Daniel mugogo, Hana siasa, yeye ni munjilisiti hodari na upako wa ajabu . Kenya tuna mpenda sana. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-nw1cd3zp7b3 ай бұрын
Mgogo ni the best anakupa elim mtu ujitambue ❤
@JasinthaAlex3 ай бұрын
Daniel Mgogo more life🙏 na kwamba yeye ni comedian it's okay coz iyo iko ndani yake na anacheza na vichwa vya kisasa ndo maana injili yake si ya kupokea na haboi,anakomboa walio potea inampasa aendane nao ata Yesu alipingwa,Daniel chapa injili komboa akili za watu injili yako hata dini za upande wa pili wanaipenda uchagui hubagui huna baya usiogope fanta kazi ya bwana tunakuombea🙏🙏
@gracekambua98363 ай бұрын
Imani pasipo na kazi imekufa. Tuwe na imani tuchanganye na kazi..Hata Yesu hakupendwa Kwa hivyo Pst Mgogo continue the Good work Man of God,we need more of you guys
@TabibuGift3 ай бұрын
I love pastor Daniel Mgogo, he preach the true gospel which brings salvation to people. For sure, I real admire him but I don't wants to hear that receive cars or money from other preacher but if am lazy I can't get anything
@user-oe4vp6nk2h4 ай бұрын
Watu wafanye kazi mgogo yuko sahihi
@Maryc2G4 ай бұрын
Kweli kabisa, watu wafanye kazi kabisa. Ukifanya kazi kwa bidii kufanikiwa ni must
@CHILL504403 ай бұрын
Bible inasema mungu atabariki kazi ya mkono yako
@user-wl8ns6hh8l2 ай бұрын
Mgogo yupo vizuri anatuamsha tuache ujinga
@ronaldkimengich89584 ай бұрын
Huyu mzee ajielewi I can Kenya 🇰🇪 we Love Mgogo since he preaches the Truth long live pst Mgogo
@ChemchemiRecords4 ай бұрын
Swahili only, please?
@helencyprian87452 ай бұрын
Mgogo yuko vizuri sana ijili za utapeli hazina nafasi
@eliasmyamba47674 ай бұрын
Nampenda sana pasta mgogo yupo sahihi sana watu wafanye kazi ndyo wapate magali. Wemzee waupako tuache kidogo tafadhali🙏
@user-pp9bv8xs2h3 ай бұрын
Mgogo yupo sahihi kabisa anawaambia watu ukweli.
@mkambamaulid4474 ай бұрын
Mgogo mm ninamkubali Sana na yuko sahihi kabisa 🙏🏼 Mgogo na Hananja nawakubali saaana💪🏽✌️👊
@JoelRichard-hj3bi5 ай бұрын
Mimi kiukweli Huyu anayejiita Mzee wa upako sina imani naye kabisaaa,isipokua MUNGU TU BASI.
@Onlyforfun1992tube4 ай бұрын
😂😂😂😂
@malikeyndotopopote4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@ev.johnkay93832 ай бұрын
Huyu asije akaokota na bundles zangu pia😂, Namkubali mchungaji mgogo. Watu waganye kazi.
@user-mr6uk3lv1b4 ай бұрын
Mgogo tuko vizuli ufanye kazi na mungu atakunyohosheya mkono
@sinaimissions75543 ай бұрын
🎉
@prudencemushi69483 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimemwelewa mzee wa upako kabisa na amebadilisha mtazamo wangu kwake... barikiwa
@mwamakaassely22602 ай бұрын
Mlevi mwenzetu huyu mzee wa upako
@lilyg213426 күн бұрын
@@mwamakaassely2260 🤣tena lilevi la kupindukia linalotumiwa na wapinzani
@HermanKikoti2 күн бұрын
😢
@mariosigala87604 ай бұрын
Hakuna Baraka za kupokea bila unacho kufanya.
