16 күн бұрын
Ndacha vs mwankemwa wote ni walimu wazuri Sana nimewapenda Sana nawote mpo sawa jumamosi jumapili zote ni Safi kwa MUNGU nawote tuna mwamini YESU KRISTO kuwa mwana wa MUNGU na alikufa na kufufuka kikubwa tusitende dhambi. Jumamosi haita kusaidia ukiwa mtenda dhambi. Jumapili haita kusaidia ukiwa mtenda dhambi. Sisi sote ni wa Baba yetu mmoja. Mbarikiwe Sana walimu wangu 🙏
@stephenogachi2205
@stephenogachi2205 16 күн бұрын
​@@user-nw9ds9qe5imada sio ni siku gani itakusaidia, madi ni sabbath ya biblia ni siku gani? Ili watu wawe huru na uongo WA bishops na pope
@EfraimNjole
@EfraimNjole 9 күн бұрын
Nimekukubari
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 14 күн бұрын
Pengine Mwankemwa yuko sawa
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 11 күн бұрын
Hakuna siku Mwankemwa atakua sawa
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 9 күн бұрын
Mimi nilijua mwakemwa ni msabato kumbe sio , Amri 10 ndo muhuri wa Mungu
@NicholausNkumira-ue8fe
@NicholausNkumira-ue8fe 14 күн бұрын
Yesu hakutii sabato alikuja kutimiliza torati. Alisema amri kuu 2, kumpenda Mungu na jirani. Alisema Jumamosi hata Mungu anafanya kazi. Na washika Jumamosi walitangaza Yesu ameivunja sabato, na NI KWELI aliivunja maana aliwafanyisha watu KAZI Mfano kubeba godoro, kuvunja masuke shambani n.k. Jumamosi ilikufa na agano la kale. SASA tuna agano jipya. Kufundisha neno la Mungu SIYO KUSALI, tunaposali tunamega mkate.
@JafethOdhiambo
@JafethOdhiambo 13 күн бұрын
Marko 2:27-29
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 3 күн бұрын
Ni kweli kabisa yesu alivunja sabato tena kwa vitendo sio kwa maneno tu hata alipoulizwa alisema Mungu anafanya kazi hata Leo jumamoisi .
@catherinenyokabi5746
@catherinenyokabi5746 16 күн бұрын
Bii diyo injili mwalimu Ndacha MUNGU akumbariki sana
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 13 күн бұрын
Mungu alishasema atawafarakanisha wenyewe kwa wenyewe
@dullahfar7775
@dullahfar7775 13 күн бұрын
Ndacha kasema siku inaanzia jioni kama sisi waislam na siku ya saba ni ijumaa anzia na mosi,pili,tatu,nne,tano.......
@NicholausNkumira-ue8fe
@NicholausNkumira-ue8fe 14 күн бұрын
Kabla ya Konstantino Jumapili ilikuwepo na mitume walikuwa wanasali na kukutana kuumega mkate ambayo NI Siku ya Kwanza ya Juma iliyoanzishwa na Kristo Kwa kufufuka kwake Siku hiyo ya Ukombozi.
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 11 күн бұрын
Mmepote nyie mnaovunja sharia za Mungu 😂
@cosmassisa5256
@cosmassisa5256 15 күн бұрын
Haha 51:50 huyu Daniel mpotoshaji sana kwani hajui kwamba Paulo anaposema aliwaudhi Wayahudi ni kwamba alikuwa akiwaua Wayahudi. Kabla ya Paulo kuwa mtumi, alkuwa akiitwa Sauli na aliwaua Wayahudi wengi sana. Baada ya Yesu kumtokea ndipo alikuwa mtume. Sasa Daniel anakuja kusema kwamba kisa alikuwa Msabato😂😂
@Neemaamani-dj5dg
@Neemaamani-dj5dg 9 күн бұрын
Ndacha 🙏🙏
@JosephNyaberi-sb1rf
@JosephNyaberi-sb1rf 11 күн бұрын
Jinga hii ni ya wapi?
