Haiti Taifa Liloshindwa? Visa Vya Ukoloni, Uhaini,Udikteta,Ufisadi Mpaka Ubabe wa Magenge ya Uhalifu

  Рет қаралды 778

The Chanzo

The Chanzo

10 күн бұрын

Nchi Haiti yenye idadi ya watu takribani milioni 11 ni moja ya nchi iliyopo katika eneo la Bahari ya Karibiani, kwa hivi sasa inakabiliwa na hali mbaya ya mchafuko yanayosababishwa na makundi ya kihalifu kushikilia maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.
Takribani asilimia 80 ya maeneo ya mji mkuu wake wa Port u Prince wenye watu milioni 1.2 yanashikiliwa na makundi ya kihalifu huku Serikali ikidhibiti eneo la mji mkuu kwa asilimia 20 tu.
Ni katika kipindi kifupi tangu kuanza kwa mwaka huu Umoja wa Mataifa unakadiria takribani watu 2,500 wamepoteza maisha, na wengine zaidi ya laki tatu wameyakimbia makazi yao tangu magenge hayo ya kihalifu yavamie vituo mbalimbali vya Polisi na kufunga mitaa kushinikiza Serikali ya mpito ya nchi hiyo kuachia madaraka.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 3
@MassoudMaghwaly-jo8sh
@MassoudMaghwaly-jo8sh 8 күн бұрын
Tanzania pakujifunza hapa😢
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 7 күн бұрын
TANZANIA TUNATAKA RAIS KAMA MAKONDA SIO IVYO KITANUKA MBELENI 😂😂😂
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd 8 күн бұрын
bado tz viongozi wa tz wana lewa madaraka, vibaya na ayo ndio malipo yake, ipo siku vijana wa tz watatekeleza aya, viongozi tafakarini aya.
President William Ruto dissolves Cabinet
11:40
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 283 М.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 52 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 52 МЛН
Makonda Awasweka Ndani Waliouza Nyumba ya Mjane Kimagumashi
6:05
Global TV Online
Рет қаралды 83 М.
Hotuba ya Rais Ruto! Uchambuzi na Ushauri kwa Ruto kutoka kwa DJ Sma
30:28