@boazmaobe72454 ай бұрын
Mzee wa upako ana swaggy za kitapeli.unapokea ktoka wapi?? Hayo maokoto ni ya kutoka kwa maskini alf unajifurisha kwa kuwatapeli...fanya kazi mungu alunyooshee mambo yako
@ireneinnocent41282 ай бұрын
Mzee wa upako umeongea kwa busara sana. Wakristo wako wengi na tusihukumiane. Hao wanaokashifu na kukosoa wengine ni kujiona kuwa wao wako sahihi zaidi. Kila mmoja aamini Imani yake. Usijione kuwa yako ni sahihi zaidi. Mimi mkatoliki na naheshimu ya wenzangu. Tukipingana na kukashifiana ni Ubinafsi sisi wote ni mwili wa Kristu.
@Joycenangonga2 ай бұрын
Jamaniiiiiiii sio kristu ni kristo kwenye biblia imeandikwa kristo na sio kristu.
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Mgogo Mungu akubariki sana waambie ukweli mwambie ukweli mlevi wa Kvant mzee wa Upako
@paschalsafari97474 ай бұрын
😂😂😂😂😂duuu
@ntakilutandato4 ай бұрын
kweli mzee wa upako..tunahitaji kumhubiri yesu na siyo umbea madhabahuni. Tukisema tuanze kuchambuana Dunia haikaliki.
@boazmaobe72454 ай бұрын
Mgogo kiboko na mungu akuzidishie na akupe ufahamu uzidi kutuelimisha
@thobiasfilbert73914 ай бұрын
Hana majibu kweli mzee was upako .mgogo anahubri uharisia was maisha yalivyo.
@asiri-romy-simba36713 ай бұрын
Katka maneno ya Mzee Kuna mawe na madini chukua yanayo kufaa kama ni mawe au madini basi 🙏.
@TALLUBOY4 ай бұрын
Kweri mgogo yupo sahihi Mgogo yupo sahihi kama Mzee Ananja hao ndiyo Waubil sahihi Tanzania
@govinsonlugano92263 ай бұрын
Hatukatai miujiza Mungu ufanya! Na Mungu ufanya akitaka,wala si sarakasi zakumlazimisha.iyo yakupokea pokea kwani munakuwa waganga? Biblia imasema asietumika asile.pia nitaibariki kazi ya mikono yako.Mgogo injili iko sawa!
@scholarmawala14033 ай бұрын
Daniel Yuko pafect sana ❤❤❤
@KaswarraKabagambe-gu1zm3 ай бұрын
Daniel juuuu sana ❤❤❤❤
@user-ge3cg4ct9z4 ай бұрын
Vua hiyo Pete ya kishetani ama Bora usicganganye Mungu na mungu wenu anaejifuchia ndani ya jina la Yesu, tu awajua wote mliojiunga chamani mtoke msiwadanganye watu
@adkajisi45364 ай бұрын
Vipi na wewe upo chamani?
@noornasir43784 ай бұрын
Pastor mgongo is the best
@user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын
Mchungaji mgogo ni comedy. Anahubiri kutumia vichekesho. Kama alivyo masanja. Pokea gari, pokea nyumba ni baraka anatoa mchungaji. Kwenye biashara yako Mungu akubariki upokee gari. Mzee wa upako yupo vizuri sana kwenye mahubiri. Namfaham ni smart mzee wa upako chief
@athanase8415 күн бұрын
Mimi niko.congo huyu mzee yuko vzr mno, Ila watu wametapeliwa kiakiki awamuelewi
@Chrisblaze-beats27 күн бұрын
Mzee Wa Upako wa kiganga. Ni wa hovyo sana huyu. Bora sijawa na ndugu wa kunitia aibu kama hawa. Hajui hata biblia. Nilikua namwelewa sana ila kabla sijaanza kumskiliza ila nilivyoanza kumskiliza nimemuona hovyo sana😢😢😢😢😢 Daniel Mbogo ❤. Alaf mchungaji wa kweli na wa uongo hapa utamjua tu. Mbona maji na mafuta vimejitenga.😅😅😅
@lilyg213426 күн бұрын
Kabisaa.. yeye na waumini wake vichaa tu
@Vanessa-md2hj2 ай бұрын
Daniel mgogo all the way 🙏🙏the bible says nitaenda kuibariki kazi ya mikono yako kumanisha utajiri upo mikononi mwetu .hawa wa kutuambia receive receive uongo mtupu hao ni kungoja tuwape hela😂😂
@michaelwanyanga3 ай бұрын
Wengine ni wahuni wanaotumia jina la Mungu. Asante YEHOVA-Mungu kwa kuwa upo na unaendelea kuwepo ili kuwapepeta wahuni wote na kuwaengua katika kundi la wacha Mungu.
