KUMEKUCHA ! Hashimu Rungwe AIBUKA "KUNA MTU ANAITWA WAZIRI MWIGURU NCHEMBA " hayajaanza leo / BAJETI

  Рет қаралды 10,885

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

7 күн бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+)255 692 318 213
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 51
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 5 күн бұрын
Kulikuwa na adabu walikuwa wanamjua Mungu sikuhizi hakuna Mungu ni waizi na umjomba
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 5 күн бұрын
Mzee kanichekesha kweli. Wenye hela ndefu ndio wanaotumia vitu vyote bure, wanyonge waendelee kuchangia wakubwa zao. Nyumba bure, magari bure, mafuta bure na matumizi ya juu sana. Mungu awaguse watukumbuke na sisi, wasije tokewa na yale ya Lazaro na tajiri jamani.😢😢😢😢
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 5 күн бұрын
Kila kitu ni maliyako wanakopa kwenye benki muda mrefu ndugu zao ndio wanafanyakazi sehem nzuri tanapa bandarini uwanja wa ndege
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 5 күн бұрын
Lakini kweli tulipata chakula bure
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 3 күн бұрын
Mzee huko vizuri
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 4 күн бұрын
Mkuu mzee wangu upo vzr
@peterjosephat6685
@peterjosephat6685 5 күн бұрын
Ile bure iliyokuwa wanapata wananchi wote sasa imeamia kwa wakubwa wa serikali wanyonge wananyonywa
@MgonjaFide
@MgonjaFide 4 күн бұрын
Mnyonge anyongwe na hakiyake iliwe
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 5 күн бұрын
Ni kweli hata madaftar wazazi walikua hawanunui yapo madaftar ya bendera ya tanzania daftari walikuta shuleni wewe waenda t
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 күн бұрын
😂😂😂 haya Mzee wa Ubwawa
@user-vm4zq7kf4e
@user-vm4zq7kf4e 4 күн бұрын
Mzee inchi hii imeshindikana
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 5 күн бұрын
mwiguru hafai
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 3 күн бұрын
Hawa ndio watu wa kuwahoji sasa sio yuvisisiem mimi nawalaumu wandishi wa habari tafuteni habari za kina sio za juu juu asant kwa chakula cha akili ,sisi nitahitaji elimu tu ya kujitambua mengine huja yenyeweeee
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 3 күн бұрын
Nyerere angejua bora angeiba kama mobutu congo
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 3 күн бұрын
Kweli wao kila kitu bure, mpaka matibabu bure lakini maskini alipe
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 3 күн бұрын
Hii ng’ombe kumbe bado iko mzeee Muhuni hawa ndiyo walifaidi huduma ya taifa ila hawana shukurani ila naona kama mwehu fulani
@user-zb5qz6fk1v
@user-zb5qz6fk1v 3 күн бұрын
Kiongozi wa fedha hafai kibaka na fisadi John alimtimua
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 3 күн бұрын
Waandishi hakuna tanzania hojini watu wenye akili timamu munahoji watu walio changanywa na maisha matokeo ndiyo hayo hakuna tulicho pata kweli una akili iliyo sawa unaenda kumhoji rungwe kweli muna iangusha tasnia ama mna nia ya kum dhalilisha Mzee wa watu aonekane hivyo
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 3 күн бұрын
Duu pole ila mm naamini umemuelewa Mzee ila hutak kuwa mkweli,pole kama ni kweli hujaelewa maana huna akil
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 5 күн бұрын
Miaka ile baada ya uhuru wananchi walikuwa wachache Ni kweli shule za bweni tulipewa kila kitu bure hadi 1978 tulitangaziwa miezi 18 ya kufunga mkanda hali iliyoendelea.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 5 күн бұрын
Tukiwa weng uzalishaji no mkubwa
@remigusluambana9880
@remigusluambana9880 5 күн бұрын
Watu wachache vipi,inatakiwa uchumi uwe directly proposional na population,punguza hayo mashangingi mashangingi na matumizi hapo pana hela
@shd12m55
@shd12m55 4 күн бұрын