@tsumamartin6878
@tsumamartin6878 17 күн бұрын
Watandike viboko vya neno ndacha hoyeeee
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj 17 күн бұрын
Kabisa yaani😂😂😂😂
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 10 күн бұрын
Tatizo la wakristo mnafuata mambo ya Roma Marekani Ujerumani hayo ndiyo mataifa yaliyoanzisha ukristo lakini Israel hakuna ukristo
@jonathanmusyoka3143
@jonathanmusyoka3143 17 күн бұрын
Mwakemwa hoja dhaifu zako zinataka chai ya asubuhi nikikunywa zip moja chai kabla slaizi ya mkate una hoja ni akili zako tutao akili zako tuwekee kanisa isome shida ya ulokole mwingi
@EzekielBrown-yq9ui
@EzekielBrown-yq9ui 9 күн бұрын
Ndacha unajua sana maandiko ila unakwepa
@themessage3508
@themessage3508 17 күн бұрын
😂 mwalim danieli hana hoja kabisa amejaa maneno ya siasa
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 17 күн бұрын
Mbona wametoa maelezo yangu ya mwanzo? Unajua nilisoma maandiko gani huko?
@themessage3508
@themessage3508 17 күн бұрын
Keaho Simama utuambie amrikumi za Mungu zili futika lini😂
@Thruthministry
@Thruthministry 17 күн бұрын
Huna ukweli unajuaa ndio sababu unaamini pasipo kujua ,, YESU kamwe hawawezi kupingina na BABA,, Mathew 5:17,, wacha kutafuta jina kwa kazi ya MUNGU ya kusaidia watu waokolewe
@dismasndaro
@dismasndaro 15 күн бұрын
Wewe mwakimwa una elimu kabisaaa tofati na ubishi alafu unajibu maswali tofauti kabisaaa
@cosmassisa5256
@cosmassisa5256 15 күн бұрын
Hahaha hili somo la unabii la kitabu cha Daniel halieleweki kwa watu wa Jumapili kabisa.
@HamisRashid-xl4mn
@HamisRashid-xl4mn 3 күн бұрын
Mkali wanini rumbaneni wenyewe uisilamu umenjooka hana lolote huyo
@ackimackim1880
@ackimackim1880 16 күн бұрын
SABATO NI SIKU YA SABA,JUMAMOSI-JUMAMOSI NI SIKU SABA NA JUMAPILI -JUMAPILI NI SIKU SABA,KESI IKO WAPI WATUMISHI,SIKU ZOTE NI ZA BWANA.
@Motheking-ps2tl
@Motheking-ps2tl 11 күн бұрын
Ukiwawekea shehe apo anawasambaratisha wote.
@gastokonzo9798
@gastokonzo9798 17 күн бұрын
Juma pili ni mapokeo huo ndio ukweli
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 17 күн бұрын
Gasto siku zote wewe huwa unajifanya huyasikii maandiko yakitolewa. Pole sana
@themessage3508
@themessage3508 17 күн бұрын
Tatizo danieli unejaa maneno
@mathieuombeni4643
@mathieuombeni4643 17 күн бұрын
​​@@BAYYINATDMTVBila shaka Mwalimu Ndacha amemfundisha kweli kabisa/ Mwankemwa Acha kupotosha maandiko matakatifu 👉🏽 Ufunuo 12:17/ Ufunuo 14:12/ Warumi 10:17/ Warumi 3:31/ 1 Yohana 5:3/ Mathayo 5:17-18/ Yohana 12:47-48-49-50/ Mwalimu Mwankemwa, huoni kwamba Maandiko yamekupiga chenga , Umezidi kupotosha tu Maandiko Matakatifu, hatari sana kabisa
@gastokonzo9798
@gastokonzo9798 17 күн бұрын
Maandiko hayo yanatoa maana tofauti na wewe hayalingani na we we unavyoelezea ​@@BAYYINATDMTV
@opujejoshmahjoshmah1432
@opujejoshmahjoshmah1432 17 күн бұрын
Yer31:31-34​@@BAYYINATDMTV hata Yusufu alijuwa Amri ya Mungu akiwa Misiri usizini,mbona Nne ni shida...kuto20:8 utaelewa tu
@user-sb5qe8yy3q
@user-sb5qe8yy3q 17 күн бұрын
Hoja za maneno mengi zinaharibu wasikilizaji
@DerickMotondi-cr7fq
@DerickMotondi-cr7fq 14 күн бұрын
Watu watapigania siku mbaka Mungu arudi . Na siku haipeleki mtu mbinguni
@machairtv2528
@machairtv2528 13 күн бұрын
Naitaji mdawakiere mmi na ndacha live kuusu ijumapi na ijuma mosi
@isaiahonyapidi5662
@isaiahonyapidi5662 17 күн бұрын
Ati siku ya nane😅
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj 17 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@MahmoudKhamis-cv9pi
@MahmoudKhamis-cv9pi 9 күн бұрын
Ndacha yupo Sawa Kwa hoja amemshinda jamaa
@tsumamartin6878
@tsumamartin6878 17 күн бұрын
Mwamkemwa Leo anatolewa jashoooo
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 17 күн бұрын
Kwenye nini?
