BILA UOGA MBUNGE AINGIA NA POMBE BUNGENI "Mimi siyo kichaa nakuheshimu | MBUNGE MSUKUMA AMTETEA

  Рет қаралды 273,030

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Жыл бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 224
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Mbunge wananchi wa jimbi lako wakuongeze mitano tena umetuwakilisha vyema sana MUNGU akutunze
@jesuinababili2280
@jesuinababili2280 Жыл бұрын
Kabisaaaaaa... mu5 tenaaa
@georgemboneko9163
@georgemboneko9163 Жыл бұрын
Dada umekitumia vyema kiti chako cha ubunge kwa mawazo chanya. Ubarikiwe
@mossesisaack5066
@mossesisaack5066 Жыл бұрын
Dada Umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli ,Mungu akubariki . Niwaombe wabunge tuige mfano huu kuongea mambo ya kujenga nchi yetu kama huyu dada
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
kuongea ukweli kabsa ila utekelezaji kwa huyo rais wake utafsnywa maana awam hii maongezi tu hamna utekelezaji kabsa
@km4km437
@km4km437 Жыл бұрын
Ama kweli tupo wachache wenye uwezo wa kuongea mambo yasiyo faa kwenye jamii dadaangu mungu akupe ujasiri kesho iwe njeema kwetu sote sio kwao tu yamoyoni yamenitoka nawachukia watu kama huyo alievaa kibakuli kichwani hajui hata kuonya wala kufundisha anataka aitwe mwalim cheeeee
@saitotimollel-8995
@saitotimollel-8995 Жыл бұрын
Dada umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli mungu akubariki niwaombe wabunge
@charleschacha4076
@charleschacha4076 Жыл бұрын
Hongera sana sana dada una kipaji waambie ukweli japo ukweli unauma
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Жыл бұрын
Mbunge ameongea point mpaka Mimi niliyopo huku Arusha imebidi nimpigie makofi,hongera sana kwake.nami naunga mkono hoja
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Makofi yako hata mimi nimeyasikia huku
@nuruedu2117
@nuruedu2117 Жыл бұрын
Sawa
@nuruedu2117
@nuruedu2117 Жыл бұрын
Sawa
@jehovajonas9284
@jehovajonas9284 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@olesambekelaizer1117
@olesambekelaizer1117 Жыл бұрын
Daah HUYU Mama amenissimua kwa Hoja yake natamani nimuhagi 😂😂😂 kwa pongezi Gongo letu safi san😂😂😂😂😂 tuboreshe ili iwe na tija kwa Taifa letu
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Mheshimiwa Asante.Mimi siyo mnywaji, Lakini nimefurahishwa na mchango wako. Aidha nimefurahishwa sana ,tena sana jinsi ulivyo mjibu Huyo mzee. Majibu yako na mheshimiwa Tulia, yamemfanya ajue ana Akili na uelewa kiasi gani.Barikiwa mama.
@fatmaissa5685
@fatmaissa5685 Жыл бұрын
Tunauwezo wa kutengeneza wine hata katika ngazi ya kijiji kupitia sido
@rehemashayo5024
@rehemashayo5024 Жыл бұрын
Tungekuwa na kumi kama wewe nchi ingekuwa zaidi ya ulaga ❤❤
@bahatisimfukwe3834
@bahatisimfukwe3834 Жыл бұрын
Uko vizur mh wangu by simfukwe chole
@rubensokoine6647
@rubensokoine6647 Жыл бұрын
Safi sana endelea kumshika yesu mama wangu
@darusinganziulenge9363
@darusinganziulenge9363 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha mrefu akuondolee usda na hasada msema kweli mpenzi wa Mungu kila anayesema kweli anawekwa kundi la kichaa je uyo anayeweka wenzake kundi la wakichaa je yeye anayoyafanya kijamii yanampendezesha Mungu ukweli wamtu upo ndàni ya nafsi yake kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 8 күн бұрын
Wanywaje mupo twendezetu bungeni nimewapenda sana
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Hongera sana hawataki kupima tbs yetu
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz Жыл бұрын
Nimekuelewa sana mawazo yako nimakubwa sana mh Mungu akubariki sana
@user-ju2tp5dv6i
@user-ju2tp5dv6i 8 ай бұрын
Naomba moja hapo nizimue mueshimiwa Asante sna ukweli umewapa waache kukualili maisha yakaisali apwe kaisali na ya mungu pew e mungu
@frankrevelian6919
@frankrevelian6919 Жыл бұрын
kuna watanzania wana akili kinoumaaa yaan....
