Biashara ya viungo vya binadamu imeshamiri sana duniani siku hizi..Wabongo kuweni makini😘😘
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
China kunaduka linauza nyama zawatu
@khamisomar43282 жыл бұрын
Taperi unamuoji razima hashinde
@Adeen.12 жыл бұрын
Mtangazaji nimekupenda...keep up the good job safi kabisa
@aishaomarry69962 жыл бұрын
Kwakweli yupo vizuri
@carenmsafiri84982 жыл бұрын
saanaaaah
@Official836402 жыл бұрын
Asante yule dada aliyewaita ICU na kwenda nao hapo sasa kawaibua hili balaa litaeleweka tu km kumbe kweli lipo watakuwa wamewahamisha hao baada yakwenda Kwisa Juma na Mai na walitoka watu wengi ndani kukawa na mzozo mkubwa
@nancykimaro38452 жыл бұрын
Mtangazaji ni super kabsa👌👌👌
@leokamil62842 жыл бұрын
Million tano hao ni wezi wa mitandaoni jamani Serekali ipo wapi? Utapeli wa Nigeria umeanza Tanzania kwa kasi .
@peterdavid42302 жыл бұрын
uyu jamaa ata sura yake inaonesha ni tapeli sana
@nururaymond52 жыл бұрын
Tena Kama Siyo mtanzania🇹🇿
@peterdavid42302 жыл бұрын
@@nururaymond5 cjui mrwanda uyo
@jazzsule50462 жыл бұрын
Yaani huyo kaka hata si wa kuuliza wala kusikiliza mara Mbili huyo ni tapeliiii
@frankkashamakula8382 жыл бұрын
Kama Mburundi hv
@geoufo28582 жыл бұрын
Waongooo Tena mbezi ndo wamejazana ao Yan wakitokaga wanajaza ad barabara walivyo wengi na wengine wanaomba vyakula watu sababu wanaishi mazingira magumu ao
@ahmadiathumani34412 жыл бұрын
Hao tumewafukuza temboni huku walikuwa wengi sanaa mpaka kelo
@farajafaraja34942 жыл бұрын
Barabara ya mpigi magoe wapo kibao hapa kibaoni
@josephmanyama90122 жыл бұрын
Mie nakutana nao kibao kila siku njia ya makabe ndio balaaa yani wanatembea kama hawana direction halafu wanawavalisha suti mchana hapa dar jamani halafu wengi ni watu wa meru huko yani ukiwauliza hawakujibu kitu wanakwambia njooo ofisini yani wanapigwa hawa balaaaaaaa
@jumarajab53162 жыл бұрын
dah mtangazaji aongezewe mshahara jamani nimempenda katulia anahoji kwa uzuri sio kama wale ICU walivuruga hatukuelewa chochote
@eunicefrank4482 жыл бұрын
Yan walikuwa na vurugu sana hawakutulia icu waliboa sana kwenye hii habar🤬
@dotnatajoseph26202 жыл бұрын
Ni kweli wale wa ICU si wambea wote wale hawana sifa za utangazaji basi tu wanaganga njaa
@evaristmrope2 жыл бұрын
Kiukweli hawa jamaa wameitengeneza kama imani hii kitu na wanachuo wengi wameingia kwenye huu mtego naioma serikali iingilie kati hili suala.Kiufupi kuna utapeli kwenye hii biashara
@christeternallifetv59592 жыл бұрын
Huyu akamatwe kwanza sio mtanzania huyu, anaonekana ni mnyaruanda huyu hii system ya utapeli imeenea Nigeria sahizi imeanza na hapa, police kamateni huyu ahojiwe
@frankmasamaki96402 жыл бұрын
Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥 ________________ Karibuni
@angelkawala40832 жыл бұрын
Huyu jamaa ni muongo kabisa ila mwandishi wa habari uko vizuri sana
@salimmalaka2562 жыл бұрын
HAYUKO VIZURI MASUALI YOTE ALIOMUULIZA JAMAA HAKUNYOSHA MAJIBU KAMZIDI AKILI MTANGAZAJI HUYO JAMAA NI TAPELI NA MUONGO SURA YAKE INAONYESHA.
@mildredaruta73652 жыл бұрын
Matapeli hao....tena kama huyo anajidhihirisha kabisa
@shufaaattass19202 жыл бұрын
Nimemuone huruma sana hiyo kijana daa mungu akamsimamie apate kazi
@frankngilangwa40922 жыл бұрын
Mwizi huyo serikali imkamate Kwa uchunguzi zaidi Huyo anatapeli watu kutoka mikoani akamatwe atiwe adabu wizi huu
@MohamedHassan-zc5bl2 жыл бұрын
Kakuibia nini?au unakurupuka tu
@frankngilangwa40922 жыл бұрын
Tumeshatembelea pale kwako na watu ninawafahamu pia waliofanyiwa hivyo na Nina ishi nao huku sio kwamba tunakurupuka ww kama hujui kaa kimya tu achana nazo huyo ni mwizi biashara gana on line afu buzaa hazionekani et e commarece wizi tu sisi tunajua maana ya e.commarece Broo tuko vizuli
@publicrelations46002 жыл бұрын
Ajira ni ngumu,hao kazi zao ni kuuza mabeseni au vifaa vya steshenari.Wafanyakazi wao wa mikoani huwa wanalala kwenye hiyo nyumba.So wanakua wengi sana.
