MBUNGE KATANI, MSUKUMA WACHARUKA “Wabunge WAPIMWE Kama Sio MASHOGA, Hili Linaugumu Gani”

  Рет қаралды 127,387

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Жыл бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 218
@Hasnspop
@Hasnspop Жыл бұрын
TANZANIA BILA USHOGA INAWEZEKANAAAAA
@erickzephania1030
@erickzephania1030 Жыл бұрын
Wanazima mambo muhimu hakuna lolote
@Hasnspop
@Hasnspop Жыл бұрын
Wanaopinga huenda wanagongwa kama kawaida
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 Жыл бұрын
Safi kabisa msukuma mbona kibiti Lindi, panya load , wamedhibitiwa iweje hawa waleta mikosi katika nchi yetu Serikal itumie mtindo uleule
@duamawazo9088
@duamawazo9088 Жыл бұрын
Katani hayo yote Tambua unanduguyako Punga Anaitwa. Oswad Yupo kitama Tandahimba Mtwara Allah shaidi 🙏
@talhiyaibrahim1074
@talhiyaibrahim1074 Жыл бұрын
Ahsants Sana Allah akulipe khr Allah akulinde na mungu akupe nguvuu Allah uzid kukutetea
@sifamanyori-kf9vq
@sifamanyori-kf9vq Жыл бұрын
Kubukeni ushanga upo mangerezani kialabu kutafuta utajiri kwawafilika weusi kuwa mashonga
@josephlucas2786
@josephlucas2786 Жыл бұрын
Mh waziri wangu wa Afya Nipo tayari kujitolea pasipo malipo Nia nikudhibit uhovu
@Hasnspop
@Hasnspop Жыл бұрын
Ushoga no no no ahsante wabunge wanguuuuuuu
@oman7710
@oman7710 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi kaka yangu
@habibarashdi2250
@habibarashdi2250 Жыл бұрын
Mwenyeezimungu awape umoja naushirikiano,lenu liwe moja nasheria ichukuliwe haraka,Mimi inaniuma sana
@neykweyamba2429
@neykweyamba2429 Жыл бұрын
Sio peke yako ndugu
@AmosMasanja-vu8ex
@AmosMasanja-vu8ex Жыл бұрын
Nikweri kabisa mungu atuokoe na ushonga
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Kweli kabisa .binadamu kila kiungo kinakazi yake .leo hii sehemu ya kutoa mavi ndiyo unaenda kugeuza stalehe
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Wanaadam kuna muda watabuni kutembea migu juu vichwa chini
@perfectpixelsstudio3603
@perfectpixelsstudio3603 Жыл бұрын
Nawaonea huruma wabunge wa kike 😅😅 utakuta ote hawana Malinda hapo
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
​@@perfectpixelsstudio3603 😂😂😂mie sitaki kucheka😅😅wapimwe ili wajulikane na wengi hapo hawana malinda wanawake 😅maana kuna wengine na vukuku juu😂😂
@erickaguo2556
@erickaguo2556 Жыл бұрын
Wanajificha ila sku ipo
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 Жыл бұрын
Wapimwe muanze mfano nyinyi ili mue na hasira ya kutunga Shelia Kali
@filorammbaga5710
@filorammbaga5710 Жыл бұрын
Asante mbunge umesema kweli tungeni sheria wanyongwe mbwa hawa sawasawa na bibilia imeamuru wauwawe,wote hta wanawake wapimwe asante mbunge Katani. Tupeni way forward ya huu ujinga .