@JudithJackson-we6iu
@JudithJackson-we6iu Жыл бұрын
Umeongea vizuri sana dada ubarikiwe sana
@KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih
@KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih Жыл бұрын
Dada hongera sana kwa kusisitiza kuthamini vya kwetu alikuumba akubariki kwa kusema kweli
@user-ur8cz7ls3s
@user-ur8cz7ls3s 2 ай бұрын
Asante sana dada umeongea point kubwa sana na Nina uunga mkono hoja yako Asante sana na ubarikiwe sana dada💛💚💚💚💚
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj 20 күн бұрын
🔥Hawa ndio aina yawabunge tunawaitaj sio wale wanaoenda kula mpk wananenepa hovyo 😊
@samoramollel
@samoramollel Жыл бұрын
Mwanamke unaakili sana.
@ombayemangare3088
@ombayemangare3088 Жыл бұрын
Hii habari inastahili kujadiliwa katika bunge la Kenya.....napenda hoja hii
@medardkalinjuma5503
@medardkalinjuma5503 Жыл бұрын
Dah mbunge wetu leo umejadili uovu kweli. Umeiudhi mbingu sana kwanafasi alokupa Mungu, umeitumia vibaya leo. Unywaji na wanywaji niuovu na hakuna mbingu kwa walevi.
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Жыл бұрын
Imemaanisha ni kwanini tuthamini vya wenzetu wakati vyetu vipo ?? KAMA NI DHAMBI BASI VIPIGWE MARUFUKU KABISA NA SIYO KURUHUSU VYA NCHI ZA KIGENI.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Жыл бұрын
Gongo ibotreshwe iwe na viwango...Ajira zipatikane na tuviheshimu vya kwetu
@user-xl6vf4nb8y
@user-xl6vf4nb8y 9 ай бұрын
Kenya can never explain such 😅😅😅
@StevenSinkonde-w5r
@StevenSinkonde-w5r 6 күн бұрын
Hongera sana kwa kusema ukweli
@rubensokoine6647
@rubensokoine6647 Жыл бұрын
Jamani wabunge pombe nidhambi sana Mungu awa saidie sana
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Жыл бұрын
Kama ni dhambi kwanini zinaruhusiwa na Kama zinanunuliwa kwanini tuwaungishe mataifa ya mbali?? NADHANI HII NDIYO HOJA YAKE
@levinatesha5317
@levinatesha5317 4 ай бұрын
Dada sio poa😂😂😂😂😂
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Жыл бұрын
Gongo Nchi zingine ni pombe ya asili Namibia gongo inauzwa sokoni mpaka kwenye baa ndogo ndogo.
@nangugu1657
@nangugu1657 Жыл бұрын
Dah ama kweli wanaichi wa momba wanamuwakilishi bungeni dada hongela sana upo vizuli hakika mungu akuzidishie miaka na miaka Ijayo wanaichi wa momba watambue uwepo wako bungeni
@seriousmovie
@seriousmovie Жыл бұрын
Daa!! Barikiwa sana mama momba hongereni
@vitalismarunda6760
@vitalismarunda6760 Жыл бұрын
Wabunge kama hawa kwenye Bunge letu ni wachache sana Safi sana Dada Anguu unaupiga mwingi aiseeee
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE Жыл бұрын
Umetengeneza point japo haikuwa imenyoooka mwanzo
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
kwa huyo mnae muita rais wenu hana akili wala moyo wa kuwajali wanainchi wa kawaida miaka mi 2 sasa mnaongea tu hamna utekelezaji hakuna hata faida ya bunge awamu ya samia hamna wakutekeleza anapenda maaovu sana huyo mama ndio maana anashindwa kuyazuia maovu na maaswi yupo kimya waiz wanaiba wapo tu
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 Жыл бұрын
Dada kaongea point,, Big up my Dada 👊
@isamony58
@isamony58 Жыл бұрын
nimependa iyoo mada tupewe uhuru tu gongo nipombe peke yakitaalamu mtwara oyeeeeee
@HassanNyawange-xj2cp
@HassanNyawange-xj2cp 7 ай бұрын
Katika wabunge ambao wapo bungeni kwajili yakuijenga icho hii wewe upo miongoni mwao! Msukuma pia dada uyo ongozen maisha mtupambanie wakipato Cha chin.