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Mungu ambariki sana mgogo ni chombo cha Bwana
@Aminmwansile-we8vn3 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu luseke lo mungu akubariki watu tumekuelewa vizuri sana barikiwa pastor
@brownaled25764 ай бұрын
Amna mungu apo ni uvivu wa kifanya kazi halali
@sebastiansalamba3134 ай бұрын
Watu wafanye kazi Mungu ataibariki kazi ya mikono Yao,sasa Hawa wanauza mafuta ya upako !neno la Mungu ama dam ya yesu ilimwagika Kwa sh ngapi ,tujihadhari na manabii wa uongo ,yesu ana meli ,mabasi ama jeshi .
@sammymwachiro58944 ай бұрын
Mgogo yuko sahihi, tusidanganyane.
@ZallMarshall2 ай бұрын
Mgogo is the best hana kazi mbovu yy husema ukweli we love you as Kenyans all the best may you live long mungu akuzidishie neema ya kuhubiri🎉🎉❤
@user-jb3zp9uo7o4 ай бұрын
Mgogo yuko sawa kabisa? Huwezi kuombea mtu amateur gari ki rahisirahisi bila kutoka Jasho.
Kila mtu amnene Yesu na uweza wake . Acheni kuwafanya watu kuyalaanj maisha yao kwa kuwanena vibaya watumishi wa Mungu.
@Joycenangonga2 ай бұрын
Umesema vyema wajina ndo mana mimi sijataka kucomment maneno meng coz kimsingi wa biblia kuwanenea vibaya watumish ni dhambi na laana maana yesu ndo mwenye uweza wa kuhukumu pekeake.
@donaldmpagaze9803Ай бұрын
Mungu akubariki mzee wa upako
@almasramadhan93874 ай бұрын
Wa upako umechemka baba mgogo Yuko sawa
@festofute584 ай бұрын
Swala siyo kukubaliana Cha kuhubiri,Bali kuifuata Biblia.
@sillahnjau92054 ай бұрын
mgogo yupo sahihi Fanya kazi ndio upate pesa ununue gar tana kwa bidii sio kupekea bila kufanya kaz mgogo saf
@SezaliaOnesmo2 ай бұрын
Kwa ukweli mgogo endelea kutupa mawe tufunguke akili, hiyo injili ya mwaka wa maokoto hapana biblia inasema tutafute ufalme wa Mungu na mali Mungu atatupa kwa kufanya kazi. Kumbukumbu 28.1ff
@johnkomba41844 ай бұрын
So intelligent and knows what he's doing.... congratulations Mzee wa upako....God bless you so much....we need to appreciate each other's religion and opinions... it's all about perceptive and people's minds...
@ivanlyimo67274 ай бұрын
I do not remember any instance where Rev Mgogo or Rev Hananja had mentioned names of other preachers. What they are doing is to rebuke sinful actions with strongest possible terms of which every serious Christian should do. You can not appreciate an opinion inclined to sin and still remain Christian. Of course you can do that in some political issues since politicians have made it appear as if there is no absolute truth; to them sin is a relative term and that is where the idea of appreciating others' sinful opinions comes in.
@ezrommkambati15544 ай бұрын
Msenge sana wewe.... I'm very sorry sijatulana bali umekera...
@emanuelleopod39494 ай бұрын
Unafikiri ukiandika kiingilishi ndiyo hatutaelewa kua umeandika pumba
@EnthusiasticAtv-gn6pbАй бұрын
NIMEMUELEWA VIZURI SANA MZEE WA UPAKO. Kwa kweli hutakiwi kumuhukumu mtu pasina kumsikiliza. Usisikilize upande mmoja ndugu, utakosea.
@joetheone33544 ай бұрын
Unajua sana Mzee Wa Upako. Ni mchungaji pekee unayeweza kukemea na kupongeza bila kujali ni nani. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu endelea kuikomboa jamii.
