Tunaisubiria hiyo simulizi ya gambosh, bila shaka wewe utatuelezea kwa ufasaha, kwa kuwa hatujui ukweli zaidi, wengine wanasema ni kijiji tu cha kawaida, wengine wanasema ni kijiji cha kichawi,sasa wewe utatuambia ukweli.
@Iragibarune1.3 жыл бұрын
Wasaba leo nipeni like zang😥😥
@marysteven6053 жыл бұрын
Ivi huo mda zabron ukiwa kwenye gari lao hao majambaz si ulijua Tyr umekwisha watakuua?yaan huyo bibi Yako,alikuweza kwl kwamateso hayo, la
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Ila zabron upo vizuri sana kwa kusimulia DM hongera kwa kutafutia story nzuri km hii
@fighterm77083 жыл бұрын
Moshi Technical School , My Lovely School aaaah , Mpande the teacher daaah kitambo sanaaa
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Dil ya bank mm pia siwezi kabisaaa heri nipatoke hapo 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️mana huko nikuuxa moyo wako lkn kuna wengine hiyo nikaxi rahisi sanaaa tuu kwao
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Naona taba sam la davistar kuskia gambosh
@rosemassawe19793 жыл бұрын
Unapenda kununua nguo🙄
@navokisembo3 жыл бұрын
Zablon ana kumbukumbu nzuri saana ila ametesela kweeli jamani
@user-gy9tt8of4l
Hapo uriwaza vema sana boy nasio kuigia tamaa isionamaana hongeraa sana
@ibrahimmohamedi44983 жыл бұрын
Mwezi mmoja unapiga supu safi unakua kibonge hapana kwa kweli hapana I say nooooooooooooooo ujambazi mhm
@oduoratieno26133 жыл бұрын
His journey was very tough and rough God protect u and give u more yrs in this world...
@nurudaud39932 жыл бұрын
sema zabron ulikuwa na.hekima na akili ya kutosha sana hufanyi maamuzi ya haraka 😊brother be blessed 🤝
@upendoluv71973 жыл бұрын
Kumbe Zabron Ni Handsome bhana😘😘😘😘
@tonywambua95053 жыл бұрын
The best story ever
@africandarling69253 жыл бұрын
Duuu Zabroni umepitia shida sana dooo AISSEH pole ZABRONI