@estershilla12212 жыл бұрын
Hawa WATU wanajua kujielezea ukienda kichwa kichwa unajikut mtangazj badala ya habar unajiunga kwenye biashara , hawa jamn wajanja sana tena sana wanajua kujielezea
@ayububakari99422 жыл бұрын
hahahahahaha
@AdventTVOnline7772 жыл бұрын
😂😂😂
@josephatmaruka46122 жыл бұрын
Rwanda moja huyu jamaa
@chanjamabilo39632 жыл бұрын
Kabisa 😂😂
@catherinemhagama75052 жыл бұрын
Huyu Ni mwongo saana Ni kweli Ni matapeli hata rafudhi yake sio mtanzania kamatenibhao waende kwenye vyombo vya sheriia
@catherinemhagama75052 жыл бұрын
Huyu Ni mwongo saana Ni kweli Ni matapeli hata rafudhi yake sio mtanzania kamatenibhao waende kwenye vyombo vya sheriia
@catherinemhagama75052 жыл бұрын
Bibi wanaoingia na kutokana wanatoka wapi na wanaenda wapi. Utawakaribisha wahamiaji wasio na kibali umri wako Ni mkubwa acha hizo Bibi. Tama mbaya
@zaburi23862 жыл бұрын
Kajamaa kamefanana na paul kagame kanyalwanda haka
@agnesssimon39762 жыл бұрын
Hiyo Qnet NI ksmpuni ya matapel tafadhari watu wameibiwa pesa zao, hata rafiki yangu alipoteza milioni 10 na hiyo Qunet
@hiphop4life1822 жыл бұрын
Pole Nami yamenikuta wamenihita kwa kaz bandari Kumbe ni qnet
@joyceryoba84662 жыл бұрын
Hswaaa ni matapeli Sana hao mmbwa wanajiita Qnet pumbavu Sana hawo...naiomba selikali ingilie Kati hizi mambo
@fatmaabasi52622 жыл бұрын
Zumaridi wa kiume huyo.
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Kabisa
@claudiangowi96282 жыл бұрын
Wangeenda na police hapo na kuwacheki kila kitu Chao. Kwanza si mtanzania anapata wapi jeuri ya kujibu
😂😂😂😂Wazee wa Good morning!!!wanaamini muda wote n asubuhi😂😂😂
@majalaworldwide2 жыл бұрын
Nimewahi kufika hapo wahuni ao. ,, wazee wa saa milioni 5
@lilycute55232 жыл бұрын
😂matapeli hao
@lilycute55232 жыл бұрын
😂matapeli hao
@kelvinraymond93762 жыл бұрын
Good morning 🤣
@wisperfect53202 жыл бұрын
Umenikumbusha juzi kuna mtu kaomba nimssidie nauli ya kurud shamba baada ya hao kumuita😂😂😂😂
@mcmi4692 жыл бұрын
Angekua ni Tapeli angeisha kimbia akaicha nyumba hiyo. The guy is telling the truth... Online business haina boundaries. You can still perform your duties at home. What you need ni Computer na internet connection. Wabongo mambo haya ya Biashara za mtandaoni , hawana knowledge. Online business inahitaji akili na experience Bila akili na experience hauwezi elewe hata kidogo. Big up brother..na Asante Sana Bibi.. testimony Yako matters a lot.. much respect.. piga kazi..hapa kazi tu💪 wacha wabongo waendelee Kulala.
@africanbeadwork94342 жыл бұрын
Huyu tayari yuko polisi we mkundu
@mcmi4692 жыл бұрын
@@africanbeadwork9434 Kwani Wewe hauna mkundu?! mkundu nikiungo muhimu cha mwanadamu! Bila mkundu you cease to exist. Well then..Police sio Mahakama. Text me back when the guy is convicted. 💩
@oscarezekiel18262 жыл бұрын
Wewe ni miongoni mwa matapeli hao ,wacha English mavi yako
@mcmi4692 жыл бұрын
@@oscarezekiel1826 una TV yenye video 4 za kijinga na subscribers 6! Au unataka followers?!what a shame?!! Well, I can offer you a job and pay you well..
@oscarezekiel18262 жыл бұрын
@@mcmi469 HAHAHAHA ebu kwanza ncheke kwa herufi kubwa mie, Sina tiveee mie. Kama iko sio yangu.
