HII KALI! MBUNGE KISHIMBA AINGIA na SARE za SHULE na MADAFTARI BUNGENI, AMVAA WAZIRI wa ELIMU..

  Рет қаралды 92,555

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

HII KALI! MBUNGE KISHIMBA AINGIA na SARE za SHULE na MADAFTARI BUNGENI, AMVAA WAZIRI wa ELIMU..
NI mkutano wa tatu, kikao cha kumi na nne cha Bunge la 12. umeendelea leo Mei 04, ambapo mawaziri wamewekwa kikaangoni kuulizwa maswali na wabunge.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 127
@ramadhanshiganza4926
@ramadhanshiganza4926 3 жыл бұрын
MH wangu, unamawazo makubwa kupita KIASI. Hongera mno. We ni zaidi ya Professor!!!! Huyu Mh abarkiwe MBUNGE WANGU KAHAMA MJINI.
@shadrackelikana7402
@shadrackelikana7402 3 жыл бұрын
wabeja sane
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 3 ай бұрын
Hakiyamungu Mzee kishimba yuko sawasawa kabisa mama yetu mtafute ukae name mezani utapata HP ambo la manufaa
@xinyingmiao4996
@xinyingmiao4996 3 жыл бұрын
We don't need educated people but we need great thinkers and creative people mbunge kishimba salute
@godfreymlowe4315
@godfreymlowe4315 3 жыл бұрын
Kiukweli kishimba ni mwakilishi wa wananchi
@abasijeremiah7925
@abasijeremiah7925 3 жыл бұрын
Wewe mbunge hongera sana baba yangu mungu akulinde una mawazo makubwa sana
@edwindaniel5135
@edwindaniel5135 3 жыл бұрын
Kweli Ana mawazo mazuri
@amiryhamza1984
@amiryhamza1984 3 жыл бұрын
mzee kishimba wewe ni genius
@peterfania1005
@peterfania1005 3 жыл бұрын
Yaani huyu mbunge amenigusa Sana anachosema nikweli na maisha hayo tumepitia yaani Baba ongera Sana sikuweza kufikia ndoto zangu kwasababu hizo njaa kukaa mbali na shule viatu ,macountebook 😞 kipindi nasoma niliichukia Sana serikali na matumbo Yao magufuli Tu ndio alikuwa anajua shida na vilio vya wananchi
@abdallahmwinyi2106
@abdallahmwinyi2106 3 жыл бұрын
Kishimba mheshima mtetezi wa wananchi mungu akubariki
@joelkahuya8356
@joelkahuya8356 3 жыл бұрын
Huyu jamaa akili nying sana Mungu amuinue, nataman awe Rais kabisa
@nassorokamasesela3782
@nassorokamasesela3782 3 жыл бұрын
Ongera sana mbunge jumanne kishimba kwa kuwa funguwa watanzania vichwa nasasa wameanza kukuelewa unachokusudia kwa watanzania ongera sana mungu akulinde
@titomhagama5545
@titomhagama5545 3 жыл бұрын
Hatamimi
@rolethakaoo7468
@rolethakaoo7468 3 жыл бұрын
Bunge la sasa huyu ndiyo kidogo ana hoja.
@gresondavid2268
@gresondavid2268 3 жыл бұрын
Kwanini somo LA HISABATI lifundishwe kwa lugha ya kiingereza.Tunakosa wasomi wengi WA HISABATI kwa sababu ya ugumu WA lugha?Tusiwe wajinga Tukidhani kwamba kujua kiingereza in ujuzi Na fahari Kubwa.Tuwafundishe watoto wetu kwa lugha ya mama (kiswahili). Ili tupate wasomi wengi wenye utaalamu mkubwa.Kinacho ni shangaza Na kunisikitisha no kwamba;mtoto ana anza shule ya chekechea kwa lugha ya mama( kiswahili).had I Darasa LA sana atakuwa amemaliza elimu ya msingi kwa kipindi cha miaka 14. Form one had I Form four Lugha inayotumika hapa ni kiingereza.swali language kwa WIZARA husika Na serikali ;Hapa kweli tumedhamiria kulikomboa TAIFA kweli ama tunatania?.Ushauri wangu kwa WIZARA husika Na serikali in kwamba;Tuwafundishe watoto wetu kwa Lugha yetu ya kiswahili.
@fidasjohn4700
@fidasjohn4700 3 жыл бұрын
Yaani Huyu mbunge hua namuelewaga sana
@msambi1251
@msambi1251 3 жыл бұрын
Akili kubwa standard 7
@pililmabula9559
@pililmabula9559 3 жыл бұрын
Hakika kishimba ni moja ya waheshimiwa wenye uelevu juu ya maisha halisi ya jamii watokazo mungu akubariki uzidi kuwa na maono zaidi.
