huyu brodher ameanguka sana ila ameendeleya kusimama na mwenye hato muamini MWENYEZIMUNG hato kua salama.
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
HII funga mwaka jaman 😍
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Duuh kweli ww umepitia mambo mazito sana pole kaka zabroni ila ww shija mkubwa sana ila naomba mungu alijalie maisha marefu pia a kufanyie wepesi wa mafanikio amin
@colonelghadafi.48063 жыл бұрын
Npo mombasa Kenya🇰🇪 nme fuatilia simulizi hii tokea part 1, Huyu kaka japo ya misuko suko haku kata tamaa katika maisha hongera sana brother Zabron nme jifunza sana mengi kutoka kwako.
@kenyatuktuk28533 жыл бұрын
Mombasa maeneo gani.
@colonelghadafi.48063 жыл бұрын
@@kenyatuktuk2853 likoni mtaa wa ujamaa
@kenyatuktuk28533 жыл бұрын
Likoni Approved.
@colonelghadafi.48063 жыл бұрын
@@kenyatuktuk2853 pamoja kaka Boniface
@lucyaloo9203 жыл бұрын
Likoni Barbara ya mchanga
@mn-fy7oq3 жыл бұрын
Thanks Mr Davister kwa haya mikasa tunajifunza mengi alafu mpe salamu na pole zangu Mzee wa Gamboshi tuko pamoja sana
@lenniefei67103 жыл бұрын
Jamaa ana Memory ya genius kabisa... Heko sana Zabroni
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Jamani muwasiliane na Zabron. Anauza vitabu vyake hivyo vya "Sitaisahahu Gamboshi" part 1&2. Anakutumia moja kwa moja ktk simu kwa muundo wa PDF file. Unamlipa anakutumia muda huo huo. Ni rahisi sana. Tumuungishe Zabron jamani
@caimedia3 жыл бұрын
Ile unabadilisha pozi, kwamba tunaelekea pazuri.. Unakutana na Mr. Facts ITAENDELEA... Davi siyo vizuriii bhana... All in all you're doing a great Job!
@ummusulaish55863 жыл бұрын
Asante sana Mr Facts kwa kutufunza Mungu azidi kukusimamia Uzidi kuendelea🤲🤲🤲
@mshua3373 жыл бұрын
Kwa wale wahenga hiyo nokia ya jeneza tushaijua.ilikuwa ni Nokia 3310
@bawillyhussein99213 жыл бұрын
leo wa kwanza
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongeraa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Hongera
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hapa tushapata fundi rangi etyeee😜😜😜😛😛😛😛😛😛wacha tujiongeze kiasi🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
Yani Hadi nimeizoea hii story nikikosa na boeka sana
@sultanaswaleh47083 жыл бұрын
Kweli my dear hata mm . Yaani nikama una kiu .
@joycesycherlwy38353 жыл бұрын
Napenda alivyo muaminifu yaani huo uaminifu wake ndio unako mtetea wakati akipata shida...nimejifunza
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Tuned 🇰🇪 mzee wa kugonga misosi interesting story
@oneclick20233 жыл бұрын
Mzee Mwenzangu Zabu,,yule mtoto ndugu yangu alikuwa Ni makali ,Ninge kuwa Mimi nauza hata nyumba ya ulisi bora nigombane na ndugu tu ila sio kumkosa mtoto mzuri Kama Angel ...Mtoto mtoto macho tu daaa na kile kidoti 🙌🙌🙌....Ambaye haja mwona Angel ingia Fb mfollow Bwana Zabron C Mwita ... R.I.P ANGEL 🙏💔 #TeamZabu #ZabuMadiko...MR.FACTS
@liliankemuma94753 жыл бұрын
Pole Sana Zabloni,kwa mikosi
@hagurukamwana40953 жыл бұрын
hapo sawa much love from Canada 🍁 🇨🇦🔥💆♂️💆♂️
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Mzm
@sjfamily81213 жыл бұрын
Ulifikaje Canada boss?
