Watanzania, tusome katiba ya nchi na sheria zetu na haki zetu kwa makini; tutajitambua na kutambua uozo uliopo !
@mwanahamisially73858 күн бұрын
KudKiadakia ndo zenu kitu bomba tulia
@zamukahemele150517 күн бұрын
Msigwa nakukubali sana ila kwa leo sijakuelewa kupinga miradi mikubwa yote
@stanleymanya43817 күн бұрын
Mchambuzi wa tuyaomayo😂😂😂😂😂
@kostajoseph581119 күн бұрын
KWELI MSIGWA AMESEMA CHADEMA HAMJITAMBUI
@joscamwoshezi298619 күн бұрын
Mpaka wananchi wanawashangaa
@kostajoseph581119 күн бұрын
AU TUWAITE CHAMA CHA KUDAKIA MADA
@kostajoseph581119 күн бұрын
KILA KITU MNAPINGA , HADI MNAJIPINGA WENYEWE
@helenakamenya868019 күн бұрын
Machoko ya ccm
@OscarAsukenie20 күн бұрын
Kumbe hata mapenzi ni wenda wazimu?😂😂😂 Maana kila siku tunafanya njia ileile.
@RobertMachenga-tz3re20 күн бұрын
Tundu Lisu Luhaga Mpina ana ugomvi mkubwa sana serikali kwa hiyo mambo yote aliyotoa ushahidi wa utapeli wa sukari Mh. Bashe anajua sana ni nani aliyekuwa anamuingilia kwenye maamuzi yake sasa na yeye anaona ni bora kukaa kimya.
@majaliwabwitonde690020 күн бұрын
Huo ugomvi ulianza lini, wajinga wengi hii nchi
@rabsonchisumo664020 күн бұрын
😮 ujielewi
@dhamirshariff941520 күн бұрын
muache ujinga chadema spika kaongea kila kitu kuna taratibu na sheria za bunge muache ujinga nfio maana mnaitwa nyumbu
@emanuelmkama132520 күн бұрын
Anatakiw kujbu hoja Sasa kaongea nn
@georgekimasaofficial162920 күн бұрын
Mpina kuongelea inje ya bunge Yuko sawa kulingana na Sheria coz mpina ni mbunge na anawakirisha wanainchi wake Yuko sawa kufanya alicho fanya lakini pia utambuwe madaraka ya sipika yanaishia bungeni na siyo inje ya bunge inje ya bunge kunawatendaji wengine kama Waziri Mkuu na viongozi wengine hivyo alitakiwa kufanyia kazi ya ripoti ya mpina kuhusu kesi hii ya uhujumu uchumi. So watanzania amkeni
@rabsonchisumo664020 күн бұрын
Mpuuzi ujui Sheria tuliza matako
@lemuelrugumyamheto509419 күн бұрын
@@emanuelmkama1325p
@joscamwoshezi298619 күн бұрын
Jumakilinja,umesahau kiwa Lisu Ni mke wa wabelgiji
@festokemibala583218 күн бұрын
Hizi ni lugha za waliofilisika. Kama huna hoja ni bora ukaunusuru mdomo wako kusema najisi😮
@yusuphahmed-yt5gg20 күн бұрын
😅😅😅
@festokemibala583218 күн бұрын
Sukari dsm sh 2,800/- wakati bk sukari sh.3,200/-. Dsm hakuna kiwanda wkt Kagera kuliko na Kagera sugar just 60kms kutoka mjini sukari yao is more higher than walioko 1,513km yaani dsm. Wako wapi akina Rweikiza, Meijage na Bashungwa?
@lusupi6 күн бұрын
Sisi wahaya tunaiomba serikali ipandishe bei uku kagera ifike 5000
@masoudalriyamy629820 күн бұрын
Sasa mnatafuta njiea mtukanane
@umlaith520219 күн бұрын
Ana wazimu huyu Mzee
@sizorstartv616819 күн бұрын
We unaelewa hii nchi ilivyo au inavyoenda au unacoment tuu
@helenakamenya868019 күн бұрын
Unafilwa wewee huko ccm
@rweumbizalugaimukamu490519 күн бұрын
Mchungaji Msigwa, akili yake ni ndogo
@monicamwita786518 күн бұрын
Ya kwako 0 bore Beyer ndongo
@jumakilinja634120 күн бұрын
Nyie mnaomtukana lisu ni mashoga
@robertphilip38520 күн бұрын
Mazkini ya mungu Lusu anatuelimisha lkn hatusanikitu watanzania stukeni ccm haifai Tena tujaribishe chama kingine
@hajihassan543318 күн бұрын
@@robertphilip385 Nchi hatuwezi kuwapa watu wajaribie. Watushawishi vizuri tuone uwezo. Ni kweli tumeichoka sana CCM lkn Wapinzani nao hawajaonesha uwezo.
ndugu unaishi nchigan kaka huna cha kuandika kaakimya inatosha
@henryndosi200219 күн бұрын
@@WillisonFarasa-rh7eh huyu tundu mwenyewe. ni mbeligiji Hana lolote
@aidanmgimwa545920 күн бұрын
Muacheni Bashe alikuwa sahihi kabisa tumezoea Sasa zenu zisizo na mafanikio
@Peaceman18520 күн бұрын
Acha ujinga
@emanuelmkama132520 күн бұрын
Zero brain
@majaliwabwitonde690020 күн бұрын
Jinga sana
@charlesmwambinga435520 күн бұрын
Unanunua Sukali Shilingi Ngapi Mkuu...Hii Nchi kuna watu wengi ni vilema wa Ubongo Sana , hata ukiwapa elimu wanabaki kua wajinga
@Mpendahaki18 күн бұрын
Tanzania hakuna bunge ispokuwa Kuna kusanyiko la wahuni ukimwondoa mpina.bunge kibogoyo
@joscamwoshezi298619 күн бұрын
Lisu sheria alisomea wapi maana ni kilaza haswa
@NkwabiMasanja18 күн бұрын
Zaid yako
@monicamwita786518 күн бұрын
Kilaza!? Jitafakari akilizako zikoje?
@kostajoseph581119 күн бұрын
KWANI CHADEMA HAMNA JAMBO LA KITAIFA LA UZALENDO , KULIKO KUDANDIA MADA AMBAZO HAMNA USHAIDI NAZO
@kostajoseph581119 күн бұрын
FUNDISHA WATU KULIPA KODI ACHA KELELE
@helenakamenya868019 күн бұрын
Machoko ya ccm
@kostajoseph581119 күн бұрын
@@helenakamenya8680 Nakushauri weka point haya mambo hayaitaji hasira , sababu ni maisha yetu uzalendo kwanza ndugu yangu penda nchi yako hatuna nchi nyingine zakuambiwa changanya na zako , kibali kataa CCM ndio inatufanya angalau tutumie huo mkate mdogo uliopo iyo mikubwa mnayotaka nyie tutapaliwa tukose pa kwenda tuache tamaa SEMA SSH MITANO TENA 5