Baraka Shamte, kada mkongwe wa CCM, ametekwa na kupigwa baada ya kutoa maoni yake juu ya siasa za Zanzibar, na kupinga sera ya uwekezaji katika visiwa hivyo.
Пікірлер: 272
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Hussei Mwinyi hana uchungu na Zanzibari, si alisena anaye mkosowa anampenda! kumbe mnafiki akiambiwa ukweli anakuwa mkali hadi moto wa mdomo unamtoka 🔥🔥🔥.
@geraldemanuel36132 жыл бұрын
Shamte amesema ukweli na huku bara ndivyo ilivyo
@MsAggie52 жыл бұрын
Huu uwekezaji ni chanzo tu cha rushwa hamna lolote, Mzee anasema ukweli, lakini CCM hawakubali kukosolewa!
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Wanatakiwa akina Mzee Shamte kama kumi tu. Viongozi wetu wafanye kazi kwa umakini mkubwa,na hofu ya Mwenyezi Mungu.Nyerere amekufa lakini Mzee Shamte yupo tusemee na huku bara. Wazee wa bara wamepigwa ganzi.Utawasikia tu kwenye kupongeza; lakini kuionya Serikali ifuate mwelekeo ulio sawa, kwa maslahi ya nchi,na watu wake mmmh!!!!!! Ganzi.
@kingmartin49242 жыл бұрын
Mzeee yuko sawasawaaaa sawia tena nampongeza hajaogopa kuchana ukweli safiiiii sana mzee tu nakuombea kwa Allah utapona
@nassernassor85622 жыл бұрын
Baraka kasema kweli, hata wakimteka na kumpiga lkn ukweli ndio ushasemwa
@kenedrocky59642 жыл бұрын
CCM imeishiwa sera na busara za kuongoza nchi yetu. Tutake tusitake nimaoni yangu tu.
@frankjohn87062 жыл бұрын
Biblia inasema ktk muhubiri wafalme wanatembea kwa miguu watumwa wamepanda farasi, inamaana Sana hii. Maana mfalme ni mfalme tu na Mtumwa ni Mtumwa tu hatakama apande punda Mungu atamjaza hekima ya utawala yule aliempaka mafuta ya kutawala japo atembee kwa miguu.
@pauloegbert5152 жыл бұрын
Hajakukosoa kasema ukweli
@user-cf7yo3il6g10 ай бұрын
Lilljl Oinlpp
@ussiussi34132 жыл бұрын
Kazi nzuri sana, hongera Mzee.
@barakamwakapoma27022 жыл бұрын
Huyu mzee ana akili sana
@mahmoudaziz47172 жыл бұрын
Mzee shamte Ana hakili sana na anaongea point tupu.
@mwailubikamongo97742 жыл бұрын
Niatali sana kumpinga mtu unaumizwa CCM wanasiasa zakipuuz sana
@saidmasoud15482 жыл бұрын
CCM mishenzi hii lkn m/mungu wallah atawahukumu mmoja mmoja mpaka mutamaliza kila mwenye nia mbaya na Zanzibar na wazanzibar wenyewe
@hodhoj6092 жыл бұрын
Msema kweli mpenzi wa Mungu inshaaaaaalwah mzee baraka Shamte utapona tu kwa kudra za alwah
@kassimali22732 жыл бұрын
Atapona lakini Mzee ametitukana sn wapizani saivi yanamrudia CCM sio poa kabisa
@allenudindo38032 жыл бұрын
huyu mzee yupo sawa kabisa ila watu wengi wanakula tu bila kuwakimbuka wanyonge pia wazee kama huyu ni wachache sana,na kila mtu ana maoni yake 👍
@farajibuteta62582 жыл бұрын
This guy is genius
@msafirimwenyemvua78892 жыл бұрын
Hongera sana mzee, wewe umezeeka mwili tu lakini akili yako Bado ni changa.