@fredfandey2224 ай бұрын
Sio kweli
@donaldchacha30594 ай бұрын
@@fredfandey222ni kweli
@kensniper80793 ай бұрын
Ww ni kada wake hatuwez kukubishia lkn Mzee wa upako Hana lolote
@KennedyIpereny2 ай бұрын
Wote ni watumishi wa mungu ,mgogo anatufundisha namna ya kuishi ukiwa kwa ndoa.mzee wa upako anatufundisha imani kulingana na vile amejieleza.kwa hivyo wote wako sawa wote
@petermwanyondo53704 ай бұрын
Asante baba mgogo achana nawasaka tonge kwakutumia vibaya jina lamwenyezi
@gracekiondo25413 ай бұрын
Hawa wamewafanya watu wategemee mafuta na maji badala ya kumtafuta Mungu,mtu hajifunzi juu ya Mungu hata hana muda wa sala kazi ni kuamini Upako.huyo Mzee wa Upako maswali anashindwa kuyajibu.
@marykiwoi78214 ай бұрын
Mungu anabariki kazi ya mikono yetu na Mgogo yuko sawa kufingua watu macho
@festokemibala58324 ай бұрын
Sawa. Hakuna kufanya kazi kwa bidii hakuna kupokea chochote!!
Mzee wa upako umeshindwa kujibu swali nikweli huwezi kupokea gari bila kufanya KAZI mgogo na Hanja wako sahihi huyo ni mwongo
@johnthomson57464 ай бұрын
Mumuelewe baada ya kufamya Kazi, unatamkiwa kupokea, unaweza ukafanya Kazi, adui akaipiga hiyo Kazi, siyo mbaya kutamkiwa Baraka, baada ya Kazi zako
@donaldchacha30594 ай бұрын
@@johnthomson5746sawa kabisa Mzee wa Upako yupo vizuri tuache ushabiki
@urbanmission30723 ай бұрын
MTU ASIYE NA SIRI YA IMANI HAWEZ ELEWA NA HAWEZ KUELEEWA MAMBO YA MUNGU
@athanase8415 күн бұрын
Wewe msikilize mwanzo mpaka mwisho, mbona mnatanguliza hisia binafsi badala ya kuelewa? MZEE Kajibu vzr mpaka nimeona aibu upande wa Mgogo
@laukhanpaulo49963 ай бұрын
Mgogo🔥🔥🔥🔥 nikiboko yao anawafumbua macho walio lala na wanao pigwa hakika mahubiri ya kweli yanasimama daima sio poke nyumba pokea pesa nani kazisahau 🏃🏃🏃
@philipolubuva41024 ай бұрын
Mzee wa Upako uko sahihi ni kweli Petro Alifanya kazi ya kuvua samaki usiku kucha lakini hakupata kitu kwa sababu hakuwa na Yesu lakini alipomkubali Yesu baraka zikamuingia na kufanikiwa kupata samaki wengi hivyo kufanya kazi bila Yesu kufanikiwa ni ngumu unapoombewa pokea gari bila kufanya kazi bila yesu ni kazi bure
@fredymbilinyi63234 ай бұрын
Mimi napenda huduma yake mch mgogo
@FarresFedrick-xj3qc4 ай бұрын
There is big difference between Public speakers and a Preacher of the Gospel which can save and deliver people from sin.
@barakavalencendola11174 ай бұрын
Mgogo anasema kweli,usizunguke sana
@thomasraiton77602 ай бұрын
Kwenye hii Dunia kila mtu ana wampendao haijalishi unafanya Nini lazima utapata wafuasi
@christinewomanoffaith54793 ай бұрын
Mwilinwa kristo , safi Kila mmoja akae kwenye eneo lake sio mambo ya kunyoosheana vidole
@kanisalatecjcusofficial3 ай бұрын
Amina
@jescarwegoshola17544 ай бұрын
Amen, Imani nikuwa na uhakika na hasa km unamjua unaye muamini,kila mtu na karama Mungu aliyo muitia,simama na kumsikiliza Roho Mtakatifu anavyo kuongoza,sisi ni mwili wa Kristo. Ni mekuelewa👍🏽🙏
@user-hl9ee2ve4s2 ай бұрын
Wewe ni mtapeli. Mchungaji Daniel ako right kabisaa na yeye injili yake iko sawa na mafundisho ya kristo.
