Wavivu, wazembe waongo na wajeuri katka kujibu wateja hao wasipewe msamaha hao ndio chanzo Cha matatizo kwa wananchi
@gililwise12 күн бұрын
Mh njoo Morogoro
@ibrahimmohamed884514 күн бұрын
Timua wote wanaoshindwa kufanya kazi ipasavyo.
@neemakerefu487613 күн бұрын
Waziri mbona kama wote hawafanyi kaxi Hapo kuna UHUJIMU UCHUMI KABISA KUNA WAFANYAKAZI WANAUZA MAJI WANATOA MAJI KWA MGAO NAKUOMBA WAZIRI FUATILIA KWA KINA
@exzaudruben677313 күн бұрын
Ujqge manjombe mkuu uovu toop
@AmedeusMbanda-gh4rj12 күн бұрын
🙆jamani
@barakarobert102914 күн бұрын
Hii serkalin ya ovyo sna kuna vijana wengi sna wenye sifa mtaaani alfu hao mbulula wanachezea kaz ingekuwa hivi mtu aki zingua piga chini hakuna kumuamisha wala kumsimamisha kaz unapiga chini hili hawa wengi na wenyewe wapate kaz hapo kila mtu angejituma sasa hii mala kumpa onyo
@allymusira215313 күн бұрын
Tatizo mita mheshimiwa tunafanya maombi tunaambiwa tusubiri sasa zaidi ya miezi sita
@JamesChrizestome14 күн бұрын
Mheshimiwa Aweso tusaidie kitu kimoja hasa katika ulipaji wa bill za maji kunautofaiti gani unit moja ya maji Kagera katika malipo na mikoa mingine, Kagara unit moja ni shs 2200/= na sehemu nyingine ni shs ngapi?