@karakatamuumba43102 жыл бұрын
Samia na Mwinyi wana agenda kubwa kuiua Tanzania.Wana genge la watu wa Ulaya kuiuza bara na visiwani.maraisi hovyo kabisa.!Magufuli baba tunateseka !
@billgussy60992 жыл бұрын
Huyu mzee anaongea kwa maslah mapana ya wazanzibar wengi wanyonge… wakubwa hawatapenda kauli zake
@salummussa6102 жыл бұрын
Zamu yao. Mungu haachi mnafik
@froma37322 жыл бұрын
Atajipanga MUNGU Anataka kuwalipia wale walokuwa wakifanyiwa na yeye akafurahia ati anesema ukweli manafik mferji umefungwa hazipatikani tena za bure
CCM inatakiwa iachie nchi wengine wao hawawezi tena kwa kweli
@geraldbenjamin93022 жыл бұрын
This is very sad, why nchi hii Tanzania kwa ujumla mawazo kinzani ni dhambi? Watu tunawachagua wenyewe kisha tujihoji utendaji wao tunanekana wabaya? This must be stopped
@mansourahmed2162 жыл бұрын
Kuna kukosoa na kukashif ni vitu viwili tofauti
@salumrwambo57522 жыл бұрын
Kuna watu hiyo ccm hujifanya kama yao sisi tulio mitaani tunakodisha nyumba zetu mwacheni Kaka Mwinyi akodishe visiwa apate pesa atuletee maendeleo msituzinguwe tushampa nnchi mwacheni afanye yake akimaliza mdawake ndiyo muhoji sasahivi mwacheni, fanyeni kazi
@f.w.z24462 жыл бұрын
Hongera sana mzee umezungumza kwel jaman baada ya miaka mitano hii tusimpe tena tutafute raisi mwingine
@rajabmsinzia17152 жыл бұрын
Kwa mfano Apewe Nani kwa akili yako?
@jongosalehe10362 жыл бұрын
Daaaaah hatari hiiii Mzee yupo vzr sana..
@abuialmarjibi9792 жыл бұрын
We mzee usituchanganye huwenda umenyimwa mgao umedum CCM miaka hukuyaona hayo yote pambana na hali yako
@delasdiego65372 жыл бұрын
Mbona shamte kapigwa na amesema Kwer embu tafuta Cha kuongea sio useme tu kusikia hatusikii Hata kuona basi hatuoni eti wampenda msema kweli wakati ww mwenyewe muongo tu
@matiredms91710 ай бұрын
Happy birthday Hon. Freeman Mbowe
@jonasynyasika63912 жыл бұрын
Hatari sana
@pauloalfayo18682 жыл бұрын
Haya ni maoni ya mtu ,unajua watu kama hawa waxema kweli hawapo wametoweka wengi Mzee mungu akubariki
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
Sasa mzee naona anasema waarabu wakati kisiwa chenyewe kishachukuliwa na watanganyika hahaha
@augustuss45032 жыл бұрын
@@sleemhamoud4394 kivipi kimechukuliwa na watanganyika, naomba nieleweshe
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
@@augustuss4503 Rais kikwete alisema nje ya Tanzania ni nchi moja unakumbuka Na ili uwe nchi kamili utambulike ulimwengu je znz inatambulika ?