@user-gg7qi2zm3w3 ай бұрын
Nakuunga mkono sana da uko vizuri
@upendokibuga14344 ай бұрын
Uchumi wa Tanzani uko chini ya matajiri 10 wakubwa. na sio wakristo! Mchungaji mgogo yuko sahihi sana. Hakuna maendeleo, hakuna kutajirika kwa upako na maombi na kufunga na kunene kwa lugha wala kukoroma kwa lugha. Tena injili za hivi ndio zinazalisha maskini wengi. Haya ninyesheni aliyefungua biashara baada ya kuombewa...
@mariaerenest56324 ай бұрын
Namkubari mgogo sana
@athanase8415 күн бұрын
Basi mgogo asiwe anawaombea wagonjwa, awaagize hospitali, maana bado haelewi halaf yupo kiutoto sana aelewi mambo ya Kiroho
@user-xw4nj8ji2e2 ай бұрын
Mzee wa upako,yafaa ujue kila mmoja ana mwito tofauti,,
@ukuriijambo94184 ай бұрын
Hubiri injili ya wokovu,acha iyo mafuta ya upako,ni utapeli kweri.Hubiri watu injili ya Yesu
@Saning.oyohanasaitoSaito2 ай бұрын
❤chukuwa mauwa yako Mzee wetu wa upako na Mzee wetu wa kiroho 🎉🎉🎉❤❤
Upo sahihi sanaaa Bishop Anthony Lusekelo Mzee wa Upako,Chief. Amina sanaaa
@kanisalatecjcusofficial3 ай бұрын
Amina mtumishi Bwana Yesu asifiwe mpendwa kwa akili ulio nayo.
@kensniper80793 ай бұрын
Tapeli tu mzee wa upako
@loycep77854 ай бұрын
Pamoja na watumishi wa Mungu wakubaliane tu kwamba ili ufanikiwe fanya kazi ndy upate siyo kushinda makanisani hiyo hela ni ya mizimu Mungu ktk maanfiko hakusema muende kupokea vitu bila kutumika Hata enzi za zamani kipindi cha Musa watu walifanya kazi Acheni kuwachanganya watu kwa mahubir potovu Mbinguni hakuna madhehemu bali ni kumwabudu Mungu ktk roho na kweli
@FrancoiseNyandwi-uo6ds4 ай бұрын
Mgogo yuko Sawa isipokua tu mahubili Yake niyakutuamsha na kutukataza uvivu,hajawahi kutukana mtu kama wewe
@mossesezekiel78623 ай бұрын
Nimeelewa apo kwamba sisi ni kiungo cha MUNGU katika KRISTO YESU BWANA WETU,Kila mtu ni kiungo cha mwenzake katika KRISTO YESU BWANA WETU!!!!
@alphoncealmack92404 ай бұрын
Mchungaji mgogo chapa kazi ya MUNGU usitishwe na maneno ya kuvunja moyo maana hayana nguvu tena ya kusimamisha neno la MUNGU kamwe
@Mwasame_Official13 ай бұрын
Wachungaji kama hawa ni matabei tuu ,,ukitambua makosa yako tubu mungu ni mwenye rehema😢atakusamehe ,rudu kwa yesu hubiri injili ya kweli, achana na nguvu za kipepo na hizo Pete za chicho ni uchawimtupu
@mramba19663 ай бұрын
Asante baba mgogo
@ShimaKilairo2 ай бұрын
Kweli mgogo tupo sawa we mpigaji tu upako wap
@user-yg1uw7me8y3 ай бұрын
Kweli walio wa mungu tunaelewa tu mapema
@josiahbineguro63934 ай бұрын
Mi naona Mgogo Yuko Vizuri kwani Mahubili ya kitapeli yapo na tumeyaona Tena hata kipindi kile Mzee wa Upako alitumia Mahubili yanamna hiyo ambayo kayazungumzia Pastor Mugogo
@ebenezermachange-zp4es4 ай бұрын
Baba mzee wa upako yuko sawa sana ana hekima ya hali ya juu.Haya mambo ya huduma yanahitaji kiwango cha uelewa wa kiroho na hekima.Kwakua watu wako kwenye ibada na tamko la kupokea ni tendo la imani kama sehemu ya ibada mtu anakua anapokea katika ulimwengu wa roho kabla hayajatokea katika ulimwengu wa mwili.Biblia inasema yote tuyaombayo kwa imani tuamini ya kua tumeyapokea na yamekua .