Ukigombea saivi namii ntakupigia kura ili nile ubwabwa😂
@leokamil6284
@leokamil6284 4 күн бұрын
Kweli Viwanda vyote kwisha kilimo kilikuwepo sukari ,ngano Basutu ,nchi imekwisha mpaka mashamba ya mkonge nayo kwisha .
@allyhasani3750
@allyhasani3750 5 күн бұрын
Mzee mkweli
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 5 күн бұрын
Msomi kbs
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 5 күн бұрын
Leta muendekezo
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 5 күн бұрын
Mzee ubwabwe ccm hata ugali wanatowa machozi watakupa wali umezeeka piga siasa za ukombozi siyo za kichawa
@leokamil6284
@leokamil6284 4 күн бұрын
Kweli kabisa baada ya vita ndio likaanza balaa la hali ngumu
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 5 күн бұрын
Na ukweli umo
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 3 күн бұрын
Mzee sani
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 3 күн бұрын
Shida watanzania wengi mafal
@VictaDaudi
@VictaDaudi 5 күн бұрын
Haaaa haaaa haaaaa😊😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 duuuu hatari sanaaaaa
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 5 күн бұрын
Rugwe azeeki kbs yupo
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 5 күн бұрын
Uchaguzi umekaribia. Wameibuka
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 3 күн бұрын
Mkafanya kila njia wewe na nani
@user-my5yp6xx5s
@user-my5yp6xx5s 5 күн бұрын
Uko vizuri mzee wapashe
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 5 күн бұрын
Mzee toa sera zako. Ilitujue unachopendekeza ilitujue kama ni realistic
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 5 күн бұрын
Mtangazaji mbona umekomalia sn ubwabwa 😂😂
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 3 күн бұрын
Ndo maisha
@bilid4128
@bilid4128 2 күн бұрын
😂😂😂😂
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 5 күн бұрын
Namkubari sana huyu mzee
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 5 күн бұрын
One of the difficulty in Africa leadership is about mostly out Africa politician prefer much this wait education show PhD bachelor diploma and so on but take even they sun to oversize question mark me as the abdala ahamedy is this education getting Africa seem education getting wait skin on my sense l said no l don't think so why seem education pasonol getting to Russian or chaina or western citizens are quaghty difference PhD in Africa fighting for pasonol life and extended family not pablic but wait skin leadership fighting with pablic economy this are different education between wait and we black education
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 5 күн бұрын
Nimependa anakofia nzur sn anajuwa kuvaaa
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 5 күн бұрын
Mzee mnafiki!
@peterjosephat6685
@peterjosephat6685 5 күн бұрын
Mnafiki niwew
@elioimer8423
@elioimer8423 5 күн бұрын
Watu wa ccm ukisema kweli mnafiki ….. anachosema mzee Rungwe kwa sababu tulikuwako wakati ule tuliyaona na ni kweli. Nina uhakika anachosesa mzee ni mnafiki kazaliwa juzi hayajui. Yote haya na uchumi wa nchi ya Tz kwa ujumla kudidimia , ilitokana na vita vya Kagera ni sio vinginevyo. Mpaka leo tumefunga mikanda.
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 5 күн бұрын
We mzee midevu inakutia wazimu kanyoe
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 күн бұрын
Mzee wa Ubwabwa wewe kula ruzuku tu huna lolote
@knight6757
@knight6757 5 күн бұрын
😂
@chapaboyclassic3907
@chapaboyclassic3907 5 күн бұрын
🤣🤣🤣
TUNDU LISSU AMUWEKEA VIGINGI HALIMA MDEE: UCHAGUZI 2025 'HAIWEZEKANI'
5:43
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 62 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 25 МЛН
President William Ruto dissolves Cabinet
11:40
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 207 М.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 55 М.