@duniamapitosotewamungu34672 жыл бұрын
Na tukiwaacha wazee kama hawa pia hatutakuwa salama
Mchunga kupigwa na ng'ombe wake ni sawa tu na kawaida tumbiri akiisha miti huja muilini muache yamfike wakati wapinzani wakipata kipigo alifurahia
@michaelmfangavo73602 жыл бұрын
wanaosimamia sharia ndio wavunja sheria kilamtu ana haki katika nchi hii
@mohdomar88462 жыл бұрын
@@michaelmfangavo7360 kilamtu Ana haki katika nchi hii munaijua leo
@saidhassan77792 жыл бұрын
MITANO TUU MARA HII
@sadakhamis12612 жыл бұрын
Ishatosha😂😂😂😂
@personpeter22212 жыл бұрын
@@salma0000 hyo tanganyika mbona hamwshi kumsemq
@altonkanjolonga23802 жыл бұрын
Znz hakujawahi kuwa shwari,kutoa maoni ni haki yake.Mzee ameonewa amenyanyaswa kwenye nchi yake.MUNGU IBARIKI TANZANIA
@jaanjaan1112 жыл бұрын
Safi sana ccm kwa kipigo takatifu huyu kenge alishamzoea maalimu sefu kumzalilisha amesahau kama malipo ni duniani ugua pole kenge ww
@malikajohnson88972 жыл бұрын
😂😂😂 Wanasema muosha huoshwa pia. Analipwa hapa hapa kwanza
@abdallajuma62622 жыл бұрын
Yupo sawa huyu Mzee kipi alichokosea hapo tukubali kukosolewa
@najashdawood96802 жыл бұрын
Wao wenyewe wameyafanya mengi ya uovu ..sasa yanawageuka wenyewe.
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Zanzibar nchi yao inawauma sana,sijui lini Tanganyika yetu itatuuma?.Mwana wa mfalme wa Saudia kauziwa Mbuga ya Loliondo na Rais Ali Hassani Mwinyi, hadi Leo Wamasai na Wasonjo wanateswa na huyu mwaarabu. Mwinyi yeye kastaafu katulia tuli Zanzibar, ana shida gani. "Kisha kaanga mbuyu kaachia wenye meno watafune" Ole wee Tanganyika yetu.
@abuutasniym26752 жыл бұрын
Nani alikwambia kua Ali Hassan anaishi Zanzibar ndugu?
@machoguhameri77572 жыл бұрын
@@abuutasniym2675 Unataka kuniambia Mzee Mwinyi hana mji Zanzibar? Unataka kuniambia kuwa alikuwa anatoka bara kuja Zanzibar kugombea U-Rais wa Zanzibar kisha kurudi bara (Dar)? Mimi ninaye andika makala haya sio mbumbumbu.Najua Mwinyi aliletwa Zanzibar na Marehemu baba yake kwa minajili ya kusoms elimu ya dini ya kiislamu.Najua asili yake Tanganyika,mwenyeji wa Wilaya ya Mkuranga; kwa kuwa bado anamiliki mahame ya chimbuko lake hadi Kijiji cha kisiju ana ardhi huko.Tena ujue huyu mzee nchi inamheshimu na mimi pia namheshimu sana,kwani makosa mengine ya viongozi wetu hutokana na wapambe nukusi,na washauri wabaya.Tena wapambe hawa wana mbinu za kumdhibiti kweli kweli kiongozi asisikie ushauri wa mtu yeyote zaidi yao; asije akapata ufahamu wakapoteza masilahi yao binafsi kwake. Tena kuonyesha msisitizo Washauri hawa wabaya humchonganisha Rais na watu wema,kwa kumwambia "watu hawa hawakupendi wanakupiga vita.Rais asipotumia busara atajikuta wema wanawekwa ndani,na wabaya wake wanaongoza nchi bila yeye kujijua!!!.