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Asante mbunge kila kitu kimewekwa kwa uhalali wake .kiukweli ushoga hapana
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 Ай бұрын
Asante sana tunaitaji wabunge wenye imani
@dawoudal-arabiybik3747
@dawoudal-arabiybik3747 Жыл бұрын
Mmenifurahisha sanaaa wabunge wangu mloongea
@hosnakamees5454
@hosnakamees5454 Жыл бұрын
Kabisa👏👏
@athumanimhanga2053
@athumanimhanga2053 Жыл бұрын
Nasikia wengi niwasenge😂😂😂😂😂😂😂😂
@brunonsungwe8389
@brunonsungwe8389 Жыл бұрын
Asante sana Mweshimiwa, Mungu akupiganie ktk huduma yako
@user-rt6us1cj6b
@user-rt6us1cj6b Жыл бұрын
Mashaallah hakika umeongea point mpitishe kabisa atakae patikana onyongwe kiukweli hii ni hatar kwa jamii
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 Жыл бұрын
Wapimwe kukomesha ushoga cz watu wana haribika kwa kufanya kinyume na Mungu
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Жыл бұрын
Msukuma acha woga
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Attak kmyakmya Uganda mbona awajafanya kmyaa il jambo la ushoga Ni kbwa Sana lazma lisemwe wazi misaada itattowa roho aknaga Cha bure ata mugufuli alsha sema
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 Жыл бұрын
shida sio kupimwa shida ya kwamba inasadikika wabunge wengi ndio wanaowafanyia mashoga vitu hivi sasa je mkipimwa itaonyesha maana wanaotendewa asilimia kubwa wapo nje na waliopo humo ndani ndio wanawafanya
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 Жыл бұрын
Tungeni sheria Kali Tena Kali sana
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Waanze kwa wanaume, wanawake nao wapimwe mik.nd. kama wanafanywa kinyume..
@shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe
@shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe Жыл бұрын
Wanawake mtanyonga wote Tanzania mi nawachana kwamparange wengi wanaenda🤣🤣🤣🤣
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 Жыл бұрын
Kuna mashoga ndani ya mjengo Nini? Wabunge wengi wanasema tunawajua ..😅 nani hao
@hosnakamees5454
@hosnakamees5454 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Kwakwel
@Jonas-kk4bh
@Jonas-kk4bh Жыл бұрын
Wako wengi apo sana na Mpaka viongozi wenu wakubwa wapo wamesaini Ushoga sasa wamekaa kimya kuongea kwao kqa mafundo tu
@halfankwimbi8584
@halfankwimbi8584 Жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa Katani kwa kupaza sauti juu ya hili suala la kishenzi kweli kupimwa kuna haja hiyo kweli
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 Жыл бұрын
Tatzo sio kupimwa hicho kipimo kinakuaje😂😂😂
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Sawa kabisa baba umesema kweli
@flaviankimat5233
@flaviankimat5233 Жыл бұрын
hata mashuleni ningependekeza wanafunzi wote wapimwe ili.kama wapo wathibiwe mapema wakiwa wavchanga jamani.kama wabunge watapimwa hakika mashuleni nawo wapimwe
@magesaneema1903
@magesaneema1903 Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@estermathias8354
@estermathias8354 Жыл бұрын
Ikibidi nchi nzima kupimwa tu😂😂😂
@wgnckasarani
@wgnckasarani Жыл бұрын
Napenda wa Tanzania ila Mimi ni mkenya
@hamisitza5698
@hamisitza5698 Жыл бұрын
👏👏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-dj9bu5yj4c
@user-dj9bu5yj4c Жыл бұрын
Asante mheshimiwa katan
@flaviankimat5233
@flaviankimat5233 Жыл бұрын
sawa sawa mbunge ni vizuri sana
@ibrahimmwilo1586
@ibrahimmwilo1586 Жыл бұрын
Tukizungumzia swala la wasenge😂😂
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp Жыл бұрын
Kiukweli anae kwenda kinyume na maumbile auwawe moja kwa moja tatizo kubwa sisi tumekiacha kitabu cha mwenyezi mungu ndomana yanakuja haya