@mkombelwamodeste88863 жыл бұрын
huyu chama atari kwenye msosi anasifiya sana msosi
@evancemoevt85973 жыл бұрын
Zabron nakukubali kwenye Misosi Unasifia Hadi Raha yaani!!!😅😅😅😅
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Barikiwa sana 🙏
@joycekelvin54343 жыл бұрын
Zabron kwey upande wa mikosi atuangushi😀
@OmanCom-ky8tn3 жыл бұрын
Zabroni mambo ya missoni uko vizuri
@fredrickmichael23173 жыл бұрын
Pole sana kazi za shetani ni Nomaaa sana
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Zabron nakukubali kwa masosi umetisha ila pole sana Dm shukran sana kwa story nzuri
@jacksonnyange53343 жыл бұрын
Ongeza bas tecnologia ya kisasa nzur upost vipande ata vinne kwa siku
@asiasalim46343 жыл бұрын
😅😅Mungu akusaidie kkayngu vitabu Mia si mchezo hongera davido more blessings
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Unapenda misosiww hahaha ww noma sanaa uko vzr kwa misosi mitamu
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Sana🤣🤣🤣🤣
@wildatmsellem75313 жыл бұрын
Napenda chief anavocheka ananifurahisha kweli
@angelmilele47303 жыл бұрын
Hahhhhha Mimi mwnyww namkubali
@aishasaid67493 жыл бұрын
Daaah aisee pole sana
@ashaenock143 жыл бұрын
Yaan nikiishiwa bando had nachanganyikiwa kwa jins hii stor inanvyonivutia, ,,,,,daaa ila brother we ni jasir umepitia mazito sana!!!!!na haukukata tamaa, ,,big up san
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Pole sana baba mwenyewe kauzu hana huruma nikipigo nakulima usiku
@IANA20303 жыл бұрын
Waaaah Zabron pole sana
@mashamramba34613 жыл бұрын
Waaaahhh !! Cija chelewa sana
@elizanzula83753 жыл бұрын
Zabron avery hardworking man but siku zote hizo nizerowork waah only God can save you trust on him
@didasrichard30683 жыл бұрын
Dope
@esthergasper80863 жыл бұрын
Safi kabisa tuendelee...iendelee Leo Leo jaman
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Lkn kaxi zako xote ulikuwa unafanya ukifaidii hirixi inayopumua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣rohoo zawatu kazaa Mungu akakuhukumu mzigo ukaungua mmmm hirixi yakupumua hiyooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Atr sna
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Mimi nachomkubali jamaa hachoki kutafuta big up zabron
@bintalmasi23933 жыл бұрын
Uzuri Zabron ufundi ulikuwa unakuboost sana
@mashamramba34613 жыл бұрын
Safii sana kazi nzuri . Lete ingine part 25 . Xaxa jamaa kuja ndo ?.........
Kweli huyu jamaa ana asili ya jini,,,,#1986/#1989 tayari kumatia chini zinamkaa
@vellarose25963 жыл бұрын
Nimefika kama Kawa 🙌
@abubakarwadi57733 жыл бұрын
Hizo simuzinaitwa yeboyebo
@hellymsigala98522 жыл бұрын
Daah🔥🔥🔥
@kingkendrickk3 жыл бұрын
Hatari 🔥
@alitoufik54773 жыл бұрын
Engineer Zabron
@upendoluv71973 жыл бұрын
Our Best series 2020...
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Zabron kwa misosiiii😆😆
@rasjamal98543 жыл бұрын
Zee wa misosi nusu kuku mayai ya kienyeji, suti batan moja kiatu cha mtaliano chefu Zabron
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
kwa msosi napapenda sana
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
Huyo boya alitaka kujiua akasahau ufundi ndo kick no 1 kweny maisha yake eeeh 😃 😃 😃 😃 #bro Davistar mwambie yeye ni choosen one sio wa kukata tamaa kiboya.... Naona kaanza kula Regina tena
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Pamoja Davistar na Zabron
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
hiyo ringtone bana si ya mtu mashuhuri kama wewe bwana mwita kanunue simu😂
@evaristekashindi70263 жыл бұрын
Bb unatisha tunasubiri kama film ya maneno ya kuhambiwa !!!!!
@rosemassawe19793 жыл бұрын
Post nyinginyingi since story ni ndefu😎
@driftdumper89273 жыл бұрын
Davista upload video
@JOHN-ut6ej3 жыл бұрын
my Brother Davist tafazali nitafute kweni Numbar yangu nuataka tukutane nikifika Africa apo kwenu Tanzania lakini mimi sio mutanzania.