@rehemaa5972 жыл бұрын
Kwanza huyo kaka na wasiwasi sio Mtanzania ni matapeli hao kazi ya mitandaoni ndio ikoje
@khayratmhina37352 жыл бұрын
Yah sio mtanzani atamimi nahisi
@thechaiboytv96662 жыл бұрын
Ni myarwanda
@philemornmutta15972 жыл бұрын
Kweli kabsa ahojiwe vizuri siyo mtz lafuzi yake inatupa wasiwasi
@subirajohn7282 жыл бұрын
@@thechaiboytv9666 Ni kweli huyu sio Mtanzania
@joycenicodemus.22322 жыл бұрын
Huyu ni mrundi sikia kiswahili chake vizuri Niko kigoma warundi nawajua huyu sio mnyarwanda
@edwintouches2 жыл бұрын
Kama sio Q-NET ni ALLIANCE IN MOTION GLOBAL au CHAMPION wazee wa kufeki life Suti kibao. Sio matapeli, ila wengi wanavyojiweka na wanavyoshawishi watu ndo inafanya wanaonekana matapeli kila wanapokanyaga. Jamaa wakipata namba yako ya simu utajua ujui, labda ufe ndo wataacha kukusumbua 🔥 Sema jamaa nimemkubali, anajua kujieleza. Anafaa kuwa Networker, japo nahisi Kampuni ambayo yupo inamyayusha!
@happynesbaemuhappynes88132 жыл бұрын
Mm mwenyewe nishawahi kwenda Office zao za makumbusho.huyo Kaka aliyeniita kunifundisha jinsi ya kufanya hiyo biashara sikuelewa ht kidogo maana anaongea hatari. Sikutoa hata 100
@erickrichard77622 жыл бұрын
Me mweywe walishawahi kunsimamisha lkn niliwqchomolea ila niliwabia sina haja nao
@stevemwakisimba59862 жыл бұрын
Hivi police na uhamiaji kazi yao nini?kwanin hawa watu wapo hivyo?hawa sio watanzania nina uhakika
@heritier51192 жыл бұрын
Kama amuwapelekei taarifa watajuaje
@lovenessgodson10752 жыл бұрын
Uhamiaji kazi yao kunyima passport ukienda kuomba yani wana boa sana 🙄🙄🙄
@heritier51192 жыл бұрын
@@lovenessgodson1075 hata ukitimiza unanyimwa?
@dianamahendekamahendeka13442 жыл бұрын
Mbona anaonekana huyu ni mrwanda??
@mcback43842 жыл бұрын
Ni mnyarwanda kabisa wala migration wakija hapo hawapati shida
@suzanamdaile77232 жыл бұрын
Hawa ni matapeli sana maneno yao ni uongo mkubwa,serikali waliangalie hilo wanasumbua Sana
@leokamil62842 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe ni matapeli Serekali imelala ndio maana haya yanaendelea. Ongea yake tu ni tapeli tosha duka lipo kwenye simu ila sio lake ni tapeli hawa ebu wachunguzwe vizuri
@michaelsseko42492 жыл бұрын
Wewe huwajui hawa Qnet walivo matapeli na wasumbufu
@XanTitle10.2 жыл бұрын
So matapeli bhna means Hawa wanafanya biashara ya bitcoin , foreign exchange.....
@elardurasa20252 жыл бұрын
Jamaa aliniita vizuri Kuna kazi yamaana kufika nashangaa saa nane mchana good morning nilipigwa nabutwaa sikurudi
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Hahahaaaaa saa nane mchana good morning. Mimi niliambiwa kinondoni km sina pesa na kuingia uanachama nikakope nilikimbia sikurudi tena
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Nimecheka 😂😂😂 sa kwanini usiwasanue wenzio 🤣🤣
@kisalaTV2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
@@ashurajengela3926 nirogwe😃
@evelinemsaki20572 жыл бұрын
Hata Mimi mwenyewe waliniita wakanishangaza
@robertempire95422 жыл бұрын
Hii ni kweli kuna mjomba wangu alikuwa hapo anaishi hiyo nyumba mchana ni ofisi na usiku na makazi wanachukua vijana kutoka vijijini alafu wanawatapeli wakitaka ushahidi upo
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Subhannallah, Kijana kaelezea vizuri sana.
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Hii ni qnet kabisa ni biashara za kiutapeli zipigwe tu marufuku
@joramlaizer39412 жыл бұрын
Ni mkenya ,Kenya Kuna ukora nyingi sana,wa namna hiyo
@msaysha58862 жыл бұрын
huyu mi na hisi ni mrwanda hata sio mkenya
@user-wk1ix1gm1p2 жыл бұрын
Huyu hana lolote Na lafuthi yake cyo ya tz hiyo nyumba haina kitu , kutakuwa Na kamchezo hapo
@user-sq7pz9ex5g2 жыл бұрын
Kweli kabisaa wajna ,huyu mwembamba mvaa Koti simuelewi hata Sura yake yaani sio ya ki tanzania.na kazi Gani hyo ya mtandaoni?!