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Жыл бұрын
Tena pombe yetu inalewesha vzur kweli...unabaki na akili.🤣🤣🤣🤣🤣akili ya kuanza nayo kesho.
@bulengedimathias6756
@bulengedimathias6756 Жыл бұрын
😂😂😂
@fatmasoud
@fatmasoud Жыл бұрын
😂😂😂😂
@Nanata1995
@Nanata1995 7 ай бұрын
Bakukubali
@abatinkalango4571
@abatinkalango4571 Жыл бұрын
Well said
@josephwachira-jz4bt
@josephwachira-jz4bt Жыл бұрын
Dada yangu mheshimiwa umenena, mimi ni mkenya na nimefurahishwa na economic mindset ya mheshimiwa. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 Ай бұрын
Asante sana pombe niharamu kwenye vitabu vyote
@user-lo1ub5sv1t
@user-lo1ub5sv1t Жыл бұрын
Hongera sana
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Waafrika tuna kasumba mbaya sana, tunathamini vya nje tunadharau vya kwetu.
@williamjohn7907
@williamjohn7907 Жыл бұрын
safiiiiiiiii
@euphrasiantawatawa1510
@euphrasiantawatawa1510 Жыл бұрын
Hivi wanini msimuache huyo mh Kondesta aongeee,mnakatisha katisha nini?
@naomipanja5768
@naomipanja5768 5 ай бұрын
Mbunge wetu be blessed
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb Ай бұрын
Yes sister 👏 🙌
@josephgurti7321
@josephgurti7321 Жыл бұрын
Uko sawa
@BatroNgilangwa
@BatroNgilangwa Жыл бұрын
Asante sana dada yangu Kwa hoja thabiti.
@LizzLissah-vg2tk
@LizzLissah-vg2tk Жыл бұрын
Such amazing topic
@michaelmatemu3490
@michaelmatemu3490 Жыл бұрын
Hili Jambo wakati mtu anaongea alaf mwingine anasema taarifa inakata sana
@danielshekiyao706
@danielshekiyao706 Жыл бұрын
Yani hili binge la sasa Lina vioja Yani wamekunywaaaa usiku mzima pombe zikawatuma waingie nazo wakazitetee
@gospelguest694
@gospelguest694 Жыл бұрын
Mungu kutunze uendelwe kutetea wanachi wako waliokupa kibali na ukumbuke pia kuna taji yako mbinguni kaza mwendo ingawa utapigwa vita ila mungu hajawahi kuacha kuwalinda mashujaa wake
@JoachimMagori-vm9pg
@JoachimMagori-vm9pg Ай бұрын
KUNA sababu ya kuwa na taasisi ya kukusanya wabunifu bila kujali vyeti vyao ili kubaini vipaji na bunifu nzuri.
@infoman0909
@infoman0909 Жыл бұрын
Dear gambe
@winepreneur7329
@winepreneur7329 Жыл бұрын
Sista ukitoka tuonane unikabidhi huo mzigo
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Жыл бұрын
😂🤸
@muganyizibuzubona7160
@muganyizibuzubona7160 Жыл бұрын
😂😂😂
@HalfaSaid-vl6ki
@HalfaSaid-vl6ki Жыл бұрын
Ilo ndo tatzo la TZ ukibuni bunduki unakamatwa ila wanatumia mamilion kuagiza Silaha nje daaa! bongo😂
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 Жыл бұрын
Dada una Akilisana
@GilbertMuhandiki
@GilbertMuhandiki 6 ай бұрын
Kuna vitu navishangaaga sana ukiona wabunge wanavowaka bungen kweli utasema wamechukia kumbe ni nguvu ya soda Kwa ajili ya maandaliz ya uchaguzi wa 2023 ila wajue na njue sisi watanzania tunatumia Kwa maigizo hayo na mkumbuke sisi ndo walipa kodi tuliona hayo maigizo yanayoendelea tunatumia sana sana.Tupunguze masiara na tuache masiara.