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
@@salma0000 huyo haji omary heri unyama alofanya ktk hii nchi si wakusema kitu amwache raisi afanye yake aache chuki na kuleta fitna
@kassimali22732 жыл бұрын
@@salma0000 visiwa vinamilikiwa na Zanzibar sio Tanganyika na haitotokea visiwa vye2 vikamikikiwa na baraa
@caashamacalini38872 жыл бұрын
ndio maana Zanzibar wanataka sehemu Yao waitawale wenyewe pamoja wazenji ni karibuni wote ni wanyamwezi, na wahehe alafu wanajiita albaghareseni yaani koo za kiarabu ukiangalia ni deep huyo karume ni mnyasab wote ni watu wakuja pale Zanzibar watu wametokea sehemu tofauti alafu anakwambia mwarabu, nendeni tabora mabaki yamebaki ya warabu mwanza sukuma mabaki yamebaki
@hakunamatataznz55082 жыл бұрын
Allah anajua kila mtu na makusudio yake,ila siasa mbaya uleta hali mbaya ya inchi na siasa nzuri huweka hali nzur ya inchi. tujenge inchi tuawache Mambo hayaa. mm sio mwana siasa ila mwana inchi😊😅😢😮😂❤❤😊😊😊
@billgussy60992 жыл бұрын
Mnampiga huyu mzee kwakuwa kasema ukweli amewaumbua na mmeshindwa kumjibu hoja zake ….aibu kubwa sana kwa ccm. Hovyo kabisa
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Rais Hussein mwinyi miaka 5 tena 😘😘
@miletuskgmiletus15632 жыл бұрын
Mzee upo sawa
@revocatusreuben46052 жыл бұрын
Pole sana
@hamzasuleiman96052 жыл бұрын
Wamegeuka samaki sasa walana wao kwa wao , ISSA MATONA
@mamuumamuu16232 жыл бұрын
💕Rais wangu ❤️
@zuwenaalamin89852 жыл бұрын
Mzee Yuko sahihi wallah
@user-xf9or5cv1d2 жыл бұрын
Wanatakiwa wa manga inaonyesha huyu hakusoma wala hajui stori ya hao wamanga aulize huo uko wake kama hawana damu ya kimanga
@lamlanyava61532 жыл бұрын
Hapa nimethibitisha kumbe bado tunawazee vichwa kaongea kilichowashinda wabunge
@abuubakalmtangenange43892 жыл бұрын
Babu upo sahh sana
@duniamapitosotewamungu34672 жыл бұрын
kilicho mkuta ni haki yake yule mzee anataka kutuletea ubaguzi wa ukabila
@josephjuma19292 жыл бұрын
Uyu mzee anajiamini sn tumekuelewa mzee wangu
@johnkyara80612 жыл бұрын
HUYU MZEE ANAONGEA POINT SANA HIZI NCHI ZINAUZWA
@diolindanativo72682 жыл бұрын
Ipo siku hii TZ yetu wana nchi wataamka na hawa viongozi wajinga watakufa vifo vibaya sana.
@mabenaluca68242 жыл бұрын
Nimebahatika kukaa na Mzee BARAKA Shamte huyu Mzee Ana mengi sana kuhusu Zanzibar Na Tanzania kwa ujumla anyway kutoa maoni ni haki yake ilipaswa apingwe kwa hoja
@meekman18052 жыл бұрын
Kumbe!☝ tunaelekea wapi!
@ahmedalbalooshi85182 жыл бұрын
Ili kulinda maslahi yao,wako tayari kurejea kufanya yale walioyafanya kwenye uchaguzi wa 2020.
@saidmohd19752 жыл бұрын
Labda nikuulize swali boss kwan mwiz anapoiba mtaani serikal inataka apigwe na kufa c anapelekwa sehem husika kufuata sheria sasa kwa nn wananchi wenye hasira wanamaliza hasira zao
@MsAggie52 жыл бұрын
Inategemea na watu watakaomkamata, anaweza valishwa mataili na kupigwa kibiriti na watu wenye hasira. Mungu tusaidie
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
SHEIKH HUSEN MWINYI, USIKUBALI VUJO ZA WASIOPENDA MAWAZO CHANYA! POLE MZEE SHAMTE!!
@aliramadhan71812 жыл бұрын
Shekhe kapotea
@umsalim65152 жыл бұрын
Waarabu wamewakaa rohoni bure, hakun muarabu anoitaka znz , Africa yote wazungu wamegawana zamani mpaka sasa ziko chini yao, hata hapo alipokuwepo mfalme alikuwa hana mamlaka kamili, yote yalikuwa chini ya uingereza hata passport na vyeti vya kuzaliwa vilikuwa vina jina la muingereza sio sultan. Wacheni chuki na wamanga
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Waambie wasikie maaana wamezidi sjui wanaumia na nn kwa waarabu.