@festondimbila
@festondimbila Жыл бұрын
Vzr sana kupmwa ndikokutatutambukisha waasi wa nchi yetu
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Nimemuelewa msukuma sn .wauliwe tuu.🤣🤣🤣🤣
@geahypertechsalesrepaircom4158
@geahypertechsalesrepaircom4158 Жыл бұрын
😂
@abubakaralimohammed3388
@abubakaralimohammed3388 Жыл бұрын
Muwe mfano Mwema kama Wabubge
@bablyshah2745
@bablyshah2745 Жыл бұрын
Big up Mh.KATANI
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Lazima tupimwe
@diamondfrec9539
@diamondfrec9539 Жыл бұрын
Huu muda ndio wa kumpinga shetani,ushoga unawafaa wazungu sio waafrika
@lucasy20gogo69
@lucasy20gogo69 8 ай бұрын
Wabunge mumetisha
@sarahmwakilasa7425
@sarahmwakilasa7425 Жыл бұрын
Safi sana wabunge
@ameenaameena422
@ameenaameena422 Жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania yangu Ya rabbiy
@tato8979
@tato8979 Жыл бұрын
Big up
@mariamkivuyo8154
@mariamkivuyo8154 Жыл бұрын
Safi sana wapigwe chuma wafe
@Revolution_bwoe
@Revolution_bwoe Жыл бұрын
Nyie uzeni hii nchii watoto wenu watakuja kuliwa jicho hamtaamini.. tungeni Sheria
@murtazabandali5609
@murtazabandali5609 Жыл бұрын
mji Illi malizwa na mwenyezi mungu si bin a Adamu Muhushimiwa bin Adamu na limit kunena use kule weiti na uje u owe ki sharia manamke na kum showri basi tu nikushowri.
@rebeccaonesmo2430
@rebeccaonesmo2430 Жыл бұрын
mungu ibariki tanzania yangu
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Жыл бұрын
Wasagaji na mashoga rahisi kuwatambua, lakini mtawapimaje, wale wanaosagwa na mabasha?
@mkalimala3564
@mkalimala3564 Жыл бұрын
Hapo sasa safi saanaaaaa,,,,,,,bunge Lina meno
@viccigarments435
@viccigarments435 Жыл бұрын
Hakika Mungu atuone jaman
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Humo Bungeni wamejaa tele ushoga na wasagaji tunawajua sanaaaa
@sadickkalinga3182
@sadickkalinga3182 Жыл бұрын
Yaani wengi watakutwa matundu yao yapomwaaaa
@salommussa5409
@salommussa5409 Жыл бұрын
NA HAIPENDEZI KUWA MBUNGE ANAZUNGUMZA HOJA MZURI WENGINE WANACHEKA CHEKA TU. HAIPENDEZII WE NEEDS ATTENTION IN THIS SERIOUS ISSUE
@kelvinmunishi4755
@kelvinmunishi4755 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@muwezahasani4017
@muwezahasani4017 Жыл бұрын
Much respect katanii
@EsterMwalongo-ox2sk
@EsterMwalongo-ox2sk Жыл бұрын
Na wanafunzi wanapoenda mashuleni wawe wanakaguliwa kila baada ya miezi mitatu
@angelamamboleo2204
@angelamamboleo2204 Жыл бұрын
@@EsterMwalongo-ox2sk kabisa itasaidia hata wazAzi kugunduA MAPEMA KWA SABABU WATOTO WENGI WANAFICHA NAKUOGOPA KUSEMA
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Жыл бұрын
Mama Janett masaburi anamjua vizuri dini beible
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Wawakilishi wa wananchi 🇹🇿 msilete utani,kwa hili msijeleta laana Tanzania 😊
@danielsaruni825
@danielsaruni825 Жыл бұрын
Upo sawa shehe
@yassirgiya6743
@yassirgiya6743 Жыл бұрын
Kweli kbsaaa❤
@mawazomolani2677
@mawazomolani2677 Жыл бұрын
Umechangia vizuri sana
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
MUNGU Tusamehe turehemuu usituache mbaya Sana kuachia dhambi kuliko kuangalia iendelee twafuaaaa MUNGU Anatuangalia tunamua nini ili aamue Yeye Yehova. Jamaniee.TaifaaaTanzaniaaaa.Tuokoe BWANA tusamehe.ghalika hiyo lisinyamaziwe eeee tupone tuongeze Maombi Sana
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Safi sana anaongea anajiamini na ameheleweka
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Na kitaa njoo mtupime raia wote wa Tz
@estermathias8354
@estermathias8354 Жыл бұрын
😂😂😂huyu mbunge nimempenda ila msukuma sijamuelewa.wapimwe tu.
