Nimezidi kuogopa nilivyo ona iyo alama kwenye mkono wako Mwenyezi Mungu atulinde na shari za binadamu na majini.
@evishorts45433 жыл бұрын
Davistar vizuri sana unatupa story nzuri alafu msimuliaji Makini Kama wewe💯
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
uchawi upo kabisa nivyema kuomba hifadhi kwa MWENYEZIMUNG.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Kweli kabisa😔😪😪
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Yaani Zabron ungekuwa ulaya wewe ungekuwa millionare make kwa xtory hiyo sisi tunafulahi kusikiliza ila ni bonge la dili hiyo ni movie tosha ulaya na ukatajilika
@luciamutongore7993 жыл бұрын
Umenena kabisa Wantango
@marysteven6053 жыл бұрын
Jaman haya mambo ili kuyapona,tumtafute sana Mungu,wachawi wanatisha
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Masikini wa Mungu hayo mateso jmn..Pole sana kaka angu!! Siku ya hukumu tutasema nini mbele za Mungu wetu 😭😭😭😭😭😭😭
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa.
@Lucykagz3 жыл бұрын
Kazi njema Davistar nafuatilia from Kenya Mombasa, nakwambia naingia KZfaq tuu kuona mwendelezo hii story isiishe iendelee tuvuke mwaka nayo Kaka, be blessed bro
@jeannettemilumbu40813 жыл бұрын
Nimekuwa wakwanza kutizama leo From 🇦🇺
@zuhuraimran36593 жыл бұрын
Umeitazama saa ngap 48 mins na hii video pia iko na 48mins
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
@@zuhuraimran3659 muongo huyo😀😀🤣 wakucoment kabla hawajatazama
@qelseykenya39333 жыл бұрын
Intresting part👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼
@alitoufik54773 жыл бұрын
Hapa sawa tuandalie ya 16 cc tupo macho na Zabron
@theunseen.believe56723 жыл бұрын
Hongera Davista,yani nilikuwa na hamu ya kusikia kuhusu gamboshi, naona tunaendelea taratibu hadi raha🙋
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Mateka kweli gambushi ndoulivyoo ingia lkn kichapo umekipata kweli pole sana hapa ndonaona film imeisha mkanda kamili ndohuuu 😱😱😱😱😱😱
@eshalibaba11953 жыл бұрын
😭😭😭kuna watu wanapitia magumu sana
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Rizik somoe cute emmy pili njooooon jaman mambo mapya🇪🇭🇪🇭🙄
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Namshukuru baba mzazi sikua namuelewa wkt anatufundisha kuusu Yesu sikuwah jua mimi sikuwah aiseee niliona kama anazingua kumbe alijua siri
@shakiraabbas75383 жыл бұрын
Yaani leo hadi asubuhi nawakilisha chezea gamboshi ha haaa😂🙌🙌
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Ufunuo wa yohana 21...Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku...alafu linatokea jitu linasema eti bible ni gazeti 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Anna kitabu kilicho andika ukweli wote na maneno ya Mungu kama bible...yote yanayo tokea na kuendelea yameandikwa
@Snr.Prefect. Жыл бұрын
Hakikia.
@zedianagasper94753 жыл бұрын
Duniani kuna mengi MUNGU Atulinde,,,, asante kwa kutuletea vipindi vya kujifunza
@oduoratieno26133 жыл бұрын
Very touching story Sorry bro God protect u forever
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Wachawi wote motoni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😪😥😥😥😥😥😥
@neemaomar763 жыл бұрын
Afadhali ahsante DM❤️
@bintimrope3 жыл бұрын
Allah atulinde na hawa wachawi
@pilimusa77703 жыл бұрын
Amiin
@jimmykazoya17493 жыл бұрын
No Allah... Jesus above all
@bintimrope3 жыл бұрын
@@jimmykazoya1749 hakuna mwingine nimjuae zaidi ya ALLAH.
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@jimmykazoya1749 Allah above all ndugu
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@bintimrope mwambie huyo
@lizzybeth63443 жыл бұрын
Duh nikajua nimewahi Leo na mimi
@aminabhitalio81433 жыл бұрын
Story nzur sana
@khadijajuma71423 жыл бұрын
Alhamdulillah nashukuru kwa mapito yangu,kuna watu wamepitia mitihani balaa Duuh!!!Mungu endelea kutulinda na majanga ya Dunia hii.Kweli kila mtu akisumulia mapito yake utajiona una afadhali sana uliyopitia kuliko mwenzio. Daah ndo mana tunatakiwa kushukuru Mungu kwa kila unalopitia maana kuna mwenzio huko anapitia magumu zaidi yako.
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Daah Kaka zablon nashindwa hata niandike nn
@pazimazongera49343 жыл бұрын
Ndani ya gamboshi
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Davister hii series ni ndefu hebu tushushie mzigo bampa to bampa....usidelay
@sharifusaidi4613 жыл бұрын
Asanteee davistar tuleteee iyoooo nyingineee
@missnmissnn2443 жыл бұрын
Tunaomba ya 16 plz
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
nakoment tena ndugu watazaman tumchangien huyu jamaaa ( Zabron) naomba tuwambiwe namba hıı ya cm ya mpesa pia?