Et wao wanaamini mda wote ni asubuhi ni Good Morning muda wote 😂😂😂🙌🏻
@xyz-tv4om2 жыл бұрын
Ashura Good morning 🤣🤣🤣🤣
@godfreyfrank53542 жыл бұрын
Matapeli 😂😂
@ashurajengela39262 жыл бұрын
@@godfreyfrank5354 dah na sijui inakuaje adi watu wanatapeliwa kirahisi ivo mwee 😂
@arafahhh55742 жыл бұрын
Uso wake huyu kijana si mkweli
@manasadunia34582 жыл бұрын
Nimuongoo hasaaaa
@leokamil62842 жыл бұрын
Kabisa tapeli huyo
@nururaymond52 жыл бұрын
Kila alivyoendelea kuhojiwa ndivyo alivyokosa confedence..., Na mjumbe anawatatea kiaina
@redemptorbbombo4022 жыл бұрын
Hiyo kazi si aifanyie kwenye nchi yake
@husnaseph94762 жыл бұрын
Huyu anae hojiwa sio mtanzania mfatilieni jaman
@stevemwakisimba59862 жыл бұрын
Upo sahihi huyu atakua mnyarwanda au mkenya
@edinascarion83792 жыл бұрын
Ni mtanzania pure namjua
@wisperfect53202 жыл бұрын
Kutokuwa mtanzania siyo shida
@athumannyungundileki97992 жыл бұрын
Hukuna mtanzania hapo we idina huyo Kama sio mnyarwanda basi ni mrundi au mganda
@stukiaally46902 жыл бұрын
Hii sauti mbona kama zile "unaongea na mtu kutoka umesajili namba yako kwa alama za vidole, Kuna mteja kakosea katuma hela au nenda kwa wakala umeshinda" 🤣🤣
@haulatysam44612 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kama ulikuwepo haki nilipigiwa cm nikaambiwa nimeshinda ila chakushangaza ananiambia niingize namba za siri ili niungwe waingize laki na nusu kama bonus hahahaaaa nikamwambia naijuwa hiyo hahaaaaa kawatapeli huko huko
@feynation37392 жыл бұрын
Kuna kitu hakiko sawa hapo lazima wachunguzwe😒 So scary 😨 Bibi kamezeshwa maneno maskini anatetea kitu hana uhakika nachob
@williamsenkoro22102 жыл бұрын
Hiyo net program ame develop software Kwa lugha Gani?? Na site inaitwaje watu waone hiyo hizo biashara. Huyu jamaa anatapeli watu wasio na uelewa wa mitandao. Serikali ifatilie nilitegemea wangekuwa wameshawafata.
@floranceluqman29512 жыл бұрын
Natamani ningekuwepo hapo nimtie jiwe la kichwa huyu ibilisi nitapeli tu
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
yamaghufuli ndio ilikua makin sana na maovu haya sio serkal ya sasa
@catherinemuhagama73382 жыл бұрын
@@floranceluqman2951 🤣🤣🤣🤣Jamaniii et jiwe la kchwa
@willowilbard61192 жыл бұрын
Ametaja hapo be forward Ila hizi zinafanana na alliance, forever bf suma
@vibetz99912 жыл бұрын
""Nimeona watu Mazombi Wamevaa Suti""
@hijamwinyi32332 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kalssambaboo99322 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣embu usiniumize mbavu mie yamfalme zumalid
@kalssambaboo99322 жыл бұрын
Huyu bibi mwenyewe sura yake inatisha
@aminakasim11982 жыл бұрын
Astaghafirullah huyo kakaa alovaa tishat ameeleza vizur safi sanaa huyo bibi atiwee ndani pia na huyo bos
@edwintouches2 жыл бұрын
Kama sio Q-NET ni ALLIANCE IN MOTION GLOBAL au CHAMPION wazee wa kufeki life Suti kibao. Sio matapeli, ila wengi wanavyojiweka na wanavyoshawishi watu ndo inafanya wanaonekana matapeli kila wanapokanyaga. Jamaa wakipata namba yako ya simu utajua ujui, labda ufe ndo wataacha kukusumbua 🔥
@juniorshekaoneka96622 жыл бұрын
Hawa ni Q-Net wanazingua sana
@paskalimallya52942 жыл бұрын
Mtangazaji 🤩🤩🤩🤩
@muzikaaly2 жыл бұрын
hawa ni Qnet kujiunga si chini ya 3M wanasema ununue bidhaa baada ya kununua unaaza kuangaika kutafuta wateja kama wewe wawili ndo upate dola 200 , mimi ni mhanga wa kupoteza nauli, hii biashara sema Jamiiforum ndo walinisadia.