@aminamahamudu6402
@aminamahamudu6402 Жыл бұрын
Nice
@EfferyAnderson-pt1zb
@EfferyAnderson-pt1zb Жыл бұрын
Sahihi kabisa
@josephinelwamlema7331
@josephinelwamlema7331 Жыл бұрын
HUYU MBUNGE SIJUI WAZIRI ANAYESEMA MAMBO HAYA YAISHE KIMYA KIMYA NAOMBA AANGALIWE
@neykweyamba2429
@neykweyamba2429 Жыл бұрын
Kabisa kunyongwa ndo Suruhu❤❤
@marcopeter4091
@marcopeter4091 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@missmwayway4704
@missmwayway4704 Жыл бұрын
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
Halima mdee my wangu yuko wapi
@hosnakamees5454
@hosnakamees5454 Жыл бұрын
Nini lakini😀😀😀
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
@@hosnakamees5454 haha kuuliza tu
@JacksonJohn-jv7ve
@JacksonJohn-jv7ve Жыл бұрын
Wapimweeeee 😂😂😂
@realbeda2880
@realbeda2880 Жыл бұрын
Wooooow wapimwe!
@demetriajohn2393
@demetriajohn2393 Жыл бұрын
Weweeee🤭😂😂 kimenukaaa,wasenge Yanagongaaa chp
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Жыл бұрын
Tatizo hao madaktari watatoa majibu halisi? kama wakiwakuta hao mashoga watawatangaza???
@neversonkunoga6692
@neversonkunoga6692 Жыл бұрын
Msukuma unaakili sana naunga mkono taarifa yako, tumalize kimya kimya hili jambo tunaweza sana
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 Жыл бұрын
Kinywa kinywa vip mbona covid haijapimwa kinywa kinywa au ww na yy niwasenge hamtakikujulikana achakutetea uovu hatamunguhapendi kama mnafanya mhukumiwe kifo kama dini ya kislam inavyo elekeza
@KemiByabato-pi4sm
@KemiByabato-pi4sm Жыл бұрын
Jamani mimi naona kama wanatuzunguka zunguka tu na kutufunika funika mweshimiwa tundulisu ajasema shelia ipo tangu 1934
@samboarnold611
@samboarnold611 Жыл бұрын
😂😂😂😂 daaaa raha sana hii nchi
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
Aya Sasa wale wakutoa tigo huu mwaka kimeumana 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@shaban493
@shaban493 Жыл бұрын
Uko sahihi kabisa mbunge
@hairuissa7452
@hairuissa7452 Жыл бұрын
Nkbr katani Tandahimba moj
@user-jk7tq7xq2f
@user-jk7tq7xq2f Ай бұрын
Serekali jamani simameni vijana wanaharibika uku Arusha Ali nimbaya Sana
@lilianmoshi2245
@lilianmoshi2245 Жыл бұрын
Sawa sawa baba taifa lipo matatani
@cosmaskulaya5297
@cosmaskulaya5297 Жыл бұрын
Ni ajabu maneno yamekuwa mengi kuliko matendo, Hatua za haraka zichukuliwe, Tungeni Sheria ndo kazi yenu wabunge Hamjaenda hapo Dodoma kula Posho. Wanaowafanya wenzao Kitendo hicho ndo watu hatari kuliko wanyama ni Virusi, Tuanze na hao( Eliminate them ) hawa wanawaharibu wanaume wenzao, watu hawa pia wanawaingilia wanawake kinyume na utaratibu, tuanze na walawiti alafu tufate hao wengine.