@opujejoshmahjoshmah1432
@opujejoshmahjoshmah1432 17 күн бұрын
Mwal kwakweli bila kutetea tumbo...kwa manabii na Mitume taja moja kaenda Ibaada siku ya kwanza ya Jumaa​@@BAYYINATDMTV Yani Dan7:25 usipoelewa tafuta kujifunza siri kuu iko hapo Ata Yesu Alirudisha wanafunzi kujuwa hilo Mthw24:14-15
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 15 күн бұрын
Mim naona bora nisilimu tu niwe muislam maana naona huku ktk ukristo ni changamoto
@BIBLIANURUYADUNIA
@BIBLIANURUYADUNIA 15 күн бұрын
Fanya hima
@YothamZabron
@YothamZabron 13 күн бұрын
Mim nimetoka huko utakako kwenda , wewe sepa bro hatukutaki
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 12 күн бұрын
@@YothamZabron sas makasiriko Yanin kila mtu namaamuzi yake acha kutafuta kiki ktk mitandao
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 11 күн бұрын
Uko ndo umeingia shimoni kabisa. Kwenye majini tena 😂😂😂😂😂
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 11 күн бұрын
@@Shomariamuri1 Sasa siafadhali hayo majini lakn huku ktk ukristo kufirwa wew unaona Raha? Yani mwanaume mwezako akutumbukize mboo ktk mkundu wako wew ndy unaona sahihi wew niache mim nisilimu wew Baki hukohuko ktk ushoga uwendelee kufirwa ktk pachapacha ya matako yako
@shyneafya2468
@shyneafya2468 5 күн бұрын
Mwankemwa Kwan unasema et wale wanafunzi wa Paulo aliwakuta wakisoma torat ya Musa ni sawa na Yesu alisoma kitabu Cha Isaya Kwa kusoma ivo Kwa nn Yesu alikuwa nae amekosea ilitakiwa asome Injili? Kipindo vitabu bilivokuwepo ilikuwa agano la kale wote walisema ivo
@opujejoshmahjoshmah1432
@opujejoshmahjoshmah1432 17 күн бұрын
Yani hata kwao Unabii ni ushetani...walimu hawa kwa kweli watajuta huko mbeleni
@sefaniaslyvestertv1498
@sefaniaslyvestertv1498 15 күн бұрын
Mbona maneno ya @danie umeyakata inaonekana alikuwa na hoja motomoto
MUNGU MMOJA NI NANI KULINGANA NA BIBLIA
40:46
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 6 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 86 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
UNABII WA BALAA KENYA NA TANZANIA WAANZA KUTIMIA
38:02
huduma ya kristo
Рет қаралды 19 М.
ALLAH SIO MUNGU WA WAKRISTO: MCH NDACHA
19:09
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 3,6 М.
JE YESU ALIKUFA???
1:38:58
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 16 М.
USHUHUDA WA ASKOFU ELIBARIKI SUMBE ALIVYOOKOLEWA NA MUNGU
24:01
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 26 М.
Rafiki Aliyeshambuliwa Na Majambazi Kwa Kuzuia Sadaka | Rev. Dr. Eliona Kimaro
15:05
СБЕЖАЛ ОТ РОДАКОВ и ЭТО ЗАКОНЧИЛОСЬ ПЛОХО!! (SchoolBoy Runaway)
13:56
ShadowPriestok - Евгений Чернявский
Рет қаралды 437 М.