@angelageofrey97562 жыл бұрын
Mambo ya goodmorning kila wakatiTz mambo ni mengi
@brightonchedego81002 жыл бұрын
Hawa wa Good morning wananikumbusha ya joti alishawah kuwaigza kwa mfumo huu, et wakat wote ni good morning 😃😃
@georgeburchard48722 жыл бұрын
Mtangazaji umetisha! Hongera Sana! Network marketing Ni shughuli zilizopo duniani kote! Ni platform ya online business! Kwa ufupi Hizo shughuli zipo kihalali Ila kwa Tanzania namna zinavyoendeshwa zinaendeshwa kihuni na kijanja janja na Hilo ndio linafanya uhalali wa hiyo shughuli kuwa na mashaka! Watu wanadanganywa na hawaambiwi ukweli na wengi wanaingia mkenge maana wanashawishiwa ili kuvutwa kwenye kitu wasichokijua vizuri! Wachache Sana wanaambiwa ukweli! Na hapo mmedanganywa! hapo watu wanalala wengi Sana! Ila baada ya Hali ya kuchafuka wamesafisha Hali ya hewa ili upepo upite!
@joelbeatus26222 жыл бұрын
Kk mm niliend huko Ila km mungu akanitoa
@brightonchedego81002 жыл бұрын
Eti bidhaa million 5, sibora nikiwanayo nikanunue hata nguo kariakoo kisha nirudi mkoani kufungua duka la kuuzia nguo kuliko kupigwa hela kiujanjaujanja hivi, hongera Sana mwandishi kwa kufanya kazi kiuweledi kuanzia maswali hadi jinsi ya kupata data kamili kwa pande zote za stakeholders (wahusika/walengwa)
@pellahmdee91892 жыл бұрын
Yote tisaa bidhaa ganiii????😡
@lazarozacharia45272 жыл бұрын
Sikilizeni ndugu zangu uyu jamaa sio mtanzania mwenzetu uyu ni raia wa Rwanda na nimatapeli wakubwa wakishirikiana na baazi ya watanzania wenzetu kujifanya wanawafanyia kampeni za kwamba ni wafanyabiasha ya mtandaoni nitoe rai kwa serekali yetu ifanye araka kuwadhibiti watu hawa araka sana pili tuwe makini na raia kutoka Rwanda sio watu wema angalieni wanavyoisumbua Congo ili waitawale kinguvu yangu ni hayo ndugu zangu
@bonibosco8812 жыл бұрын
Hawa watu wana namna flan ya kula pesa ya watu kiulaini,kuna jamaangu aliuza gari na akaenda kununu product za hao jamaa ili apate return kwa hesabu zao za janja janja ila hakuwah kupata hata robo ya alichotoa
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Duh pole yake jamani
@yusuphmbugi85942 жыл бұрын
nimewahi kukutana nayo walimuita mke wangu aende na gari kufika wakamuambia kuna mtu yupo tayari kununua hiyo gari au kuiweka bond halafu yeye ampe milioni 3 na nusu ajiunge
This guy is not truthful there's something sister going on here.The government should do alot of investigation this guy could be is not a Tanzanian.
@nashinonurat96042 жыл бұрын
Hao wanakataa tu mje na Huku Makamba msakuzi wapo wengi mnoo.na.ni.mATAPELI cyo uongoo
@azizahmwimbe85482 жыл бұрын
According to council law sehemu ya biashara hawarusiwe watu kulala.
@vickylupemba60552 жыл бұрын
Online business kama ni kweli unasema wasifanyie nyumbani? Hiyo hata barabarani inafanyika, muhimu ni kama wanasema ukweli.
@juliusphabian63362 жыл бұрын
Council law kwene utaftaj....hujapigika na maisha wewe
@azizahmwimbe85482 жыл бұрын
@@juliusphabian6336 hacha hizo wewe, mimi kama mfanyabiashara ndo nakwambia according to the law sasa mambo ya maisha hapo yanaingiliyana vipi? Hacha uboya wewe😏🤫
@sharifanyumayo63142 жыл бұрын
Jamani hii Mimi binafc iliwah nitokea kwa binti yangu hko njombe! Walisema kunaajira kisha watoe elf 60 wakatoa na baada ya hapo kila kitu wajitegemee kisha hela kila siku waingiza pesa, mwisho wa siku wale watu wakapotea na zile pesa, nikafait wakakamatwa mtwara na polic, lkn police wakala pesa waliwaachia wez hao. Kamata wote hao ni wezi
@rubenprince89902 жыл бұрын
Kabisa hao ni mataperi
@aisharamadhani19482 жыл бұрын
Ni bidhaa gani wanazifanya mtandaoni mbona ofisi ina viti na meza tu ,,,,,,,, global business zinahusiana na vitu gani mbona nashindwa kumuelewa huyu mvaa msuti ,,,, serekali o Iingilie kati hawa ni matapeli ealiochangamka nafikiri ndio wale wanasemaga nunua bidhaa ya kupunguza unene kisha walete wenzio kumi ili uweze kujishindia bidhaa zaidi ,,, waongo sana wallah wakamatwe hao
@rayanzachariah11852 жыл бұрын
Kwelii kabisa wamekuja muda mbaya sana wanatokaga wengi mnoo makabe hapa mtaa wa dubaii saa kumkina mbilii pale wananyumba kama 3
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Biashara gani ya mtandao wanafanya maana biashara za sasa zote zinafanywa online si waitaje
@T.W30222 жыл бұрын
Hawa wezi sana, wali mwiba mtoto wa mama yangu mkubwa then waka demand million 2. Ni wezi kabisa serikali iwafunge kabisa hawa
@fathimamct2322 жыл бұрын
Dawa Yao kuwavizia usiku wa manane hao watu Kuna watu wanachukuwa watoto wa watu mikowani na kuja kuwafanyisha kazi na kuwarundika sehemu moja watu wengi Ili kuepuka gharama ya kukodi vyumba sehemu nyengine na Kisha utekaji nyara wa watoto umeshamiri sana Sasa hivi kwa hiyo pafuatiliwe sana hapo mahala
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Polic kama ta huyo bibi na wapangajiwake woote huyu bb a najua Sana yoote nibasitu anajitetea
@princessringo28792 жыл бұрын
Pengine anadai kodi yake maan hawa... Wanakuambia njoo na milion 5 unaishia kufa maskini...