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 Жыл бұрын
Hili jambo bado hatujaliwekea uzito wala kulishughulikia isipokuwa tuanalifanyia mzaha na kuzidi kulitangaza bila ya kujua. Bunge linapaswa kulishughulikia kwa kulitungia sheria kali na upande wa serikali ushughulikie wahusika wote wanaolichochea mfano baadhi ya NGO's, mashoga wote walioko mitaani na mitandaoni lakini pia kuweka mazingira bora ya malezi ya watoto wa mitaani, mashuleni na majumbani n.k maana wengi huanzia kuharibiwa huko
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 Жыл бұрын
Mimi Ni mtanzania ninayofuraha kubwa kuona kuwa wabunge wapo tayari anayekataa nayeye atakuwemo. Kama wameamua kutangaza ushoga Basi Ni razima tujue wabunge wanatupeleka kwenye ushoga.
@gervasmalimi5126
@gervasmalimi5126 Жыл бұрын
Mmbunge msukuma kazingua eti kadema wasenge😂
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Kachoka kuficha ficha kaona her tuu ataje
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@filorammbaga5710
@filorammbaga5710 Жыл бұрын
Sawa wapimwe kama ni mashoga waondolewe bungeni na wahasiwe kabisa. Sawa mbunge ,wapimwe!!!!! Tunawaona hapo wapimwe wahasiwe hakuna ugumu ,wapimwe, wapimwe,wapimwe!!!! Supu ya mbwa hunywewa ikiwa ya moto. Anzeni na wabunge.
@mariamkambuga8647
@mariamkambuga8647 Жыл бұрын
Ndiyo mpimwe hakuna kuwaonee aibu hata kidgo👌
@DM_15
@DM_15 Жыл бұрын
Viti vingine viko tupu havina wenyewe wameenda wapi. Halafu msukuma vp mbona unataka nyatu nyatu. Pimwatuu mzee uwe mfano
@perfectpixelsstudio3603
@perfectpixelsstudio3603 Жыл бұрын
Hapa tutabaki na wabunge wachache Sana 😅😅😅
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Tena wako wengi sana maafisa wa ustawi wa Jamii na Walimu na digrii zao vichwani mashule tele sjira hawapati
@andrewpasianus5589
@andrewpasianus5589 Жыл бұрын
Ohooooo
@suleim505
@suleim505 Жыл бұрын
Ndiyo maana namkubali huyu mbunge
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Wanao haribu watoto na wafiraji wengi ni Ccm kwetu zanzibar , sijui uko dar lakini waharibifu wengi ni ccm vijana tunajua sasa mtawanyinga watu wenu 😅😊😊😂
@issahdady608
@issahdady608 Жыл бұрын
Good katani
@aishahassan470
@aishahassan470 Жыл бұрын
😂😂😂😂 hao wapimaji watapata hela sana.... Kama naona wanavotajirika
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 Жыл бұрын
Sijui Kama tumemuelewa Msukuma? Yani msukumu anamanisha tuwamalize kimyakimya
@msafirimoses8815
@msafirimoses8815 Жыл бұрын
Kwanini hataki lizungumzwe mpimwe ninyi hasa muwe mfano kama hao wasenge wapo wanyongwe tu hawafai kwenye mfumo
@rungulayesu1895
@rungulayesu1895 Жыл бұрын
Hakikisheni mnapima wabunge hapo mlangoni
@fatmaali4921
@fatmaali4921 Жыл бұрын
Ukishawapima mutuambie ili tuwajue?coz hili jambo linatuumiza wazee sanaa watoto wetu wanapoteea
@siporajemes773
@siporajemes773 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wapimweeeee
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 37 МЛН
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Lasalo Comedian
Рет қаралды 362 М.
Did Modi really kill black money in India? : Economic case study
27:40