@fathiyasalim39462 жыл бұрын
Maneno ya Shamte ni sawa kabisa. Ila nyani akimaliza miti huja mwiliniiii. Alipokua akimtukana Maalim Seif mlikua mnafurahi sana. Sasa wacha yawakute na nyie. Mzimu wa Maalim Seif unaanza kumtesa Baraka
@fathiyasalim39462 жыл бұрын
Baraka shamte wanaomfadhili miongoni mwao ni hao waarabu. Marehem Widadi alokua mke wa Shamte na kamzalia mtoto 1 nae alikua ana asili ya kiarabu. Huyu shamte hana radhi za wazee wake na kivuli cha Maalim kinamsumbua. Baraka utapata taabu sana kwa kuwakilisha walojificha nyuma yako. Mwinyi Rais wangu kumbe nawe huna moyo wa kukosolewa wala kuelekezwa. Punguza presha ilikua umuiite Mzee baraka muongee ungepata mengì. Usalama wako nao wana safura hawakushauri vyema. Mwinyi kuwa huru ili upokee maoni kwa raia zako
@davisfidelis41492 жыл бұрын
Au na wewe ni Mmanga?
@umsalim65152 жыл бұрын
@@davisfidelis4149 Zingatia ukweli sio kutizama mmanga au sio mmanga. Muulizeni huyo Mzee Shamte, cheti chake cha kuzaliwa kimeandikwaje
@shabanseif69142 жыл бұрын
Msema kwel uyo mzee apewe ulinzi alaka sana
@valenakomba92182 жыл бұрын
KWA HILO MZEE UMEONGEA VIZURI . SANAAA. HUWEZI KUUZIA TENA WAARABU NNCHI AMBAYO TULIWANYA ANG'ANYA. HIVI WATANZANIA WAMEROGWAA?.
@amosmichael4872 жыл бұрын
Mungu atujalie mwisho mwema
@mussajuma74602 жыл бұрын
Hatutaki kukodisha visiwa vyetu kwa lazima kukodisha alaf utakodisha vipi kisiwa miaka 60
@abdallahkhamisi10952 жыл бұрын
Kwanini wa znz wasipewe mamlaka ya nchi yao wakaiendesha nchi yao wao wenyewe kama ikifikia wameshindwa kujiendesha waje waombe msaaada
@MsAggie52 жыл бұрын
Si Wana Bunge Lao, Nani anawaongoza? Wana budget Yao na kila kitu. Angalia bei ya mafuta Dar na Zanzibar
@kassimali22732 жыл бұрын
@@MsAggie5 mpumbavu ww unaongea nn apo kuwa na bunge le2 ndo nn mamuzi yote yanatoka baraaa uyo Rais pia anachaguliwa Dodoma Zanzibar ni koloni la Tanganyika sisi na vizazi vye2 tunajua kama hujui ww nyamaza kimya tumechoka ngonjera zenu
@MsAggie52 жыл бұрын
@@kassimali2273 unajiona ulivyo mpumbavu? Matusi sio jadi yangu, jirekebisheni matusi na jazba za kijinga ili msitawaliwe. Umeshindwa kuandika bila kunitukana?
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Kwa mtazamo wangu mimi, hawa Jamaa wanaoleta makelele eti Nchi yao, hata wakikabidhiwa, watakulana wenyewe kwa wenyewe kama samaki,,, Wanafitniana, wanachukiana, wanabaguana, wanavutana, wanagombana, wanalumbana, wamejaa majungu na roho chafu, njaa, wivu, ujinga, mawazo mafupi, uvivu, umasikini wa moyoni, ulafi, hila, giza,... Wapeni hiyo Nchi yao tuone! Wametuchosha, looh ! 🚶♂️🚶♀️🚶♂️🚶♀️🚶♂️🚶♀️🚶♂️🛌
@khamischumu68302 жыл бұрын
Serikali ya zanzibar yote ni wauwaji na ni washenzi nchi ngumu hii
@nassirali74992 жыл бұрын
Mzee pole sana kwa yaliyokufika lkn kama hayo yaliwafika wenzako kwa miongo kadhaa. Ila achana nao miaka 84 tena iyo, focus na akhera yako tena achana nao CCM kwanza washakufukuza!