@goalgoalhd2 жыл бұрын
good morning my neighbor 😂 😂 😂 😂
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Sipo tanzania nipo oman hayanihusu mimi hayo ya watu matapeli daa sikujuwi wala sina ham nako mungu anisuru na daa
@zawadimrindoko67822 жыл бұрын
Kwakweli uelewa Ni mdogo ndio maana hata Mimi sijaelewa. 😓😓
@AlAl-sd9pl2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mwaneyseifseif30592 жыл бұрын
🤣🤣
@barakakusa76062 жыл бұрын
Kwa kifup hawaeleweki tu hata mim sijaambua chochote 😲😟
@boniphacebupamba5407 Жыл бұрын
Vijana tufanyeni kazi huu upuuzi mtakuja kujiua
@neemavahaye41842 жыл бұрын
Hahaha Q net..wazee wa good morng
@Dienacademy2 жыл бұрын
😁😁 Alivoongea tu nikajua tu
@travistzmushi63842 жыл бұрын
nomaaa sana
@johnandrew84912 жыл бұрын
Hao wa "goodmorning" nawajua sn....matapeli kama matapeli wengine!!
@ummySheikh722 жыл бұрын
Hili jambo lazima serikali nikimaanisha police na uhamiaji ifike hapa. Iwahoji vizuri nini wanafanya hapa? Siku hizi biashara mpaka za figo, moyo zipo. Huyu anaeongea ni muongo anajitetea tu maelezo yake hayajitoshelezi kabisaa
@samidquiz63162 жыл бұрын
Nimeishi nao jiran muda mrefu sana hawa wengi wao ni wamburu,warangi na wanyaturu wametapeliwa sana alaf hata ukiwauliza wale waliotapeliwa bs wasiri kinoma yan huwa nawaoneaga huruma sana wamepewa sehemu ya kulala kula ni juu yao
@mamboshepea88882 жыл бұрын
@@samidquiz6316 anaonekana si mtanzania hata lafudhi yake...jamani Mungu tuhurumie mbona kama hatuko salama???!!!
@emmanuelsichone46812 жыл бұрын
@@samidquiz6316 halafu sio mtz huyu
@ledynanciajuma63902 жыл бұрын
Hata mm maeneo ya mwananyamala mwaka juz ilinitokea baada ya rafiki yang kuniita kwamba kuna kazi nzuri ambayo ni ya kiofisi zaidi na nilipomuuliza kuwa unahusika na mambo gan hakunitaji akadai kwamba mpaka nifike,kwa kuwa nilikuwa nashida kweli sikusita kwenda nilipofika tu kwanza hyo salam ya goodmoning ndo ilonishtua baada ya kuwasikiliza kiukweli sikuweza kurud tena na huyo rafiki yang nilimblock mpaka Leo sijui kama anaendelea na hyo kaz au laa!! Kiukweli huo ni utapeli mtupu na hata ukiwaangalia tu wale wanaondesha wenyew wamechoka alafu wainadi kuwa ukifanya hyo kaz utakuw billionea ,ni wango watupu jaman vijana venzang tuweni makini sn ktk maisha ya sasa tusikimbilie tu kazi rahisi bila kujuwa madhara yake,hizo nyumba kweli zipo na watu wanatekwa akili yan bila kuwa na akili ya ziada huzi toka
@samidquiz63162 жыл бұрын
@@ledynanciajuma6390 pole aseeee
@beatricefredilick16462 жыл бұрын
Serikari ichunguze mpaka watu waseme
@bugandayohana24942 жыл бұрын
Mimi wameniudhi sana. Wamenisumbua sana yaani. Waliponiomba tu million tano nikaona hapa ni utapeli . Qnet hao
@lovehawa47582 жыл бұрын
Hahahah
@miriamsaidi10472 жыл бұрын
Ni matapeli hao, wapo huku mbezi luis pia,ni jilani na tuna poishi,,wanashinda na njaa. wana maisha magumu sana.wanatapeliwa.