@AffectionateChess-mh5cz
@AffectionateChess-mh5cz Ай бұрын
mzee kaja na vitu muhimu vyenye maana lkn huwezi amini wabunge wetu wanacheka tu 😢 najua kw sbbb wao hawaishi maisha yetu
@stivejayngoga1403
@stivejayngoga1403 3 жыл бұрын
Real Professor!!🙏🙏🙏
@irakozejclaude7869
@irakozejclaude7869 3 жыл бұрын
Huu mbunge tatizo analianzia chini tofauti nawengi wabunge ki ukweli niwa muhimu haswa kwawatu wamaisha ya chini
@EmmanuelSentimea-yu8no
@EmmanuelSentimea-yu8no 10 ай бұрын
Mhe.Kongole sana kwa kusema ukweli na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.Serikali iyafanyie kazi mawazo yako!
@kilingahamissi6734
@kilingahamissi6734 3 жыл бұрын
Mzee anawaza mbali sana mpaka anavuka mawazo ya wengine ndio maana wanacheka point zake halafu sionagi hata mawazo yake yakifanyiwa kazi
@upendoamani8164
@upendoamani8164 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@melkzedeckmaimu8344
@melkzedeckmaimu8344 3 жыл бұрын
Elimu ya bongi imekuwa nimajanga tyu
@nasrahassanmasesa3745
@nasrahassanmasesa3745 3 жыл бұрын
Mh kishimba kanigusa nami maisha yangu asante mbunge kw hoja zuri
@zaddochotienoopiyo1064
@zaddochotienoopiyo1064 11 ай бұрын
Please bring this man to Kenya please. Tanzania is blessed with thinkers not sycophants who have gone to school but does not think
@mariaernest9324
@mariaernest9324 3 жыл бұрын
Hongera Sana kishimba una mawazo mapana sana
@edwindaniel5135
@edwindaniel5135 3 жыл бұрын
Kanda ya ziwa ina watu wenye mtazamo wa maisha ya mtanzania
@user-eb3sr5wi5v
@user-eb3sr5wi5v Жыл бұрын
Kishimba anauchungu sana jaman
@geofreykilasi7354
@geofreykilasi7354 3 жыл бұрын
Point zote baba,miaka mitano tena...nitapiga kampain bure
@Worldunite
@Worldunite 3 жыл бұрын
Daaah,aisee hapo umeongea ndugu kishimba😀😀😀😀
@ramadhanshiganza4926
@ramadhanshiganza4926 3 жыл бұрын
Hongera mno, MAWAZO makubwa Sana, TULITAFAKARI NENO KAZI. UKWELI INATAKIWA IWE WATANZANIA WOTE.WANAOFANYA KAZI
@eliayeremialeli1806
@eliayeremialeli1806 3 жыл бұрын
2025 mimi namshauri huyu baba achukue form mbona anaongea ukweli sana hadi nachanganyikiwa wise man
@mrholela7906
@mrholela7906 3 жыл бұрын
Creative man
@johnrogath1066
@johnrogath1066 3 жыл бұрын
GENIUS
@wangwemseti7592
@wangwemseti7592 3 жыл бұрын
Maono ya mh kishimba yafanyiwe kazi yanatija kwa taifa letu msimpuze ana mtazamo wenye maslahi mapana na yanaeleweka kwa kila mtu
@eliayeremialeli1806
@eliayeremialeli1806 3 жыл бұрын
Huyu baba ni wise man mzuri sana
@getrudeamos38
@getrudeamos38 3 жыл бұрын
Dah! Baba umenigusa sana vijijin saiz michango shuleni imezidi kabisa.
@emmanuelmodest7457
@emmanuelmodest7457 Ай бұрын
SAFI MH.
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 2 ай бұрын
asant sana mh
@titomhagama5545
@titomhagama5545 3 жыл бұрын
Hongera sana. Wewe ni raisi mtarajiwa
@lewismpangala927
@lewismpangala927 3 жыл бұрын
Na wewe ninani ajaye
@hildakapungu3230
@hildakapungu3230 2 жыл бұрын
Asante baba kama umeliona hilo .
@gilbertmshiha6032
@gilbertmshiha6032 3 жыл бұрын
Hongera mmh kishimba umeogea vizuri sana
@frankmashina3240
@frankmashina3240 3 жыл бұрын
daah ajira tatizo sana kwa vijana
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 3 жыл бұрын
Hongera Sana kishimba .naona wenye meno wanacheka Kama vile wametoka sayali ya Mars.