@andrewshirima6332
@andrewshirima6332 Жыл бұрын
Upo sawa Mh.
@richardnott4403
@richardnott4403 Жыл бұрын
Hapo elimu inatakiwa hayo anayo Zungumza ni kweli kabisa kwa sisi tunao fanya kazi za hotel tunaelewa anachosema mbunge sema hapo tatizo wanao kunywa wanatumia vibaya gongo ni sprit kama hizo alizo nunua mh yaani ni elimu tu hapo ni pana sana
@farajamlenga2791
@farajamlenga2791 Жыл бұрын
Nmependa majibu yako kwa uyo mzee na Mungu ajutunze umeongea ponti sana nchi ingekuwa na wabunge wa namna iih hakika tungefika mbali
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 Жыл бұрын
Kwahiyo ukimaliza show waenda kujitwika sharubati kuanguka😂😂😂😂
@bausaluck6612
@bausaluck6612 Жыл бұрын
Sasa izo zimemwangwa au waziri alitaka kujuwa laza ya KackDaniel
@thompsonmasologo5093
@thompsonmasologo5093 Жыл бұрын
Kampa King
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Жыл бұрын
Mungu akulinde na husda maana umeongea mitano haitoshi
@YohanaMabongo-no6rv
@YohanaMabongo-no6rv Жыл бұрын
Mhe. Big up. Shida ni kwamba ukoloni umetulemea akilini. Tunakopi tu naku paste
@danfordmbilinyi1138
@danfordmbilinyi1138 Жыл бұрын
Nice say
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 Жыл бұрын
Wabunge wa chama kimoja ni wa hovyo sana mnadhan tumesahu zile hela zilizoibiwa pesa zetu wananchi...msituletee propaganda tunataka mjadili kuhusu zile pesa hizo habari za pombe ..waambien walev wenzenu ..tunataka pesa zetu zirud mtaan maisha magumu sana
@user-fn8mz5le3c
@user-fn8mz5le3c Жыл бұрын
I miss you amina chifupa
@user-rx6ey5ff3u
@user-rx6ey5ff3u 4 ай бұрын
Jamani kwetu moshi tunaitafuta kwa toch nakumbuka zamani mtambo nyuma ya nyumba
@user-mh6xv7wi7k
@user-mh6xv7wi7k Жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza Жыл бұрын
Kiwanda chibuku muekezaji alie kuwa anakiendesha amerudi kukihitaji baada ya Tbl kushindwa kukiendesha jiji wamekataa wakati mkuu wa mkoa wakati huo kabla ya Makala hakuwa na shida ila jiji wamekataa sababu wanaijuwa
@hamzajafary
@hamzajafary Жыл бұрын
mungu akulinde usem ukwel
@user-ow6tx2is8b
@user-ow6tx2is8b 4 ай бұрын
V good gongo ililea nakutusomesha
@sebastiannyembe2660
@sebastiannyembe2660 Жыл бұрын
Mwalimu Bora huingia darasani na zana za kufundishia
@altenkiswaga2533
@altenkiswaga2533 Жыл бұрын
Hayo maneno kwanini ubunifu wa Tanzania udidimizwe
@neemajumanne458
@neemajumanne458 11 ай бұрын
Ongera mtumishi
@juliusmagheke1379
@juliusmagheke1379 Жыл бұрын
😂😂 nasubiri siku mkijadili barabara na madaraja nayo myabebe kuyaingiza ndani ya bunge
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Pombe za kienyeji haitakiwi kwa sababu viongozi hawapata asilimia 10 ndo mana wanadharau ili tu ije toka nje
@geeva99
@geeva99 Жыл бұрын
Mbona kama kalewa ye mwenyewe, akisikia taarifa analeta attitude, kweli pombe ina frequency mbaya hata ukikaanayo karibu tu
@user-ny3de2qq6r
@user-ny3de2qq6r 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@silvanuskulikiza8864
@silvanuskulikiza8864 Жыл бұрын
Mmekuwaje ninyi wasomi wetu na wabunge wetu? Mmekosa cha kutetea mpaka mnatetea pombe!!? Daaa! Vipi wasomi wetu!!!?