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
WA Kwanza Leo MCESHI🤛🤛🤛💪💪💪
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@kisomekiseto56743 жыл бұрын
Nakubari sana
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Tayar 16💃🇪🇭🇪🇭
@sallo27.703 жыл бұрын
Aseee.! Kuna watu wamepitia Kama Sio binadamu wa kawaida.
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Mungu wangu kweri kuna uchawi kabisa
@nurudaud39932 жыл бұрын
naelimika vizur sana😊
@upendoluv71973 жыл бұрын
Dunia Ina Mambo walah Mungu tusaidie tu hakuna tunachojua Wala kuona kwa macho ya kawaida Ni wewe tu Mola wetu wakutupigania😪😥
@nyendochamwela30313 жыл бұрын
Sasa je! Mwache mti mkavu ale bata.
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
story tamu jamani davi uwe wasaka watu kama hawa wenye mambo mazuri
@saidhamad5333 жыл бұрын
Alamanimeonekan vizuri sana dah iyo alama inatisha
@omarmahmoud4513 жыл бұрын
Keep it up bro
@nahirhumoud87563 жыл бұрын
👍👍👍
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Hatari sana
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Wachawi ni watu tofauti sana, yaani tunashangaa kuwa duniani humu humu kuna watu wanaoishi dunia tofauti, yaani mtu yaliomkuta mambo hayo, akisimulia unaweza ukafikiri kuwa au alikuwa anaota? lakini njozi gani hiyo ndefu hivyo? alafu anakumbuka kila tukio. wachawi sio watu kabisa, waangamie.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa.
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
@@pilimusa7770 hujanishtua shoga angu
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
Ila usimuache zablon mpaka amalize story
@saidjuma253 жыл бұрын
story safi
@sultansoule25713 жыл бұрын
Inatisha duh polesana Jamaa😳
@patriciakamugisha22943 жыл бұрын
Nilivyo muoga kusikiliza ucku nasubiria mchana tu hahahah. Pole sana zablon uliyopitia sitaki kuamini ila ndio ukweli. Nawaza tu hii dunia ina mambo jamani Mwenye Enzi Mungu atusaidie sanaaa. Tuletee bac episode kama 5 hv mfululizo
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@ericklukumay17773 жыл бұрын
Yan hyu jamaaa kapitia pagumu sana
@angeljasson43763 жыл бұрын
Nimewahi leo asante br
@mr.jasonfxsignals48733 жыл бұрын
Davistar tupe aki yetu 😂😂😂🤩
@eshialabonita77363 жыл бұрын
Nlikua nasubiri kwa hamu.. Davistar alivosisitiza kuchukua namba za hao jamaa wenye mihuri nimecheka 😜😜😜
@angelmilele47303 жыл бұрын
Okoka kaka angu
@aishaha35383 жыл бұрын
Bona watuweka sana
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Nimeani na nitamwamini Mungu
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Pamoja sana
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
najifunza📖
@hadijashabani8903 жыл бұрын
Kazi ndo kwanza imeanza
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Hatariii sana
@rehimamohamedi6343 жыл бұрын
Just waiting 16ep
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
Tupo pamoja mwanzo mwisho
@hamisihassan26203 жыл бұрын
Davistar tuletee part 16 mbona watuchelewesha bhana
@samiaarimkonekonko50963 жыл бұрын
Uchawi jamani upoo😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@khadijasalum73403 жыл бұрын
jamaa anasema ukweli nishawahi kuona watu wanahiyo alama nilijisemea urembo gani huu. kumbe
@mbwanaomary45043 жыл бұрын
Sasa Tumeingia Gambushi Rasmi
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
yah
@ringoaskali76253 жыл бұрын
Dah katika story zote za davistar za kichawi hii noma ssna dah natamani iishe
@mashamramba34613 жыл бұрын
Kweli uchawi upo kweli
@asiasalim46343 жыл бұрын
Ziwe part one na 2 tunasubiri sana mpaka macho yanataka kutoka kuchungulia kila dakika halafu hii kama fupi ina dakika chache au mm tu utamu umekolea 😂
@rosemassawe19793 жыл бұрын
Nimefurahi sikia that they fearing God and Jesus 🔥
@tonywambua95053 жыл бұрын
Still following up
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Pole sana kwa majanga
@evalynclemens28613 жыл бұрын
Waiting Part 16
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
uchawi upo na wachawi wapo kizuri kukimbilia kwa yesu
@pilimusa77703 жыл бұрын
Duh hatari. Wamemuweka alama duh. Pole sana zabron
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
😥🤔
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
unaweza toa movie zabron na ukawa mbele hiyo ni filamu tosha
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
Davista naomba kazi ya u mcamera man Mshahara wangu msosi tu
@mariammgombayeka18243 жыл бұрын
Ungekua unatupakulia haraka jamani vibando vyenyewe vya 24hrs 🤣🤣🤣
@alexjos76253 жыл бұрын
nyingine iko wapi...dah inaisha haraka sana dah
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Uko ndiko kuzimu jamani kuzimu kunatisha...iyo miji ni ya shetani na mjue shetani anaiga mbinguni kuna mji mzuri mtukufu lkn bila kumjua Yesu basi uwezi fika ktk huo mji