@mzalendowaasili17272 жыл бұрын
Tanganyika na sisi tuamke , nchi isiuzwe
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
Nan anaetaka nchi imejaa mbuu telee na vipindupindu.
@rehemamdoro51652 жыл бұрын
Wana ccm kuweni na akili ya kufikili hivi kwa maneno ya maana kama haya alafu mnampinga basi Mungu atawalaani alatu mnamteka na kumtesa anzeni kuomba Rehema za Mungu awasemehe maana hamjitambui
@w40582 жыл бұрын
Ajabu ikisha vile vitimbwakwir vikojozi washenzi wakubwa
Jibuni hoja kama wanaume kweli nyooni mmepewa ukweli mumempiga washenzi nyie wakati alikuwa akikufanyieni kampeni
@w40582 жыл бұрын
Kwa ukweli huu ulosema Allah atakunyanyuwa
@ahmedhamad24102 жыл бұрын
Mzee umetufumbuwa macho sana kumbe ccm ni wanyonyaji kiasi chote icho
@lilianmakwati52282 жыл бұрын
Ccm ni washenzi
@kipyakizuri2 жыл бұрын
Sheria ya Tanzania kinachopatikana chini ya ardhi mita 5 ni Mali ya Serikali hata kama eneo umenunua au umekodishiwa. Kwahiyo kama Mafuta yakipatikana kwenye kisiwa sio Mali ya Muwekezaji. Yaani Waitalia wamekodishiwa visiwa miaka yote wanashughulikiana hamkusema kitu na nani kakuambia Waarabu peke yao wanakodishiwa hivyo visiwa? Mimi naanza kuumini Umasikini wa Wazanzibari unatokana na roho zao. Kweli ALLAH amesema hawabadilishi watu nafsi zao mpaka wao wenyewe wabadilike kwanza.
@salehaliy71982 жыл бұрын
Sasa mtu keshawekeza,utamuhamishaje bila kumlipa gharama zake?soma sheria ya mkataba utaelewa
@maimunashaban95382 жыл бұрын
Kwei kabisa
@babasamir26822 жыл бұрын
Huna jipya saahz mama aisha wamaliza kiasa hamna hoja sasa
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Mimi niulize tu kitu kwani hao viongozi walopita hapa Zanzibar walifanya Nini ?mwacheni mwinyi afanye kazi Ni nyinyi ccm wenyewe mulotupeleka huku ..kwa iyo mwinyi Ni raisi mwacheni afanye kazi yake km walofanya wengine
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Babu nduni spanking up for zanzibar people together front act wazalendo
@saidhassan77792 жыл бұрын
MITANO TUU BABA MARA HII
@mokolakipande2952 жыл бұрын
Ndugu zangu Kila lenye mwanzo uwa alikos mwisho katikati kusiwachanganye mkasaau chanzo
@uklife52322 жыл бұрын
Yaani ukiwa CCM lazima uwe muuwaji
@sagandampullo74052 жыл бұрын
BARAKA. SHAMTE KASEMA UKWELI. TATIZO CCM = WAKOLONI. ZANZIBAR WANAPORWA MALI NA VITEGA UCHUMI. NI SHIDA YA KUTANGAZA WATU WASIO WAZANZIBAR ASILIA KUTAWALA Zanzibar
@msabahaali7582 жыл бұрын
Hakika rais mwinyi hana uvumikivu wa kukosolewa ata kidogo ana misimamo wa kimagufulimagufuli ACT kimya ata kulaani kuteswa kwa mzee shamte mmeshindwa sawa hii Zanzibar mwinyi kashakuja achume utajir ss wananchi tubaki tufe na dhiki na ufukara
@malikajohnson88972 жыл бұрын
Kwani ACT walipopigwa watu wao is 2020 ulimuona ccm gani akikemea? Huwa wanaona sawa tu. Hawajui kuwa ubaya hauna kwao. Sasa wanapigwa na wao unataka ACT waseme nini? Wacha wapigane tu.