@wilbartwilliam
@wilbartwilliam Жыл бұрын
Well said madam
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Hivi inakuaji mtu mzima Tena msomi anatamka maneno kisengere nyuma? Mfano: 1 dhambi mtu anasema zambi 2 R ( Ara ) mtu anatamka L ( ELO ) 3 serikali mtu anatamka selikali 4 Brother eti blaza! 5 Road eti load! 6 light eti right 7 Right eti light !!!! Duh, aibu sana. Kiukweli nawashangaa sana 8. Kura eti kula!
@ZakayoIbrahim
@ZakayoIbrahim Жыл бұрын
Fantastic
@jemxruni
@jemxruni Жыл бұрын
Asant mama ❤❤❤❤
@user-bl2vt6rk8m
@user-bl2vt6rk8m Жыл бұрын
Duuuh nimeipenda iyoo
@maresianantibakazi-yh4qd
@maresianantibakazi-yh4qd Жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti
@edwinmalila8603
@edwinmalila8603 Жыл бұрын
Kongole mbunge watu wa chini mwananchi hafikiriwi na mawazo ukoloni mamboleo unafanya kazi
@peterkanza2207
@peterkanza2207 Жыл бұрын
Hii nchi ukiwa mbunifu unaitwa muhuni? Kipanya kabuni gari,kisha watendaji wa wizara ya viwanda wanamuita muhuni.
@user-rr1lw7sz6h
@user-rr1lw7sz6h Жыл бұрын
Ni mbunge wa kwanza mwenye mawazo chanya mama mwaga cheche kututete wa pika pombe wanateseka sana
@ShomaMaganga-pm4mf
@ShomaMaganga-pm4mf Жыл бұрын
Umenena sana
@MasterRugemalila-ze4ym
@MasterRugemalila-ze4ym Жыл бұрын
Asante
@victorbakarweha5375
@victorbakarweha5375 Жыл бұрын
Sawa
@fabricenindagiye1143
@fabricenindagiye1143 Жыл бұрын
Afrika dufise ikibazo co gukengera ibikorewe kubutaka bwacu tukizera ivy'abazungu. Sema dada wambie
@cloudmchopa5665
@cloudmchopa5665 Жыл бұрын
saaf saana hakuna sapoti zidi ya kuletewa police
@raphaelngulo1293
@raphaelngulo1293 Жыл бұрын
Nimependa Mawazo ya Mh,Mbunge
@veronicabundala3273
@veronicabundala3273 11 ай бұрын
Dada kweli watanzania tuna zalau Mali zetu
@maulidimpili698
@maulidimpili698 Жыл бұрын
Mbunge baada ya kukemea pombe unaenda kutetea pombe hiv umesoma na elimu yako inakusaidia kwel
@delimachesa5007
@delimachesa5007 Жыл бұрын
Huyo ni mtumjshi wa serikali serikali haina Imani...Imani Ya wananchi ndioinakataza matumizi Ya pombe ila Serikali haikatai ndo mana inaruhusu importation ikiwa bidhaa haina madhara kwa watumiaji na ndo mana kuna taasisi ya kuthibitisha bidhaa kuingia kwenye mzunguko
@maulidimpili698
@maulidimpili698 Жыл бұрын
@@delimachesa5007 ukisikia serikali ni watu sio jengo wala vifaa soma vitabu vya dini zote utaona pombe inavyokatazwa ila sehem yoyote inaposhuka elim ndipo walipoanza kutofautiana hao wasomi au wavumbuz wa vitu wanafalsafa wamechukua vitu kwenye vitabu vya dini zote ndio wanatamba mpk leo mawazo yao
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u Жыл бұрын
Huyo binti anayetetea ubunifu sheis athinker in deed.
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Kiongozi wa Wananchi anapotetea ulevi
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,6 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 32 МЛН
Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
12:08
Global TV Online
Рет қаралды 135 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН