Unapoona hawa VIONGOZI WA din na nchi wameyakalia kmy maswala haya ujue wanahusika kbisa🏃 niamini kuna Watu mambo Yao yanaendeahwa na GAMBOSHI 💯
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kabsa kina mwigulu
@abelmange54303 жыл бұрын
Jamani tupigeni kula Kati ya hii story ya Zabron na ya Juma wa Jini, ipi kiboko...Mi naona kama hi ndo Komakoma Funga mwaka, Bonge la story na Bado linasonga kwlkwl...!! Yaan huyu Davista Mata, Kijana Safi Sana 😃🔥🔥🍗💙❣️
@stevedeule54003 жыл бұрын
Hiii qonk
@suleymanally47293 жыл бұрын
Juma namb 2 mpk sas, namzig ndio kwanza unaanza
@khadijaomari93443 жыл бұрын
@@suleymanally4729 kweli
@rasjamal98543 жыл бұрын
Hii No moja, inafatia ya Juma aka J17 na hile ni moto mwungine
@abelmange54303 жыл бұрын
@@suleymanally4729 Yaan ndo Kwanza asubuhi
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Zabron mrudie Mungu wako kikamilifu sana. Maana anakupenda sana
@Kaka_Rambo2 жыл бұрын
Hakika kabisa
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Sawa mtumishi
@LOGOSNew3 жыл бұрын
Calling upon God makes all the difference.
@mimsbaibe6mimsgul7373 жыл бұрын
Inasitikiza kweli there is God in heaven wacheni Mungu aitwe Mungu
@oneclick20233 жыл бұрын
Kumbukeni Zabron bado yupo usingizini..Nani anasubiri akizinduka itakuwaje? Shida kwa yule jamaa anaye omba misosi kwa niaba ya zabron.Na Zabu anavyo penda msosi sijui acha tuone.😂😂 Ngoma ina yeyaaaaa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jafariemmanuel16943 жыл бұрын
😂😂 yule mwana anaepiga misosi kwa niaba ndo napasubiria hapo hahaha
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@jafariemmanuel1694 🤣🤣🤣
@oneclick20233 жыл бұрын
@@jafariemmanuel1694 sijui bwana Zabu atachukua action gan?,Kwasababu bwana Zabu Ni mpenda misosi,mwnagalie kwa makini anavyo tamka swala la masosi😂😂
@upendoluv71973 жыл бұрын
@@oneclick2023 Hatari anapenda misosi balaaa😂😂😂😂😂
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Zabroni inavyo elekea unapenda Sana kula mana ikifika sehemu ya kula unasmile 😀 ukagonga msosi
@michaeleustach97693 жыл бұрын
Aliesikia upepo ukivuma kma kiajabu hv kma mmi gonga like
@fredichaki48683 жыл бұрын
Davista unge mshauri huyu jamaa awape watu wa tafsiri kitabu chake katika Lugha ya English ilikiweze kuvuka nyanja za kimataifa
@bintimrope3 жыл бұрын
Kuchinja binadamu mwenzio😢😢😢wanga wabaya sana
@ezekiaandrew84203 жыл бұрын
Oooh yessssss
@rasjamal98543 жыл бұрын
Km gari la zamani la kubebea mikaa litakuwa Jafongo (sosoliso) kwa wale wahenga gonga like tujuwane
@mathiasrobert62463 жыл бұрын
I'm top 4 today
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Angekuwa USA au ulaya zablon ungekuwa billionea
@shanaimuthoni90823 жыл бұрын
He can still make it
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Doh Zablon nakuvulia kofia yani umeona kifo na macho
Aso wake ana mungu hakim wetu sote mumoja mungu saidia
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Tuned 🇰🇪
@oglinetv39413 жыл бұрын
Wa kwanza
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Zabron ametufafanulia zaidi kuhusu gambosh na maisha ya huko, kwa kuwa yeye mwenyewe ameshuhudia yote yaliomtokea, mimi nilifikiri huko gambosh wanaishi misukule tuu, kumbe watu wa kawaida pia wanaishi huko.na hilo shimo je ndio kuzimu?
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Wakwanza Leo 💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🙄
@kusahbrown4363 жыл бұрын
watu wameshiba kipande cha mtu jitu msemo wa zablon
@christophersaimon43983 жыл бұрын
20
@jacobmwacha72853 жыл бұрын
Kaka davista uyu jamaaa story yake n ndefu na nzur naomba tuongezeee mda kwenye vipande kaka
@rastamabuki1853 жыл бұрын
Du!! Nimechelewa kinoma leo ila freshi tu
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
Mwendelezo mpaka 2021
@faustinaalukungu85113 жыл бұрын
🙏
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Pamoja sana
@nurudaud39932 жыл бұрын
aiseee daaaa mungu tusamehe watoto wako😢
@juliejulie87043 жыл бұрын
Jamani huyo Babu alikua na mapenzi ya kweli kwako
@gullaalex65903 жыл бұрын
Mmmh naogopa
@abbyadams86913 жыл бұрын
Story ya Zabron VS Jini Julieth nani zaidi?
@ElihrJones3 жыл бұрын
Dah mpaka kesho tena
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
Tupo pamoja mpka mwisho wa story
@caimedia3 жыл бұрын
Pamoja Daimaaa David
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Vodacom
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Nahivyo mko chini yashimo yani simateso hayo jamani kweli vitabu vyako vafaa kabisaa Mungu atupeuhai 2021 kama tutaxipata mana wengine tuko inchi xawatu
@bahatiabdillah53073 жыл бұрын
5
@bizzonganilevanu93303 жыл бұрын
Duh,
@husnaothuman16093 жыл бұрын
Story imekolea Alafu Wi-Fi inazingua weyeeeeeee... Natamani Kuweka Simu Kwenye friji 🤦🏼🤦🏼
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😀😀😀😀
@husnaothuman16093 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 Kweli Wi-Fi Mushika 😂😂
@lovewagee89503 жыл бұрын
😌💃
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
habar wapenz wachunguliaj!! 19 ..epc inaonekana n kama mungu alikuwa anataka kumtoa ndıo maana nyoka hsjammeza popo kuwala wawil mara kuja huyo mzee fund mwezake n.k Haya yote kama utskuqa msküni n njia ya kumtoa Gamboshi Mungu n mkubwa sana.
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Mzee baba sasa uswali tu kilicho bakia
@Footballer-19923 жыл бұрын
Drop part 20 Davista
@aishasaid67493 жыл бұрын
Subuhannallah roho inaniuma sana unachinja binaadam wachawi hawana huruma wallah makaazi yao ni jahanam na hawana msamaha
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
bona sikuona notification🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😢😢😢😢
@igurusitv65533 жыл бұрын
Kuna wadada wamepita nyuma yao wamevaa sare Wazuri😃😃😃 ailiwaona sasa😜