@mosesndahani33152 жыл бұрын
Nyerere alisema mtu akizoea kula nyama mtu ataendelea tu. Lema alisema wapinzani waki sha wamaliza .....
@nassoursaleh31442 жыл бұрын
mtajuana wenyewe Mungu anawasubir kaz yenu zulma tu nyote huyo mzee nae akipewa shavu tu kimya mara hii hajapewa kwn pole pole nae alikua hvo hvo
@benjamindenice532 жыл бұрын
We mzee mjinga sana njaa ndo zinakusumbua tu. Sasa hivi ndo umejua kuongea ukweli kibindi ukiwa madarakan hukuyaona
@hassanjongo43092 жыл бұрын
Ok 🤔🤔🤔
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Mzee Baraka Shamte amesema ukweli!!
@sharifjuma12202 жыл бұрын
Wewe Zombi la ccm. kwani mmempiga?
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@sharifjuma1220 Chokuu wewe unajuaje kama kapigwa na CCM?
@aliyissa98572 жыл бұрын
Haya bwana
@abdulmuhidin14892 жыл бұрын
Kwanini mtu akisema ukweli baadhi yao hawaupendi tulisikia mengi tunasikia mengi na tutasikia mengi letu sikio tu allah atulinde kwa kweli hatujui huko tunakokwenda kutatokea nini
@delasdiego65372 жыл бұрын
Shida ni kwamba wasema kwer hua wanawekwa pabaya huyu Mzee amesema kwer tupu ndio Maana wanamuandama na vibaraka wao. Ivi kwani Kuna kilichofanyika Kwa huyu Mzee zimwi wanamtetea wakati hakuna mzanzibar aliemchamgua Kwa kura Zaid ya nguvu walizotumia na Bado wanazotumia Kwa wasema kwer kama Mzee shamte Cha muim shamte kaza tutakupenda kama lissu wa Zanzibar Mungu akuponye Mzee wetu na wao awaangamize
@mamuumamuu16232 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄maana kwanza ncheke😃😃😃😃😃😃
@omarissamashaallahpresiden29202 жыл бұрын
Na ss wa michenzani tunataka tukodishwe miaka 66 Mzee
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Huyu janajike kisa anapata kuiba kwa hiyo mkali na yote hana elimu ameekwa to hapo kwa ajili ya kufunuliwa chupi
@rukiahassan40162 жыл бұрын
Ulisema kweliii ñdioo wakuupigee
@ibrahimabdullah18872 жыл бұрын
Ukipona soma kisomo cha nguvu alio shiriki kupiga au atoaamri watie adabu
@diolindanativo72682 жыл бұрын
Uyu mwinyi anataka kujaza waharabu apa zazbar unakodisha vipi miaka60.
Imetulia kwasababu ukisema yakweli tu basi jiandae na jela,kifo au ulemavu wa maisha ,ila kilamtu asidanganyike na dunia kwa kivaz au cheo iposiku utafika kwa muadilifu na mlipaji kwa yale unoyatenda.
@saidramadhani86782 жыл бұрын
Hatoki mtu miaka mitano Kama kawaida jeche
@suleimanally10042 жыл бұрын
Duuuh !!!
@djfeda39882 жыл бұрын
Babu umeongea ukweli hawakodishwi wanauziwa miaka 60 unakodisha au unauza dah Zanzibar tunauzwa Allah yupo atatulinda
@noffelsalim8302 жыл бұрын
Kwa nn apigwe Kama kafanya makosa sheria zipo na akamatwe, wazanzibr kitu kinachotukera na kutukatisha tamaa kwa serekali hii nikuona bado yale tusioyataka bado yapo na yanaendelea.mambo yakupigana wapi na wapi.
@muzzamilzaharan67992 жыл бұрын
basi mkitaka dunia tutawapa ila kumbukeni akheri mtaangakukia patupu😢