@moshijoramu26162 ай бұрын
Humuwezi Mgogo Hugo ananyoka hapindi pindi
@user-in1on9ip5z2 ай бұрын
Pastor mgogo yuko vizur ,huyu mzee wa upaka uwa simuelewi MUNGU yupi anayemtumikia!!
@deogratiasrutabana23874 ай бұрын
9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. 10 Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo. 11 Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. 13 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni; ninyi wenyewe hamwingii, wala wanaoingia hamwaachi waingie. Mtu akishakwenda kinyume na Biblia anatumika na roho wa shetani msidanganyike.
@AnnoyedDove-oo3kk4 ай бұрын
So comedian sisi tunampenda mungu wake na si vingine
@lovenessrichard99693 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wa upako.... Mwakasege na Mwamposa bambam❤❤❤❤😊
@godisable20984 ай бұрын
Uyu haiko Mtumishi WA Mungu WA kweli
@user-nt3re5fp4z2 ай бұрын
Daniel MGOGO anemwaga nucele ndo mana mumeanza kununa🇷🇼
@margaretnamubi45654 ай бұрын
❤❤mwili wa ckristo tuwe kitu kimoja..tuwache malumbano...
@afwililenisaidie95974 ай бұрын
Kweli lakn sio kila anaye hubiri ni kristo wengine ni makristo
@gm70453 ай бұрын
Makanisa ni matatu 3 tu Muslin for Friday, Wasabato for Sabbath day and Catholic nawatu wao wote wa Sunday
@donaldmpagaze9803Ай бұрын
Mimi sioni shida iko wapi kuuza yale mafuta shida ni jinsi wewe utakavyo yachukulia chukuwa neno la Mungu omba sawa na neno hilo ukimdai Mungu imeandikwa Yakobo 5:14 mtu wa kwenu hawezi na awaite wazee wakanisa wamuombee na wmpake mafuta nk naye atapata afya wote wanaotumia mafuta ya upako sijawahi ona wakitumia mafuta bila neno lazima watakuppa neno mungu atusaidie
@annakattoa75024 ай бұрын
Hongereni nyote sbb wote mnaponya mioyo ya watu kwa namna tofauti the most expensive in Life is PEACE . So nyote mnafu disha na kuwaongoza watu . Uwe comedian uwe Amin dada all people need is PEACE IN GOD Vyote vinafata nyuma MBARIKIWE
@ElisanteEcotone2 ай бұрын
Mgogo ni comedian sio muhubir
@PeterA.Meshack-mu5rw3 ай бұрын
Mgogo kazi yake nikuambia mtu Aache makosa yake
@user-xf8yo1od4n3 ай бұрын
Atabariki kazi za mikono yetu haya mambo yakusubilia muujiza na hawafanyi kazi tunakua na Taifa la watu wavivu sana tangu mwanadam wa kwanza alipoumbwa alipewa kazi za kufanya Hivyo tufanye
@melanialeonard40313 ай бұрын
Mungu hana hasira ni mwingi wa rehema wiki nzima upi kanisan na kidogo unachopata unatoa sadaka eti ya kupanda
@user-cv2jf1nu3q3 ай бұрын
Amebarikiwa na Bwana zaidi ya kubArikiwa kwake materials nimeongea, ampingae simwambii amkubali ila minamkubali, pia mafuta ya upako ni biashara naungana namgogo, alafu hiyo kauli yachifu kusema eti nicomedi misimuungi mkono injili yakweli mgogo hafichi,Mungu ampe maisha malefu aendelee kufundisha wengine wjae malaria,,,, ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-yg1uw7me8y3 ай бұрын
Nakupenda bure mzee unaongea point baba
@MmHh-rz8kz4 ай бұрын
fanya kaz kwa bidii na kumuweka mungu mbeleh hkuna cha bure
@ChanceBariziraVital-cv5jx4 ай бұрын
Pahalimngu awapechakuhubili munaanza jichagulia ninimuhubili mungu awasaidie muokorewe.