Wengi wanaofanya biashara ya mchicha akili zao huwa km dishi limeyumba hivi 😜😜Sjui mchicha una laana gani? Zabron uliopotea sana mkuu🙉🙉🙉😆😂😂😂
@joycekelvin54343 жыл бұрын
😀😀
@eshalibaba11953 жыл бұрын
😂😂😂😂
@masakakambesha45213 жыл бұрын
😂😂😂
@mysskibe Жыл бұрын
Nokia 3310 🤣🤣 that's a legend phone!
@susankomu89783 жыл бұрын
Ndaniii...
@lasma98303 жыл бұрын
Hzo nokia zilikuwa zinaitwa Miss Arusha
@ummusulaish55863 жыл бұрын
Kweli mitihani hutofautiana unaweza kujiona ww umepitia magumu ila Kuna mtu amapitia magumu kuliko ww na bado hajakata tamaa na maisha kila cku anazid kupambana
@g.d.d14813 жыл бұрын
La histoire kalisana
@berthadavid68123 жыл бұрын
🙋♀️🙋♀️🙋♀️
@fredrickmichael23173 жыл бұрын
Elfu 80,000 katika millions tatu
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
Leo sicomment chochote
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Hujatosheka kurudi Uganda wakati ulikuwa ukitumia hirixi yakupumua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mshua3373 жыл бұрын
Kila episode ina misosi mara 5.zabrona hapo kwenye hiyo sekta namkubali aisee
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Pili somoe Amina cute emmy Mimi mimi wetu mpenzi Ayuim Aisha fatm sapna nawengineo njoooooooooooon mambo tayariiiiiiiiii🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🙄🏃♀️
@jacksonnyange53343 жыл бұрын
Waitee nipo
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@jacksonnyange5334 pamoja 😍😍
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Huyojamaa alienda kununua rangi siku tatu huyo alikuwa danga mana alikuwa nasitarehee na wanawake yani tamaaa watuwengine bn yani zake zilikuwa xawanawake tuuu
@mariamripiti21373 жыл бұрын
Jamani
@elizabethhonere29313 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Davister nawe unapenda makulaji hahahahah
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Umenifurahusha ulivyo mtoa nishai
@hagurukamwana40953 жыл бұрын
Jama na Musosi kweli 🤣🤣
@jangombeboys45363 жыл бұрын
💪💪❤ 💪💪
@nurafedrick3783 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣loo msosi kuku chips kienyeji ama mayai kienyeji eti engineer 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍😍🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️kula mhimu bn ndokazi badae🚶♀️
@askaounga64563 жыл бұрын
35
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Jmn kusoma nje ndo ule chips mayai ya kienyeji kuku nusu duuuh..Huko ni kufirisiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nellyrhn43493 жыл бұрын
😍😍😍David naomba unipe jina lake la Facebook nimu follows
@khadijaomari93443 жыл бұрын
zabron c mwita
@nellyrhn43493 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 asante
@mwajiranimesalimu55093 жыл бұрын
hahahahaaa. kakangu upande wa msosi😅😅😅😅😅😅
@evelyneakech26773 жыл бұрын
Number 27 😘😘😘
@shiaochang13353 жыл бұрын
Yani zabron unachekesha na kuhuzunisha kwa kweli
@mariamshabani68533 жыл бұрын
Number 2 Leo Asente Sana my big broo
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Mamb
@mariamshabani68533 жыл бұрын
@@mamskiumbe4057 poa
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Niambie
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Mzm mariam
@mariamshabani68533 жыл бұрын
@@mamskiumbe4057 yeah
@said20483 жыл бұрын
Kaka Said2048 nimekuona jana nakubali
@abbyadams86913 жыл бұрын
Injinia Zabron soma iyooo! 😂😆
@apolinemalungano91553 жыл бұрын
Davistar unashimama shimama Sana unabowa umechoka nakazi nini
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Kicheko cha zabron bhanaaaa ni hatariiii 😂😂😂😂😂
@joshuatalu95963 жыл бұрын
Hii dunia ina mambo.DM barikiwa sana.Tuombe Mungu atulinde na atuepushe na wabaya wetu.