@keepforme6009
@keepforme6009 2 жыл бұрын
I like this guy!
@josiamedas2803
@josiamedas2803 3 жыл бұрын
Hongera sana baba hoja yako wazilialitoa majibugan
@felisteryusuph8829
@felisteryusuph8829 3 жыл бұрын
Aiseee safi sana nimeipenda hoja yako bro
@peterhano8706
@peterhano8706 3 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa J4 kwa mawazo mazuri
@dominicksamwel7578
@dominicksamwel7578 3 жыл бұрын
Big up mbunge wangu
@eligiusstephano9106
@eligiusstephano9106 3 жыл бұрын
The most intelligent MP
@jeromekabogo9456
@jeromekabogo9456 2 жыл бұрын
Mh. Uko vzr mnoo asant sanaa
@victorernest7702
@victorernest7702 3 жыл бұрын
Utu uzima dawa 🙌🙏
@blandinalukole5535
@blandinalukole5535 3 жыл бұрын
Magulification of Africa
@ellymakongo656
@ellymakongo656 3 жыл бұрын
Mawazo ya kishimba ni mawazo ya Magufuli yaani Africa kufanya mambo mazuri ya dunia hii lakini kwa tafsr yetu wenyewe
@billypaul6072
@billypaul6072 3 жыл бұрын
Point
@user-mm6fe9vz2p
@user-mm6fe9vz2p 5 ай бұрын
Really wanted person
@fredrickstephano4689
@fredrickstephano4689 3 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙏
@izraelyherman4467
@izraelyherman4467 3 жыл бұрын
Hongera kishimba
@elasydeogratias832
@elasydeogratias832 3 жыл бұрын
Nakubali
@secheamon
@secheamon Жыл бұрын
👏👏👏🙏
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
Procurement !! Eti unajifunza kununua nn miaka 3??😂😂! Ila kweli !
@aishaaa1757
@aishaaa1757 3 жыл бұрын
Hongera sana kishimba kwa kuongea ponti
@inocentkaiza8791
@inocentkaiza8791 3 жыл бұрын
Dah kama vile comedy ila inamaana sana hongera
@charlesgasper2243
@charlesgasper2243 3 жыл бұрын
He is a good thinker not bad to be useful in your hall!!
@gidyonmshani5259
@gidyonmshani5259 3 жыл бұрын
Bg up kishimba kahama mnajembe kweli
@gaudenciamallya9779
@gaudenciamallya9779 3 жыл бұрын
Mheshimiwa Spika amesoma Sayansi. (Ndiyo maana Baba wa taifa J.K. Nyerere aliiheshimu sana Mei Mosi. Alisoma historia) .
@abuumbegu8657
@abuumbegu8657 3 жыл бұрын
Come on Kishimba you are in right path!!
@abuumbegu8657
@abuumbegu8657 3 жыл бұрын
Teach them how to think!!
@marrymwashinga2170
@marrymwashinga2170 3 жыл бұрын
We baba umejua kunifurahisha MWe!
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 3 жыл бұрын
Hahahaa umewakilisha vwema sana
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 3 жыл бұрын
M nakupenda kwa hela yt😂😂😂
@sewamadaraka4757
@sewamadaraka4757 Ай бұрын
Hivi kwa Nini akunaga taarifa anapotoa hoja mh kisimba?
@nasrahassanmasesa3745
@nasrahassanmasesa3745 3 жыл бұрын
Mh kishimba umeongea pointi watt kauda book yana bei kweli ila kwa yoniform nyeupe ni nzur pia toka enzi 😢
@renatusaugustine3410
@renatusaugustine3410 2 жыл бұрын
Tatizo ni kwamba kwan tumelazimishwa ziwe nyeupe kwa nn wasivae hata nguo nyeus au nyeupe hata rang nyingine
@zaddochotienoopiyo1064
@zaddochotienoopiyo1064 11 ай бұрын
He should be next president in TZ
@karolyimani7824
@karolyimani7824 2 жыл бұрын
Mhe:Kishimba. Nimekuelewa.
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 8 ай бұрын
Haijawahi tokea wafanyakazi kuomba punguzo la mshahara?