@marrychriss25072 жыл бұрын
Nawajua pia wamechoka haswa
@esabelfadhili84322 жыл бұрын
Halafu huyu kaka mwenye kisuti anakimdomoo toka jana kwenye ICU
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili2 жыл бұрын
🌳🌲🌿 HUDUMA ZINAENDELEA ✅ PESANDEGE Doctors 🌿🌲🌳🤗✅
@machinefannatic992 жыл бұрын
na huyu bibi ni mzee sana hajielewi
@subirajohn7282 жыл бұрын
Usitaje bure jina la Mungu!
@christeternallifetv59592 жыл бұрын
Ameni
@ikrissaidrissa86132 жыл бұрын
Qnet ni biashara nzuri sna tn sn but Kwa wabongo haitufai utapeli mwingi Sana na ni biashara isio hitaji njaa njaa
@valenakomba92182 жыл бұрын
KWANZA WAO WANAJUWAJE HAYO MAMBO YA CHAKULA? BASI HAO WANAOONGEA AU KURIPOTI HAYO, NI WATU AMBAO WAKO HUMO NDANI, NA NIWAFANYAKAZI WENZENU, NA HAWANA IMANI NA NYINYI .
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Jeshi la police tunaomba hii ofis ichunguzwe jmn watoto wanatoka mikoan kwa uongo uongo jmn 😭 😭 😭 😭
@christina_john772 жыл бұрын
Mjumbe kaongea vizuri itakua basi watu wanamambo yao 🙌🏻
@maujanjatv24h412 жыл бұрын
Mshirika kwa qnet kwenye ubora wako
@gracejaber89942 жыл бұрын
Nkweli lafki yangu wanasingiziwa
@josephguerino74162 жыл бұрын
Huyu jamaa sio Mtanzania, inabidi pia akachunguzwe
@judithmaziku3632 жыл бұрын
Yes
@beatricekamenge70002 жыл бұрын
Mnyarwanda huyu
@tumainijoseph51812 жыл бұрын
Network marketing ni nzuri, tatzo ni kwamba q net inajihusisha na luxury products, ambazo zinaweza kuwa affordable na percentage ndogo ya watanzania, mi naona hao wanachama wa qnet wadeal na watu wenye vipato vyao waachane na watanzania wanyonge, 5m ni kubwa kwa mtanzania wa hali ya chini.
@samidquiz63162 жыл бұрын
Hawa jamaa ukifika mbezi njia panda ya makabe unaona kabisa kuna utapeli ndani yake, lkn cha ajabu hawa wenyewe wamemezeshwa siri nzito sana niliwaona siku moja kama wanatoka kwenye mkutano wao nikawauliza kila mmoja wanatoka wapi walikuwa kama watatu niliowahoji lkn wakakataa ukiwaangalia ni kama wamburu,warangi,wanyaturu Serikali iingilie kat hapa kuna utapeli mkubwa sana wametoa ng'ombe alaf baada ya miaka mi5 watatajirika huu ni uongo wa kiwango cha juu Alaf wanawapa sehem za kulala pamoja wote ila viongoz wao (wale wanaojitambua) wanapewa vyumba vyao maalum na usafiri Jmn vijana wenzangu tufanyeni kazi kwa nchi yetu hii hakuna atakayekupa utajiri pasipojuhud zako binafs
@qemuelnade4482 жыл бұрын
Kun wambur wng ukoo n n utapel wngn makwao wazaz wanauz adi ardh yn n uwiz mtup serkl yet n y kijng xan hv polic wankz gan??
@qemuelnade4482 жыл бұрын
Uko xahih xn broo
@samidquiz63162 жыл бұрын
@@qemuelnade448 ndio nashangaa hata me au Polisi wanalipwa wasiwashike viongoz hawa
@princessringo28792 жыл бұрын
Wanawatoa mikoani
@pericykiko61982 жыл бұрын
Bidhaa za mitandaoni epuka ziko na madhara makubwa sana kuna kitu nyuma yake
@jofreyzacharia89652 жыл бұрын
Usipotoshe inategemeana unanunua nn
@maryjonh3112 жыл бұрын
Hawa ni matapeli Mi mwenywew kidogo nitapeliwe
@michaelkivaria60112 жыл бұрын
@@jofreyzacharia8965 Haswa madawa eti ya bp sukari
@dutchsafari75622 жыл бұрын
Wazee wa good morning good morning hao a.k.a Qnenga😂😂😂
@petermwita52672 жыл бұрын
Hello mm nishapata baati ya kukutana na hao majama kitu wanacho fanya inaitwa (online networks market)
@OfficialBenBeat2 жыл бұрын
Huyu jamaa mbona anajibu uongo sana.....kaulizwa hiv anajibu vile anazunguuuka yaan kwa mtu mwenye akili anajua huyu jamaa ni muongo....afu sio mtz huyu
@ahmadiathumani34412 жыл бұрын
Sio mtz huyu
@hijamwinyi32332 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@neemayatosha16182 жыл бұрын
Yaani anarukaruka,hamna kitu amesema kinaeleweka. Yaani Tanzania kweli shamba la bibi,sijui mganda sijui mnyarwanda atoke kwao aje kwny nchi kuibia watu yaani freshi tu
@faithdaudi6982 жыл бұрын
Kamateni hao wasiwadanganye watu wanatapeli watoto wawatu mikoani kwamba kuna kazi kumbe uongo tena uko mbezi ndio wamejaaa
@japhetgeorge3152 жыл бұрын
Daah kweli hata mim waliiniita bhana dah wanasalamu moja ivi good morning mda wote iwe mchana hata jioni
@naipendaafyayangu38262 жыл бұрын
Daaa aisee
@mkeretimwitta80432 жыл бұрын
Nimekumbuka bna hao WA gud morning n washirikina hao matapeli wakubwa
@htx18732 жыл бұрын
He is definitely not Tanzanian, Huyu sio mtanzania halisi , I think 🤔 Anaasili ya somewhere huko Rwanda Burundi au Congo
@modysultan61702 жыл бұрын
kweli kabisa atakujieleza kiswahili hajui sio mtanzania ni mnyarwanda
@feezdidthis22202 жыл бұрын
Kama ni muhaya? Au mkurya? Au hata muha... Utulize akili kwanza
@rahmaawadh16952 жыл бұрын
Kwani serikali iko wapi mbona muda tu hili swala haliingiliwi kati kuna nn hapa??? Mbona Tanzania ss hatuko hivyo serikali yetu ni sikivu iwachunguze hawa watu watoke na jibu zuri maana wananchi hawawaelewi hawa watu!!!
@marymariki5862 жыл бұрын
Wazee wa Goodmorning 😁😁
@dagashenko89512 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁
@dagashenko89512 жыл бұрын
Mary
@marymariki5862 жыл бұрын
@@dagashenko8951 nambie boss Goodmorning
@mosesmwaisumo28382 жыл бұрын
Vijana tuweni makini hawa ni matapeli salamu yao ni good morning muda wote kiukweli huu ni ushenzi Sana Kuna watu hawasoma vipi kuhusu hiyo salamu
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Alafu huyu jamaa sindio alihojiwa na kipindi cha ICU kina kwisa alafu anawatishia kupiga cm
@azizahassan68032 жыл бұрын
Ndio yy aisee hapa kunamambo meusiiiiii🤔🤔
@kennyrogers47342 жыл бұрын
@@azizahassan6803 kuna kitu hapa nyuma ya pazia sio bure
@matridawilium99452 жыл бұрын
Serikali kuweni macho
@deokary19172 жыл бұрын
Hiyo ni QNET ya bongo ni matapeli ni Wamasai hao mda wote wanaongea kiingereza kusudi tuwaamini mimi mwenyewe nimekimbia huku ety wanataka milioni 5Kujiunga ni weziiiiiiii wezzzzzziii wezi🤦🤦🤦🤦🤦🙊😭😭😭😭
@farajafaraja34942 жыл бұрын
Ukiwakuta wapo very smart
@robertndumbaro22492 жыл бұрын
hapo ni nyumba ya kulala,ofis na chuo😭😭😭 maisha yanatafutwa.
@lifeofyuri40202 жыл бұрын
Mjumbe muongo hao watu walitolewa kesi ilivyo bumbulika Maongozi ya mtu muongo yanajirudia Yan anaweka msisitizo kitu kimoja
@modysultan61702 жыл бұрын
anaangalia tumbo lake
@lwogasgenius91472 жыл бұрын
Wananikumbusha QNET goodmorning
@laurencemushi19212 жыл бұрын
Godmorng
@petermdoe46912 жыл бұрын
Huyu mbona kama sio mtanzania? Ana vibali huyu kweli?
@munnahbakari7252 жыл бұрын
Sidhani kwakweli amekaa kitapel sana
@joycenicodemus.22322 жыл бұрын
Nimrundi sikia kiswahili chake.
@wardw30222 жыл бұрын
matapeli hao bila maneno mengi ukiona watu wanajazana hivyo juwa mchezo mchafu
@awadhrajabu14032 жыл бұрын
Masomo Gani Ayo Ya Kusomeshwa Mmoja Mmoja Jamani Anasoma Akitoka Anaingia Mwingine Apo Pana Tatizo Apo