@husenijumakipanga9017
@husenijumakipanga9017 3 жыл бұрын
Muheshimiwa mawazo yako ni makubwa na mazuri kuyafata lakin tatizo lipo kwenye utendaji,utendaji ndo tatizo kubwa
@olivanooraladin5436
@olivanooraladin5436 3 жыл бұрын
Eti mgongee wewe ndio anaekupenda
@seydouchanzila1248
@seydouchanzila1248 2 жыл бұрын
Muheshimiwa nimependa hoja zako mungu akupe afya njema ili uendelee kutuelimisha inshaallah
@mundalikope581
@mundalikope581 3 жыл бұрын
Ndugai Leo tu umeongea point
@patrickKitambo
@patrickKitambo 3 жыл бұрын
kishimba amezungukwa na pisi kali lazima ateme madini
@busumabuileme2153
@busumabuileme2153 3 жыл бұрын
😂😂
@deusmgema8612
@deusmgema8612 Жыл бұрын
Kishimba tano tena
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 жыл бұрын
ndyo maana shule za vijijini hutajua kama ni uniform nyeupe au la , sijajua walizingatia nini wakati familia nyingi za kitanzania ni maskini. labda wapikiwe shuleni. kubeba chakula sikubali italeta shida zaidi.
@johnshile9246
@johnshile9246 3 жыл бұрын
Waambie kuhusu mikopo elimu ya juu ubaguzi was praiveti na gavmet
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 5 ай бұрын
Unafikiliaga nini wewe mzee jamani mmmhhh
@salehrasta9165
@salehrasta9165 3 жыл бұрын
Kishimba msemaji wa wanyonge wa kweli
@niwawilson4477
@niwawilson4477 3 жыл бұрын
amenikumbusha kahama old xcul kitambo hicho
@yahayaolomi1057
@yahayaolomi1057 3 жыл бұрын
Huyu ndiye mchangiaji Bora wa bunge hili Hana poyoyo na vijembe
@jeremiamalima9112
@jeremiamalima9112 Жыл бұрын
Ww JAAMAAAA
@doriselipokea651
@doriselipokea651 2 ай бұрын
Yani basi tyuu
@bizimanaabedi5177
@bizimanaabedi5177 3 жыл бұрын
Kweli na wapenda wa bunge wa tanzania
@emanuelmbwiga690
@emanuelmbwiga690 2 жыл бұрын
Tatizo mawazo haya hayafanyiwi kazi,waziri yupo hapo lakini anacheka tu,wala hachukui hatua yo yote ile! Eti huyo ni msomi!!
@davianofficial6972
@davianofficial6972 3 жыл бұрын
Mh kishimbaaa
@aminalafaeringaizangaiza614
@aminalafaeringaizangaiza614 3 жыл бұрын
Yani Kura yangu utapata uko saihi kabisa wengine wanaingia bungeni kukodoa macho tu na kucheka tu kwa manufaa yao
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 3 жыл бұрын
Hujawai kosea mzee
@sememakolo9360
@sememakolo9360 2 жыл бұрын
Kishimba unaakili ndefu
@deogratiusndoto8553
@deogratiusndoto8553 2 жыл бұрын
2025 jamani huyu ni mtu hongera Sana kishimba
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 3 жыл бұрын
Kumtengenezea sanam lake shngap😂😂😂
@eliayeremialeli1806
@eliayeremialeli1806 3 жыл бұрын
Huyu baba nataman awe rais siku moja nimpigie kura yangu
@mariambmganga8674
@mariambmganga8674 3 жыл бұрын
Kweli tumpe anafaa
@evarestmrema6455
@evarestmrema6455 3 жыл бұрын
Sikukuu ya wakulima???!
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 3 жыл бұрын
Sjawai kukupinga kishimba
@kapondamsita476
@kapondamsita476 3 жыл бұрын
Hahaha uposahihi
@mcmwamba572
@mcmwamba572 3 жыл бұрын
Miaka Mia baba
@salwasuleiman8943
@salwasuleiman8943 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣yaani umeacha nicheke sana umeongea sahihi
@gilbertmshiha6032
@gilbertmshiha6032 3 жыл бұрын
Achana na ulaya
@renatusaugustine3410
@renatusaugustine3410 2 жыл бұрын
Dah ana akili sanaaa
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 5 ай бұрын
Fungua shule waonyeshe mfano una akili nyingi sana
@pendaeljonathan5254
@pendaeljonathan5254 3 жыл бұрын
Wambie hao wana wamazo finyu
@humphreyvidonyi253
@humphreyvidonyi253 3 жыл бұрын
Maprofesor hao makaratasi tu hawafakiriagi
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Nicheketuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-eb3sr5wi5v
@user-eb3sr5wi5v Жыл бұрын
Kishimba anaongea maneno mazito mno
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 3 жыл бұрын
Siku zote mwizi hawezi taka aibiwe!
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 206 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 51 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 72 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 17 МЛН
Lema, Mnyika Waliamsha Tena Dude Bungeni
12:42
Global TV Online
Рет қаралды 362 М.
Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
12:08
Global TV Online
Рет қаралды 137 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 51 МЛН